Тёмный

Raya: Mimi na Barnaba hakuna ndoa tena, nimeamua kurudi kwetu nimeshindwa na sitaki, amenikosea sana 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 53 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

15 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 384   
@lilyanmongi1075
Unaweza kupenda mitandao lkn sio maisha yako ya ndoa kuyaweka mtandaoni na unachofanya unampa sababu yakuwa na wanawake wengine.
@user-zq2be4xr1o
Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke
@BIENVENUMUHINDOLULIVIRO
Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai
@user-st1zs1ng2x
Makiki ya kipuuzi.. Kwani hukujua unaendakuolewa na msanii?? Na wasanii wa bongo kama tujuavyo uchi ndo unawatambulisha
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
Barnaba Kushukuru Mungu wako kwa yote. Endelea na kazi na maisha yako . Amen.
@ScolaMussa-il4fs
Achakutaja wasanii wengine pambana na ndoa Yako Raya itakugharim
@kassimchuo5290
Toto la mama kimbo hiloooo pendeza sanaaaaa like mother like daughter ❤️❤️❤️
@issazalala4907
Pcha lina anza raya mwenyewe yupo uchi matiti nnje lakini analia mumewe kashika kiuno ngoja ni 😂🤣🤣 tusome dini ili tupate muongozo
@user-ye7hg5pn7x
Barnaba kazi unayo duh kuacha Tena usanii, mbona mwanamke huyo akirudi Tena timbwili,kisa usanii,,,🤣🤣Sasa alivyo kuoa hukujua kama msanii,mh mh
@farahanafarer7588
Utani utani utajikuta huna ndoa kabisaa
@mwanaibrahim2444
hunahaya wewe dada mbonawewe upo uchi na hajawai kukataza kuvaa ivo
@SUNDAYMRGAMINGTZ
Kumbe kwenye maisha unaweza kuowa mwanamke mkubwa kabisa.... Lakn akili ndogo...
@mj.tv.forpeople992
Pumbavu hujui kazi ya mume wako
@salamamamashenge5493
@Chris Favors Kaka unajua kazi lako kikukweli unajua Kukuliza you deserves the Flowers 💐
@mhabimina4023
Raya she knows how she is ,don’t let anyone disrespect u 👌
@elizabethdamas-zp9xl
Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo
@janengowi-lt9gu
Tatizo hapo Mama amekuwa mtu wa katikati ndoa ikishakuwa na mtu Kati kwisha habari
@user-bc3lh5ss6c
Raya hakuna wa peke yako dunia nzima shaurilo😂😂😂
@godlistenobed9299
Nimekupenda da raya ❤❤
@KissaMwaifwani
Kazi anayo Barnaba pole aliyekutuma kubadili dini Kwa ajili ya familia hiyo ukitaka ndoa Uache mziki
Далее
Alisha Lehmann joins Juventus Women 🤍🖤
00:16
Harmonize Feat. Marioo - Disconnect (Dance Video)
3:23
BABA YANGU KIPOFU Full episode/14/ #love
30:06
Просмотров 251 тыс.
Alisha Lehmann joins Juventus Women 🤍🖤
00:16