Sheikh Allah akuhifadhi. Hakuna kingine ni hasad tu. Doktor Islam hafidhahu Allah ana durus za riyadhuswalihina na tafsir ya Quran na nyihinezo. Nyinyi ni mafattan .
Ama kweli shk Allah amuhifadhi anaona mbali na ndo akasema sikilamtu ajibiwa Kuna majaahil na mahasid kama Hawa cwakujibiwa maskini kabisaa cjui Yemen miaka yote alkua akufanya nn akiuza asali ama akisoma
Shekh nadhan haujaskliza kwa uzur radd zake, naomba nkwambie kuhus kwemda ktk miskt...shekh hakusema kwenda ktk miskt ya ahlul-bida'a haifai bal kasema yafaa may b kwenda kutoa muhadhara, darsa, khutuba n.k....
Shetani anafuraha kubwa waislamu wanavoitana majina mabovu ya kukejeliana. ALLAH SUBHANAHU WATAALA. Anaona. Kiraaman katibiina wanaandika. Na ALLAH SUBHANAHU WATAALA Anawajua wakweli zaidi miongoni mwetu. "Man swamata naja."
shekh mbona inaonekana umekurupuka sana, inaonekana hujakaa ukasikiliza vzur, au hujasklza kwa makini hzo rudud za dr islam. mbona manen ya shekh yapo wazi kabsa.
😂😂😂😂😂 uyo Qassim mafuta bado saaana yeye kazi kupigiya watu fujo yeye kama ni mkweli amuite Dr wakanaye chini amradi maana uwislam ni ule ule na vitabu ni vile vile tuone kama atacharuka zamani nimekuwa nikipenda sana kumsikiya Qassim mafuta ila nimeona sio sheikh wakufata kwa sababu ana hasada na chuki na ma sheikh wengine wa sunna utasikiya kila mtu ni hizbi ivi unaweza kuleta ayah wala hadith kuwa Mtume swallalahu alayhi wa salam aliwayi kuzungumziya mambo ya hizbi ima salafi ao alitwambiya tufate coran na sunna?
😂😂😂😂😂 shida ni pale mnaleta ushabiki katika dini ebu acha nikulize kati ya Bilal ibn Rabban na Abu khuraira na ( Allah awaridhiye ) nani kapokeya hadith nyingi katika ya hao wa 2 na nani aliye ingiya mbele katika uwislam katika ya hao wa 2 mweye mnataka kila mtu asikiye maoni ya Qassim Mafuta hakawa na nani katika dini iyi ya Allah ? Tuko na Coran n Sunnah ndio muongozo wetu sasa uyo mafuta abaki na majina yake yaki safi tuone kama atazibiya kuangiya mtu Jannah.
Kwa maneno yako ht kwa Yahya Hajuri inafaa kurejea kwake? Maneno ya Sheikh Muqbil sio wahyi, kw wakati wake inawezekana ilikuwa hvyo ila km mtu katoka kwnye usawa hatuwezi kushikamana na hayo.
Ngo nayeye ni Muislam sasa wakutukana watu Muislam mwengine ao njoo usalafi unavyo wafunza ? Mswiba hajuwi kuwa ni haramu kumtukana mwislam mwenzake wala hujuwi kuwa Mtume swallalahu alayhi wa salam anasema kama hauna njema la kusema kaa kimya sasa sijuwi ni dini gani ya kutunana ivo sio uwislam huyo labda ni dini nyingine ya usalafi
Huyo mafuta alosema usiende kusoma markaz omar bin Khattwaab kariakoo dar es salaam harafu yy ameenda kutoa darsa 😂😂yy tumuite nani maan anaruka ruka tu haeleweki
Kwakwel kumtetea dr islam hali yakuwa yeye ka mtetea barahiyani na uyo barahiyani anateteya jitu moja muhamadi sururi nimefatilia uyo sururi wana wajuoni wa sunna wa memtaadharish afu barahiyan ana mtetea abuu muawiya sasa unadhirisha kupinda kwako
UJINGA MTUPUUUU,,WAISLAMU NYINYI HAMNA CHA KUONGEA ZAIDI YA KUKATANA MAPANDE NA KUJIONA BORA KULIKO WENGINE?? HUO NI UJINGA ACHENI TUANGALIE MBELE JAMANI,, MBONA ELIMU ZENU HAZINA TAQWA WALA HIKMA..
#NABADO! mtagombama sana Saud anataka kuandaaa salafy mpya inayo halalisha mpaka music Leo #mashia misikiti yao inafaa? Si mwaona mashia bora mayahudi? Je ukipewa nafasi ya da'awa ndani ya sinagogi utatoa?
Zungumza kwa haki na utumie lugha inayfaa kama unavyowanasihi wenzio nn maana ya utumbo??? Alama ya Kassim mafuta kwny Daawa haifutiki na itabaki na we Fanya jitihada kama upon kwny haki itaonekana tu. Lkn hasira,hasad na kumkamia sheikh haitakusaidia! Tayar ameshajenga huwez ww kubomoa.
Ama kweli hasad hutumbua watu alafu eti huyu ajiita salaf ajigonga gonna kila nukta mara shk muqbil asema tuwalize kina hajuri butai na mhd Al imam aje hajuri yafaa kusoma kwake kama haifai kwann na yy pia katajwa au hajuri kwa sababu we humkubali lakini Mohd so imam una maslah nae wamkubali watu wakasome kwake
Abu awadh ....Sheikh yahya inafaa kusoma kwake naam Awe nawewe una hoja za kumtoa sheikh yahya katika safu? Kuwa na adabu na sheikh yahya ewe Jibwa la kihizbi!
Alafu we unsima katika alama za hizbi ni mtu kumtetea watu wabatil na je barahiyan hamtetei ibn Sina na hawatukani kina shkh rabii alafu huyu Islam amtetei barahayian au ile audio ya Islam ya Tanga hukuskua ww vizuri Bali yuke baba alivofanya taaliq akaponda masalafy yy hukumuona hapo chini akicheka na kueka kwa pge yake mbna hujipati ww au watafuta kujibiwa na abulfadhil sahau iyo
Abu Muawiyah hamtetei barahian je yule ambae amtetea barahian ambae ni Islam inakuaje na je mbna yy amtetea Islam Islam yule ambae aunga mko o barahian kweli mahizbi akili zenu finyu sana
Halafu wewe ndo unajifanya MTU wa sunna mtu was salafi,pumbavu sanaa uliokosa adabu,utamwitaje muislamu sheikh mbwa,wewe mzima kweli au bangi ulivuya ikakuchanganya
Hahahaha ety napiga kichwani pumbavuuuuu wee kumbe unajuwa kama icho kichwa ee na kinakukereketa icho kichwa ili kikujibu Sasa kama unavo ONA ww hutaki kumjibu Abul Abas basi nawewe pia icho kichwa hakita kujibu .
Mbona nimesikia ruddud mbalimbali za Mashekhe juu ya Dr Islam (Allah amuongoze na sisi pia) lakini wewe umeng'ang'ana na Sh Qasim Mafuta kwani kunani? Bado naendelea kukufatilia lakini bado sijakuelewa.Halafu wasemaje wewe kuhusu Salim Bahariyan(Allah amuongoze) na kile Kitabu chake?
الحديث عن طلق بن قيس عن النبيِّ ﷺ أنه سُئل عن مسِّ الذَّكَرِ فقال: وهل هو إلا بُضعةٌ منك. هذا الحديث منسوخ بحديث مَن مسَّ ذَكَرَهُ فليتوضَّأ ذكر ذلك شيخنا عبدالمحسن العبادي وقد ذكر الشيخ الشنقيطي في مذكرته أن حديث وهل هو إلا بضعة منك ضعيف ما اردت انتقاص من حقك بس رأيت حاجة أن أبين ليعم الفائدة وجزاكم الله خيرا
Mafuta doesn't see more than the End of his Nose Tip! How such a prominent sheikh to be led by instinct and just aligations! He is just total Failure! In Daawa!
#HIZB_UT_AHRIR acha kupambana na nyie mbwa koko haipambani na miungu yenu wafalme wa Saud hizb inapambana na miungu wa miungu yenu Amerka Uingereza na wakoloni wengine