Тёмный

KWANN QASSIM MAFUTA HATAK KUKUTANA NA NDUGU YAKE ABUU MUAAWIYA 

Manhaj Salaf Zanzibarقناة الدعوة السلفية في زنجبار
Просмотров 11 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 139   
@allymtito8117
@allymtito8117 3 месяца назад
Kuna watu wanapenda mashekhe na so haki ndo maana akitajwa shekhe wake amekosea anachukia , msiwe ivo طلبة العلم
@SheikhYussuf-iv6lo
@SheikhYussuf-iv6lo 3 месяца назад
اللهم غفر له وارحمه
@FatumaBasho
@FatumaBasho 3 месяца назад
Amiiin
@abuufarha6562
@abuufarha6562 2 месяца назад
Mafuta hana hoja hawezi radd na masalafi yeye ana wezana na BARAHIYANI na masufi nawadhaifu wengine wasio nahoja ndio ana waonea, haachi kuwaradd
@abuufarha6562
@abuufarha6562 2 месяца назад
Ama maustaz na mashekh zetu Abuu hatim khmisi ame aburrabii haha hoja zakuwajibu ila barahiani hamnyamazii kwakuwa ana mmudu,
@saldinthegreat2264
@saldinthegreat2264 9 месяцев назад
KUKOSA IKHLASW KATIKA DA'WAH NA ELIMU NA KUJIPAMBA NA RIAA' MIONGONI MWENU NDIO MAANGAMIZI MAKUBWA MNAYOKUMBANA NAYO... NYOTE MNATAKIWA MREJEE NYUMA MFANYE TOBA NA KUSIMAMA KATIKA HAKI ALIYOKUJA NAYO MJUMBE WA ALLAAH, VINGINEVYO SUBIRINI SAA'
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 2 месяца назад
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Simlaumu sheikh abuu muawiya allah amhifadhi wala sheikh KASSIM allah amhifadhi ila ninachokisema ni kuwa tumche allah kwenye kufanya uadilifu pili tusipende kuvalia njuga maugomvi au maikhtilafu ya wana wa chuoni. Kadhia ukiifatilia uxuri utajua kuwa tumechukuwa maneno juu yasio tuhusu tumeyavaa kama sie ndo wachezaji waislamu wanatakiwa kuwa na insafu kwenye kuziendea kadhia. Nawaombea kheir walimu wangu wote wawili ambao wamefitinika kwenye mfitini huu mkubw
@أبوفيصل-د3ش
@أبوفيصل-د3ش 3 месяца назад
Sisi ndugu zake Abul Fadhwil Ni Akhiy Mohammad Mafuta Vip Huyu adai udugu au Udugu wa Kidini?? halaf sio.lazima kukutana na mtu ww pambana na Uhizb wako
@OmarAbdalla-ug5yg
@OmarAbdalla-ug5yg 3 месяца назад
uhizbia upi? kwani nni maan ya uhizbia akhy na vipngele vya kumfnya mtu kuwa hizby usiropokwe hun uncho kijua hhha
@أبوفيصل-د3ش
@أبوفيصل-د3ش 3 месяца назад
@@OmarAbdalla-ug5yg Mahizb ina maana ya ndani sana ila kwa nje maanake ni Uvyama. na kuna alama zake Mfano Kusema uongo,Umoja usio chunga Aqida zetu,Na mengne kibao kama kipaumbele Kusoma Sekula badala ya Dini na mambo mengi. Au kwa kifup ni Hawa wanaharakat wa Kianswar Sunna wanaojiuta lakin kiukwel Wao ni Answar Bidaa.
@khamishabibu2505
@khamishabibu2505 9 месяцев назад
Wapandisheni masufi daraja maana wao wanaheshimiana
@RamadhanJuma-n9p
@RamadhanJuma-n9p 9 месяцев назад
Hahaha yaani yaani sheikh Kasimu mafuta akae na abuu muawiya aache kazi ya kusomesha abuu muawiya saizi yoko ni abuu sufiani hassani jamada na abulmudhwafara abdala gamba wakubainishie ujahili wako.
@shamsuddin4582
@shamsuddin4582 9 месяцев назад
Daah kweli unaongea hivo kwa Taqwa ndugu angu??
@BashirChikomele
@BashirChikomele 4 месяца назад
Sahihi
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
Hizbu salaf qassimu mafuta ajifanya anajuwa kila kituuu qassimu alikuwa akimkimbia sheikh muawiya Maana anajuwa hamuwezi rahimahullah shekh
@ismailmsangule1380
@ismailmsangule1380 9 месяцев назад
Kumbe abuu muaawiya ni Hassan awadhi ribe Wewe ni salafi ambae kidogo unaheshimu walimu zako ndio maana sijakusikia ukimradi sheikh bakari Kigamboni
@JumaShundi-tn9pf
@JumaShundi-tn9pf 8 месяцев назад
tunaomba wakutane ili tustafiid na tujue haqq Zaid, Allah atatuonyesha njia ya haqq, na mtu fedhuli huangushwa na Allah.
@AhmednurHussein-m2s
@AhmednurHussein-m2s 5 месяцев назад
Mmeelewa jibu????
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm 9 месяцев назад
Haya Masalafi hao wanalana wao kwa wao. Allah awaongeze katika njia ya haki.
@shamsuddin4582
@shamsuddin4582 9 месяцев назад
Hii comment ina manufaa gani kwa umma??
@RamadhaniMuhidini-nn2kg
@RamadhaniMuhidini-nn2kg 9 месяцев назад
Allah akuongoze, hayo maneno yako sio ya haq, hujui nani salaf na nan sio salaf , fanya reseach kabla hujazungumza
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm 9 месяцев назад
@@RamadhaniMuhidini-nn2kg Toa elimu wewe ya nani ni salafi na nani siye salafi, ili tunufaike
@JamalAbdallah-m1o
@JamalAbdallah-m1o 9 месяцев назад
@@RamadhaniMuhidini-nn2kg Hao ni mawahabi, salafi walishapita
@RamadhaniMuhidini-nn2kg
@RamadhaniMuhidini-nn2kg 9 месяцев назад
@@AhmedAli-gh1lm kama ndo kaz yako kusoma mitandaon pole, darasa zipo kasome ujue salaf ni nan
@MirajiAli-tq6id
@MirajiAli-tq6id 9 месяцев назад
Assalamu alaykum walahumatulah wabalakat
@simbaramadhan1882
@simbaramadhan1882 9 месяцев назад
Mashallah Ila nitafurah kukawa na munakasha
@salehaljadidi8206
@salehaljadidi8206 7 месяцев назад
Munakasha ni neno la kiarabu Je kwa lugha ya kiswahili nyie mnaitaje??
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 2 месяца назад
mjadala
@abubakarilugina-zw4gt
@abubakarilugina-zw4gt 3 месяца назад
Shekh Abul fadhil Qaasim mafuta Qaasim Hana muda wa kukujibuni
@OmarAbdalla-ug5yg
@OmarAbdalla-ug5yg 3 месяца назад
sio hana muda..Hana kauli za wanachuoni za kumfnya azngmze katika hili kma anlo angelijbu tu...Dhulma kaifnya na bado hkumfkia hta kwa mustwi wa kielmu alakhy abuu muawiyah رحمه الله.
@allymtito8117
@allymtito8117 3 месяца назад
Kweli kabisa​@@OmarAbdalla-ug5yg
@mohamedijuma9888
@mohamedijuma9888 9 месяцев назад
Kiongozi wafitina katika wasuna niqasimu mafuta kwajifanya yeye anajua kila kitu au yeye ndio awe kiongozi wakila jambo angoze familia yake au nakabila lake
@ABUUDARDAAI
@ABUUDARDAAI 9 месяцев назад
adabu ipi mbele ya haqi
@abuuhudhaifa5134
@abuuhudhaifa5134 9 месяцев назад
Siku hizi kila mtu akitaka afahamike basi anamsema Shekh Abulfadhil Qassim Mafuta, ndo mana shekh akiwanyamazia huwa wanaumia sana. Nyinyi fundisheni dini ya Allah kwa ikhrasi kwa kufuata quran na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia basi Allah atawainua
@KASSIMFUNDSIMU
@KASSIMFUNDSIMU 9 месяцев назад
Twayyib
@AhmedMohamed-un4zh
@AhmedMohamed-un4zh 8 месяцев назад
Misingi hiyo ndio alianza nazo bwana mafuta alivyotoka Yemen Haya ndio matokeo Yake Hao ni vijana wake ale matunda Sasa
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
Qassimu ni hizbu salaf na anajifanya anajuwa zaidy
@abubakarilugina-zw4gt
@abubakarilugina-zw4gt 3 месяца назад
HAJAAWIRA ABUU MUAWIYA , HAJURY NA WAFUASI WAKE
@UssiIddi-s3d
@UssiIddi-s3d 3 месяца назад
Wewe ni mjinga kumbe​@@abubakarilugina-zw4gt
@mussakhamis-g8c
@mussakhamis-g8c 9 месяцев назад
TATIZO LENU UCHAAMUNGU UMEKOSEKANA MUNGELIKUA WACHAAMUNGU MUSINGEFANYA MAMBO YA KIPUUZI
@khamishabibu2505
@khamishabibu2505 9 месяцев назад
Sheitwn anawachezea tu nyinyi bila kujijua nyote
@BakariOmari-tr8cy
@BakariOmari-tr8cy 3 месяца назад
Kwanza kabisa hii sio adabu kumuita shekhe qasm et kwanini qasim sema kwanini sheikh qasim mafuta vp nyinyi
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 2 месяца назад
Punguza mhemko kijana
@salehaljadidi8206
@salehaljadidi8206 7 месяцев назад
Kwa sababu Jina lake ni Kassim Mafuta ya nguruwe na tokea lini nguruwe akakutana na Waislamu??
@AshrafHusein-yb4ib
@AshrafHusein-yb4ib 6 месяцев назад
Mche mola wako
@mohamedimcheni2068
@mohamedimcheni2068 9 месяцев назад
poleni kwa mwenendo mbaya
@MuhammadIbrahim-w8u1u
@MuhammadIbrahim-w8u1u 8 месяцев назад
Ww unauhakikagan kama abuu fadhli kakataa kikaona huyohajaawirah abuu fadhli nakilichokuabara usiwajibuhao
@ahmedrage9664
@ahmedrage9664 9 месяцев назад
Wavijana Hawa yaman hawana akhlaaaq hata kidogo
@MirajiAli-tq6id
@MirajiAli-tq6id 9 месяцев назад
Kwadawa salafiya kwa Tanzania sheikhye kasim mafuta
@khamisali5978
@khamisali5978 9 месяцев назад
Sio lazima kukutana nae ati,yeye eandelee na yake na watu wana yao
@abuurauzwat1006
@abuurauzwat1006 8 месяцев назад
MUAWIYA KATAFUTE MAHARAGWE UUZE BHANAA WEE ACHA FUJO BHANAA.
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
Vijana wa mafuta hizbu salaf
@ABUUDARDAAI
@ABUUDARDAAI 8 месяцев назад
muhammad imamu juzi ka swalia mashia😂 walio kufa Bahraini mwalimu wako ka swalia swala ya janaza mashia 😂😂😂 wew je
@binaamour318
@binaamour318 9 месяцев назад
Et mnawapandisha darja masufi? Hivi nyinyi kawandisha darja Nani? Mpaka ukajua ww kwamba mukojuu?
@HajiHaji-r6n
@HajiHaji-r6n 9 месяцев назад
Ss hatumruhusu sheikh wetu Qasim mafuta kukaa na watoto wadogo wenye chuki na hii dawa. Sheikh Abu muawia tunakuomba umuache tna msaidie katika dawa usimuangushe.tunataka muendeshe hii dawa tu salafiyya.
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 9 месяцев назад
Waondoe kasor zao kwanz ndpo washrikiane nje ya hpo itkuw hiv hiv kla cku
@shamsuddin4582
@shamsuddin4582 9 месяцев назад
Akae nae tu wazungumze asijikweze kwa kuwa si ktk sifa ya asalaf swaleh
@HamadJuma-es8pw
@HamadJuma-es8pw 9 месяцев назад
Mbona sheikh kassim mafuta umemuandika qassim mafuta lakin sheikh abuu muawiyyah ameandikwa sheikh abuu muawiyyah kwenye hicho kichwa cha habar .kwani sheikh qassim yeye sio sheikh .Fanyeni uadilifu rekebisheni hapo kama manapenda haqqi.baraka allah fiikum.
@JamalAbdallah-m1o
@JamalAbdallah-m1o 9 месяцев назад
@@HamadJuma-es8pw hio ndio tabia ya kiwahabi (kibri) kujitukuza na kudharau wengine
@NyanyaMbuli
@NyanyaMbuli 9 месяцев назад
SIKUZOTE HAQI INATAKIWA ISEMWE
@khamishabibu2505
@khamishabibu2505 9 месяцев назад
Khamis Habib
@jailaniramadhan1788
@jailaniramadhan1788 9 месяцев назад
tokeni kwenye huwo upuuzi wa abdul wahab njoon kwenye haq ya ahlul bait as
@abdulswamdenyambuka1902
@abdulswamdenyambuka1902 9 месяцев назад
Ushia ni kama ushoga tu
@AliDaud-si3fg
@AliDaud-si3fg 9 месяцев назад
Loooo
@muhammedaloufy4086
@muhammedaloufy4086 9 месяцев назад
kwani ukiwa si salafi unaenda Motoni? hawa jamaa ata siwaelewi hii ndio Dini?
@NyanyaMbuli
@NyanyaMbuli 9 месяцев назад
KASIMU MAFUTA HAMUWEZI ABUU MUAAWIA kielimu
@MusaMkata
@MusaMkata 9 месяцев назад
Akili zako zimechanganyika na makamasi ww
@farajichilumba5114
@farajichilumba5114 9 месяцев назад
Mmmmmmmmmm
@farajichilumba5114
@farajichilumba5114 9 месяцев назад
​@@MusaMkatammmmmmmmmm
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
Hili ni kwel kabisaa anamuogopa shekh abuu muawiyaa
@AhmednurHussein-m2s
@AhmednurHussein-m2s 5 месяцев назад
Hana mda wa kupoteza kwa uyo abu muawiya
@KhubeybJandaal-uz4oo
@KhubeybJandaal-uz4oo 9 месяцев назад
Kuwasikiliza salaf bora nimsikilize Tupac
@KhalfanSeif-r7p
@KhalfanSeif-r7p 9 месяцев назад
Baba umezungumza kweli mana Hawa. Mara wanakupoteza Kwa misimamo ya ovyo lakini tupaki utatubia baadae ila Hawa misimamo Yao utaona kama ni dini hutotubia Bali utaendelea kuwadharau waislam wenzio bure
@AkidaSimba-b1b
@AkidaSimba-b1b 8 месяцев назад
kassim mafuta acha kibr elimu yeny ucha mungu
@MusaMkata
@MusaMkata 9 месяцев назад
Eeeh mbn kama hajawira huyu kjn
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 3 месяца назад
Bwana shekh qasimu bin mafuta amemdhurumu shekh Abuu mu3wiya hasani ibnu awadh ALLAH amraham .mpaka umauty umemfikia . ALLAH amswamehe na ALLAH amuongoze bwana mafuta kwa chuki zake kwa watu wanaojinasbisha na sunnah
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
Allahuma amiy kk abul fadhli ni hizbu salaf
@nasirdinmohammed8741
@nasirdinmohammed8741 3 месяца назад
Kamdhulumu nini na ukitakwa ushahidi utaleta
@abuuabdirrahmaan4132
@abuuabdirrahmaan4132 9 месяцев назад
HILO BANGO LENYEWE TU LINAJULISHA JUU YA UTOVU WA ADABU
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
Kijana una taasub na shekh wako hizbu salaf mafuta bin oil
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 2 месяца назад
Uwe na adabu na masheikh
@tanzaniaonmzamiloon8627
@tanzaniaonmzamiloon8627 9 месяцев назад
Yani mtu wa kisalafi akijua kiarabu na akisoma baadhi ya vitabu basi anajiona kila kitu anakijua
@abuurayaan3902
@abuurayaan3902 9 месяцев назад
Mahizbi wa kihajaawira wameona Daawa yao yapooza kwa kukisa ikhlass saii wanamfatilia Sheikh Qaasim ili kutafuta kuskika ALLAH awaongoze enyi mahizbi
@abuubakarshabanabuubakar5115
@abuubakarshabanabuubakar5115 9 месяцев назад
Hizbi wewe hebu funga mdomo wako mafuta Hizbi na ndio aliogawa swafu ya masalafi acha kufata matamanio
@abuurayaan3902
@abuurayaan3902 9 месяцев назад
@@abuubakarshabanabuubakar5115 Hehe ATI Abu Muawiyah Salafi Kule Zanzibar na group lake ni kina Bachu Dr Islam na Barahyani ndio safu ya masalafi yenu hiyo mahizbi Wakubwa ALLAH amewafedhehesha Daawa yenu Haina Qabul saii mwanza tena fitna najua munasubiri Abul fadhli ajibu lkn hilo sahau tushabainikiwa na uhizbiya wenu na kushirikiana kwenu na aswari Kwa hiyo sahau
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
​@@abuubakarshabanabuubakar5115kabisaa kaka qassimu mafuta ni hizbu na mtu yeyote mwenye hoja yeye nguvu anamkimbia kamkimbia shekh muawiya Maana alikuwa akimuogopa
@abuufarha6562
@abuufarha6562 2 месяца назад
Mafuta hizbi acheni ushabiki fuatilieni hoja nyie mahzbi
@HajiHaji-r6n
@HajiHaji-r6n 9 месяцев назад
Sheikh Abu muawia endelea kufanya dawa Allah atakulipa ila usimkamie sheikh Qasim mafuta nyiny nyote watu wakubwa .
@AmaniKepa-s9c
@AmaniKepa-s9c 9 месяцев назад
Mche Allah na kuwafananisha watu abuu muwaawiya hawezi kuwa sawa na shekh qassim mafuta abuu Muawiya yupo chini kielim shekh qassim mafuta yupo juu mbali mno na hizo ni fadhila za Allah
@yusuphkhan8963
@yusuphkhan8963 9 месяцев назад
😂😂😂😂 umetumia kipimo gan?
@ramygichero1016
@ramygichero1016 9 месяцев назад
Hawana ukubwa wowote mawahabi ni magaidi tu wavuruga amani wazee wa kujilipua alafu wameshindwa kipigana gaza kumsaidia palestina
@MirajiAli-tq6id
@MirajiAli-tq6id 9 месяцев назад
Sheikhye abu muawia wambiye 1 walendugu zako wamazindde kilekituwa kiliisha wambiye nizima kwa Allah mbona hafundisha ilimu
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
​Hahaha elimu ganiy anayomzidi shekh abuu muawiya rahimahullah acha ushabiki wewee hizbu salaf wa pongwee
@Abutwaibah001
@Abutwaibah001 9 месяцев назад
MADAKHILA WANA KULANA WAO KWA WAO 😂😂😂😂😂😂😂.
@omaridd7356
@omaridd7356 2 месяца назад
Jaahil😂😂😂
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 3 месяца назад
Hili ni hizibi
@abubakarilugina-zw4gt
@abubakarilugina-zw4gt 3 месяца назад
Hilo Bango linajulisha Moja Kwa Moja namna ninyi mahajawira hamna Adabu Kwa mashekh
@AbiyolaSaidi-qe2ku
@AbiyolaSaidi-qe2ku 9 месяцев назад
Kwan huy muawy nd nn
@abubakarilugina-zw4gt
@abubakarilugina-zw4gt 9 месяцев назад
Shekh Abul fadhil Hana muda wa kukujibuni Enyi Hajaawira
@ingodwetrust1852
@ingodwetrust1852 7 месяцев назад
Ndio amtukanie mamake sasa
@amiriadamu5256
@amiriadamu5256 3 месяца назад
Kuwa na adabu😢
@abubakarilugina-zw4gt
@abubakarilugina-zw4gt 3 месяца назад
@@amiriadamu5256 Ninyi Hajaawira ndio hamna adabu Kwa kumkashfu shekh wet Allah amuhifadhi
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
​@@abubakarilugina-zw4gthizbu salaf qassimu mafuta
@abubakarilugina-zw4gt
@abubakarilugina-zw4gt 3 месяца назад
@@HassanHamad-rf9tq Hajaawira
@tanzaniaonmzamiloon8627
@tanzaniaonmzamiloon8627 9 месяцев назад
Kawaida yenu kila mtu nimwanachuoni
@shamsuddin4582
@shamsuddin4582 9 месяцев назад
Ndo nn sas umeongea
@tanzaniaonmzamiloon8627
@tanzaniaonmzamiloon8627 9 месяцев назад
@@shamsuddin4582 yani hakuna mtu kwenu asiekuwa na elim kushinda mwenzake
@abubakarilugina-zw4gt
@abubakarilugina-zw4gt 3 месяца назад
HAJAAWIRA KIPOTE KIPOTEVU KILICHOASISIWA NA SHEKH YAHYA HAJUUR ALLAH AMUONGOZI Midomo yenu inanuka Kwa kuwatukana wanachuoni na ndio msingi wa da'awa yenu....Allah awaongoze eny mahiizbi wa kihajawira
@jailaniramadhan1788
@jailaniramadhan1788 9 месяцев назад
mawahab wapuuuzi tuu
@SirajuChilindo-b4y
@SirajuChilindo-b4y 9 месяцев назад
Ahahhaaah mnafurahisha mawahabi, hii Ni dalili ya kukosa radhi
@JamalAbdallah-m1o
@JamalAbdallah-m1o 9 месяцев назад
Sio Mafuta tu, kwa kawaida mawahabi wote wanakwepa kukutana na maulamaa wa twariqa, alijaribu mtt wa bachu tu na kajikojolea akakimbia
@HajiHaji-r6n
@HajiHaji-r6n 9 месяцев назад
Usemavo ww ila sheikh Qasim mafuta eshafanya minaqasha na wakubwa watatu niwajuao mm ktka masufi ila sio ile minaqasha ya camera.
@أبوثعلبةالزنجباريالشافعي
Sisi hatushangai sana kusema uongo wewe maana ni kawaida kwako, Na ulishawahi kusema kuwa wewe huwezi kuacha uongo maana umerithi kutoka kwa mama yako, Na ukisikiliza tu hayo maneno unabainikiwa kuwa huyu mtu ni muongo na ni maneno yaliokosa adabu na heshima Allah akuongoze
@KhalfanSeif-r7p
@KhalfanSeif-r7p 9 месяцев назад
Wewe chiz maneno matamu haya we unasema ansema uongo pumbav kassim mafuta simpendi ni kibri na na ni ulamaau sssuiiiiiiii
@مبغضالبدع-ع9ص
@مبغضالبدع-ع9ص 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂 mbona hasira kaka??? Alisema kweli yeye ni muongo! Na amerithi uongo kweli...​@@KhalfanSeif-r7p
@AliDaud-si3fg
@AliDaud-si3fg 9 месяцев назад
weka link
@yahyarashid8038
@yahyarashid8038 3 месяца назад
Kaka ukijuwa kama ulio andika ni kweli bas umefaulu na kama ni kwachuki wallahi utaenda kujibu mbele ya Allah na huna jibu rudi kwa Allah umuombe msamaha kabla hujafa
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 3 месяца назад
Wewee ni hizbu salaf ndo mulivyofundishwa na shekh wenuu kusoma uongo
Далее
Blue vs Green Emoji Eating Challenge
00:33
Просмотров 2,3 млн
How to win a argument
9:28
Просмотров 584 тыс.
The 5 Miracles of Istighfar
11:38
Просмотров 178 тыс.