KUKOSA IKHLASW KATIKA DA'WAH NA ELIMU NA KUJIPAMBA NA RIAA' MIONGONI MWENU NDIO MAANGAMIZI MAKUBWA MNAYOKUMBANA NAYO... NYOTE MNATAKIWA MREJEE NYUMA MFANYE TOBA NA KUSIMAMA KATIKA HAKI ALIYOKUJA NAYO MJUMBE WA ALLAAH, VINGINEVYO SUBIRINI SAA'
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Simlaumu sheikh abuu muawiya allah amhifadhi wala sheikh KASSIM allah amhifadhi ila ninachokisema ni kuwa tumche allah kwenye kufanya uadilifu pili tusipende kuvalia njuga maugomvi au maikhtilafu ya wana wa chuoni. Kadhia ukiifatilia uxuri utajua kuwa tumechukuwa maneno juu yasio tuhusu tumeyavaa kama sie ndo wachezaji waislamu wanatakiwa kuwa na insafu kwenye kuziendea kadhia. Nawaombea kheir walimu wangu wote wawili ambao wamefitinika kwenye mfitini huu mkubw
Sisi ndugu zake Abul Fadhwil Ni Akhiy Mohammad Mafuta Vip Huyu adai udugu au Udugu wa Kidini?? halaf sio.lazima kukutana na mtu ww pambana na Uhizb wako
@@OmarAbdalla-ug5yg Mahizb ina maana ya ndani sana ila kwa nje maanake ni Uvyama. na kuna alama zake Mfano Kusema uongo,Umoja usio chunga Aqida zetu,Na mengne kibao kama kipaumbele Kusoma Sekula badala ya Dini na mambo mengi. Au kwa kifup ni Hawa wanaharakat wa Kianswar Sunna wanaojiuta lakin kiukwel Wao ni Answar Bidaa.
Hahaha yaani yaani sheikh Kasimu mafuta akae na abuu muawiya aache kazi ya kusomesha abuu muawiya saizi yoko ni abuu sufiani hassani jamada na abulmudhwafara abdala gamba wakubainishie ujahili wako.
sio hana muda..Hana kauli za wanachuoni za kumfnya azngmze katika hili kma anlo angelijbu tu...Dhulma kaifnya na bado hkumfkia hta kwa mustwi wa kielmu alakhy abuu muawiyah رحمه الله.
Kiongozi wafitina katika wasuna niqasimu mafuta kwajifanya yeye anajua kila kitu au yeye ndio awe kiongozi wakila jambo angoze familia yake au nakabila lake
Siku hizi kila mtu akitaka afahamike basi anamsema Shekh Abulfadhil Qassim Mafuta, ndo mana shekh akiwanyamazia huwa wanaumia sana. Nyinyi fundisheni dini ya Allah kwa ikhrasi kwa kufuata quran na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia basi Allah atawainua
Ss hatumruhusu sheikh wetu Qasim mafuta kukaa na watoto wadogo wenye chuki na hii dawa. Sheikh Abu muawia tunakuomba umuache tna msaidie katika dawa usimuangushe.tunataka muendeshe hii dawa tu salafiyya.
Mbona sheikh kassim mafuta umemuandika qassim mafuta lakin sheikh abuu muawiyyah ameandikwa sheikh abuu muawiyyah kwenye hicho kichwa cha habar .kwani sheikh qassim yeye sio sheikh .Fanyeni uadilifu rekebisheni hapo kama manapenda haqqi.baraka allah fiikum.
Baba umezungumza kweli mana Hawa. Mara wanakupoteza Kwa misimamo ya ovyo lakini tupaki utatubia baadae ila Hawa misimamo Yao utaona kama ni dini hutotubia Bali utaendelea kuwadharau waislam wenzio bure
Bwana shekh qasimu bin mafuta amemdhurumu shekh Abuu mu3wiya hasani ibnu awadh ALLAH amraham .mpaka umauty umemfikia . ALLAH amswamehe na ALLAH amuongoze bwana mafuta kwa chuki zake kwa watu wanaojinasbisha na sunnah
@@abuubakarshabanabuubakar5115 Hehe ATI Abu Muawiyah Salafi Kule Zanzibar na group lake ni kina Bachu Dr Islam na Barahyani ndio safu ya masalafi yenu hiyo mahizbi Wakubwa ALLAH amewafedhehesha Daawa yenu Haina Qabul saii mwanza tena fitna najua munasubiri Abul fadhli ajibu lkn hilo sahau tushabainikiwa na uhizbiya wenu na kushirikiana kwenu na aswari Kwa hiyo sahau
@@abuubakarshabanabuubakar5115kabisaa kaka qassimu mafuta ni hizbu na mtu yeyote mwenye hoja yeye nguvu anamkimbia kamkimbia shekh muawiya Maana alikuwa akimuogopa
Mche Allah na kuwafananisha watu abuu muwaawiya hawezi kuwa sawa na shekh qassim mafuta abuu Muawiya yupo chini kielim shekh qassim mafuta yupo juu mbali mno na hizo ni fadhila za Allah
HAJAAWIRA KIPOTE KIPOTEVU KILICHOASISIWA NA SHEKH YAHYA HAJUUR ALLAH AMUONGOZI Midomo yenu inanuka Kwa kuwatukana wanachuoni na ndio msingi wa da'awa yenu....Allah awaongoze eny mahiizbi wa kihajawira
Sisi hatushangai sana kusema uongo wewe maana ni kawaida kwako, Na ulishawahi kusema kuwa wewe huwezi kuacha uongo maana umerithi kutoka kwa mama yako, Na ukisikiliza tu hayo maneno unabainikiwa kuwa huyu mtu ni muongo na ni maneno yaliokosa adabu na heshima Allah akuongoze
Kaka ukijuwa kama ulio andika ni kweli bas umefaulu na kama ni kwachuki wallahi utaenda kujibu mbele ya Allah na huna jibu rudi kwa Allah umuombe msamaha kabla hujafa