Тёмный

JE YESU NI MUNGU? 

GOSPEL CORNER
Подписаться 6 тыс.
Просмотров 58 тыс.
50% 1

mdahalo uliofanyika tar 1 -2 Maada ikiwa inahusu YESU NI MUNGU?

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 267   
@amaningalla9420
@amaningalla9420 3 месяца назад
Mwalimu Ndacha upo vizuri sana,japo hao ni sikio la kufa.
@JuliusPaul-j8c
@JuliusPaul-j8c 3 месяца назад
Pole kwa wasioelewa maana ukweli ndio huo! Ndacha kaongea ukweli mtupu
@Ntakobajira-o9t
@Ntakobajira-o9t 3 месяца назад
Salamu zangu za dhati kwa nabii wa Bwana Dhacha.
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 2 месяца назад
Viceversa
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 2 месяца назад
Yes
@DhaharaniJongo-gt2un
@DhaharaniJongo-gt2un 2 месяца назад
Yohanna 8:45 Lakini sasa munatafuta kuniua mimi mtu niliyowaambia iliyo kweli nilioyasikia kutoka kwa mungu
@zakariaandrew1314
@zakariaandrew1314 3 месяца назад
Yesu wangu. Yesu wa Nazareth. Ni Mungu Mkuu
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 месяца назад
Hapohapo
@HappyAivan
@HappyAivan 2 месяца назад
Ubalikiwe
@HappyAivan
@HappyAivan 2 месяца назад
Amenii
@PhilipoNjalika
@PhilipoNjalika 3 месяца назад
Mch.Ndanda hakika wewe ni Mwalimu wa neno la mungu na ubarikiwe sana
@magrethherin7110
@magrethherin7110 3 месяца назад
Yesu ni mungu halisi na nuru halisi ni mungu mkuu alie hai
@mwaikoleernest3411
@mwaikoleernest3411 3 месяца назад
heri wewe uliyejariwa
@BarakaMahenge-ry3lq
@BarakaMahenge-ry3lq 2 месяца назад
Barikiwa sana mwalimu na mchungaji Ndacha
@jacksonmunisi9143
@jacksonmunisi9143 3 месяца назад
Ndacha Mungu akubark,nakuombea Sana umujue YESU KRISTO vzr ili akuondoe kwenye kind la wagalatia
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 3 месяца назад
Ndacha wew ni hatari 🎉
@PaulinaMlelwa-pv9fw
@PaulinaMlelwa-pv9fw 3 месяца назад
Amina sana Mungu awabaliki sana 🙏🙏
@YalireAriane-mv9ls
@YalireAriane-mv9ls 2 месяца назад
Yesu ni Mungu kabisa tangu leo nakubali kuokoka nakuitika yesu awe kiongozi wamaisha yangu❤❤
@solomoneglesias9752
@solomoneglesias9752 3 месяца назад
Ni bora tuseme Yesu ni Mungu na tukute si Mungu kuliko tuseme Yesu si Mungu na tukute ni Mungu!!!!
@PhilipobonifacSado
@PhilipobonifacSado 2 месяца назад
Atali sana
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 2 месяца назад
Yote Ni yaleyale. Useme ndiyo wakat sio. Na useme hapana wakat Ni ndiyo.
@Esthermordecai
@Esthermordecai 3 месяца назад
Yesu Kristo ni Mungu wakati amekaa katika kiti cha enzi,ni mwokozi wa ulimwengu alipokuwa katika mwili na akafa msalabani,anakuwa roho mtakatifu aliporudi akiwa katika roho,wote ni mungu moja,jinsi mwanadamu alivyo na mwili,roho na nafsi,flesh,soul and spirit.
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 2 месяца назад
@@Esthermordecai alkalis kiti cha enzi ? Au alikaa upande wa kuume wa Mungu 🤣🤣🤣
@GodfreyMeshack-gy2yt
@GodfreyMeshack-gy2yt 3 месяца назад
Amina mtumishi, ubarikiwe sana.
@daudiazizi8495
@daudiazizi8495 3 месяца назад
Tumuombee sana ndacha Mana anajenga ufalme wa mungu
@jacksonmunisi9143
@jacksonmunisi9143 3 месяца назад
Luka 22:19 Akatwaa mkate,akashukuru,akaumega,,akawapa,akisema,(Huu ndio mwili Wangu unaotolewa kwaajili yenu,fanyeni hivi Kwa ukumbusho wangu
@tonkeijonathan5392
@tonkeijonathan5392 2 месяца назад
Mwalimu ndacha unafundisha watu maandiko vzr mungu akubariki sana
@IshmaelSimon
@IshmaelSimon 3 месяца назад
Very nice! Ipo hivi, ili uwe mtu au binadamu lazma uwe na mwili na roho, na hii ni kutokana na sheria za Mungu mwenyewe, so kimoja kikikosekana maana yake sio binadamu tena. Ni hivyo hivyo kwa Mungu, yeye alie Mungu yu katika Baba na pia yu na Mwana ndani yake, maana ni Neno lake na maana lilikuwepoa na Baba toka mwanzo na Roho wake maana yu ndani ya Mungu mwenyewe. Hivyo huyo Neno alikuwa mwili ili aje awaokoe wanadamu ili arithi na wanadamu pamoja nae.
@byamasumakali2139
@byamasumakali2139 3 месяца назад
Ubarikiwe sana mwalimu Ndacha
@BenMutinda-5757
@BenMutinda-5757 2 месяца назад
Yesu ni mungu bila shaka
@IsmailmhD-ep4qw
@IsmailmhD-ep4qw 2 месяца назад
Usome ndio ujue acha ujinga ya kumfuata shetwani ndacha
@pastoremmanuel6988
@pastoremmanuel6988 2 месяца назад
KWA NINI YESU [NENO] AITWE MWANA WA MUNGU ANGALI NA YEYE NI MUNGU. Bwana YESU asifiwe! Karibu tujifunze pamoja ujumbe huu ambao watu wengi wamechanganyikiwa hata wapo (BAADHI YA WATUMISHI) wamepoteza dira na mwelekeo kufikia kupotosha KANISA LA MUNGU kwa kusema YESU SI MUNGU WALA SI MWANA WA MUNGU. Na zamani walikiri hivyo, ila sasa wamepotea; hii inaonyesha hizi ni siku za mwisho. 1. KWANZA YESU NI NANI, NA KABLA HAJAITWA YESU ALIITWA NANI NA ALIKUWA WAPI? Kabla ya ULIMWENGU kuumbwa na hakukuwepo chochote MUNGU ndiye alikuwepo. Na Musa ndiye aliyepewa "UFUNUO NA MUNGU AU KUFUNULIWA NA MUNGU" kumjua Yeye, maana huwezi kumjua MUNGU mpaka amekufunulia yeye. "UFUNUO" wa Mungu una mipaka. Kile ambacho Mungu ufunua kwetu ni kweli, lakini hajafunua kila kitu. "Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu; 1Wakorintho 13:9. Kitabu cha MWANZO kimeandikwa na Musa. Na aliandika kupita UFUNUO kutoka kwa Mungu maana wakati Mungu anaumba mbingu na Nchi Musa hakuwepo. Kama Musa hakuwepo na katuandikia haya basi hapo tunakiri kwamba "MUNGU UFUNUA SIRI ZAKE KWA WATU WAKE" "Siri ya Bwana iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake. Zaburi 25:14 Hivyo Basi waandishi wote walioandika BIBLIA waliandika wakiongozwa na Roho Mtakatifu. "Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. 2Petro 1:21 Kwahiyo MAANDIKO AU NENO LA MUNGU NI UNABII ULILETWA KWETU KUPITIA WATU ALIOWACHAGUA MUNGU NA KUWAONGOZA KUANDIKA AU KUSEMA KWA MSAADA WA ROHO MTAKATIFU. HAPO MWANZO KABLA YA KUWEPO KUWEPO CHOCHOTE. "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Yohana 1:1, 3. Huu ni "UFUNUO" wa Yohana mwanfunzi wa Yesu aliopewa na Roho Mtakatifu. Musa naye alipewa UFUNUO akaadika haya, "Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Mwanzo 1:1 Kwa mantiki hiyo, unaposoma KITABU CHA MWANZO ujue unasoma "MAFUNUO YA MUNGU" ambayo aliyaachilia kwa Musa ili ayaanadike na watu tumjue Mungu. Sasa tunaanzia hapa. "MUNGU AKASEMA" "Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetuNa tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mwanzo 1:26 Hapo ujue Mungu ameshamaliza UUMBAJI, Sasa angalia anavyoachilia UFUNUO kwa Musa kumuonyesha kwamba hakuwa peke yake, bali alikuwa na ZAIDI YA WANAYE FANANA NAYE. twende Pole pole utaelewa. MUNGU AKASEMA, "Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu" Angalia hilo neno "KWA MFANO WETU NA SURA YETU" SWALI..... MUNGU ALIKUWA NA NANI AMBAYE ANATAKA WAMUUMBE MTU ANAYEFANANA NA WAO? Ebu na wewe jiulize, Si mimi nimesema huo ni "UFUNUO WA MUNGU KWA MUSA" na Musa akaandika ili sisi tujue. MUNGU ALIKUWA NA NANI? Mwingine anaweza kusema alikiwa na malaika, Je, Mungu anafanana na malaika aliowaumba? Jibu ni HAPANA. "Na kwa habari za malaika asema, Afanyaye malaika zake kuwa pepo, Na watumishi wake kuwa miali ya moto. Waebrania 1:7. Referring to the angels He says, [God] Who makes His angels winds and His ministering servants flames of fire; [Ps.104:4.] Hebrews 1:7. JE HAO WANAOFANANA NA MUNGU NI NANI MPAKA WANAPANGA KUSHUKA? "Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao. Mwanzo 11:7 Hii ni habari ya kuhusu watu walipoamua kukaa sehemu moja bila kutawanyika na kuamua kujenga mnara wa Babeli ndipo kikao kikakalika tena mbingu. Wakasema "NA TUSHUKE TUKAWACHAFULIE USEMI" kama alikuwa mmoja kwanini asiseme "NISHUKE NIKWACHAFULIE LUGHA" Musa bado anapewa UFUNUO WA KUMJUA MUNGU. Kwahiyo tuelewe kwamba Mungu hakuwa peke yake. Tunataka tuwajue hao alikuwa nao ni nani na nani? Si ndo maana yake. (Maaana ukipinga bila neno ujue wewe ni mpotoshaji, na unatumiwa na adui maana Neno la Mungu liko wazi kabisa linajitosheleza) Sasa twendelee!! BAADA YA DHAMBI KUINGIA ULIMWENGUNI. Mungu alikuwa anatafuta suluhisho la kumuokoa mwanadamu kwa kumuondoa katika MAUTI iliyoingia kwake kuputia ADAMU NA HAWA. "Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi; Warumi 5:12. NINI KILITUMIKA KUONDOA DHAMBI? Walitumia damu za wanyama, lakini damu hizo HAZIKUFUTA WALA KUONDOA DHAMBI zilipotolewa bado dhambi zilionekana kwa Mungu.. "Kisha kuhani atatwaa katika damu ya hiyo sadaka ya dhambi kwa kidole chake, na kuitia katika pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, nayo damu yake ataimwaga hapo chini ya madhabahu ya kuteketeza. Walawi 4:25. "Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng'ombe waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kuusafisha mwili; Waebrania 9:13 "Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka. Waebrania 10:3. KAMA KULIKUWA NA KUMBUKUMBU YA DHAMBI BASI DAMU HIYO HIKUFAA, MUNGU AKATUFUTA NJIA MPYA. Je katika njia hiyo Mpya ya kutaka kumkomboa MWANDAMU Mungu alipanga nini? ALIPANGA KUJA YEYE MWENYEWE. Sasa yeye mwenyewe anakujaje KUMKOMBOA MWANADAMU? Nijurudishe tulipotoka, "TUMFANYE MTU KWA SURA YETU" Hao ambao walizungumza katika kikao hicho ambao WANAFANANA. (Kumbuka jambo hili "MUNGU HAFANANI NA KITU CHOCHOTE" Kwahiyo Aliposema kwa mfano wetu, KAMA ANA NURU, basi na alionao pia wana NURU, kama ni "ROHO" basi na alionao ni "ROHO" kumbuka huu ni "UFUNUO" Musa aliuandika kutokankwa Mungu. Hivyo kumbuka katika AGANO LA KALE MUNGU HAKUJIFUNUA ZAIDI, KAJA KATIKA AGANO JIPYA. Sasa MUNGU anakujaje duniani kumkomboa Mwanadamu? Mungu anaanza kuachilia UNABII "UFUNUO" kwa watu wake anasema, ANAMPA UFUNUO YEREMIA. "Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng'ombe waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kuusafisha mwili; Waebrania 9:13 Agano hili linahusu "DAMU" ambayo siyo ya wanyama, wala siyo kama yule aipelekaye patakatifu pa patakatifu alivyo mwenye dhambi. Hii "DAMU" inatakiwa isiyo na UCHAFU WOWOTE. na anaye ipeleka asiwe mchafu pia. Sasa wale WANAOFANANA WALIO PAMOJA anatoka mmoja wapo ili aje ULIMWENGUNI. Kikao kikaklika ili sasa kutafuta "MWILI" aingie humo ili awe MWANADAMU aje kukabiliana na dhambi kupitia MWILI WAKE. Wakamuona MARIAMU ambaye hajawahi kukutana na mwanaume yeyote. Hapo ndipo mpango unaanza wa kuja kwa "HUYO ALIYEKUWA NA MUNGU KABLA YA ULIMWENGU KUWEPO AMBAYE ANA ASILI MOJA NA MUNGU" Unapozungmza ASILI maana yake chanzo chake ni kimoja, alikuwepo, yupo na atakuwepo. MFANO. Mwanadamu (mtu) ili akamilike lazima awe na ROHO, NAFSI NA MWILI. vinapoungana hivi vitatu ndipo anapatikana MTU. Kwahiyo kama alivyo MTU ni mmoja ana ROHO,NAFSI, NA MWILI ndivyo na MUNGU alivyo. TANGAZO LINATOLEWA. "Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Luka 1:30-31 TUKUMBUKE UFUNUO WA NABII ISAYA ALIOPEWA NA MUNGU KUUSEMA KUHUSU MTOTO ANAYEZALIWA. "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani. Isaya 9:6. SASA TUANGALIE SIFA ZA HUYU MTOTO. 1.UWEZA WA KIFALME UTAKUWA MABEGANI MWAKE. 2.MSHAURI WA AJABU. 3.MUNGU MWENYE NGUVU. 4.BABA WA MILELE. Sasa Nabii isaya ANAFUNULIWA juu ya huyu mtoto jinsi alivyo. Ukiona sifa zote hizote ni sifa za MUNGU. Hapo ndipo tunarudi kule tuloktoka "KWA MFANO WETU NA SURA YETU" Kwahiyo huyo mtoto ana ASILI ya MFALME, MSHAURI, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE. Na asili hizo ndizo anazo Mungu. MUNGU huyu ana majina mengi na amejifunua kwa watu na kujitambulisha kwa majina yake. (Ukiyataka nionbe inbox nakutumia) YESU alipozaliwa na kupewa jina hilo "YESU" lenye maana yab"YEHOVA ANAOKOA" alikuwa anaitwa "NENO" NENO ANAVAA MWILI WA MWANADAMU. "Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli. Yohana 1:14 Kwahiyo jina la YESU ni jina la MUNGU maana ndiye anaitwa JEHOVA. "amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao. Waebrania 1:4 Angalia hilo neno "JINA ALILOLIRITHI" Kwa mantaki hiye NENO aliyekuwepo tangu mwanzo anapewa jina la YESU maana yake JEHOVA ANAOKOA. KWA NINI ANAITWA MWANA WA MUNGU Kwa sababu "Amezaliwa" alijushusha kama hana UTUKUFU WOWOTE akakubari kuwa kama mwanadamu, lakini wakati huo yeye ni NENO aliyekuwako pamoja na Mungu mwenye U-UNGU mmoja na Mungu. WALIOISHI NA YESU NA KUMSIKIA NA KUTEMBEA NAYE (WANAFUNZI) YESU ALIKUWA AKIJIFUNUA POLEPOLE. Yesu hakutaka kuwaambia kwa uwazi kwamba yeye ni "MUNGU" ambaye ni ASILI moja na MUNGU aliyejifunua kwa MUSA, ELIYA, ELISHA, IBRAHIMU, DANIELI, EZEKIELI, NK. Yesu alipokuwa akiwaambia MUNGU ni "BABA YANGU" maana yake alikuwa amejinyenyekeza sana kama mwanadamu kuonyesha utiifu. Mtume Paulo alipewa "UFUNUO" na kuandika. "ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; Wafilipi 2:6. Maana ya hili neno "naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho" Maana yake, KWA NAMNA YA ALIVYOKUWA KAMA MWANADAMU, NA AKAISHI DUNIANI NA KUUVAA MWILI HAKUTAKA KUNG'ANG'ANIA ASILI YAKE YA UUNGU KUWA NAYO DUNIANI ILI KUFANANA NA MUNGU ALIVYO HUKO MBINGUNI NA YEYE AWE HIVYO DUNIANI" NITAENDELE.. Endelea kufuatalia mpaka mwisho. Ubarkiwe.
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 Месяц назад
Yesu Mungu alikufa.Alilala.Alitahiriwa.Alienda choo.Alizaliwa na Maryam.Aliona Njaa
@KipkorirKitur
@KipkorirKitur 3 месяца назад
I really agree with pastor ndacha. When you read bible in the book of John, the bible says that in the beginning was the word, (jesus), and the word was with God, and the word was God.
@JamesKanyenda-y9y
@JamesKanyenda-y9y 3 месяца назад
Ndana waisilamu Awana elimu Ya kiroho.utapanda shida BURE.awaezi kukuelewa waache waende janamu.mungu Huwa ana asala
@PierreHeriIlungu-ks1mr
@PierreHeriIlungu-ks1mr 2 месяца назад
Yani mwalimu Upo vizuri Sana kweli MUNGU akubariki Sana 🙏🙏
@IngianaelMshana
@IngianaelMshana 3 месяца назад
Hakika mtumishi uko vizuri barikiwa na Bwana
@Genie-h9x
@Genie-h9x 2 месяца назад
Yesu ni Mungu hakika❤❤❤
@NoelMwita
@NoelMwita 3 месяца назад
YESU NI MUNGU
@MalaikaKabekenga
@MalaikaKabekenga 2 месяца назад
Ameeen. YESU ni mwana wa MUNGU hivyo ni MUNGU. Kama ilivyo mtoto wa mtu ni mtu na mtoto wa mbwa naye ni mbwa. Jesus is GOD
@elishampoki8751
@elishampoki8751 3 месяца назад
Mtumishi hakika wewe umenikuna moyo wangu mno maana unaipiga roho ya mpinga kristo kwa neno ,Asie mjua Yesu kristo yupo chini ya rana, Jina lake Mungu ni Yesu kristo,
@magrethherin7110
@magrethherin7110 3 месяца назад
Yesu ni mungu
@PeterNganga-v3q
@PeterNganga-v3q 2 месяца назад
Yesu Ni Mungu
@denismugisha2
@denismugisha2 3 месяца назад
Tangu Yesu alisema mimi niko alikuwa amejitambulisha yeye ni MUNGU Rudi kwa Musa alipomuuliza MUNGU wakiniuliza huyo aliyekutuma ututoe misri ni nani? MUNGU akasema waambie mimi NIKO ambaye NIKO amenituma na alipowaambia hivo hawakubisha Na sasa Yesu mwenyewe anasema kabla ya Ibrahimu mimi NIKO Hapo mwenye akili na ajue
@SnhZjhz
@SnhZjhz 3 месяца назад
Kabisa umenena vyema Yesu ni Mungu
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 2 месяца назад
Yesu ni Mungu mwenye nguvu,mshauri wa ajabu,baba wa milele mfalme wa amani isaya 1:6
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 2 месяца назад
Tunataka kujua maana sio andiko
@bakarikimaiyo8634
@bakarikimaiyo8634 2 месяца назад
Na mama yake ni nani
@mgejamasanja3427
@mgejamasanja3427 2 месяца назад
Ubarikiwe
@heavens9451
@heavens9451 2 месяца назад
This Tv Channel I recommend it 100%.. It's take high quality Videos.. and very Clean Voice.... Naomba muwe mna Tuma mada live... Congratulations 👏👏👏👏👏👏
@hosianaeliud243
@hosianaeliud243 3 месяца назад
Uko sawa mtumishi ata mmi nimefunguka leo kama Yesu ni mwana wa Mungu yye ataitwa Nani na uyu mwana akuagi hadi leo na kwann hilo jina limanguvu linaweza kubadilisha kila kitu....kwa maan hiyo YESU ni MUNGU
@SAMG.a.k.aMAFWERE-eq4tq
@SAMG.a.k.aMAFWERE-eq4tq 2 месяца назад
Hosiana your right my frnd
@MichealNdahiza
@MichealNdahiza 2 месяца назад
Asante sanaaaa mushungaji❤❤❤🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@MossesMeleji
@MossesMeleji 2 месяца назад
Kweli waisilamu msipo batizwa kwa jina la YESU mtapotea kabsa
@benedictbuberwa3943
@benedictbuberwa3943 2 месяца назад
Mwalimu Ndacha uko vizuri sana
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 месяца назад
Tena kama hukumu kubwa.mwanadamu.atahukumiwa.kukataa kuwa yesu sio.Mungu nabii isaya anasema jina.lake.imanueli Mungu pamoja.na wanadamu yesu kwa wanadamu ni Mungu .tusimkosee Mungu wanadamu tusome sana vitabu
@Yekonia-f5o
@Yekonia-f5o 2 месяца назад
Barikiwa mtumishi wa Bwana
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 2 месяца назад
KWa hapa hapana maana anatupa maandish sio maana.
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 2 месяца назад
Nataka jibu, ilikuwaje yesu kama ni mungu ajalibiwe na shetani na kuahidiwa ulimwengu na vilivyomo wkt vyote vimeumbwa na mungu
@o-zonegrafix5780
@o-zonegrafix5780 2 месяца назад
Na jibu lake alilotoa unalijua
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 2 месяца назад
Hana jibu huyo bendera fuata upepo
@alexdaniel7985
@alexdaniel7985 2 месяца назад
Amen Yesu ni njia ya uzima na kweli.
@alexdaniel7985
@alexdaniel7985 2 месяца назад
Amen Yesu ni njia ya uzima na kweli.
@alexmayemba8606
@alexmayemba8606 3 месяца назад
Yesu ni mungu hakika
@KasyokaKimanzi-pf2wp
@KasyokaKimanzi-pf2wp 2 месяца назад
Wewe mwalimu kama sio roho wa mungu amekujiabia hao waslamu ni wanafiki sana lakini ashukuriwe mungu amekupa hekima ya kuwakomesha yesu ni mungu real si wakubahatishsa mhukumu wa ulimwengu
@StivenKabagambe-r8r
@StivenKabagambe-r8r 2 месяца назад
Unasema kwali wasikie kweli hiyo il wawekwe huru kwa sababu wamepotea hawana uzima hawa Mungu akubariki
@aminiahmad-i9q
@aminiahmad-i9q 2 месяца назад
Shida ni kua kuna magugu yesu alitoa mfano katikà bibila mapasta wengi hawaja fahamu magugu hayo. Poleni sana
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 3 месяца назад
Wakristo hacheni ushabiki Yesu siyo Mungu ni binadamu kama binadamu wengine
@petergoyandi5699
@petergoyandi5699 3 месяца назад
Rudi shule kwanza umjue yesu mana naona. Unamjua yesu kipengele tu ila humjui
@marygoretysenga1119
@marygoretysenga1119 2 месяца назад
Jameni una maskio na macho na huoni wala husikii .hata kusoma huwezi.yesu ni mungu...atakuwa mungu nyakati zote.....ukubali wala usikubali haijalishi.
@augustabisetsa5007
@augustabisetsa5007 2 месяца назад
Pole YESU ni MUNGU,,
@daniellourencojaime
@daniellourencojaime 2 месяца назад
Watu wanaongueia KATIKA rhoo sio ubinadamu âmbayo wewe unajua
@gracengahygracengahy2063
@gracengahygracengahy2063 2 месяца назад
😂😂😂😂Yesu ni Mungu mkuu 🙌🙌🙏👋🔥🙏🙏
@Confused3DModel-wg1jy
@Confused3DModel-wg1jy 2 месяца назад
Yesu ni mungu bila kubigwa
@edwardasumwisye3010
@edwardasumwisye3010 2 месяца назад
YESU NI MUNGU
@PetroAbel-ws9nv
@PetroAbel-ws9nv 2 месяца назад
Nakupendaga bule mwalim ishi sana uponye wengi.
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 3 месяца назад
Yesu si Mungu
@nkombejonathan2858
@nkombejonathan2858 2 месяца назад
Mungu ni mmoja hana nafsi tatu ana nafsi moja kwa kuwa ni mmoja tu. Mitume wote waliamini na kufundisha kuwa Mungu ni Baba wa Yesu Kristo. Mathayo 16:13-17 Yesu alimwambia Petro kuwa nini lake ulikuwa ufunuo wa Mungu kwake! Yohana alipoandika 1:1-1 Hapo mwanzo, ni mwanzo upi? Marko 1:1 Marko anaandika pia Mwanzo, Mwanzo upi ni mwanzo wa Injili ya Yesu Kristo! Wasiofahamu maandiko hufikiri ni mwanzo wa uumbaji lakini ni Mwanzo wa Injili. Yesu alipofufuka alimwambia Mariamu Magdalena aende awaambie wanafunzi wake kuwa anakwenda kwa Mungu ambaye ni Mungu wao na anakwenda kwa Baba ambaye ni Baba yao. Yohana 20:15-17 Yohana anaanza kwa kuandika hapo mwanzo 1:1 Hatimaye anahitimisha kazi yake ya uandishi akimtaja Yesu kuwa ndiye Kristo Mwana wa Mungu na ukiamini utapata uzima kwa Jina lake 20:30-31 Kama hauamini kuwa Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu hauna uzima!
@elijahotungu5510
@elijahotungu5510 3 месяца назад
Amen mtumishi wa mungu
@nkombejonathan2858
@nkombejonathan2858 2 месяца назад
Yesu siyo Mungu , kwa kuwa kuzaliwa kwake kulitabiriwa hivi: Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu. Malaika alimwambia Mariamu kuwa Atalanta mimba kwa uweza wa Mungu, na Jina la mtoto atamwita Yesu , naye atakuwa ni Mwana wa aliye juu! Luka 1:26-27,30-32 Kama Yesu ni Mungu ni dhahiri kuwa huyo Yesu wenu ambaye ni Mungu hakuzaliwa na Mariamu ! Kama Yesu ni Mungu basi malaika Gabrieli ni mwongo na alimdanganya Mariamu?
@julioclememtejumbe2719
@julioclememtejumbe2719 3 месяца назад
Jesus Cristo é verdadeiro Deus
@lukazakayaMlaiza-e5k
@lukazakayaMlaiza-e5k 2 месяца назад
huyu ndacha anatupigania sis wakiristo napenda
@aminiahmad-i9q
@aminiahmad-i9q 2 месяца назад
Mara katika mada nyengine unasema yesu ni mwana wa mungu dacha uweleweke vipi wadanganya wakiristo
@jorgitolucasbaluth8903
@jorgitolucasbaluth8903 Месяц назад
Uyu Ncha anaongozwa na Togo Mtakatifu
@mwamangashauri7645
@mwamangashauri7645 2 месяца назад
Yesu ni Mungu na naamini hivyo na hakuna atakaye nigeuza kuamini hili
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад
JAMANI NAOMBA NIWAHABARISHE kidogo kuwa NDACHA ALIMALIZA DARASALA SABA TU WAKTI SULE NI PHD HOLDER .Kwahiyo NDACHA ANAONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU wakati DR.Sule anaongozwa na akili zake tu.Mubarikiwe kwa kunielewa
@evodiusbahegwa6557
@evodiusbahegwa6557 3 месяца назад
PHD holder wa wapi,ni dokta wa mitishamba ya kisuna.
@evodiusbahegwa6557
@evodiusbahegwa6557 3 месяца назад
PHD holder wa wapi,ni dokta wa mitishamba ya kisuna.
@BarakaMahenge-ry3lq
@BarakaMahenge-ry3lq 2 месяца назад
Waelimishe, ndugu zetu sio waelewa, Siri ya Quroan ilinukuliwa toma kwenye Biblia Takatifu
@Suleiman-p5d
@Suleiman-p5d 3 месяца назад
YESU SIO MUNGU YOHANA 17:3 NA 8:40 YOHANA
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 Месяц назад
17 :3 hii zidi nayo Mpaka 5 kieleweke kweli kweli eti yesu ni mwana wa mungu
@nancyisoyi8164
@nancyisoyi8164 3 месяца назад
YESU NI MUNGU🙏🏾 YESU NI BWANA🙏🏾
@ChristianEinstein-t2j
@ChristianEinstein-t2j 2 месяца назад
Msimamo wa ndacha ni kuwa yesu ni Mungu kwa asili yake kwakuwa mwana wa mwanadam ni mwanadam na mwana wa Mungu ni Mungu kwa asili , kwahiyo yesu kristo ni mwana wa Mungu
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 2 месяца назад
@@ChristianEinstein-t2j kama mama wa yesu ni binadamu basi hata.yeye ni binadamu tu. Very simple
@peteraswani9865
@peteraswani9865 2 месяца назад
Teacher. ndacha well well sir.
@clewis520
@clewis520 2 месяца назад
Yeshua siye Yesu.
@SamsonLemanya
@SamsonLemanya 3 месяца назад
Mwalimu vizuri sana
@nkombejonathan2858
@nkombejonathan2858 2 месяца назад
Kama Yesu angekuwa Mungu ni nani mwanadamu angekuwa mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu? 1 Tim 2:5
@VictoriaCharles-r6y
@VictoriaCharles-r6y 3 месяца назад
Yesu ni mwana wa Muñgu
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 3 месяца назад
😂 ... Jitahidini Mumalize Tofauti zenu .. Mnatuvuruga, YESU ni Mungu au Ni Mwana wa Mungu..!??
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 2 месяца назад
Yesuni mtume
@YesbodyJeremiah
@YesbodyJeremiah 3 месяца назад
Very nice
@Babavicktoria
@Babavicktoria 2 месяца назад
Yesu mwenyewe anasema yeye ni mwana wa Mungu
@Joycejerad
@Joycejerad 2 месяца назад
Eti wanatuita sisi makafiri......mm huwa nacheka sana 😂😂😂😂😂
@JamesMgaya
@JamesMgaya 2 месяца назад
Siku zote nasemaga utofauti wa mkristo na muislam ni huu hapa, WAKRISTO WAMEPEWA MAMLAKA NA MUNGU YA KUMTIMUA SHETANI, lakini WAISLAM MAMLAKA HII HAWANA
@AyubuIkaku
@AyubuIkaku 3 месяца назад
Wakristo mtumie akili, Yesu sio Mungu, hamna Mwenyezimungu mmoja na wa kweli anayezaliwa na mwanadamu.
@shammhagama2527
@shammhagama2527 3 месяца назад
Yesu ni Mungu wa kweli
@Fedrick-jb8xb
@Fedrick-jb8xb 3 месяца назад
Ndacha mungu akubariki
@AnithaRiwa
@AnithaRiwa 3 месяца назад
Hivyo yesuu si . Munguu
@aminiahmad-i9q
@aminiahmad-i9q 2 месяца назад
Aiiiiii quran waifasiri vibaya sana ndacha anekufasiria anakudanganya
@mwaikoleernest3411
@mwaikoleernest3411 3 месяца назад
Yesu ni Mungu milele
@jacksonmunisi9143
@jacksonmunisi9143 3 месяца назад
Shida mlyonayo hamtaki mafundisho Ya YESU KRISTO
@aminiahmad-i9q
@aminiahmad-i9q 2 месяца назад
Bibilia inasema mungu nimmoja na pale yesu anasema mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha wamekua mungu wanganui mbona ua changanya wakiristo yesu yeye amesema katika bibila ametumwa je kama yeye ni mungu ametumwa na nani? Na maandiko yanayo sema yesyu ni mungu ni watu wamesema, yesu hajakubali hata andiko moja kua yeye ni mungu
@SamsongimongeMairi-ih1jr
@SamsongimongeMairi-ih1jr 3 месяца назад
Amen 🙏
@johnwabulasa2085
@johnwabulasa2085 3 месяца назад
Siyo jambo la kubishia,Yesu ni Mungu
@BenJohnson-es4go
@BenJohnson-es4go 3 месяца назад
Ndacha10 sule 1
@MossesMeleji
@MossesMeleji 2 месяца назад
Sule anahitaji kufundishwa viziri maana atakuja kubatizwa pamoja na waisilamu wote
@ViniciusOfficialtz
@ViniciusOfficialtz 3 месяца назад
Yesu siyo Mungu bali ni mwana wa Mungu,
@jameskilasa759
@jameskilasa759 2 месяца назад
Nikuulize mtoto wa boss wako sio boss wako?
@jameskilasa759
@jameskilasa759 2 месяца назад
Unavyomuheshim baba muheshim na mwana hivyo hivyo
@jameskilasa759
@jameskilasa759 2 месяца назад
Mtoto wa boss ni boss wako ndio maana boss akifa urithi kwa mwana na sio kwako
@pastormalitiushuhuda9965
@pastormalitiushuhuda9965 2 месяца назад
HAKIKA MTUMISHI WA MUNGU MUNGU AKULINDE SANA, NA AKUBARIKI SANA.
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 3 месяца назад
Ndiyo maana sisi wasomi na watafiti wa Maandiko Tunasema Yesu ni Mungu %100 ni Mwanadamu,,Sababu za kuwa Mungu ni Katika Roho ni baba wa Milele, na Katika mwili ni mwanadamu,Ndo Kule kuchukuliana na sisi Ebrania415
@DodomaTanzania-r5z
@DodomaTanzania-r5z 3 месяца назад
Wasabato pia wanashabihiana na waisram maana mambo mengi ya agano la kale wanayatukuza pasina kumtukuza mwenyez mungu
@ellymakongo656
@ellymakongo656 3 месяца назад
Hivi unaejua hivyo huyo anaefundisha hapo ni tunda la wasabato?
@ErickSaidi-ib7mz
@ErickSaidi-ib7mz 3 месяца назад
Yesu anasifa la mungu baba yake
@yohanakereri5999
@yohanakereri5999 2 месяца назад
Mzee wa upako naye achukue somo humu
@JeremiahKausi
@JeremiahKausi 2 месяца назад
YESU ni MUNGU hakika
@DanielMartins-th4z
@DanielMartins-th4z 3 месяца назад
@rabecamapunda6389
@rabecamapunda6389 3 месяца назад
YESU NI MUNGU MKUU, MAANDIKO YANASEMA
@alphoncenyalali2455
@alphoncenyalali2455 3 месяца назад
Mzee wa upako kakurupuka kusema yesu sio Mungu...sjui anasoma biblia gan yn...hajui kama mwana wa Mbuz ni mbuz? Hvyo mwana wa Mungu ni Mungu....Yesu anaitw Mungu mwenye nguvu ..soma Isaya 9.6
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 2 месяца назад
Mwana wa Mungu ndo Mungu? Mtumishi tupe maana
@aminiahmad-i9q
@aminiahmad-i9q 2 месяца назад
Hilo ni giza totoro ndacha unahitaji milika mwizi ndio uone
@SalomeSalama
@SalomeSalama 3 месяца назад
Mchungaji Hao WaPo katika Giza yesu Kristo Ni mungu wakweli
Далее
ETI YESU NI MUISLAM?
29:13
Просмотров 10 тыс.
NDACHA : JE MAJINI NI WA UKRISTO AU UISLAMU? #MDAHALO
23:43
Лучше одной, чем с такими
00:54
Просмотров 942 тыс.
Вопрос Ребром - Серго
43:16
Просмотров 1,7 млн
JE UNAMJUA YESU? | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
1:16:32
YESU ALIKUFA MCH FRANCIS NDACHA.
22:31
Просмотров 8 тыс.
YESU NI MUNGU AJE?
46:11
Просмотров 8 тыс.
MATUKIO YA KIMUNGU KATIKA MAISHA YAKO
49:34
Просмотров 26 тыс.
SOMO: NINI MAANA YA UNYAKUO BY MCH ABIUD MISHOLI
1:10:41
Je Mungu BABA ni nani?
2:07:10
Просмотров 6 тыс.
Лучше одной, чем с такими
00:54
Просмотров 942 тыс.