Тёмный
No video :(

JEAN CHARLES AHOUA SKILLS AND GOALS USAJILI WA SIMBA 2024-2025 

Klik Hapa TV
Подписаться 10 тыс.
Просмотров 48 тыс.
50% 1

JEAN CHARLES AHOUA SKILLS AND GOALS USAJILI WA SIMBA 2024-2025, JEAN CHARLES AHOUA CV, JEAN CHARLES AHOUA SKILLS, JEAN CHARLES AHOUA GOALS, JEAN CHARLES AHOUA HIGHLIGHTS, JEAN CHARLES AHOUA MAGOLI, MAGOLI YA JEAN CHARLES AHOUA , UWEZO WA JEAN CHARLES AHOUA ,Jean Charles Ahoua (Stella Adjame) Stats, AHOUA CHARLES SKILLS, CHARLES AHOUA SKILLS, MCHEZAJI MPYA SIMBA JEAN CHARLES AHOUA

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 92   
@BlessingMwakasoke
@BlessingMwakasoke Месяц назад
Jamaa n mzuri kwenye suala Zima la kuasisst ana jicho la kimidfielder sanaa tupate tu mastriker wazur jamaa Yuko poa na aina yake y uchezaj n tofaut na chama ana uchezaj kama wapakome kwa hii clip nilioona japo pia clip haitoshi kusema n Bora au laaa
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Umenena mzee
@user-px1gd4de7k
@user-px1gd4de7k Месяц назад
Ligi ya bongo ya kawaida Sana ni ya vilabu 3 ndio vyenye ushindani Dogo atawatia aibu mtalala ndani wiki tulutane ngao ya jamii to me Sijawahi kuangushwa na usajiri wa Cretus Magori
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Tusubirie Ligi Ianze au Siyo?
@Salum-ij6mg
@Salum-ij6mg Месяц назад
Tulutane ndo nn
@hizzomaplan1409
@hizzomaplan1409 Месяц назад
Unafuatilia kila mchezaj anaesajiliwa Simba dalili ya uoga
@user-nm1jh3dy9n
@user-nm1jh3dy9n Месяц назад
Kazungukwa na Nan mzeee
@JohnJoseph-te2kv
@JohnJoseph-te2kv Месяц назад
​@@hizzomaplan1409we tahila
@EliasCosmas-qp6gn
@EliasCosmas-qp6gn Месяц назад
MUNGU ampe Lais wa heshima maisha marefu na afya njema🙏❤
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Umemkubali kijana?
@Mariampaul-me7qo
@Mariampaul-me7qo Месяц назад
Wakawaida aisee mutale na mkwala Agostini Akajepha na Valentine Nouma ndo watu wa maaana🎉🎉🎉🎉🎉
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Tusubirie mambo uwanjani
@AletasMbawala-si5kj
@AletasMbawala-si5kj Месяц назад
Mtu wa maana huyu 💪🦁🙏
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
sawa sawa
@user-tn5zr5lu4r
@user-tn5zr5lu4r Месяц назад
Msije tukana matusi ligi ikianza😅😅😅
@AlphaOmega-c2y
@AlphaOmega-c2y Месяц назад
Anafaaa kabs huy tuwaombee munguu
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
sawa
@silvanuskisinza4303
@silvanuskisinza4303 Месяц назад
Simba na vibweka vya usajli, kama kawaida kuchamba kwingi.
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
@raymondswed7358
@raymondswed7358 Месяц назад
Kwa kweli hapa tumepigwa na kitu kizito. Ni afadhali hata na Mutale kidogo sio huyu😂😂😂😂😂
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
@jumamangombe6493
@jumamangombe6493 Месяц назад
Wew ni mpumbavu
@ZakariaSimon-gp1gr
@ZakariaSimon-gp1gr Месяц назад
❤❤ nguvu Moja Kijana Wa kazi
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Tusubirie ligi ianze sasa
@PROPHETPCANTENA
@PROPHETPCANTENA Месяц назад
Tayaalii
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
safi
@wiseproent8661
@wiseproent8661 Месяц назад
Wa Kawaida saana
@asnahemily6321
@asnahemily6321 Месяц назад
Sema ukweli hata kama unaumia mzee 😅😅😅😅😅😅
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
@petertv1578
@petertv1578 Месяц назад
Ata akiwa wa kawaida wakwetu
@patrickkilongo3214
@patrickkilongo3214 Месяц назад
Hamna mchezaji umu ,,,, huyu ligi ya apa bongo lazima afeli
@user-xx3tu3cm8g
@user-xx3tu3cm8g Месяц назад
Sawa mganga
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Hahaha kwamba amegeuka Mganga
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx Месяц назад
Baadae mnamtaka mnafanya nasherehe majini fc mnashida
@salummahamud355
@salummahamud355 Месяц назад
Kama we ni utopolo tulitarajia kusema hayo😊😊
@taseleli9181
@taseleli9181 Месяц назад
Wapiga ramli wameshaanza duuu😂😂😂
@HarithAlyhamadi
@HarithAlyhamadi Месяц назад
Mim sjaona laa jabu kwa huyu niwale wale Akina Jobe t
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
@yassirkhamiss2895
@yassirkhamiss2895 Месяц назад
Hii ni mali
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Simba wamepania Round Hii
@francykahabi6289
@francykahabi6289 Месяц назад
Mali saana mangungu funding saan atakua kahuzikaa😂😂😂
@francykahabi6289
@francykahabi6289 Месяц назад
Wajingaa kweli nyinyi na makombe mtaishia kuyasikia tuu kwenye bomba ety huyu ndo wanawadanganya in mbadala wa chama 😂😂😂😂,,Yaani makombe mpaka Samia atoke madarakani washenzi nyinyi
@WILLIAMPETROSHIGUME
@WILLIAMPETROSHIGUME Месяц назад
Hamna mchezaji humo tujidae kisokolojia
@omarimbega
@omarimbega Месяц назад
Sawa mungu
@jumamangombe6493
@jumamangombe6493 Месяц назад
Kusoma na kuandika hujui ndo utamjua mchezaji? Pimbi wewe
@MohamedYahya-dd3vm
@MohamedYahya-dd3vm Месяц назад
Normal player bora asajiliwe kinzumbi
@user-yb8pk6cv7f
@user-yb8pk6cv7f Месяц назад
Huyu mchezaji wa ndondo cup
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
@user-lh9gi4eg1r
@user-lh9gi4eg1r Месяц назад
Boss hapo umetudanganya hakuna mchezaji hapo
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Subiria kazi uwanjani
@salumkhamis2994
@salumkhamis2994 Месяц назад
Apa hmn ki2
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
@HabibuMuhunzi
@HabibuMuhunzi Месяц назад
KItu ambacho nakipenda ni bado kabwana mdogo xn
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
bado mdogo kabisa
@user-jy1wm8do8w
@user-jy1wm8do8w Месяц назад
Hii mali ikipta kocha mzur ina fighting sprit
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Ngoja Tusubirie Ligi Ianze
@FurahaMwankina-k1f
@FurahaMwankina-k1f Месяц назад
No skills 😂😂😂apa kazi anayo ya kutuaminisha kama anaweza ila kama hzi ndo clip zake bora hapana kwa kweli
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Kwahiyo haujampitisha?
@seifalislam8206
@seifalislam8206 Месяц назад
Yaccouba sogne aliechangamka
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
hahaha
@user-tn5zr5lu4r
@user-tn5zr5lu4r Месяц назад
Huyu na karabaka bora karabaka
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
kwanini hahaha
@madenyahaya7937
@madenyahaya7937 Месяц назад
Mtu na nusu
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
sawa sawa
@user-nm1jh3dy9n
@user-nm1jh3dy9n Месяц назад
Soccer nyie hahahahah
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
limefanya nini
@eliudmbange2278
@eliudmbange2278 Месяц назад
Dah tumepigwa
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
@user-od6qy7us9e
@user-od6qy7us9e Месяц назад
Hamna kitu apa
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
@AllyKilumbi
@AllyKilumbi Месяц назад
Normal player
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Ni MVP ligi ya Ivory Coast Kumbuka
@user-se9mj1sz6r
@user-se9mj1sz6r Месяц назад
hapa naona kama tumepigwa iv
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
@raymondswed7358
@raymondswed7358 Месяц назад
WACHEZAJI WANAOENDANA NA KOMBE LENYEWE LA LOSERS😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
Kwahiyo umegoma Kumpitisha?
@i.dclassic116
@i.dclassic116 Месяц назад
Mm simba ila humu hakuna kitu
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
@@i.dclassic116 Kwanini unaona hamna kitu
@hgki313
@hgki313 Месяц назад
Mfuatilie akili yako itakua
@PlatPanky
@PlatPanky Месяц назад
Kwa Nini ujitambulishe wewe Ni Simba Kwanza inaonyesha wazi sio
@user-gi7tp2mz8b
@user-gi7tp2mz8b Месяц назад
akuna kitu apa tumepgwa
@KlikHapaTV
@KlikHapaTV Месяц назад
@@user-gi7tp2mz8b Kwanini kaka?
@richardmlinga3764
@richardmlinga3764 Месяц назад
kweli hamna mchezaji kabisa humu. Sio wa quality ya kuchezea simba, bora poku
@taseleli9181
@taseleli9181 Месяц назад
​@@richardmlinga3764 kesho msibadilishe maneno
@hgki313
@hgki313 Месяц назад
​@@richardmlinga3764hujamfuatilia ndomaan unaropoka, mchezaj bora Ivory
Далее
NOUMA Valentin
5:51
Просмотров 31 тыс.
🛑самое грустное видео
00:10
Просмотров 164 тыс.
🎙ПОЮ ВЖИВУЮ!
3:17:56
Просмотров 1,5 млн
Elie MPANZU, the CATALYST (skills, goals & more)
5:31
Просмотров 136 тыс.