Тёмный

Jenerali Ulimwengu: Sakata la Bandari Limeonesha Tumepoteza Uwezo Kujadiliana kwa Hoja 

The Chanzo
Подписаться 68 тыс.
Просмотров 99 тыс.
50% 1

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 291   
@dominickrukokelwa1284
@dominickrukokelwa1284 Год назад
Unapokosa adabu ukaharibu mali za umma halafu unatarajia umma ukuite majina mazuri. Blessed fool.
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Год назад
Mungu akuweke pema JPM, bila ww.hakuna mazungumzo, yani haupo hado wanagombana na.kivuli chako RIP Mr Magu daima.❤
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 Год назад
Angekuea anatufaa Allah angetuekea kwa muda mrefu ila hakuwa anatufaa ndio maana Allah katuepusha
@harunmanura7900
@harunmanura7900 Год назад
Hata hitra anatajwa kila leo iddi amin hajasahaulika,,,,madicteta hawaachwi kukumbukwa kwa uovu wao
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Год назад
​@@abuumuhammad7133hujui wema hufa haraka wabaya hukaa kusudi watubu ??
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Год назад
​@@harunmanura7900anayemuona dikiteta jpm ana chuki tena mjinga alisema anayekubali mashart ya kuuzwa bandari ni mjinga pekee search utaona
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Год назад
@@harunmanura7900 halafu dikteta aliyezikwa kwa heshima.kubwa duniani haijai tokea ss sijui jyie manguruwe mtatupwa bila kumbukumbu zaidi kusiwa wizi na udhalimu
@bullekisimikwe3852
@bullekisimikwe3852 Год назад
Wewe mwenyewe huwezi kujenga hoja na wala huna hoja, unachokifanya ni kueleza chuki zako na roho mbaya juu ya awamu iliyopita y JPM. Wewe ni mzee wa hovyo sana
@estabauna3604
@estabauna3604 Год назад
Mungu anawaona, unamsema vibaya marehemu kisa hawezi inuka na kujibu. Umri wako na unachokiongea Wala havifanani.
@aishaalbalushaishabalush8291
jinga hilo zee
@chachamwita4687
@chachamwita4687 Год назад
Kama kutumbua ni tusi vp kuhusu inchi zinazowanyonga au kuwapiga risasi wale wanaohujumu uchumi wa nchi zao, kama kutumbua ni tusi kuiba na kuhujumu uchumi sio tusi kwa walipa kodi etiee, hongera sana generali jitafakari. mhujumu uchumi ni mtu mshezi sana ukimwambia yeye ni jipu umemstahi sana kwa sababu alitakiwa kuuwawa kwa nchi za wengine .
@aishaalbalushaishabalush8291
❤❤❤
@albertmallya4192
@albertmallya4192 Год назад
Ndugu bora umeiliona. Na nimefarijika kuona wapo watz wenzangu wanajua ni akina nani ndumi la kuwili
@c75923
@c75923 Год назад
Ni mpumbavu tu (tena alietukuka) anaeweza kufikiria utawala wa JPM ulikuwa “nguvu za giza”
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Год назад
Kumsikiliza Huyu Mzee Lazima Uwe na Akili kubwa...Sana ndo utaelewa!.
@chachamwita4687
@chachamwita4687 Год назад
Nothing to listen from him
@calabash4221
@calabash4221 Год назад
​@@chachamwita4687I totally agree with you...
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Год назад
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
Hana lolote huyo...huwa haungaji Jambo lolote la maendeleo
@annabubelwa4543
@annabubelwa4543 Год назад
@@chachamwita4687yaani limejaa chuki sana
@2FlevaJin
@2FlevaJin Год назад
Mzee ulimwengu nakukubali Sana Una uwezomkubwa wa kutafakari mambo Ila nikuombe kitu mzee Wangu kwauwezo wako waushawishi ishawishi serikali ifute huu mkataba wa Iga maana unakwenda thamani ya utuwetu
@pallangyoemmanuel1633
@pallangyoemmanuel1633 Год назад
Siungi mkono maneno ya bwana TWAHA, UOVU siku zote hauna jina jema, TWAHA anataka kutuaminisha kuwa tuwape sifa njema MAFEDHULI na MAFISI ya nchi yetu.... HAPANA...... HATA KIDOGO!
@nyerere1259
@nyerere1259 Год назад
MAGUFULI MBAYA ILA WAUZAJI NDIO BORA😂😂😂
@geofreydamas1697
@geofreydamas1697 Год назад
Nimemwaunder rate is nothing now is not real J ulimwengu huyo.asali inamuhusu JPM atabaki kupendwa cku zote kwa kile alichofanya
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Год назад
Huyu jamaa sijui alikua na jambo gani na magufuli..!..sijui ni mmoja ya walioishi kama shetani maana mwanzo aliishi kam mfalme..!
@user-fb6dh6sz2g
@user-fb6dh6sz2g Год назад
Muovu aitwe jina linaloendana na maovu yake.
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy Год назад
Magufuli alitufaa Sana
@salcle9702
@salcle9702 Год назад
Ata Syria ilijegwa vizuri ila saivi ipo wapi.nyie piteni na v8 na vingora vingi ila siku moja wajukuu wenu watapata tabu sana
@festohaule9716
@festohaule9716 Год назад
Wajifunze Yanayotojea Afrika Magharibi.. Afrika yote inapaswa kutawaliwa kijeshi..
@adkajisi4536
@adkajisi4536 11 месяцев назад
@@festohaule9716 kauli moja vitu vifanyike.
@jackiegab9394
@jackiegab9394 Год назад
We salute you Mzee Ulimwengu 🤝🤝🤝🙏🙏Spot on kama kawaida yako!!
@salimothmanhoza
@salimothmanhoza Год назад
Haukuwa hivi, umepoteza dira,Bora ukalee TU wajukuu zako,haya mambo waachie akina Mwabukusi,hujui kusoma alama za nyakati
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 Год назад
Huyu jamaa mjinga Sana, nchi hii baada Nyerere n JPM Tutawakumbka sn wameacha Alana kubwa sana
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
Hahahaha,,,JPM huyu muasisi wa kikokotoo kinachowaua wafanyakazi?
@giztony2009
@giztony2009 Год назад
Alama gani ya upendeleo wa chato
@djovitadiyami6085
@djovitadiyami6085 Год назад
TATIZO NI UONGOZI ULIOPOTEZA MWELEKEO.MALENGO YA WENYE MADARAKA IMEKUWA KUPORA RASLIMALI ZA UMMA NA KUJILIMBIKIZIA MALI BARAKA YA KUTUMIKIA NCHI NA WATU WAKE. HALI TULIYONAYO HAIVUMILIKI NDIYO MAANA LUGHA INAYOTUMIKA KUWASEMA VIONGOZI HAINA STAHA KAMA WAO WANAVYOPORA MALI ZA NCHI BILA STAHA. UMMA
@profs.a5412
@profs.a5412 Год назад
Mtu pekee ambae unaweza kuongea nae kwa staha ni yule ambae akifanya kosa , na ukimuonesha Hilo kosa hukili na kujirekebishaa. Ila sio haya majambazi walio Saini mkataba wa kishenzi afu wazunguka kutudanganya wanatuona sisi watz kama hatuna akili, haya sio ya kuongea nayo kwa staha, ni majambazi hayaaa, pumbavu🚶
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Год назад
Wewe unajiona una akili?mbona comment yako yenyewe tu inaonyesha kuwa ni huna uwezo wa kufikiri vizuri?
@aishaalbalushaishabalush8291
❤❤❤❤❤👏👏👏
@masungajp1
@masungajp1 Год назад
It isn't about Magufuli anymore, please. He was a good man.
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 Год назад
I mind the name..."Masunga".
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 Год назад
Ulimwengu has personal beef with Magufuli, he is just one sucker
@abiabi9353
@abiabi9353 Год назад
Magufuli was a beast. He created the culture of fear in our country
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 Год назад
🥲🥲🥲🥲
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 Год назад
@@abiabi9353 before him you had the heart of Samson in you?
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 Год назад
DUH MZEE HUYU..KWAHIYO JIZI LENYEWE KUIBA INAKUWAJE SASA???
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Год назад
WATAWALA TANGU MWANZO WALIWAJENGEA WATANZANIA UOGAA 😢WATANZANIA TUJIFUNZE KUONGEA UKWELI BILA WOOGA
@LumolaSteven
@LumolaSteven Год назад
Dhambi za Nyerere
@silvanus1990blockchain
@silvanus1990blockchain Год назад
Hasa Magufuli alitia fola Kwa kutia hofu wananchi Mungu amkazie huko aliko
@martinkipenya4592
@martinkipenya4592 Год назад
Una bifu na magufuri wetu ndio maana wewe sio mtanzania achana na ujinga wa kishenzi wewe
@juliusakilimali9424
@juliusakilimali9424 8 месяцев назад
Mbona mnaongelea MAJUNGU tu! Magufuli hakuwa mwizi! Huyu mzee anayembeza Magu Mungu anamuona tena Watanzania hawadanganyiki.
@Gideme-wi5vc
@Gideme-wi5vc Год назад
Bwana J. Ulimwengu Kwa Nini akili za wa TZ zimefubaa. 1. Zimesababishwa na laana ya kutoka Kwa Mungu kutoka a tabia za mda mrefu kuongea uwongo au ulaghai kiasi kwamba maarifa ya Wengi yamejengwa katika aina ya maisha yaliyojengwa na utawala wa nchi hii Kwa muda mrefu. Hii ni laana Kwa taifa. 2. Tatizo linguine ni mazoea ya muda mrefu ya wanadini au viongozi wa dini kuigeuza dini kuwa fursa na wanasiasa kutumia tabia zao kugandamiza wananchi. Mfano anasimama na kusema Kila utawala umewekwa na Mungu huu ni upuuzi mkubwa tawala zote duniani zimewekwa na watu na siyo Mungu ila Kwa sababu ya uhuru wa kuchagua ambao Mungu katupa mara nyingi tunaangukia katika tawala za kiibilisi ambazo ukweli huitwa uwongo na uwongo kuitwa ukweli . Vivyo viyo Haki kupindishwa na kuzuiwa kutendeka inapobidi. Hivyo Kwa TZ. Tatizo kubwa ni utawala wa ccm. Penda tusipende. Kwa sababu ya kujimilikisha Kila wazo zuri linatoka kwao na wapinzani ni maadui wa taifa. TUMELAANIWAAAAAA. Tukatubu.
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
Si kweli..hujafanya tafiti...unaposema wa Tz...kuna mashekhe na MAASKOFU....kuna waumini....
@aminielyusufu4351
@aminielyusufu4351 Год назад
Uko sahihi Sawa ni kutubu
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Год назад
Kweli kabisa na Mungu atusaidie
@abuukarata9653
@abuukarata9653 Год назад
Na wewe ni wale wale ccm ya nini tena. Wakati matapishi yako kote.
@mayungarichard7443
@mayungarichard7443 Год назад
Mzee jenerali elewa kuwa Saivi hawafokewi matajiri na mafisadi wanafokewa maskini, fuatilia wakuu wa mikoa hususani dar
@malcomx4067
@malcomx4067 Год назад
Miaka 5 na Bandari vinaemdana wapi? Huyu mzee ni mnafiki
@annabubelwa4543
@annabubelwa4543 Год назад
Mno, amejaa chuki tu
@benjaminsumuni3802
@benjaminsumuni3802 Год назад
Mbona hata wew unatukana bwana
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Год назад
Watanzania wanaumia.
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Год назад
Mzee acheni watu waonywe kiongozi ni nani ni binadam au mnawaendesha ng'ombe hivo mtu anakosoa lakini anatishwa na hizi sio zama za ndio Mzee nayaona mawazo yako lakini Kwa uelewa wangu ulivo mdogo kakuna lugha nzuri Kwa mwizi nawewe lugha ulotumia ni lugha Gani Kaa pembeni nimeuona ushauri wako kwahiyo unataka watu wapigwe Mimi sikuelewi
@lilotz-we7xq
@lilotz-we7xq Год назад
Kukosoa hakukatazwi kinacho katazwa nikumtukana Raisi kumkejeli kukashifu waarabu kwa sababu niwaislamu pia kumkashifu Raisi kwakuwa nimzanzibari umeelewa ?
@abiabi9353
@abiabi9353 Год назад
Hivi kuna waizi Tanzania zaidi ya viongozi wa kanisa katoliki.wao ndo wanaotakiwa waonywe
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Год назад
Sijaielewa sms yako ndugu kama Kuna viongozi wa dini walio wezi na unathibitisha kua viongozi wa kanisa katoliki ni wez toa mfano na thibitisha wachukuliwe hatua za kisheria na viongozi nibinadam kama Mimi na wewe hivo mie sijataja kwamba et kiongozi flani ni mwizi ila unaposhindwa kutetea huja ya msingi na kuwapa watu uhaini ni nani mhaini kwanza ingekua ni Nchi za wenzetu kunawatu wasingekua na kazi zaidi ingekua ni ndani watu wanatetea mambo muhim ya Nchi mwaleta udini na kusema uzanzibar haiko hivo maisha hayaendi hivo wachache wajinufaishe noooo ooo bandarini kunawezi nanikawaweka hao wezii wangewekwa na upinzani wangesema wapinzani waliwaweka Sasa chama tawala hichohicho Tanzania hii sio Ile ya ndio Mzee ukiskiliza wazee wengine wanaongea mambo yasio eleweka tuwatoleee kauli nzuri wezi Kaa pembeni nawe naona tunapotezeana muda
@aishaalbalushaishabalush8291
​@@lilotz-we7xqhivi wewe ulisha fika zanzibar? au kwa hao waarab wanaosema wafrica akili hawana kama vile hawana nwele na rangi ndivo hawana akili hao wazanzibar wanawaita watu wa daar na mikoa mingine wote maqaafir hata waislam wote maqaafir eti watu wabara maqaafir ama hamlioni hilo mnaona tu wanaorudisha kashfa kwenu acheni ujinga wote wanahitajika kuheshimiana msilazimishe heshima itoke upande 1
@karimkassam571
@karimkassam571 Год назад
Hivi hawa wazee hawachoki tu uzushi
@erickcleophas682
@erickcleophas682 Год назад
Mzee huyu ni mnafiki. Siwakusikiliza. Mbona wakati wa Jpm alikuwa mbogo??. Hovyo sana mzee huyu sijui anataka nn?? Mpaka muda huu na umri huu ueleweki. Aisee mungu anawaona.😊
@adammalima3408
@adammalima3408 Год назад
Mzee una chuki na JPM ila hamtashinda! Badala ya kujikita kwenye maada mnapoteza muda! Watanzania tunaelewa
@HenryAnatoly-jg3df
@HenryAnatoly-jg3df Год назад
Naona huyu mzee katumwa mana anazunguka2 mara majibu ni tusi. Je ushenzi ni nini? Nyie ndo walewale mnaukula hii nchi ila sasa wtz wamechoka tena wemekua na uelewa mkubwa, haiwezekan mikopo kl kukicha wawekezaji kl pa hara lkn maisha ndo yanazid kua magumu zaid. Ungea ukwel msema kwel mpenz wa Mungu
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Год назад
Huyu ana chuki na mwenda zake, hana hoja.
@user-jg1vm5tq5w
@user-jg1vm5tq5w Год назад
I am a Kenyan, but I'm not happy with the kind of thing that have happened in our brothers land, leaders must listen to their colleagues before doing anything, Tanzania is a state not a house governed by a father or mother, Africa will never enjoy its independency if our infrastructures are left to the whites to rule😢, Tanzanian leaders! wake up,we are moving forward not backwards.
@jastinmodest8073
@jastinmodest8073 Год назад
Hakuna kitu hapa masikini haelewi kabisa huyu speaker
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 Год назад
Halafu we Mzee usiongee mafumbi unachosema nikumsema Magu kipenzi Cha watu,nainakuuma sana,kwasababu mlitolewa kwenye sistim.
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Год назад
Kipenz Cha we hawez kuwa kipenz Cha baba wa akwilini alimpoteza mtoto kwa ubabe wakae tundu lissu mpk leo mlemavu kisa yy Alphonse mawazo marehem azory gwanda aliwafukuza watumishi wakati waliwaajili wao wenyewe alikuwa mtu wa ovyo mno eti kipenz Chako sio huyu mzee anaakili kuliko ww
@jonasdaniel1025
@jonasdaniel1025 Год назад
Kipenzi chako wewe marehemu mwenzako
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Год назад
Yuko wapi Beni SAA nane hakuna kitu DUNIANI kina thamani kuzidi uhai Bora anaeuza bandari lkn haui watu wacha watu waishi uhai wao wamepewa na MUNGU MWENYE KUICHUKUA MUNGU MAGU ALIMKOSEA SN MUNGU MAMLAKA HUTOKA KWA MUNGU ALIPOKOSEA MUNGU AKANYANG'ANYA MAMLAKA YAKE.
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 Год назад
Sasa ndiyo Nini kutumbua na kishenzi lipi tusi.Uwezo wakuwelewa tunatofautiana na ninamuelewa Kila mtu . mwenye kubwata na mwenye kuongea polepole kwa sababu Mimi daima naangali ujumbe si angalii mfikishaji Wala ufikishaji .Kwa sababu ata chizi Mungu anaweza kumtumia akatoa ujumbe kwa watu.Kama utamwangalia mtoa ujumbe hautojifunza.Usimati wajengo na watu tofauti na kunisaidia Mimi na watu Kama Mimi.Mzee mbinafsi Sana huyu.Nimekuwa nikikufatilia ktk mazungumzo Yako .Wewe Mzee ufai siyo tu ktk serikali kuu ata serikali ya mtaa.Alafu mshamba wa maisha na mazingira pia.
@ichronicpro3081
@ichronicpro3081 Год назад
Mzee hongera sana Kwa SoMo adhimu
@emanuelkamangu6500
@emanuelkamangu6500 Год назад
Safi sana Mzee Ulimwengu
@stonyabdul404
@stonyabdul404 Год назад
wewe jenerali huna jipya wewe ni wale wale una wafundisha ujinga watanzania yaani tuwe na rugha za staha wakati ni nyinyi wachache ndio munao faidika na hii nchi pisha vijana waikomboe nchi staha kwenye familia yako babu hovyo
@DENISGWAGWALA
@DENISGWAGWALA Год назад
Huyu Mzee mjinga Sana yeye Kila sku anazungumzia yaliyopita hafai huyu Mzee mjinga
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b Год назад
Mshasahau yaliyopitaa, mlifungwa mdomo wote, no mkutano wa hadhara no mkutano wa ndani, Amekuja MAMA muungwana mnaanza upuuzi
@oswardmkalawa9666
@oswardmkalawa9666 Год назад
"Hoja kwa hoja na si hoja kwa vitisho"
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 Год назад
Luga kama jipu nazingine zinatokana naselikali kuendelea kuwa naviongozi walalushwa au asiejituma naselikali haimchukulii hatua yakumwajibisha au inamhamishia seem ingine nakuendelea kufanyamadudu kwaiyo atakuwa jipu nadawa yajipu nikuondolewa nakiongozi mzalendo kama jpm ila kwasasa naviongozi huu mnaweza kulitoa jina jipu kwasababu wote waliokuwa juu ni ma😂
@rosemarymwakitwange6257
@rosemarymwakitwange6257 Год назад
Lugha za Kishenzi za viongozi wa Leo, kutumbuliwa.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Год назад
acha uchawa we mzee
@charlesmgory3131
@charlesmgory3131 Год назад
Hoja yko ni ipo mzee mbona hoja na wwe Huna una chuki2 bnafsi
@mashirimathias6006
@mashirimathias6006 Год назад
Mtu mjinga na mpumbavu atataka mwizi aitwe mtu aliyechukua bila kibari
@johngibson3089
@johngibson3089 Год назад
Asante sana Jenerali.
@tellamaringeni6427
@tellamaringeni6427 Год назад
Watende kwanza kwa staha ndipo tutaongea kwa staha
@JUBRANBULAYHl-yb4ke
@JUBRANBULAYHl-yb4ke Месяц назад
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ametueleza kuhusu sifa za wanafiki ili atutahadharishe nao, ili tujiepushe nao Ishara ya mnafiki ni tatu: Akisema uwongo, akiahidi anavunja, na akikabidhiwa anafanya khiyana, anatuonya dhidi ya kuvunja ahadi, dhidi ya kusema uwongo katika hadithi na hadithi, na dhidi ya khiyana katika uaminifu. , na kwamba wao ni miongoni mwa watu wanaafiki, tunajikinga kwa Mwenyezi Mungu, basi tahadhari nao. Sisi tunawajua vyema ni kina nani watoa pesa wanaotaka kuwapoteza waja wema wa Mwenyezi Mungu kwa hiyo ni lazima mrejee kwa Mola wenu kabla hatujakufanyeni ni mfano wa kuigwa mbele ya waja wa Mwenyezi Mungu na Umma wa Muhammad, Mwenyezi Mungu ambariki yeye na aali zake. na Maswahabah na uwape amani Ee Mola Mlezi wa walimwengu wote.☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
@salehesamba1237
@salehesamba1237 Год назад
Ulimwengu hongera sana
@user-ey6ip5lf4p
@user-ey6ip5lf4p Год назад
Maisha yote yanapita tuu na huu ujinga utakoma siku moja, nani akifa anaweza kubeba hata senti 5? Au mke wake, au hawara yake au kujua kama amevalishwa? UJINGA SANA WAJINGA SANA VIONGOZI VIPOFU WA PESA
@michaelgershon9077
@michaelgershon9077 Год назад
Hapo katika majibu ndugu ,hakuna staha ,kama jizi unatake,anatakiwa afungwe. Mzee umeongea vizuri lakini usiwe na huruma na wezi.
@mrossobartholomew9368
@mrossobartholomew9368 Год назад
Good general!
@user-xi6ju3qo5m
@user-xi6ju3qo5m Год назад
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 Год назад
Wapiga Midomo, Hii ndo Kazi Yao Wananchi.. Ndo Wanapokulia hapo😬😬😬 Vikao vya Majipu....
@abdulsintoro5797
@abdulsintoro5797 Год назад
Watu wana piga kelele saabu kwenye mgao hawapo
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Год назад
Ni Sawa kabisaaa!🎉🎉🎉
@DENISGWAGWALA
@DENISGWAGWALA Год назад
Mzee mjinga Sana huyu hafai yeye chuki tu na unafiki tu saiz anajifanya eti mjinga vihoja vya kijinga ameifanyia ni Tanzania mambo la maana Mzee wa hovyo huyu
@DENISGWAGWALA
@DENISGWAGWALA Год назад
Eti hoja anajua hoja huyu Mzee jinga mpaka hapo na uzee wake ameifanyia in Taifa hili tofaut na unafiki wake yaan yeye!Kila anapozungumza lazima ataje awamu ya Tano kama sio ujinga
@DENISGWAGWALA
@DENISGWAGWALA Год назад
Una akili timamu utawezaje kumse a marehemu Kila sku badala ya kujenga hoja
@ephraimkalanje7105
@ephraimkalanje7105 Год назад
Ndiyo Jenerali Ulimwengu! Hakika utamaduni wa kufikiri, kujenga hoja na kuwasilisha hoja unakufa! Yaelekea zama hizi watu hawawapendi sana "critical thinkers!" Watu hawawapendi wanaoibua mambo katika kufikia ukweli! Na hawa ni wale ambao kwa muda mrefu wamekuwa katika nafasi nzuri katika kuila keki ya taifa na mara nyingi wakiipata keki hiyo kwa namna isyo ya haki! Ili mradi wanabakia na kudumu katika nafasi walizopo hawatawapenda kabisa wanaofikiri na kuibua maovu au wanaofikri na kujaribu kuleta au kubuni namna tofauti ya maisha iliyobora kwa maendeleo ya taifa. Waovu hao huridhika na "status quo!" Huwabeza wanaofikiri na hata kuwaita ni wachochezi au wanaoshirikiana na mabeberu! Taifa limedhoofishwa katika kufikiri kwa jinsi hii! Watu wazuri wa kufikiri huamua kukaa kimya kuogopa kupatilizwa, kubezwa na hata kutiwa adabu! Wanaoingia madarakani kwa njia zisizo haki au wakiwa na tamaa ya udikteta hawawezi kuwapenda wanaofikiri! Wanapenda watu wawe wajinga ili wawatawale kwa urahisi! Huamini katika mtazamo wa, "Usimuamshe aliyelala usije ukalala wewe!" Hata tunapokazana mashuleni kuwahimiza wanafunzi waweze kufikiri kwa kujitegemea na kujua kujenga hoja, kunakuwa hakuna maana tena; ni kazi bure kwa vile huko kufikiri hakuna matumizi katika maisha halisi ya Tanzania! Huku maishani kumejengwa utamaduni wa kusifianasifiana, kujikombakomba, uchawauchawa, uongouongo, unafikiunafiki....na watu wanaishi na kuneemeka kwa utamaduni huu! Ùsomi unabezwa; ukiwa mtu wa vijembevijembe ndo waonekana kada mzuri na uteuzi kwenye ngazi fulani ya juu unakunukia...na wala si uwezo! Taifa lisilokuwa na watu wanaofikiri laenda kuanguka na kufa! Hivi "models" kwa watoto na vijana wetu katika kufikiri vizuri na kujenga hoja ni akina nani?
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Год назад
Bora uite pres yako na waandishi sio kutuandikia majarida
@williamm.hamuli1695
@williamm.hamuli1695 Год назад
Wachache hata hivyo watakuelewa
@chachamwita4687
@chachamwita4687 Год назад
Hongera Kwa kutaka kumkonvise mama ili akupe nafasi. Nashangaa ujenerali uliupataje huna hoja yenye lugha ya staha
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 Год назад
Wewe Jenerali Ulimwengu tunajua bado una chuki binafsi na JPM - huna hoja yeyote umejaa chuki tupu na JPM, eti tumepoteza mwelekeo wa kujenga hoja ndani ya miaka 5 iliyopita ya Magufuli - nenda kuleee huna lolote, ila jitahidi unaweza kupewa nafasi ndani ya serikali hii kwani mama anatafuta wale wote waliotofautianaga na JPM awape nafasi - jitahidi sana ndugu yangu kujipendekeza mama anaweza kukuona - ila hata mfanyeje JPM hataondoka mioyoni mwa watanzania wengi na atasahauliwa na kuchukiwa na wachache sana ukiwemo wewe, Kinana, Nape, Makamba, naTundulisu tena kwa sababu za kibinafsi tu - hebu tuachie JPM wetu - RIP JPM !
@AyoubAbdullrahmanAmir
@AyoubAbdullrahmanAmir Год назад
Yusuf usijifanye hamnazo ww hujui Lissu kafanywaj?...labda yange mkuta bb yako .
@nelsonmgaya1490
@nelsonmgaya1490 Год назад
True!
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 Год назад
​@@AyoubAbdullrahmanAmirhuyo huyo lisu fuatilia hoja zake ndio utajua
@mashirimathias6006
@mashirimathias6006 Год назад
Tena chuki za kijinga sana
@aishaalbalushaishabalush8291
❤❤❤❤safi sana ndugu linashindwa kuongea ya maana linampiga vijembe merehemu kwanza hakuna rais alie wapa uhuru raaiya wote wema tanzania kama jpm ila haya madudu machache ndio yanazid kupoteza baadh ya wanainchi wasio na uelewa
@HenryAnatoly-jg3df
@HenryAnatoly-jg3df Год назад
Yaani wazee walaji hawa ndo wanaoirudisha nyuma nchi y2 mana hawatak kukemea uovu wa viongoz. Coz wao ni miongoni mwa mafisadi ukiitwa jipu makosa. Unamzungumzia JPM wkt yy hayupo wala hawez kukujibu, ila wtz wanamjibia hata km katangulia mbele za haki na tulimpenda sn
@bagenihuduma1569
@bagenihuduma1569 Год назад
Tunasahau haraka sana sisi. Serikali iendelee na mipango yake tulizoea kuzibwa midomo sa hivi uhuru umetuzidi. Kazi iendelee
@imanihussein9457
@imanihussein9457 Год назад
unakali
@ummahmed3354
@ummahmed3354 Год назад
Kuna jamaa anaitwa mwambukuzi...anasifa zote hizi...jamaa anajifanya bandari zake...ghafla tu anekuwa mzalendo wa uchungu
@theleo3899
@theleo3899 Год назад
Kaa kmya mbwa wew au mwabukusi baba yako nn
@charlzlomo9219
@charlzlomo9219 Год назад
Kwanini wanadam wanajisahu sana wakati siku za kuishi hazizidi 43920=miaka 120
@adkajisi4536
@adkajisi4536 11 месяцев назад
Wasabato na hesabu zao sasa
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Год назад
Hili ni funzo na darasa kubwa sana kwa wale wanaojiita Wazalendo wa Tanganyika
@theleo3899
@theleo3899 Год назад
Fala mkubwa wee
@edenusmrosso9225
@edenusmrosso9225 Год назад
miaka mitano yana mahusiano gani na bandari. hovyo kabisa
@KB-il8nd
@KB-il8nd Год назад
Hivi Ulimwengu ni Mnyarwanda au Mtusi?
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk Год назад
Ni binaadamu kama wewe tu.
@KB-il8nd
@KB-il8nd Год назад
Labda si Mtanzania kama hakuzaliwa TZ.
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk Год назад
@@KB-il8nd Mzee wako alishawahi kuitumikia hii nchi kwenye nafasi yeyote ya uongozi? Jenerali alishawahi kuwa mkuu wa wilaya kadhaa hadi miaka ya 90,mbali na vyeo vingine ndani ya CCM.
@edsonkumenya5626
@edsonkumenya5626 Год назад
Kweli mvi sio kielelezo cha ufahamu na hekima. Hili ni 📦.
@canoksancomprehensivelearn7182
Huyu mzee ni msomi na ana akili na anachokiongea ni ukweli mtupu lakin ushabiki wa watu wasiotakakuelewa wataishi kwa ushabiki hadi kufa hawatabadilika akiambiwa mavi ni chakula kwa kuwa anayesema alimpenda ataishia hata kubakia n maneno hayo kuyaamini na ushabiki ni mbaya hata n unagandisha akili inakuwa sio rahis kuibadili na mzee huyu ni msomi ila washabiki hawawez kuelewa ila mtu mwenye mawazo huru akili huru
@theleo3899
@theleo3899 Год назад
We mwenyew ujmwelew utumbo anaouongea fala wew
@canoksancomprehensivelearn7182
@@theleo3899 ushabiki ndio unkufanya akili imeganda unaishia matusi tu huna hoja wala sikulaumi najua tatizo lako ni hilo matusi sio fani yangu tukana andika mengi sana lakin hoja hutakaa uwe nayo zaidi ya matusi na mzee kayasema hayo na ni ya kweli na ushahidi ndio hii comment huwezi toa hoja utatoa matusi maana umeingia kweny fani yako ya matusi kwenye watu wenye hoja za kielimu na kisaikolojia sasa unaishia hasira na matusi tu na jazba maana sio sehemu yako hapa. Sisi sio watu wa fani yako hiyo
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 Год назад
Hasira inakua siku hata siku ndani ya nafsi za watu...
@blessjo1678
@blessjo1678 Год назад
HAWAJAUI KUWA MWAMBUKUSI ANAWATOTO WAKE AU MBEGU ZAKE ZIPO ZINAOTA MTAANI SIO MTU MMOJA AMEUMIZWA WATU WENGI WAMEUMIZWA SANA NA MPANGO WA DP NA WALIO NYUMA YAKE
@blessjo1678
@blessjo1678 Год назад
UTAKUTA MTU ANATETEA RASILIMALI ZA NCHI ANATISHIWA MAISHA
@festohaule9716
@festohaule9716 Год назад
@@blessjo1678 .. Afrika yote inapaswa kutawaliwa kijeshi..kama Afrika Magharibi, Viongozi wajifunze..
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Год назад
Mzee kila kitu ni kumsingizia Magufuli😂😂😂😂 Magufulification kweli kiboko alikuwa jiwe kweli marehemu anapambana na waliohai
@kudrachristopher4640
@kudrachristopher4640 Год назад
Moja ya wazee wenje alikiri walobaki❤
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 Год назад
Unachuki binafsi na mwendazake. Umeshazeeka hauna kitu.
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Год назад
Mwendazake ni shida sana bhanaaa!Hilo linataka tochiiii!
@gracejonh4022
@gracejonh4022 Год назад
Una lolote watu tushaamka
@user-vr2ne3lq5u
@user-vr2ne3lq5u Год назад
Majina magumu hivyo, chanzo nn? Upuuzi wa mambo,ndio unaleta hayo!
@nyotamy3678
@nyotamy3678 Год назад
👏🏽👏🏽
@amourmtungo623
@amourmtungo623 Год назад
🤔Tujifunze kuhukumu vitendo na sio maneno hapa ndipo tunapokosea mara nyingi. Nia ya kufanya kitu au jambo ni tafauti na kulifanya au kutimiza kwa mfano: nikisema nitakushtaki, nitaandamana kesho au nitamtukana mkuu wa polisi. Kwanini dhana inachukuliwa hatua hata bado haijatekelezwa? Tena hatua zinazochukuliwa ni raia kunyimwa uhuru wake kwa siku kadhaa ambapo sio haki.
@user-sw1dv1iq6h
@user-sw1dv1iq6h Год назад
Unataka kupewa cheo gani unachobembeleza umri huyo mzee akili imeshachika. Hata huoni mguu mmoja umeshatangulia kaburini?😂😂
@saidimpako5186
@saidimpako5186 Год назад
kauli za Lisu hamuzisemi
@wakwetu2444
@wakwetu2444 Год назад
Ni kweli Genarali - tumeanza kupoteza ustaarabu wetu.
@petermbuja3783
@petermbuja3783 Год назад
mzee huna jipya
@langotv5071
@langotv5071 Год назад
Mzee hapo kwenye majibu siko na wewe hao ni WASHENZI sana hakuna lugha. Staha hapo ni majipu tu watumbuliwe
@jeremiatitus4414
@jeremiatitus4414 Год назад
Mmh
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r Год назад
Kwani we zumbukuku ulimwengu, unanzugumzia upuuzi gani, mpaka leo magu,hayuko Lakini ukifungua domo lako wakwanza kumsema vibaya nimagufuli we mzee vip kichwa kibovu wewe
@mohamedsiaga7651
@mohamedsiaga7651 11 месяцев назад
Nimegundua watu wenye umri mkubwa báadhi yao wanaroho za kwa nini wanachuki Kuna wakati walikataa ndege zisinunuliwe,mradi wa umeme usijengwe,Barbara zisijengwe wanaotaka vijana wetu na wajukuu zetu waishi kama walivyoishi wao Leo serikali inataka kufanya marekebisho ya bandari hawataki Mungu tusaidie
@NgambilabalinziBaliguluk-os3ln
Wewe Mzee huna hoja tunataka katiba mpya pia Bandari
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 Год назад
Daima sikubari katika kuzungumza kwa sababu historical inaonesha matapeli asilimia kubwa ni faswaha wakuzungumza.Ata nyinyi mmefundishwa kuzungumza uongo Mara nyingi nyingi atimae uongo utazoeleka na watu wataamini.
@furahajeremiah6809
@furahajeremiah6809 Год назад
Unasemaje juu ya bandari
@omaryramdhani9823
@omaryramdhani9823 Год назад
BANDARI YETU SISI WAUNGWANA WA PWANI WENYE BAHARI KWA RIDHAA YETU TUTAMPA MUUNGWANA MWENZETU MUARABU,HAO WAPINGAO HAIWAHUSU,WENYEWE NI PWANI TANGA DAR LINDI MTWARA.LAKINI MBEYA KILIMANJARO KANDA YA ZIWA N.K.HAIWAHUSU WANAJIKOMBA TU ,WASUBIRI WAKIDAIWA MITO MABWAWA NA MAZIWA NA SIO BAHARI
@geofreydamas1697
@geofreydamas1697 Год назад
Jamaa lilikosa Kiki kipindi cha JPM na hakuongea kabisa but now anaongea porojo
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Год назад
Ukikosea lazima ukalipiwe kubembelezana kwenye Mali za. Uma
@abednego3876
@abednego3876 Год назад
Huyu mavi huwa anamsema magu kila siki msenge ww babu.
@samuelnoah3572
@samuelnoah3572 Год назад
Saw this all over the papers today, front page news. It made me wonder... specifically about the Pitfalls of National consciousness like Frantz Fanon. Anti-racism racism. Kupinga kutukana kwa kutukana vibaya zaidi.
@njemamehuna9821
@njemamehuna9821 Год назад
Tatizo Twaha ni mdini sana
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 Год назад
Tumepigwa sana nawananchi tunajua ila niwaoga tu,ila Sasa tunaona njia inaanza kionekana.hii yote ni kutfanyawananchi tulip wengi wajinga
@davidwhite7834
@davidwhite7834 Год назад
Were mzeeeh jau sana
@JumaJems-gh9ih
@JumaJems-gh9ih Год назад
Kwanini usitumie neno LUGHA MBAYA
@solomonadams6337
@solomonadams6337 Год назад
what I can see katika nchi yenu to compare with the western countries muko mbali sana tuu na dunia kwanza ham'na human rights halafu ham'na democracy 😢 mwinyi ni ukatili na wizi tuu..hio imo kwenye damu yenu...!thanks
Далее
OBLADAET - BARMAN
03:06
Просмотров 59 тыс.
Wamasai wa Ngorongoro waendelea kulilia haki zao
3:38
Просмотров 4,2 тыс.