Тёмный
No video :(

NONDO za MOTO: RAI za JENERALI ULIMWENGU SAKATA la BANDARI, HAJAACHA KITU, BILA WOGA AJILIPUA... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

NONDO za MOTO: RAI za JENERALI SAKATA LA BANDARI, HAJAACHA KITU, BILA WOGA AJILIPUA...
MWANAHABARI nguli na mchambuzi wa siasa, Jenerali Ulimwengu amechangia kwenye mjadala wa bandari uliowakutanisha wanasisa wakonhwe na wafanyabiashara wakubwa....
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 58   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@donathtarimo7221
@donathtarimo7221 Год назад
Rev. Dr Kitima & Senior citizen Jenerali Ulimwengu should be recognised as Honorary Professors.
@HeavyrainKuresoi-ke9df
@HeavyrainKuresoi-ke9df Год назад
Mzee uko safi sana serikali imeshindwa kujiaminisha kwa vitendo kwa wananchi inatumia nguvu na dola kuwalazimisha watu kukubali kuiamini serikali,
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 Год назад
Hongera sana mzee mwenzangu kuwa muwazi, ukwelidio huo wabunge walio wengi wapo pale bila ridhaa ya wananchi, wengine hawana chama
@andersonchongoma1723
@andersonchongoma1723 Год назад
Vijana hawamjui huyu Mzee alIteuliwa kuwa mkuu wa wilaya huko singida akagoma...so siyo mtu ambaye ni EASYGOING ....
@jacksonmtese9313
@jacksonmtese9313 Год назад
Mbona ushauri wa namna bora ya ubinafsishaji pia ilitolewa na mahatir mohamed pm wa malaysia.kama usemavyo jenerali na kikwete anajua.yafanyiwe kazi.
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 Год назад
Msiye mjua huyu kaeni pembeni ,,,tafuta historia yake miaka 40 iliyopita utajua ninaloongea,,,,Thanx
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 Год назад
Bunge dhaifu na Kibogoyo
@DottoTaratashi-nu3er
@DottoTaratashi-nu3er Год назад
Ok
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Год назад
Hili suala la kuingia bungeni bila ridhaa ya wapiga kura siyo sifa, ni aibu ya daima. Naona wanakumbushwa kuwa waliiba,hawakuchaguliwa Kama ni kweli wanajiskiaje?
@Focusm-se2sd
@Focusm-se2sd Год назад
Wabunge hawajitambui kabisa maana hata hao wabunge hawajui wajibu wao juu ya kuwajibika juu ya waliyo wachagua
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 11 месяцев назад
Waisilamu mnaosema tec msikilizeni huyu mzee na tec inadai hayo si nyie vipofu
@kassimjigge4727
@kassimjigge4727 Год назад
Ni haki kutoa maoni kwa jambo lolote lakini nionavyo Mimi porojo zimekuwa utaratibu wa maisha ya watanzania! Maneno tuuu !!! Huu ni udhaifu mkubwa tufikirie mbinu mbadala badala ya hii butu
@isackakyoo6446
@isackakyoo6446 Год назад
Wanasiasa mnaumwa na Ukosefu wa 1 .Uzalendo ndiyo maana kila mnachoongea ni kudanganya 2.Uaminifu zero, ndiyo maana kutokana na upigaji kila kona watu wanaona ni ule upigaji unakuja kijanja hata kama kuna manufaa kwa Taifa. 3.Kupuuzia maoni ya Wananchi, mnakuja na Agenda zenu mkiwa tayari mna majibu hivyo hamtaki ushauri sipokuwa mnatulaghai kuleta kujadiliwa alafu mnapitisha mlivyoplan toka mwanzo . KAMA SIVYO, BASI 1.Tuingie mkataba na Rostam, Bagharesa, Mengi, na matajiri mengine waliopo katika uendeshaji Bandari ili iwe rahisi kunuika Kitaifa na Watu wetu 2.Bunge lisimame upande wa wananchi ili litoe ufafanuzi kwa mambo magumu ya Kitaifa. 3.Watu hawaliamini Bunge na SERIKALI na hii nikutokana na kutojali Wananchi ,hivyo jengeni uhalali kwa Wanannchi kwa kuwa wawazi kwenye mambo muhimu ya kitaifa
@rastheunique1632
@rastheunique1632 Год назад
Baba angu wewe ni hazina , nilijua baada ya Nyerere hakuna hekima iliyobaki!!
@kassimualli1755
@kassimualli1755 Год назад
Tatizo wengi wanaiba kupitia bandari ndo wanapinga uwekezaji wanajua ulaji utakwisha
@nicholauschemka7426
@nicholauschemka7426 Год назад
Kwa hiyo ni bora uibiwe na dp world kuliko Mtanzania mwenzako? haupingwi uwekezaji Bali mkataba una ukakasi Sana yaani(ambitious) mf kwenye scope
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
We nae umeamka umepga puchu zako sasa akiliyote umeiacha chooni
@nicholauschemka7426
@nicholauschemka7426 Год назад
Kumbe tunajadiliana na mtu anayewaza kupiga puchu muda wote, kichaa sio lazima umkute road nw days nao Wana smart phone
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
@@nicholauschemka7426 🤣
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Год назад
shida iko hivi wabunge wa bunge la tanzania hawajui kilichowapeleka bungeni cha kwanza ndicho hicho 1hawawajali watanzania wanachokitaa 2hawafati katiba ya kuilinda nchi yao 3hawalindi mali za tanzania 4 wanajali matumbo yao tuu ama kweli hizo ni mbaka waulinzeni watu mbaka nini?
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 Год назад
Kama viongozi wetu WA serikali wanashindwa kusimamia na kuendeleza wtz kuendesha rasimali na mashirika ya umma wanawapa wawekezaji je Kodi za serikali wataweza kusimamia na kutumia ipasavyo?
@BernardMichaelMpombo
@BernardMichaelMpombo Год назад
We unayesema alikufanyika kwakificho hakiliyako mavi mikatabamingapi nchihi inayo nabado shida ospitalini akueleweki ovyo tukubalitu
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Nampendaga bure huyu mzee,,,,,ila inapokuja swala la ukwelinauzalendo mbona mnakimbiaga mfano; nyie mngeitsha maandamano tu na hapo ndo tungeuona uzalendo na ingezuia wakat mwngne rais atakaekuja asituchezee akili tena
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 Год назад
Akili kubwa saaaana
@mzadomwongozo3671
@mzadomwongozo3671 Год назад
"Do politics or politics will do you" 🙏
@georgeobute724
@georgeobute724 Год назад
Lakini hawa wabunge nivipofu je mikataba ya Richmondi wamesaahu je ytafanyaje mikataba na mtu asiyejulikana na serikali kwanini waarabu waliofanya nchi itegeneze muungano waje kinyemera kutwaa Tanzamia naona kuna watu wamibia Tanzania sasa wanaingia ubia wak7ibia nchi kumbuka reli ilivyo ibiza na mwikezaji aliyepewa pesa na banke akakimbia mpaka sasa watu waliokuwa wameajiliwa walifukuzwa kazi
@PatrickNyaulingo-eu3ot
@PatrickNyaulingo-eu3ot Год назад
Kamanda tunashukuru wewe Kama mzee kutoka hadharani na kuelezea Uma wa watazania juu ya athari ya ubinafusishaji wa bandari zettu
@daudigabriel700
@daudigabriel700 Год назад
Kwahiyo mtu asipofanya siasa hawezi kuishi?
@bertothegentleman2623
@bertothegentleman2623 Год назад
Hutaishi bali utaishi ishi tu
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Me mwenyewe celewi
@chombochema7498
@chombochema7498 Год назад
Unaishi lakini hujui uhalali wa maisha yako. Unakuwa kipofu kuhusu maisha.
@BernardMichaelMpombo
@BernardMichaelMpombo Год назад
Mze bunge takataka kifupi
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 Год назад
Acheni upumbavu, kama angekuwa Mmarekani, UK, Germany mngekaa kimya, nyuma ya pazia ni udini unawasumbua
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Piga nyeto ulale hakuna hapa mwarabu na udini wake
@thewiseoptions6208
@thewiseoptions6208 Год назад
Wenzio wanajadili vipengele vya mkataba we akili yako inawaza udini tu.
@augustinejohnnyakatoma8591
@augustinejohnnyakatoma8591 Год назад
Napendekeza kuwa ukusanye makala zako zote kwenye kitabu kimoja kwa ajili ya vizazi vya Sasa na vile vijavyo pia. Utakuwa umetendea haki kuishi kwako hapa duniani na. Hekima zako hazitakufa hata baada ya wewe kutokuwepo
@augustinejohnnyakatoma8591
@augustinejohnnyakatoma8591 Год назад
Hii Ni akili kubwa Sana isiyoposwa kupotea bure
@jacobsevetu8622
@jacobsevetu8622 Год назад
Kwahiyo bunge lilifanya kazi gani Hawa wangesimama badala ya bunge
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
Ulitaka wafanyaje
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Год назад
@@birianination7097 jibu hoja boss wapi wana hoja zenye tija kwaTaifa.
@petersilas4234
@petersilas4234 Год назад
Tuhakikishe Hawa wawekezaji wakija hapa wajisajili kwenye stock market ya kwetu tununue shares. Pia hao viongozi wao wale na kujenga hapa. Na huyu Mzee apumzishwe kwa lazima,
@MakameAbdallah-wn3hc
@MakameAbdallah-wn3hc Год назад
Hili halikufanywa kwa kificho ndio maana limepelekwa bungeni lijadiliwe na hilo jambo limefanyika. Huko nyuma hakujawahi kupelekwa mkataba wa aina hiyo bungeni. Sikubaliani na tamko kuwa vyombo vya habari vina haki ya kufanya vile wanavyoona ni sawa. Kama kuna watu mabazazi,malaghai nadhani Jenerali unaongoza
@mickeysunday4174
@mickeysunday4174 Год назад
Nenda ukabinafsishe bandari ya Zanzibar
@isackakyoo6446
@isackakyoo6446 Год назад
Kumbe
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 Год назад
Acha upuuzi we mla mlojo
@mkude
@mkude Год назад
Mama Samia kutoa uhuru,ndo changamoto zake hizo,watu wanaonesha wengine wanaccoment utumbo ubaguzi,
@MakameAbdallah-wn3hc
@MakameAbdallah-wn3hc Год назад
@@renatusmatungwa2508 Ni heri sana kwangu kula urojo kuliko nguruwe
Далее
When I met the most famous Cristiano
01:03
Просмотров 28 млн
When I met the most famous Cristiano
01:03
Просмотров 28 млн