Kiukweli kwa upande wa mama mzee upo sahihi unasema kweli ila kuwa upande wa MAGUFULI usitafute watu uchokozi watapuuzia kila ulicho sema! Oky thanks 🙂
Ni kweli pamoja na mazuri yake jpm alikuw ana mapungufu.ilifikia wakati yeye ndo alikuwa kila kitu.ndomana watu wanalalamikia katiba irekebishwe ili kuondoa nafasi ya mtu kuendeshq nchi kwa matakwa yake.
@@ahz6907 yah kweli! Na nlikuw nampinga ata mm! But nlikuja kuelew Baada Ya Tukio! Then asinge fanya vile Mudawake ungeisha kabla ajamaliza Mengi labda yey mwenyew alijuw hana muda wakutosha thus y akatukimbiza kimbiza, na tumepiga atua kiukweli, ila suala la mzee kumzungumzia negatively inaleta taswira nyingine as if haku fanikisha vingi
Mzee salute kwako Mimi binafsi nilikua naimani sana na mama samia kwanza alikua hana tuhuma yoyote nilijua atakua kiongozi wa mfano kuliko wote sijui tango mwitu alitoka wapi kumshauli du
Magufuli aliandika kitabu chake, maana uongozi ni kitabu! Kuna mazuri yake mengi kabisa, lakini pia kuna madhaifu yake, kama binadamu yeyote ! Historia itamzungumzia Hayati kwa safari yake yote! Mnagombana bila sababu! Ushauri wangu, hata na ww andika kitabu chako!!!
Magufli haachiki kwa jeuri na kiburi chake uonevu wake alotufanyia kila Mtanzania mwenye kumuogopa MMungu nyie Watanganyika mlonufaika nae msifuni sie alotutesa na ndio wengi tuwacheni Alhamdulilah MMungu ndie mwenye kumjuwa mja wake muovu na mzuri tuombeni tuwe katika waja wema magufli katesa kauwa kwa kutuma majeshi Zanzibar kila mtu kaona kilo tokea halafu makene unanuambia mie mpemba mlouliwa ndugu zangu na unyama alotufanyia magufuli sijui kitu usojuws wewe MMungu keshakupiga laana ndio maana hamumuoni kama alikuwa muovu yuke mbele ya Allah atalipwa kwa ubaya wake Allah asitupe mtawala mwengine kama yeye Hasbunallah Waneemal Wakeel
Ukiona mtu anamtetea Magufli basi na yeye ni katika kaumu ya waja waovu Jujuu Magufli akijipaka cjokaa ang'are ndani ya moyo wake aliujaza ukhabuthi narudia tena kusema kila mwenye kumuogopa MMungu sawasawa na kuogopa siku ya hesabu hawezi kumuunga mkono mabaya yake
@@hudhud2022zab 1:1 heri mtu asiekwenda ktk shauri la wasiohaki Wala ...kusimama ktk njia ya wakosaji.nikweli tunamakosa sote lakini tusivuke ubinadamu na kujimungulisha hata kumiliki uhai wawengine na kutumia vibaya madaraka huku tukilazimisha watu wa Mungu kwamba ndio walituchagua kwa kishindo kumbe tumejiweka wenyewe kwa miguvu. Uchaguzi huu kila mwanainchi aombe sawa sawa Mungu atupatie haki tulioikisa kwa waongozao .na asiache kuwapiga waziwazi watakapojaribu kutuonea kwa kutumia mabavu na kudharau HESABU ya kura halali za WANAINCHI
Tunaomba umuache kumtaja marehemu mzee kasha tangulia mbele za mungu hapendi halafu unamtaja kwa mabaya unatukera r.i.p mzee wa watu mungu akulaze mahali pema peponi
Eee MUNGU kwa unyenyekevu kabisa, tuna hakika Mamlaka zinatoka kwako, nawe humpa umtakaye. Tunaomba utusamehe yote tuliokosa, pia tunakuomba umpe Rais Samiah Suluhu Hassan maarifa, hekima, busara, Upole na ustahimilivu katika Uongozi uliompa. Mimina Roho wako Mtakatifu ktk maamuzi yote atakayofanya maana kila maamuzi anayofanya yatagusa maisha ya watu wako.. Ni ktk jina la mwanao YESU KRISTO tunaomba. Amen.
Msiingilie bahati ya mtu utaenda na maji samia suluhu haijui nchi kamaliza wapi? nyinyi mnaoijua hamna bahati ya kua maraisi. Hadi mungu akuteue tangia tumboni
Mzee huko sahihi kabisa isipokuwa nakupinga kitu kimoja MAGUFULI hakujijifanya Mungu mtu hata siku moja MAGUFULI alisimama dhidi ya wanyonge alipigania haki za wanyonge mpenda watu na Maendeleo ya nchi hii!
Katiba ni makaratasi maendeleo hayapatikani kwa karatasi. Kuna wasaka Kinga tunawaomba waondoe hofu wasilazimishe katiba mpya. Katiba hii imetusaidia kupita salama kwnye joto kubwa la kisiasa. Tunachotakiwa ni kubadilisha katiba ya chama cha mapinduzi kama shida yetu ni mageuzi ya kisiasa.
Mzee ulimwengu uko sahihi kabisa kwa maneno yako hapa ikipatikana katiba mpya mama haya ya kuwaonea viongozi wa upinzani hayatakuepo kabisa haki itapatikana
Mbana hata watoto wangu naweza waambia sijaribiwi, angekuwa Mungu angesemaje tumwombe Mungu, na kusema Corona imeisha ni imani baada ya kumwachia Mungu Tanzania na tena amewashirikisha VIONGOZI wa dini na ni Kweli tulimwona Mungu kupitia kauli zake. ULIMWENGU YALE HUYAELEWI TUACHIE TUNAOELEWA
Hebu nuacheni JPM. Acheni uongo JPM Aliiweza kudhibiti COVID 19 kwa kutumia Chemistry yake and please stop comparing Him with Mama Samia. Stop stop stop.
Ww kweli kolo kwa akili yako inavyokutuma kuwa kulikuwa na korona mungu ndo katusaidia yule virus hakuwah kuingia tanzania et magu we unawezo kumzuia Corona nch zilizoendelea na zna hellla watu wamekufa Kama kuku et ww unajionna umemuwezzza virus mungu ndo alomblock so unaongea utumbo wako fikiria et chemistry yake
Tatizo lenu general kwa nini samia lkn ukweli mama kaituliza nchi zile vurugu za mtangulizi wake hatuzioni kuna maeneo flani tu bado na hilo ni kawaida ktk uongozi .
we mzee mwache Magufuli alisha lala mbele za haki ongealea walio hai kama hoja zako ni lazima umtaje JPM nyamaza maana marehemu hawezi kujitetea mwacheni apumzike kwa amani.
Tatizo la mama ni kujaribu uchuma wa magufuli wakati yeye hana akili kamaza magufuli ,mfano ni chanjo imesababisha mambo yote ya kusimamia mapato na matumizi ya serilali na nchi kupuuzwa sasa hivi wizi na ubadhilifuwa mali ya uma unaongezeka kwa kasi kubwa ,usafi wa mitaa umepolomoka ,ubunifu hakuna tena tofauti na wakati wa magu
@@joetchatv1453 Kichaa ni wewe na Waliomsaliti Magufuli sasa yamewashinda kabisaaaa tufanye tuu uchaguzi wa Rais kwa kura zetu wenyewe sasa hivi 2025 ni mbali saana.
Jamani kwani lazima usafi wa mitaa msimamiwe na Rais wenyewe hamjui umuhimu wa usafi yaani mmejufikisha hapo wenyewe that means mshazoweya kupigwa pigwa ndio mwende duh mnajushusha hadhi kuwa hamjui wajib wenu hasara
Maneno ya wasomi wenye ufahamu wa kile walichokisomea huwa wanakitendea haki ipasavyo na maneno ya MMungu ndani ya quran kasema hawatokuwa sawa walosoma na wasio soma hivyo mzee elimisha ukweli na ndio kawaida ya binadam sio kila mtu atakuunga mkono na ukweli system ya serikali ya ccm ni mbovu inawanufaisha wachache ndio maana wako mstari wa mbele kuona msemaji kweli watampinga kwa maneno yaso na kichwa wala miguu washazowea uwongo kwao na ukweli kwao madhali hawataki utaryshiwa kila aina ya utumbo wa maneno kwasababu ya udhaifu wa ufahamu kweli na kila mpenda haki kwao utapingwa tu maana uwongo umo ndani ya genetic system zao
Sasa we we ulimwengu kila Raising hafai mbona mnafiki sana shida yako in mama ,mama atashinda mazito yote katika Alla amtiaye nguvu na aliyempa uraisi Mungu.
Bakuli la DENI. Jenerali Ulimwengu hapo upo sahihi sana. Huyu Waziri wake wa Mambo ya nchi aliyemukumbatia amemuingiza kwenye choo cha kiume ni hatari sana JPM alisema nchi hii ni DONOR COUNTRY sasa tumerudi kule kule NYERERE alipopakataaaa
Mama Samia mamaangu hakuna alie wahi kuelewekwa ndani ya madaraka hasa kama ya urais ndani ya mwaka mmoja kushuka chini piga kazi mamaangu vumilia mengi yatakukuta saana اصابر وشاكر فل الجنة
Ulimwengu huna jipya acha kuongea upuuzi jpm hakusema hajaribiwi na mngu lkn hajaribiwi na mwanadamu ww ongea yko usizani wote wanaokusikiliza ni wapumbavu ww unaijua nchi au unaongea kwa vile umepata fursa bro
Wewe humjui ulimwengu , huyu siyo Mtanzania, uraia wake ni wa kununua. Ni kama jasusi toka nchi jirani. Enzi za awamu ya tatu karibu afukuzwe hapa Tanzania. Amshukuru Merehemu Mkapa, ndie aliyemruhusu aununue Uraia wa Tanzania. Hayo mahubiri yake, anataka kuyarudia yale yaliyotaka lumfukuza, anafanya kujisahaulisha. Mumelewe huyo ndiyo alivyo.
Ulimwengu alikuwa mkuu WA wilaya singida na akisema hawezi kuka kwenye mkundu WA nchi aliondoka ili kwenda dar Leo anataka kutoka ushauri Kwa Samia Mimi kwangu ulimwengu NI mbwa Tu
@@salumjonas7636 simjui ndio kwasababu hakuna alichoifanyia tanzania..watu wenye impact kubwa kama magu laxima wanulikane ...yeye kazi yake kuandika umbea tuu
Tatizo mama yetu anafosi kuingia choo cha kiume,amesahau yeye ni mwanamke,ndi maana ukienda popote unakuta vyoo vinatenganishwa,vya like na kiume,Basi kama anataka usawa wa kijinsia,aanzie kwenye vyoo wote tuingie choo kimoja dadeki,mama umefeli sana!
Kwahabari ya kwamba Magufuli alitamka kama Mungu, hata marisayo na masadukayo walimwambia Yesu amrkufuru alipowaambia yeye na Mungu ni umoja. Lakinipia uliza hata jini litakwambia, kuwa kama Yesu alikuwa ndani ya Magufuli na sio ndani ya papa korona ni kitugani?
Mtu alie na Yesu Kristo utamjua kwa matendo yake ...Huwa anasimamia Haki haki haki haki .....ukiona mtu anaikwepa haki na kusisitiza amani kwa mtutu wa bunduki ujue huyo ndani yake ana shetani ...Ombea haki nchi yako isimame na Mungu ....acha siasa za chuki
Ni kweli huyu mkimbizi anataka kuleta fujo na machafuko nchini mwetu.Watanzania sio watoto wadogo tunajua kile mama anachokifanya na tumeridhika naye.Wewe ni generali wa ulimwengu wa kiza
Kwa hiyo wewe! mtu akisema hajaribiwi, ndiyo unasema anataka kujifananisha na MUNGU! Kwa hiyo corona haiwezi kuondoshwa na MUNGU? Kwa jinsi ulivyo ongea, kwa hiyo alifanya makosa kutuambia watanzania, tuchukue taadhari zote. Kunawa mikono, kupaka vitakasa mokono, kuvaa barakoa na ikiwezekana tutegeneze barakoa zetu, na tumtagulize MUNGU na kumuomba! Na akasema tufanye maombi nchi nzima, na nyumba zote za ibada azikufungwa, watu waedelee kufanya kazi, na kutumia mbinu zozote ambazo zinaweza kupambana na corona, kijifukizia, kutegeneza mchanganyiko mimea na matunda kuongeza kinga za mwili kufanya mzoezi na huku tukiendelea, kumuomba MWENYEZI MUNGU. wewe ulitaka afanyaje?
Kweli kabisa Dr JPM kusema yeye hajalibiwi haina maana ya kwamba alisema yeye ni Mungu.Huyu mzee haeleweki amemtafasiri Isivyo , Raisi Magufuli ameshalala usingizi wa mauti Watu wamuache apumzike Jamani.
Halishauli kama mumeishiwa wataramu wakurugenzi mjiuzuru.badara yakutafuta vyanzo vipya munazidi kupandisha tozo kwenye vyanzovilevile.mnazidiwa hata wakulima kweli.mkulima kila kukicha anapanua mashamba,hanganganii kupanda ainakumiza mazao kwenye shamba moja
Kumbuka kuwa Magufuli alipendwa na bado anapendwa sana na watu, na ameacha alamama zisizofutika. Wewe utaijua nchi kuliko aliyeko Ikulu wacha uzamani wako.
Umeongea Vyema Kabisa, Huyu Sa100 Hajui Nchi, Anafungafunga tu Watu Bila Kujua Wapoje, Sometimes to be in high Level sio Kwamba huwezi Kukosea Makosa Yapo tu.
Wewe jenelali ni Mtanzania wa kununua utawezaje kuijua Tanzania kaliko Mama Yetu Raisi Samia Suluhu? Nani asiyekujua kama wewe ni MAMLUKI? Unataka tukufuatilie uraia wa Tanzania uliyonunua ili kuja kuihujumu Tanzania? Substitute tu
Ww ndio hujielewi na haielewi Tanzania...usilazimishe mtazamo wako ndio uwe sahihi na mambo yaende unavotaka ww....tafakari na Hilo generali ulimwengu...usijione ww uko sahihi kwa fikra na ukawaona wenzako wamepotoka.....wengi wamemuona magufuli Yuko sahihi na wamempenda..wachache hawakumuelewa....na ww miongoni mwa wasiojielewa....
Mzee unazeeka vibaya heshima yako usiipoteze kwa maona yako binafsi. Uongozi ni kazi nzito sana ninachotaka kukwambia jaribu kuwa makini na kauli zako. Ewe mwenye zimungu tusaidie viongozi wetu
@@geraldenos5416 tatizo sisi binaadam hatuna wema alikuwa jpm wakasema sana ni mbabe dikteta sawa mungu akamwita na huyu nae samia yameanza majungu na upawa. Wakati magufuli yupo hai walinyamaza kimya wamemuona raisi samia ni mwanamke basi kila mtu anajuwa kuongea. Kaka Yetu macho tu
Yan waandishi wa siku hizi bhana, yani mwandishi unatekwa na mazungumzo ya unaemhoji mpaka unajikuta unaitika tu kama zuzu.., Ulimwengu "Magufuli alijiona Mungu" Mwandishi "ndio, ndio, haha haha ni kweli" Hovyoooooooooooooo..........
Kiukweli raisi samia nchi hii haiwezi nchi hii hata kidogo anahitaji msaada mkubwa sana na wawashauri makini wenye ueredi wa juu sana wa nchi ya Tanzania
Ningekuwa mboye na lissu natokajera nakuwa ccm Niobe munavyo kufa ngorongoro na wote mutekwe polepole mpaka mseme wenyepe security masikinivilio kama jahvaaa😂welcome new world Tanzania
Mzee ulimwengu yote uliyo ongea ni ukweli tanzania hii ni kubwa sana na vijiji njisi mimi nilivyo tembea ni kiwa mjenzi wa mifumo ya Umeme vijijini Rea mimi naijua sana hii nchi hii
Kamwe Magufuli hakutoa iyo kauli kama yeye eti ni muungu mdogo hapana Mzee rekebisha iyo kauli yako siyo kwa eti aliabudiwa kama Mungu iyo kauli uliinakiri vibaya sana na leo unaiwasirisha sivyo kuwa makini na unachokiongea upande wa awamu ya tano(MAGUFURI)
Mzee Ulimwengu nakuheshimu sana...,lakini nafikiri , mawazo yako hayako sawa , MUNGU anaangalia tofauti na wanadamu tunavyoangalia watu kiroho...kwa hiyo kwetu sisi wanadamu "Pope" anaweza kuwa mkubwa sana , lakini mbele za MUNGU akawa hatoshi....pamoja na madaraka yote ambayo sisi wanadamu tumempa...1Samweli 16:3-7
Mama Samia keshakuwa Rais, you can like it or lump it. Hakuchaguliwa na mtu, kachaguliwa na Magufuli kuwa running mate. Katiba imemuweka hapo, baada ya kufa Mzee Magu. Rome was not built in one day. Bado Mama ana muda mfupi mno tangu achukue nchi. Maajabu gani mnayatarajia in such a short time. Kasema mpeni muda, hamtaki. Let her push aside all the blocking stones.
😂😂😂 Mzee hana kazi! Kwake yy, hakuna Rais aliyefaa!!! Hata moja tu !!! Nenda kalime, Mzee ! Au nenda Musumbiji, majeshi yenu Warwanda yanahitaji msaada! 🤣🤣🤣
Sioni ubaya kusema hajaribiwi...ni kauli za kuonesha umadhubuti sio vibaya kuongea hivyo karika kukemea watendaji wasifanye uzembi...ebu ukosoaji uzingatie dhamira na sio ili mradi kukosoa
Jenerali wewe hauko sahihi kila kitu kama unavyojiona mwenyewe. Inaonekana wewe huna imani!! Umuamini Mungu ndo maana unashangaa Hayati Raisi Magufuli alivyosema hajaribiwi!! Hii haimaanishi kuwa yeye alifananisha na Mungu, usipotoshe umma kwa sababu ya chuki zako kwa Hayati Rais Magufuli. Au aliposema amekwishaimaliza corona, pia haina maana kuwa yeye alichukua nafasi ya Mungu. Huu ni uwezo wa imani.
Ninavyojua mimi, Simba wa Yuda ni Yesu pekee... Isipokuwa you want to deify mtu, na kumfanya "mungu" wako... Usijitafutie dhambi, ndugu ! Kazi iendelee...