Тёмный
No video :(

JESHI LA POLISI LAHUSISHWA NA UTEKAJI, NAIBU KATIBU MKUU BARA AMTAKA IGP KUJIBU HOJA SIO KUKANUSHA 

Chadema Media TV
Подписаться 202 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 27   
@user-pw8ci6rg4y
@user-pw8ci6rg4y Месяц назад
Hapa suluhu ni kuwapeleka mahakaman ingekua inawezekana nikwenda lcc washtakiwe huko
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Месяц назад
Hatua nzuri
@michaelmwambije3603
@michaelmwambije3603 Месяц назад
Hakuna ambae hajui kuwa jeshi lapolic niwatekaji ten nimajambaz
@Noelkitoi
@Noelkitoi Месяц назад
Samia ameonga watu wakuiba kura chadema tuko tayari kwa shari
@jaanjaan111
@jaanjaan111 Месяц назад
Shida sio polisi shida iko kwenu mapimbi mawaziri wote family zao ziko mitaani mali zoa zinajulikana tumalizane nao siku kumi zinatosha kuleta heshima kwa kila mtu
@farhiyaibrahim2053
@farhiyaibrahim2053 Месяц назад
Kwenu au kwetu?
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Месяц назад
Ukileta matukio aya alafu unaona Peter Msigwa anatoa menooo njeee kama chiliku
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u Месяц назад
Awajamaa wanafanyavibaya sana mungu atakuja kulipa
@user-nf1tg3kt3y
@user-nf1tg3kt3y Месяц назад
Jeshi la polisi linahusika asilimia mia moja kwa sababu watu wanajua kila kitu unajua Dunia ya sasa hivi huwezi kuficha chochote kile watu wanauelewa mkubwa sana kuliko hata IGP
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 Месяц назад
Jeshi la Polisi Tz ni Majambazi na Watekaji wote
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c Месяц назад
Kwa matendo haya hata hiyo katiba mpya ikipatkana nina was was haitafwata mana hata hzo sheria ambazo zipo hazifwatwi waz waz na hakuna kinachoendelea pole mzee wangu Kigaira
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u Месяц назад
Akuna utawala washelia wanafanyamambo kiuonevu iposiku wataondoka kama alivondoka mkoloni
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Месяц назад
icc ndowatenda haki ila hii mahakama yetu rostm mwazz ashasema hio ni ya maagizo2 hivo tz, hamna haki
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Месяц назад
Hapa kuna fumbo! Wananchi tukisema juu ya mzunguko woote kisha anatokea kaimu kusema tuko naye,kwamba polisi ni waongo,bado ntatekwa, kufichwa,kuteswa,baada ya muda kupita patatokea tena utekwaji kisa nimesema polisi waongo?!
@mtotowamanka
@mtotowamanka Месяц назад
Police TANZANIA 🇹🇿
@frankSamwel-rg3lz
@frankSamwel-rg3lz Месяц назад
No rule of law no one is safe
@user-pw8ci6rg4y
@user-pw8ci6rg4y Месяц назад
Chadema tatzo mnaishia kulalamika tu, ifike mahala chukueni hatua ili wanachama wenu wawe na Imani na chadema
@samuelmakara1475
@samuelmakara1475 Месяц назад
Ungana nao au wewe sio Tanganyika
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 Месяц назад
Unataka tuanze kuwachinja tunaoishi nao mitaani sasa? Hii haifai; tunawaachia wenye mamlaka waamue na Mungu wetu aingilie kati.
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 Месяц назад
Shauri wafanye nn?
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Месяц назад
Suala hili ni la wananchi wote watanzania ingekua wananchi wanauwezo wangemkataa Samia tangia sakata la wamasai kutoka ngorongoro, bandari kupigwa mnada, sukari kupanda bei ,nape nauye kusema kua kuiba kula kwao ni halali Mungu atawasameee😊😊😊😊
@Jeremiahlukumay
@Jeremiahlukumay Месяц назад
Jeshi la polisi tz kwasasa limekua hatari zaidi Kwa usalama wa raia tanzania,hususan wapinzani wa serikali.
@user-fu6qv4ug2v
@user-fu6qv4ug2v Месяц назад
Vyama pinzani vinatuangusha sana avina msimamo
@samuelmakara1475
@samuelmakara1475 Месяц назад
@@user-fu6qv4ug2v wanaotekwa ni vyama vya upinzani au raia. Wewe unasemaje
@Noelkitoi
@Noelkitoi Месяц назад
Police ni mbwa wa ccm
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 Месяц назад
Tunajitawala vbaya Sisi kwa Sisi police wa bongo wakiundiwa tume kuna uovu mwingi Sana
Далее
PM Modi Chases Consensus: India's Russia-Ukraine Tightrope
5:58:51