Maa sha Allah the best of all ni Bakhresah huyu mzee he’s so humbled May Allah grant him More Barakah and good Health always 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤍Eid Mubarak from Uk 🙌🏾🩵
Hata hao wengine pia wametoa joho ametoa sana hata siku ya eid hupeana kila anaemia kwake 1k na vyakula wakapike...Ramadhani nzima anazunguka mombasa akipeana chakula
Ebu acha jazba,Sns wana vipindi vingi humu unavyotaka wewe pia vipo,inaonekana hufatilii wala uangalii pia ila upo kupinga tu,na sky alishaelezea vipindi vya burudani ndo watu wanafatilia sana so ndo maana kuna taarifa nyingi za burudani,ili waweze pata maokoto kidogo....na pia kuleta hii taarifa watu tumeona wengine ,matajiri wameserebreti😂 vipi sikukuu ujue Instagram inavitu vingi si rahisi kujua ila SnS ipo kwaajili yakutujuza yanayoendelea huko sio mbaya