Тёмный

Jinsi Bakhresa, GSM na Hassan Joho walivyosherehekea Eid! Noma, pesa inaongea! 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Развлечения

Опубликовано:

 

10 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@aminaali792
@aminaali792 2 месяца назад
Maa sha Allah the best of all ni Bakhresah huyu mzee he’s so humbled May Allah grant him More Barakah and good Health always 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤍Eid Mubarak from Uk 🙌🏾🩵
@Alkaburu
@Alkaburu 2 месяца назад
Kila ujinga unafundisho ndani yake. Omeona jinsi Bakharesa alivyo simple na kutoa alicho barikiwa kwa watu wasio jiweza.
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 2 месяца назад
Hata hao wengine pia wametoa joho ametoa sana hata siku ya eid hupeana kila anaemia kwake 1k na vyakula wakapike...Ramadhani nzima anazunguka mombasa akipeana chakula
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 2 месяца назад
Saaa kunakufuru gani hapo
@ZiyandaMhlana
@ZiyandaMhlana 2 месяца назад
Nic time
@Zuu673
@Zuu673 2 месяца назад
Sema sina pesa sio hatuna pesa😂😂😂😂
@allahisone6386
@allahisone6386 2 месяца назад
😅😅
@gamarmahsan8254
@gamarmahsan8254 2 месяца назад
Lahawlaaaa
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 2 месяца назад
Mashaallah
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 2 месяца назад
Waomani wanacheza ivyo😊
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 2 месяца назад
Hawa wayemen
@allahisone6386
@allahisone6386 2 месяца назад
​ AKINA BAKHRESA.?
@marthamatiku5729
@marthamatiku5729 2 месяца назад
Embu sns siku moja tuonyeshe na hamorapa,mkojaniii na amberruty walivyosherekea eid
@bintabou828
@bintabou828 2 месяца назад
Ila cheza yao kidgo haiko poa 😂😂
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 2 месяца назад
Ni tamaduni za warabu. Mkijichanganya ndani mtaambulia umasikini wakati wao wananufaika
@PeninsulaHouses
@PeninsulaHouses 2 месяца назад
Matajiri wanasheherekea idd ila wengine sisi tunakula idd😂
@achawanunetv1167
@achawanunetv1167 2 месяца назад
Yani matajiri wa Tanzania wote niwageni Kwenye top 5 yamatajiri hakuna Mtanzania halisi 😮😮😮😮
@BahatiKitete
@BahatiKitete 2 месяца назад
Battersea ni mpemba halisi
@MohamedAhmed-ns5mi
@MohamedAhmed-ns5mi 2 месяца назад
#001
@hassanmwallimu5767
@hassanmwallimu5767 2 месяца назад
GSM sio wa Oman ni watanzania wenye asili ya Yemen
@missp1814
@missp1814 2 месяца назад
yaan namajirani zangu hapa ni waislamu yaan wamejikausha utasema sio Eid utasema nisiku ya kawaida jamani,usiku jana wamekuja kuniuliza kuku wao kama nimemwona ikabidi niwaulize nyie Eid yenu ni lini kwani😂😂 wananiambia kuku alikimbia ndo alitakiwa kuchinjwa😂😂
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 2 месяца назад
Kufuru siyo mchezo
@EliasJohn-lc8nu
@EliasJohn-lc8nu 2 месяца назад
Anae jua kula pesa maskin sema hajapata
@user-nn7uf1mr7x
@user-nn7uf1mr7x 2 месяца назад
❤❤❤
@oman1oman179
@oman1oman179 2 месяца назад
Oman ndo wanacheza hivo
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 2 месяца назад
No ,wa yemen sana wanacheza hivo hata hio nyimbo ni ya kiyemen.
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 2 месяца назад
Hapo wame kosa vile visu vya kuzungusha zungusha 😅
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 месяца назад
Hakuna tajiri mtanzania ?
@saeedmagoda9651
@saeedmagoda9651 2 месяца назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@mudrick4553
@mudrick4553 2 месяца назад
sikukuu sio pesa sikukuu ni afya na kujiuliza je funga yako imefika
@MakoyeBq
@MakoyeBq 2 месяца назад
First one
@nadiahassan7993
@nadiahassan7993 2 месяца назад
Mbona Wana dance kimasaai? Hadhramy dance 🕺 watu hawaruki hivyo
@mohamedkhamis8359
@mohamedkhamis8359 2 месяца назад
Wabongo ni washamba kweli kila kitu ni ajabu asa kulikua Kuna haja gani yakutuletea taarifa hizi
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 2 месяца назад
warabu koko😂😂
@mohamedkhamis8359
@mohamedkhamis8359 2 месяца назад
Wenzetu nje wanatuma Habari za umuhimu ifike wakati tujitambue mnafeli wapi sns
@missp1814
@missp1814 2 месяца назад
Ebu acha jazba,Sns wana vipindi vingi humu unavyotaka wewe pia vipo,inaonekana hufatilii wala uangalii pia ila upo kupinga tu,na sky alishaelezea vipindi vya burudani ndo watu wanafatilia sana so ndo maana kuna taarifa nyingi za burudani,ili waweze pata maokoto kidogo....na pia kuleta hii taarifa watu tumeona wengine ,matajiri wameserebreti😂 vipi sikukuu ujue Instagram inavitu vingi si rahisi kujua ila SnS ipo kwaajili yakutujuza yanayoendelea huko sio mbaya
@sponsor7882
@sponsor7882 2 месяца назад
Machoko hawa
@user-nz3wp8ro1r
@user-nz3wp8ro1r 2 месяца назад
#001
Далее
Happy 4th of July 😂
00:12
Просмотров 21 млн
Conquering fears and slippery slops on two wheels!
00:18
skibidi toilet zombie universe 34 ( New Virus)
03:35
Просмотров 2,6 млн
HAKUNA NDOA
11:49
Просмотров 235 тыс.
Не поймаю говоришь? ;)
0:55
Просмотров 4,5 млн
Это жизнь😂инст:sarkison7
0:10
Просмотров 2,1 млн