Тёмный

Jinsi ya Kujiunga na Soko la Hisa Kwa Aplikesheni ya DSE Mobile Trading Platform kwa Simu ya Mkononi 

Elimika Mtandaoni
Подписаться 12 тыс.
Просмотров 5 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@Clvestar
@Clvestar Год назад
Hii ndo video nilikua naitafuta shukran sana 🙏
@francisnolasco849
@francisnolasco849 Год назад
Elimu muhimu sana. Thanks nimejifunza sana👏👏👏👏
@salimnjowoka4357
@salimnjowoka4357 Год назад
somo zuri sana endelea kutufunza zaidi
@FatumaRamadhani-do9cx
@FatumaRamadhani-do9cx Год назад
asante kwa elimu nzuri
@TEHAMA_media
@TEHAMA_media Год назад
thanks much sir
@asymtweve9009
@asymtweve9009 Год назад
Tena somo hili nimelipenda nazidi kulifuatilia nilielewe zaidi..
@trendsworld4202
@trendsworld4202 Год назад
God bless you brother
@northstone44
@northstone44 Год назад
Thanks nimekuelewa vizuri sana! Naomba kujua Ina maana ukitaka kununua hisa lazima ununue kwa mtu anaye ziuza DSE? Mfano na taka nunua hisa za CRDB nilazima kununua DSE au hata CRDB wanaziuza?
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni Год назад
Hisa haununui CRDB unanunua kwa mtu anayeuza,na mahali mnakutania(soko) ni DSE. Ndio maana kama hamna mtu anauza hisa basi order yako itakaa ubaoni mpaka atokee anayeuza
@faryjay808
@faryjay808 3 месяца назад
nielimishe vizur jinsi yakujua kununua nakujua kuuza issa
@JumaAli-b1p
@JumaAli-b1p 3 месяца назад
Nipo nje ya Tanzania hivo nawezaje kutumia hisa kiganjani?
@hassanmaulid5604
@hassanmaulid5604 8 месяцев назад
nimejaribu kuregister kwenye app ya dse hisa kiganjani lakini kila mda inaleta error ... internal server error .... hivi shida itakua n nini
@ATD_STARS
@ATD_STARS 2 месяца назад
Hao madalali ni wafanyakazi wa hizo campuni kaka?
@mvileadriano
@mvileadriano Год назад
Kwema kaka, nimesahau password na csd number nafanyaje kuaccess akaunti yangu
@asymtweve9009
@asymtweve9009 Год назад
Mr uko vizuri ko naweza kununua hisa na kuuza kwa muda huohuo?
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni Год назад
Hisa ukishanunua dalali wako atahusika katika mchakato wa kuhanisha umiliki kutoka kwa aliyekuwa anazimiliki hapo awali na kuja kwako,huwa inachukua muda wa siku mpaka tano au zaidi. Hivyo sio rahisi kununua na kuza siku hiyo hiyo
@andersonjohn255
@andersonjohn255 10 месяцев назад
Asante kwa somo zuri, je order yako ikiwa expired pesa zinarudishwa au kuna utaratibu gan na je ninaweza ku cancel order na kurudisha pesa yangu
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni 10 месяцев назад
Order iki expire unawasiliana na broker wako ili aingize manually, hivyo atakuelekeza pia muuzaji anataka bei gani,ukiona hauafikiani na bei husika,unawasiliana pia na broker wako atakupa utaratibu wa kurejeshewa fedha.
@andersonjohn255
@andersonjohn255 10 месяцев назад
@@ElimikaMtandaoni okay shukrani
@samuelseverua
@samuelseverua Год назад
My personal review of this APP. Ni kama haijamalizika kuundwa. My worst expirience in a serious platform as this. Ni kama beta App bado
@wilhelmhaule4679
@wilhelmhaule4679 Год назад
Naomba namna ya kujiunga na soko la hisa
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni Год назад
Hayo ndio maelezo
@JENIPHERMOSHA-io5xb
@JENIPHERMOSHA-io5xb Год назад
Samahani, Nida namb yangu inakataa
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni Год назад
Inakupa msg gani?
@JENIPHERMOSHA-io5xb
@JENIPHERMOSHA-io5xb Год назад
@@ElimikaMtandaoni please verify your nida number if is correct and try again
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni Год назад
Haujaandika vizuri. Umeweka zile alama latikati ya namba zile za -
@JENIPHERMOSHA-io5xb
@JENIPHERMOSHA-io5xb Год назад
@@ElimikaMtandaoni sijawekaa na nimeandika vizur sijakosea maan zipo namba 20
@LUKELOMwahele-sp6xn
@LUKELOMwahele-sp6xn Год назад
KYC Wana proof kwa kutumia nin na nin
@andreaalfred4164
@andreaalfred4164 7 месяцев назад
Mimi shida ipo kwenye kuchagua dalali Namchagua yeyote tu bila ata mawasiliano nae na yy atakuwa ananufaika nn dalali?
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni 6 месяцев назад
csdr.co.tz/sites/default/files/documents/List%20of%20Brokers%20-%20DSE_0.pdf
@EliasMpinga-ye9ok
@EliasMpinga-ye9ok 5 месяцев назад
Samahani je mimi katika kuweka namba ya siri nilikosea so wameifungia accont je nifanyeje
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni 5 месяцев назад
Wasiliana na DSE kupitia broker wako
@EliasMpinga-ye9ok
@EliasMpinga-ye9ok 5 месяцев назад
Sawa je kunambinu nyingine ya kuifungua account na upya?
@mushiangela898
@mushiangela898 Год назад
Hisa inalipa kinamna gani?
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni Год назад
Faida za hisa ni kupitia njia mbili Capital gain(ongezeko la thamani au gawio). Nimeeleza kwenye video nyingine hapo juu.....Jifunze Namna ya Kuwekeza Katika HISA na DHAMANA na Mwl. Augustino Mwogosi ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-uzNgp7IDy9E.html
@brunogeorge6545
@brunogeorge6545 9 месяцев назад
Kama umefuta account bahati mbaya ya dse mobile trading...unairudisha visit please🙏🙏 nsaidie nshaangaika saana
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni 9 месяцев назад
Wasiliana na dalali wako tu utatatua
@brunogeorge6545
@brunogeorge6545 9 месяцев назад
Dalglish kanambia mpa dse ndo wanaweza kutatua ilo tatizo
@sihabahusseinmdee1102
@sihabahusseinmdee1102 Год назад
sasa kama haiko fulfuld inamaana pesa nilizonunua hisa zinarudi?
@ElimikaMtandaoni
@ElimikaMtandaoni Год назад
Kama haiko fulfilled itakaa ubaoni mpaka status itasoma expired. Then unawasiliana na broker wako ataiweka tena manually kwa bei unayotaka kununulia
@Clvestar
@Clvestar Год назад
@@ElimikaMtandaoni order ikiwa expired unaweza pata hela yako bila broker?
@kazoyamongateko7764
@kazoyamongateko7764 Год назад
@@ElimikaMtandaoni tatizo hao madalali hawaonyeshi ushirikiano mimi nimesajili nimejaribu kununua lakini ipo pending na control number haijaja naomba kama unaweza nisaidia nifanyeje account nimefungua imekuja kila kitu kununua sasa ndo tabu
@SamwelLiangatv
@SamwelLiangatv 7 месяцев назад
Mkuu naomba mawasiliyano yako ya WhatsApp
Далее
Только ЕМУ это удалось
01:00
Просмотров 2,9 млн
🎙А НЕ СПЕТЬ ли мне ПЕСНЮ?🕺🏼
3:06:10
DSE HISA KIGANJANI
6:54
Просмотров 6 тыс.
LIJUE SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM - DSE.  TBC 1  EP 05
27:48
Fahamu Kuhusu Soko La Hisa Dar-es-Salaam (DSE)
17:49
Просмотров 1,8 тыс.
TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
57:11
Somo la Tano Jinsi ya Kununua Kuuza Hisa wewe mwenyewe
33:01
Usomaji wa Ripoti ya Mwenendo wa Soko la Hisa
7:37
Просмотров 4,8 тыс.
Только ЕМУ это удалось
01:00
Просмотров 2,9 млн