Тёмный

Jinsi ya kupata kuku wengi wa kienyeji 

AGALUS  TV
Подписаться 91 тыс.
Просмотров 355 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 775   
@RasiyaRasi-m1f
@RasiyaRasi-m1f Год назад
Shukran mungu atupe hekma namaarifa akustiri tuzidi kunufaika zaidi kupitia mafunzo yako amini 🤲
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
Amina✍️🙏🏿
@FarashuuNassor
@FarashuuNassor 14 дней назад
Shukran kijana, somo ni zur sana sanaa sana. Je vifaranga vinapewa status mpaka wakifikia umri gan
@AGALUSTV
@AGALUSTV 13 дней назад
Asante sana ndugu. Hadi wiki 6 kisha unàanga wachanginyishia na grower kufika wiki 8 .utawapa grower tu
@cyprianmgogo7625
@cyprianmgogo7625 Год назад
Nipo Zambia,nimeanza kufuga kuku baada ya kuingia utube na kuiona channel ya Agalus,vema na shukrani kabisa.changamoto vifaranga wangu wadogo wanazima njia ya haja kubwa na wanakufa sana,natumia dawa ya sulfa..nachanganya na antibiotics,lakini matokeo bado si fresh,usafi wa chumba na kutoa maji ya kutosha umezingatiwa sana,naomba suluhu ya kitaalam.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
Pole Sana ndugu. Ufaham uo ugonjwa vizuri kupitia video hii ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-6Din7RoCjMs.html
@queenmmole
@queenmmole 5 месяцев назад
Vifatanga wamevimba nundu kwenye masikio dawa ya asili ya kuyibu ni hipi msaada tafadhali
@elikandone
@elikandone 4 месяца назад
Sawa ya asili ya vinundu kwenye macho paka mafuta ya mawese penye nundu atapona kwa mda mfupi tu
@Mammy79
@Mammy79 4 месяца назад
Tafadhali mafuta ya Mawes ni gani/ni nini.
@annamikamollel360
@annamikamollel360 4 месяца назад
Mnapatikana wapi? Na je ninaweza kuja kununua kuku kwako? Napenda sana masomo yako
@rosella_255
@rosella_255 2 года назад
Somo Zuri sana, Mungu azidi kukubariki
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Amina KUBWA ndugu nawe endelea kubaki na agalus tv 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤝
@paschalmagubo6337
@paschalmagubo6337 3 года назад
Njia nzuri sana hii kwa waoanza ufugaji na kuku wachache
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Sana🙏🙏
@rehemaissa6164
@rehemaissa6164 2 года назад
Ahsante Sana, nimeanza kufuga na hili SoMo litanisaidia Sana, matamani kuwa na kuku wengi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Karibu sana Mungu awe nawe🙏🙏🙏 Katika ufugaji wako
@MussaMussamubaraka
@MussaMussamubaraka 7 месяцев назад
Elimu nzuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 месяцев назад
Tupo pamoja ndugu
@veronicamwanalinze9532
@veronicamwanalinze9532 3 года назад
Hongereni sana. Mmefuzu vizuri sana, nitajaribu. Asante sanaaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Asante nawe kila la heri 🙏
@ESTERMFUGALE-wp5le
@ESTERMFUGALE-wp5le 7 месяцев назад
Waoh. Asante sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 месяцев назад
Barikiwa pia
@rahayirwacelestin1768
@rahayirwacelestin1768 3 года назад
Good kwa elimu umetupea tuhangalilie sungura
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Pa 1🤝🤝
@ZakariaKapaya
@ZakariaKapaya Месяц назад
Nashukulu kaka kwa somo naitaji kuwa mfugaji mkubwa wa kuku wa kienyeji.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Месяц назад
Karibu sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii
@DaatwoNamkon
@DaatwoNamkon 4 месяца назад
Asante kaka lengo langu nikitaka nianze kufuga kuku Tena wawe wengi, nashukuru kwa somo lako
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa Sana ndugu
@BeatriceKanja-z7r
@BeatriceKanja-z7r Месяц назад
Asante nimepata elimu vizuri san
@AGALUSTV
@AGALUSTV Месяц назад
Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi
@TULIMKUMBWA
@TULIMKUMBWA 4 месяца назад
Asante kwa somo zuri mm nataka nianze tafadhali Bushoke mkono
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@SalmaShabani-ou6gk
@SalmaShabani-ou6gk 4 месяца назад
Ahsante kwa elim hii GOD bless you
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Amen to you
@aggymonyela3775
@aggymonyela3775 3 года назад
Somo nimelipenda sana. Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Narikiwa sana🙌
@MagdaleneMagdalene-rz1sp
@MagdaleneMagdalene-rz1sp 10 месяцев назад
Asante sana barikiwa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 месяцев назад
Amina ndugu nawe pia
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 4 месяца назад
Asante sana kwa mafundisho mazuri.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Tupo PAMOJA NDUGU
@SusanWanjiku-xc1lq
@SusanWanjiku-xc1lq 4 месяца назад
Thank you for your advice brother
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Your welcome
@MarySinaibu
@MarySinaibu 3 месяца назад
Asante sana kwemsada elimu nzur
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Barikiwa pia
@thobiassmollel2608
@thobiassmollel2608 3 года назад
Very nice advise
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Welcome🙏
@veronicagathiru1523
@veronicagathiru1523 4 месяца назад
Asante kwa masomo na marifa. Nitaaza kufuga kuku kienjeji
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji. Na Endelea kufuatilia masomo mengine ktk channel hii Kuhusu ufugaji kuku utajifunza mengi
@ponsianabyarugaba1564
@ponsianabyarugaba1564 Год назад
asante kwa SoMo zuri ukimuyangaya vifaranga kitu Cha Kwanza vifaranga unaanza kuwapa chakula gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
Stater ya vifaranga cha dukani
@AzinaKitery
@AzinaKitery 3 месяца назад
Nashukuru sana Kwa somo lako nitalifsnyia kaz
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@aminamooni1488
@aminamooni1488 3 года назад
Asante. Santa. Nimejifunza. Kitu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Barikiwa sana🙏
@claudiahkinara4053
@claudiahkinara4053 3 месяца назад
Actually May God bless you,I want to start
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Amen 🙏🏿 Your welcome
@agisojephrice4056
@agisojephrice4056 5 месяцев назад
Thank you for lesson
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Your welcome
@alexkisineh
@alexkisineh 3 месяца назад
Hongera sana kwa hilo somo,,mungu akubariki .Nikona swali ,,sasa ukifugia uyo kuku kwa siku nne bila kumpa chakula,,je hataweza kufa ama kupatwa n magonjwa?asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Hawez ndugu. Barikiwa pia
@denismsalasye9213
@denismsalasye9213 3 года назад
Mungu akubariki Sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
amina
@estherokumu8927
@estherokumu8927 4 месяца назад
Asante kwa funzo mazuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿 tupo pamoja
@mardhiahamisi4332
@mardhiahamisi4332 2 года назад
Nimefurahi sana kuanzakujifunza ufugaji bora wa kuku,nawaombea Mungu awazidishie maendeleo ilinasi tupate faida juu ya kukuwa kienyeji nazidikuananya ilinipate elimu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Karibu🙏🙏🙏🙏Amina
@jackurio9848
@jackurio9848 2 года назад
Asante kwa somo nitafanya
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Poa
@praxedachenya4101
@praxedachenya4101 2 месяца назад
Asante kwa somo zuri sana ,swali naomba unieleze jinsi ya kutunza mayai kabla yakumwekea kuku kulalia
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 месяца назад
Sawa ndugu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 месяца назад
Sawa ndugu
@SurprisedDrumKit-sn9so
@SurprisedDrumKit-sn9so 6 месяцев назад
Asante kwa darasa nawezaje kupata vifaranga au kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 месяцев назад
Upo wapi ndugu
@LinetMaranga-t2t
@LinetMaranga-t2t Год назад
Like this one nitakuwa mfugachi
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
Welcome
@youniyou2059
@youniyou2059 3 года назад
Asante saana kwa hunielimisha kuhusu kulea kuku asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Ok kuhusu kulea vifaranga somo hili 👇ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-4xqTBAKBHs4.html ila kwa maelezo zaidi tuwasiliane wasap tu. +255765467484
@FelisterNgajua
@FelisterNgajua 4 месяца назад
Some lako nimelipenda ubarikiwe sanaaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@tinalulule917
@tinalulule917 5 месяцев назад
Good thank you
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Welcome
@babamando7629
@babamando7629 3 года назад
Asanten San. UK vizur
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Pa1🙏🤝
@theresiawapalina1988
@theresiawapalina1988 4 месяца назад
Nineshukuru sana kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa Sana ndugu
@euzebiayotham6459
@euzebiayotham6459 3 года назад
Asante kwa somo zuri kuku ukinyanganya vifaranga halafu ukamnyima chakula ck tatu hawezi kufa na njaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Hawez Amin ivyo 🙏
@adelimarsialphonce818
@adelimarsialphonce818 Год назад
Asante nimejifunza kitu je kuku akianza kuvimba macho na umeshampa dawa ya mafua unafanyeje
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
KWENYE MACHO UKIFUNGUA KUNA VITU VYEUPE AU
@TresorVikalava
@TresorVikalava 4 месяца назад
Ubarikiwe sana na Mungu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Amina ndugu barikiwa pia
@charleskyando6255
@charleskyando6255 4 месяца назад
Good,wengi hatujui
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Hakika ndugu
@Batulimussa
@Batulimussa 2 месяца назад
Nashukuru kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 месяца назад
Tupo pamoja sana ndugu
@merymrema420
@merymrema420 3 года назад
Ubarikiwe samo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Pa1🤝
@sylivialingo5438
@sylivialingo5438 3 года назад
Asante sana kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Asante sana Ubarikiwe🙏🙌
@mwanamisihamisilibondo9541
@mwanamisihamisilibondo9541 3 года назад
shukran kwa somo. ubarikiwe ndugu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Amina Kubwa🙏
@feniussimon5822
@feniussimon5822 3 года назад
Japo napata taalifa leoo ngoja nijarbuu
@feniussimon5822
@feniussimon5822 3 года назад
Njia ya kuku kutaga kwa mapemaa tafadhar naombaa msaadaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Karibu sana
@raymondonyona.2736
@raymondonyona.2736 Год назад
Nimelipenda somo lako la ufugaji kuku wa kienyeji. Niko Mza Tz.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
Hongera Sana ndugu karibu tuzid Kujifunza kupitia channel hii
@OTAIGOMNANDE-kh7ny
@OTAIGOMNANDE-kh7ny 4 месяца назад
Ubarikiwe kwa some zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@marthaokerio7336
@marthaokerio7336 3 года назад
Thank you that is a very good lesson i like it God bless you.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Amen🙏
@RehemaMgeni-k6m
@RehemaMgeni-k6m Год назад
Ahsante
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
Tupo pamoja
@magrethmbogela3401
@magrethmbogela3401 2 года назад
Asante kwa maarifa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Barikiwa sana Ndugu
@BossLoshilu-j8k
@BossLoshilu-j8k 8 месяцев назад
Good hakili Mingi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 месяцев назад
Pamoja ndugu
@marykundi4170
@marykundi4170 3 года назад
Thanks.a very good tuition
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Be blessed🙏
@MussaMussamubaraka
@MussaMussamubaraka 7 месяцев назад
Elimu nzuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 месяцев назад
Barikiwa Sana ndugu
@mirriamjohn5885
@mirriamjohn5885 3 года назад
Somo zuri sana nitajaribu tu.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Karibu sana🙏 Kwenye hii mbinu
@tatujumwa8510
@tatujumwa8510 4 месяца назад
Somo zuri, asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa pia. Tunakutakia utekelezaji tu
@PeterNjoni
@PeterNjoni 4 месяца назад
Asante kwa somo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa pia
@elikandone
@elikandone 4 месяца назад
Thanks alot
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Be blessed
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад
Asante sana bro
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Tupo pamoja ndugu
@aminachoga9266
@aminachoga9266 5 месяцев назад
Shukran ❤❤
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Barikiwa pia ❤️🔥🙏🏿
@danielmwakatuma1438
@danielmwakatuma1438 3 года назад
Nashukur kwa ushauri namiongozo.mbarikiwe.je hamna vitabu kwa ajili ya ufugaji wa kuku.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Vitabu vipo
@shabanimsemwa1202
@shabanimsemwa1202 3 года назад
Asante sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Pa1🙏
@nazleenibrabim
@nazleenibrabim 4 месяца назад
Kitabu pesa ngapi​@@AGALUSTV
@FaustaMgina-ko4ji
@FaustaMgina-ko4ji 4 месяца назад
Nimelifurahia somo zuri.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa pia
@baidrufamau6033
@baidrufamau6033 3 года назад
ASSALAMU ALAIKUM wabatakatuh Mm nategemea kazi yadereva na ningependa kuwa mufugaji nimejaribu maranyingtu kwa kutumia wenzangu lakini sajafaulu nakuiaca kazi nawona ngumu mana ndo kula yangu navile navyo Iona kazi ya ufugaji inaweza kulipatu lakini kulingana namajukumu nilio nayo uwa nashindwa kuka nyumbani waweza nipa ushaurigan mwenzio kwajina badru f kutoka ug nitafurai ukinijibu asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Ufugaji ni kaz na inahitaji umakini sana umpte mtu Unae mwamini. Kwa ufupi Kama utaweza karibu tufanye kaz nasi. Tutakusimamia. Kwa maelewano nafuu. Karibu🙏 Wasap namba +255765467484 kwa wasap tu.
@pmgpmg7717
@pmgpmg7717 3 года назад
Funzo zuri sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Pa1🙏🤝
@AllySengao
@AllySengao 3 месяца назад
Mungu akupe kaul thabit il uendlee kutoa som zur zaid
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@henrygabriel2892
@henrygabriel2892 3 месяца назад
kipindi hiki kinapatikana lini mimi ndiyo nimekiona sasa hivi
@karenjacob5175
@karenjacob5175 3 года назад
Nimeelew kaka asant kwa somo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Pa1 sana, 🤝🤝🤝
@estherchebet6705
@estherchebet6705 3 года назад
Good lesson
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Welcome🙏
@GuneMphuru
@GuneMphuru Год назад
Ni elimu na ujuzi tosha kabisa 👍
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
Tupo pamoja ndugu
@mariamumbapirafreefaturt9644
@mariamumbapirafreefaturt9644 3 года назад
Naomba munifahamishe sehemu nzuri namaanisha mazingira mazuri ya kufuga kuku wastawi bila bugdha mahitajj ya vyakula ili update mifugo mingi na bora Mimi ni mgeni nataka kuanza ufugaji naomba msaada
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Karibu kwenye ufugaji naomba ufuatilie somo hili👇 mambo ya kuzingatia ili upate mbegu bora ya kuku w kienyeji. Unapo anza kufunga ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-N-DBOzac8pU.html
@SamweliKereine
@SamweliKereine 5 месяцев назад
Somo safi lakini nauliza swali mm nina kuku kwenye mazingira yenye jua Kali au joto halafu wanamlalia mayai wanaacha bila kutatoa nitafanyaje hapo?
@jumannesama3357
@jumannesama3357 3 года назад
Tunashukuru kwafaids
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Pa1🤝🤝
@NickoMapikipik
@NickoMapikipik 11 месяцев назад
Nimeipenda
@AGALUSTV
@AGALUSTV 11 месяцев назад
Barikiwa Sana ndugu
@LinusMbezi
@LinusMbezi Месяц назад
Asante bro
@AGALUSTV
@AGALUSTV Месяц назад
Tupo pamoja
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 года назад
Asante .
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Barikiwa
@JeanClaudeNtirenganya
@JeanClaudeNtirenganya 4 месяца назад
Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Karibu Sana ktk ufugaji
@fatheroficial5943
@fatheroficial5943 5 месяцев назад
Hii inakitu safi 👏
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Barikiwa Sana ndugu
@magrethmbogela3401
@magrethmbogela3401 2 года назад
Asanten
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Barikiwa pia
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 3 года назад
Nimependa sana ninapenda KuFa nga kuku nitajalibu asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Barikiwa sana🙏🙌
@LameckMachemko
@LameckMachemko 5 месяцев назад
Engineer machemko from 🇹🇿 nimekubari uzalishaji wenu wa kuki
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Barikiwa Sana Engineer
@omaruwakitaa
@omaruwakitaa 8 месяцев назад
Asante mwalimu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 месяцев назад
Pamoja ndugu
@judithwanjiku4102
@judithwanjiku4102 3 года назад
Somo nzuri hio, ningetaka kujua chenye inafanya kuku wawe na miguu ya yellow,
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Hatuja elewa fafanua vizur kidogo una maana rangi ya miguu kua yellow kw muonekano au
@judithwanjiku4102
@judithwanjiku4102 3 года назад
@@AGALUSTV Hello, ndio namaanisha kwa maonekano kwa miguu na kwa mdomo ni yellow,
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Ok tumekupata ngoja soon🙏🙏 kua na subira kidogo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Miguu kua yellow usababishwa na mambo 2 la 1. Ni urithi yaaani vinasaba (genes) au 2. Ulaji wa mahindi kwa wingi yaani nafaka za mahindi kwa wingi 👉Japo haina madhara kwa kuku🙏
@judithwanjiku4102
@judithwanjiku4102 3 года назад
Nashukuru sana,ntawapa mahindi kwa wingi.
@davidshekighenda5206
@davidshekighenda5206 3 года назад
Maarifa mazuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Hakika🙏
@beautykamaghe9778
@beautykamaghe9778 3 года назад
Asante nimejifunza naweza kupata kitabu wap nipo mtwara mjin
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Ucjari tunamalizia kukiandaa
@zainaomarsalim9633
@zainaomarsalim9633 2 месяца назад
Assalamu alaykum mimi niko Zanzibar naomba kufahamu jinni ya kulea vifaraga
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 месяца назад
Vifaranga ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-bj5xRWqzhhM.html
@tunsumemwajumba7149
@tunsumemwajumba7149 Год назад
Pamoja sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV Год назад
Barikiwa
@Upendolema-jc5dh
@Upendolema-jc5dh 4 месяца назад
Asante nimefurahiasomo nitaendeiea kufatili mwalimu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@jafarikanju3380
@jafarikanju3380 3 года назад
Mimi naomba kufahamu njia nzuri ya kutunza hawa vifaranga walionyang'anywa kwa mama yoa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Somo lao hili apa👇👇 la kulea vifaranga ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-4xqTBAKBHs4.html
@AshamMussa
@AshamMussa 5 месяцев назад
Allah akubarik kwa SoMo laki mashaallah
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Amina ndugu nawe iwe heri pia
@rosembwambo6079
@rosembwambo6079 5 месяцев назад
Naomba elimu kulea vifaranga bila mama yao...pia bila kutumia madawa ya dukani....
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Andika you tube jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA taratibu. Tiba asili kwa vifaranga hapana angalau wafike mwez
@dometngwenga3588
@dometngwenga3588 3 года назад
Asante kwa elimu nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Barikiwa🙌
@ernestthomas3866
@ernestthomas3866 3 года назад
Unafundisha vizuri sana,je vipi whatsup group
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Asante tupo pa 1 kwa wasap bado kidogo ila tupo njiani🙏🙏
@ammakhan2239
@ammakhan2239 4 месяца назад
Habari kaka unapatikana wapi... Asante sana kwa somo lakoo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa Sana ndugu
@flotheashayo6233
@flotheashayo6233 3 года назад
Thanks sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Pa1🤝🤝
@gladysNangao
@gladysNangao 2 месяца назад
Niko Kilifi Kenya nashukuru kwa somo hili la kuwa na kuku wengi kwa muda fupi. Ningependa sana kujua jinsi ya kulea vifaranga baada ya kuvichukua toka kwa mamayao, pia na ile mimea inayo tumika kama dawa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 месяца назад
Jinsi ya kulea vifaranga ru-vid.com/group/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b
@juliettesagamiko5877
@juliettesagamiko5877 3 года назад
ELIMU nzuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Pa1🙏
@HadijaKidunda
@HadijaKidunda 4 месяца назад
Hili somo nimelipenda sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@HadijaKidunda
@HadijaKidunda 4 месяца назад
@@AGALUSTV Asante sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Endelea Kujifunza zaidi ufugaji kuku, kulea vifaranga, magonjwa, dawa za kuku, mbinu mbalimbali za ufugaji kuku, tiba asili, chanjo za kuku pia. Video zote zipo
@gaudenciqshayo7859
@gaudenciqshayo7859 3 года назад
Nashukuru kwa Elimu ya ufugaji nimejifunza mengi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Barikiwa🙌
@marykiula501
@marykiula501 2 года назад
AHSANTE sana nimeelewa na akiwa anataga yupo ktk hicho kiota nisimtoe nje mpk amalize izo siku 21 za kutotolesha au mana nitakua nimemwekea maji na chakula kama ulivyotumbia
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 года назад
Mpaka amalize mayai yote yaani hakuna uwezekano wa kuangua tena mayai
@FarashuuNassor
@FarashuuNassor 14 дней назад
Kuku anachukuwa siku ngapi katika kuangua??? Yaan ameshalalia siku 21 tayar, sasa pale akianza kutotoa vifaranga ANACHUKUWA SIKU NGAPI
@florahkuhabwa5228
@florahkuhabwa5228 3 года назад
Somo Zuri sana.I like lakini hawa kuku wa kienyeji si wanahitahitaji kutoka nje muda mwingine wapate madini na wadudu ?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Ni kweli kabisa kila cku jion uwe unawatoa
@paulobura1597
@paulobura1597 3 года назад
Napenda sana kufuga kuku kuwa na elemu ni muhimu sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 года назад
Ni kweli🙏
@hojakasamalu8233
@hojakasamalu8233 3 месяца назад
Ufugaji safi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Hakika ndugu
Далее
Исповедь / Мася
2:47:10
Просмотров 183 тыс.
Думайте сами блин
18:15
Просмотров 602 тыс.
Mbinu 8 za Kupata kuku bora wa Kufuga wa kienyeji
14:11
JINSI YA KUPATA KUKU 100 WA KIENYEJI KWA MIEZI 3 TU
10:29