Nipo Zambia,nimeanza kufuga kuku baada ya kuingia utube na kuiona channel ya Agalus,vema na shukrani kabisa.changamoto vifaranga wangu wadogo wanazima njia ya haja kubwa na wanakufa sana,natumia dawa ya sulfa..nachanganya na antibiotics,lakini matokeo bado si fresh,usafi wa chumba na kutoa maji ya kutosha umezingatiwa sana,naomba suluhu ya kitaalam.
Hongera sana kwa hilo somo,,mungu akubariki .Nikona swali ,,sasa ukifugia uyo kuku kwa siku nne bila kumpa chakula,,je hataweza kufa ama kupatwa n magonjwa?asante
Nimefurahi sana kuanzakujifunza ufugaji bora wa kuku,nawaombea Mungu awazidishie maendeleo ilinasi tupate faida juu ya kukuwa kienyeji nazidikuananya ilinipate elimu
Ok kuhusu kulea vifaranga somo hili 👇ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-4xqTBAKBHs4.html ila kwa maelezo zaidi tuwasiliane wasap tu. +255765467484
ASSALAMU ALAIKUM wabatakatuh Mm nategemea kazi yadereva na ningependa kuwa mufugaji nimejaribu maranyingtu kwa kutumia wenzangu lakini sajafaulu nakuiaca kazi nawona ngumu mana ndo kula yangu navile navyo Iona kazi ya ufugaji inaweza kulipatu lakini kulingana namajukumu nilio nayo uwa nashindwa kuka nyumbani waweza nipa ushaurigan mwenzio kwajina badru f kutoka ug nitafurai ukinijibu asante
Ufugaji ni kaz na inahitaji umakini sana umpte mtu Unae mwamini. Kwa ufupi Kama utaweza karibu tufanye kaz nasi. Tutakusimamia. Kwa maelewano nafuu. Karibu🙏 Wasap namba +255765467484 kwa wasap tu.
Naomba munifahamishe sehemu nzuri namaanisha mazingira mazuri ya kufuga kuku wastawi bila bugdha mahitajj ya vyakula ili update mifugo mingi na bora Mimi ni mgeni nataka kuanza ufugaji naomba msaada
Karibu kwenye ufugaji naomba ufuatilie somo hili👇 mambo ya kuzingatia ili upate mbegu bora ya kuku w kienyeji. Unapo anza kufunga ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-N-DBOzac8pU.html
Miguu kua yellow usababishwa na mambo 2 la 1. Ni urithi yaaani vinasaba (genes) au 2. Ulaji wa mahindi kwa wingi yaani nafaka za mahindi kwa wingi 👉Japo haina madhara kwa kuku🙏
Andika you tube jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA taratibu. Tiba asili kwa vifaranga hapana angalau wafike mwez
Niko Kilifi Kenya nashukuru kwa somo hili la kuwa na kuku wengi kwa muda fupi. Ningependa sana kujua jinsi ya kulea vifaranga baada ya kuvichukua toka kwa mamayao, pia na ile mimea inayo tumika kama dawa
Endelea Kujifunza zaidi ufugaji kuku, kulea vifaranga, magonjwa, dawa za kuku, mbinu mbalimbali za ufugaji kuku, tiba asili, chanjo za kuku pia. Video zote zipo
AHSANTE sana nimeelewa na akiwa anataga yupo ktk hicho kiota nisimtoe nje mpk amalize izo siku 21 za kutotolesha au mana nitakua nimemwekea maji na chakula kama ulivyotumbia