.......so kwmba haiwezekn kupik biriani na mchl wa kawaida inawezekn sana tu na inakua tamu hatri..sema tu lbda ule muonekn wa mchele hautakua pow coz pishori unakua mrfu afu unachambuk vizur...ila yote na yote ni upishi wako tu ila mchele wa kawaida unawezekn sana tu...ukisem haiwezekn kun sehm zingne basmt hauptkn na mtu anaanglia kipnd anatmn kupik birian anakusikia unasem mchel wa kawaid hauwezkn unamktisha tamaa...mpishi mzur lazim awe na option...ila unapik vizur chef keep it up...
Ungekuwa unatuonesha jamanivitu kama hivoNdani ya Sufuria unatuonesha inakuwaje na pia Hiyo rangiwenngine tutaweka rangiza Mikeka tuoneshe chupayake Nilitamani kuonandani ya sufuriajamani aweew navoipenda bilianiNaje kama sina Nazi naweka nini jamanii