Тёмный

JINSI YA KUPIKA BIRIANI/ Mahitaji/Mapishi na Zamaradi TV 

ZamaradiTV
Подписаться 252 тыс.
Просмотров 23 тыс.
50% 1

#Mapishi #ZamaradiTV

Развлечения

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 45   
@neylicious_mollel5194
@neylicious_mollel5194 4 года назад
.......so kwmba haiwezekn kupik biriani na mchl wa kawaida inawezekn sana tu na inakua tamu hatri..sema tu lbda ule muonekn wa mchele hautakua pow coz pishori unakua mrfu afu unachambuk vizur...ila yote na yote ni upishi wako tu ila mchele wa kawaida unawezekn sana tu...ukisem haiwezekn kun sehm zingne basmt hauptkn na mtu anaanglia kipnd anatmn kupik birian anakusikia unasem mchel wa kawaid hauwezkn unamktisha tamaa...mpishi mzur lazim awe na option...ila unapik vizur chef keep it up...
@angelbwija9547
@angelbwija9547 4 года назад
Mashallah, tapima leo kupika Biriani 👌👌👌
@neylicious_mollel5194
@neylicious_mollel5194 4 года назад
....alaf da zama mbona anaye shuti hashut kweny sufuria tuone jmni ye anashut tu mpishii ndo nini..tunatakiwa tuone chakul ndni ya sufuria kinavokua...mnatutesa jmni watazamaji sie...
@jacksonmala6139
@jacksonmala6139 3 года назад
Kwel asee aoneshe vinavyopikwa
@musokedios8162
@musokedios8162 4 года назад
Hata Michele was kawaida unaweza upika ukipata grade one, na mtamusana
@rithaclement8259
@rithaclement8259 Месяц назад
Camera Iko mbal hatuon vzr
@salumungohu5413
@salumungohu5413 Год назад
Je unaweza ukapalilia kwa juu na makaa ya moto
@sporahsende9738
@sporahsende9738 2 года назад
Chef nimekuelewa
@luqmannassir5279
@luqmannassir5279 Год назад
manke sijaelew ivo vitu ulivo weka
@cchuwa6980
@cchuwa6980 3 года назад
Unagonga sufuria sana mpishi
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 4 года назад
Shukran chef 👨‍🍳 fundi wa jiko fundi wa taifa 😘😘😘😘
@worldlyricssongs6141
@worldlyricssongs6141 4 года назад
Chef himself
@tedysimon5400
@tedysimon5400 4 года назад
Niceeee
@bihawarashid1511
@bihawarashid1511 Год назад
Naomba kuliza ainagani ya mchele unaopika biriani au unaitwaje huo mchele
@a.856
@a.856 4 года назад
Thanks
@doncandy8919
@doncandy8919 2 года назад
👏👏👏👏👏
@noelamussa9412
@noelamussa9412 4 года назад
Uko vizuri, lakini camera ipo sehemu moja napenda kuona ndani ya sufuria au pale unapochanganya rangi vile ukipindua inakuwa
@doricebilauri5081
@doricebilauri5081 Год назад
Kwaio iyo ndo birian..
@rosembowe8779
@rosembowe8779 2 года назад
Mimi najua biriani ni mchuzi ,mbona hapo ni wali tupu
@azizacleny8677
@azizacleny8677 4 года назад
Sem hpo unakoroga kam mboga mweeeee ila hii birian ni rahis nshaipenda
@issakepa4159
@issakepa4159 4 года назад
Mbona Amepika tu wali peke yake tunaomba aonyehe jinsi ya kupika kuku au nyama kulia huo wali wa biryan
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 4 года назад
Mimi ninachojua biliani ni losti ndio inaitwa biliani ila uwo wali ni raisi kupika so why upike walitupu kaka bila kutuonyesha mchuzi wake
@luqmannassir5279
@luqmannassir5279 Год назад
ayo madude uloweka km ya rngi yakijani ni kit gn
@elicemichael3851
@elicemichael3851 Год назад
hakupika sosi ya birian
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 3 года назад
Nan mwingine kaona mfuniko wa sufuria hauna mshikio cheaf anaungua mkono
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 3 года назад
Hahahaha
@fetychina3273
@fetychina3273 2 года назад
Kwaiyo hiyo ndio biyani👀👀
@babymansouth1164
@babymansouth1164 4 года назад
Ungekuwa unatuonesha jamanivitu kama hivoNdani ya Sufuria unatuonesha inakuwaje na pia Hiyo rangiwenngine tutaweka rangiza Mikeka tuoneshe chupayake Nilitamani kuonandani ya sufuriajamani aweew navoipenda bilianiNaje kama sina Nazi naweka nini jamanii
@halimamusa2797
@halimamusa2797 4 года назад
kennedy wanjara 🤣🤣🤣eti rangi ya mkeka
@babymansouth1164
@babymansouth1164 4 года назад
@@halimamusa2797 😂😂😂Waanikweli
@jocelyneinarukundo3655
@jocelyneinarukundo3655 4 года назад
can anyone tell me :mudalasini, hiriki, in english pls?
@veeJesus
@veeJesus 4 года назад
Cardamom is iliki
@veeJesus
@veeJesus 4 года назад
Cinnamon is mdalasin
@angelbwija9547
@angelbwija9547 4 года назад
Mudalasini =CINNAMON Hiriki=CARDAMOM in English 👍
@jocelyneinarukundo3655
@jocelyneinarukundo3655 4 года назад
@@angelbwija9547 thank u dear
@Ammarah0688
@Ammarah0688 Год назад
Jina la baba lenyew gumu sa ushindwe kujua kiswahili nyarukundo ni wa wasukuma
@juhudikilimo8480
@juhudikilimo8480 3 года назад
Pia ukichuja maji Kam Hun tuwi la nazi utatumia nn au
@doreenakoth2089
@doreenakoth2089 4 года назад
Huyo mtu wa camera ana shida gani😂
@afrikkanmukbang9734
@afrikkanmukbang9734 4 года назад
Yaaani... Hata baada ya chakula kupakuliwa, anatuonesha mpishi tuuuu😂
@hawahawa8166
@hawahawa8166 4 года назад
Hakuna mpishi hapo
@afrikkanmukbang9734
@afrikkanmukbang9734 4 года назад
Kwanini?
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 3 года назад
Zamarad mwambie kuna huyu Nasma Farms LTD kaz yake kulima alafu yeye atakua anapika au kaesha oa jàmàñ
@juhudikilimo8480
@juhudikilimo8480 3 года назад
Iv unatakiwa ukauke kabisa
@khadijaamour7654
@khadijaamour7654 4 года назад
Wali wa nazi huo sio biriani
@luqmannassir5279
@luqmannassir5279 Год назад
manke sijaelew ivo vitu ulivo weka
Далее
#TBCMEKONI - JIFUNZE JINSI YA KUPIKA BIRIANI
27:31
Просмотров 301 тыс.
How To Make Swahili Biriani | Chef Ali Mandhry
11:40
JIFUNZE JINSI YA KUPIKA BIRIANI/MAHANJUMATI
29:14
Просмотров 77 тыс.
BIRYANI TAMU NA RAHISI SANA
5:22
Просмотров 123 тыс.
Jinsi ya kupika supu ya ngo’mbe (Beef soup )
9:23
Просмотров 583 тыс.
Иначе поставят 2
0:10
Просмотров 2,3 млн
Иначе поставят 2
0:10
Просмотров 2,3 млн
🧯Это Москва детка 🤣
0:46
Просмотров 12 млн