Mashaallah nakupenda tu sna unamoyo wakipekeyo unatia mtu hamu ususani wadda wanayo nilia kazi apa unapata ubunifu unasongesha maisha mungu abariki kazi yko amen
Thank you a lot nimejarb jana kwa mara ya 3 mara 2 zote zilitokag ugal 😭😭 ila ya jana kila mtu ali I kubal nakushukur saan nimefata stage zote na nilipikia gas asante saan una ni inspire saan 😍🙏🏾
Mungu awabariki sana napika keki nzuri napika mikate napika skonzi nakanda fondant, maandazi ambacho bado ni chapati tu najivunia Mziwanda mmenifundisha mengi.
Kazi nzuri Mashaallah... Nini hufanya keki kufura na kupasuka hivyo? na je haiharibu quality ya keki? Mimi hukasirika kweli zikitoka hivyo Sijui Kwanini.... Naona ni Kama sijaweza kupika
Yan navopenda mapish hapo umenikamata keki huwa natengeneza ila nilikuwa stumii hvo vyote nmejifunza ujuzi asante sana mm inapasuka sio kama yako nitajaribu naiman nitaweza
@@mziwandabakers8297 Dada mziwanda nimekutumia WhatsApp Tayari sms halafu hizo panel za keki unaziuzaga?pia tuletee recipe ya afu keki na siku ingine utufundishe kupikia keki kwa jiko LA Mkaa et ccy
Shukran saana nikinunua oven nitaanza rasm kutengeza cup cake aiseee...nachofurahia zaid watumia vitu ambavyo kila mtu atakula na family yako pia yaweza kula mana hizi improver kwa kwel sizipendagi mimi
Duh Mziwanda WANGU we kiboko unanipa moto wa kufanya kitu walah tena Mungu akupe zaidi mpnz kweli fursa ya mwanamke ipo mikononi mwake ngoja nichangamkiie fursa nilikua kila nikipika inatoka ugali nachukia mpaka nikakata tamaa Dada.
Wow! Napenda sana unavyooka keki zako, napenda pia unavyoelezea.. Sasa Nina swali.. Oven hii uliinunua TZ? Hongera... Nitaanza nami pia.. Very soon.. God bless you sister
Jamani mm nimejifunza hapa Kila mkiposti nimejua kupika keki vizuri sana na kupamba mbarikiwe Lakini Kuna vitu nilitamani kujua zaidi, sijui ntawapataje niwe mwanafunzi mana namba yenu ya wsp ninayo lakini Huwa sijibiwi nikiuliza sawa msaada Kwa Hilo pls