Тёмный

Jinsi ya kupika mkate wa kumimina(Mkate wa Mchele)/ How to cook Rice cake on charcoal stove 

Mapishi Tanga
Подписаться 17 тыс.
Просмотров 114 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 162   
@hermandemello2200
@hermandemello2200 Год назад
Ty so much Mapishi TangaTanznia for the awesome lovely Mkate wa kumimina recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow absolutely amazing. My home Town cooking hand's.
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Thanks
@kulthumosman3448
@kulthumosman3448 3 года назад
Ma Shaa Allah... Mkate wa kiasili na umeupika kiasili...Allah ahifadhi ujuzi wako
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran, asili yetu hiyo😘
@kulthumosman3448
@kulthumosman3448 3 года назад
@@mapishitanga9861 sisi husema "mkate wa Tanga wenye matundu".. Ma Shaa Allah
@pambasafient1693
@pambasafient1693 Год назад
Mashallah very simple explanation.
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Asante sana
@yasminsamjoo315
@yasminsamjoo315 27 дней назад
Very nice excellent
@ummsalamahrashid7920
@ummsalamahrashid7920 3 года назад
Shukran habibty kwa mkate wa sinia mashaa Allah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Ahsante,karibu tena
@Khairaat.
@Khairaat. Год назад
Waleykmsalaam warahmatullah wabarakatuh MASHAALLAH
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Asanteee
@Betha-c3t
@Betha-c3t 10 месяцев назад
Waooo safi sana❤
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 10 месяцев назад
💜💜💜
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 3 года назад
Mashallah napenda mzuri sana huo ndio mkate sio ule wa sponge .
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran ... Karibu tena
@salhasaidsalhasaid8346
@salhasaidsalhasaid8346 3 года назад
Masha allah mungu akubarik mkate mzuri unavutia
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Amiin amiin shukran hbbty
@ZaynabB-rl3fx
@ZaynabB-rl3fx Год назад
MashaAllah Tanga rahaa
@mwanakombokadaupovizuridea3224
Upo vizuri sana nakukubali
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Asante ndugu yangu, tukopamoja
@fatnas9689
@fatnas9689 Год назад
Dah pambe nimekukubali ❤
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Asanteee, karibu tena
@AdejaAhmad-uq4wj
@AdejaAhmad-uq4wj Год назад
Masha allah
@hamadkhamis7869
@hamadkhamis7869 Год назад
Ukoo vizurii
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Asante sana
@sofialion4925
@sofialion4925 3 года назад
Mashaallah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran 😍😍😍
@MaryKasunga-im9km
@MaryKasunga-im9km 3 месяца назад
Asante snA nmependa na rahis mnooo
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 месяца назад
Karibu❤️
@fatumamorris7581
@fatumamorris7581 5 месяцев назад
MashaAllah
@priscamaftaha3202
@priscamaftaha3202 Год назад
Be blessed my dear
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 10 месяцев назад
You too💜
@b.t.staynah6862
@b.t.staynah6862 3 года назад
Dah nimetafuta kwa mda mrefu video ya hii kitu kwa kutumia mkaa💞
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran, karibu tena
@b.t.staynah6862
@b.t.staynah6862 3 года назад
@@mapishitanga9861 Asante
@mamunote3507
@mamunote3507 3 года назад
Mashallah Mashallah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran
@neelam507
@neelam507 3 года назад
Asante sana ndugu...👌👌👌👌👌👍💕
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran dear
@asilahasila
@asilahasila 3 года назад
Mashallah very nice
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran🙏
@ashunmohd9182
@ashunmohd9182 2 года назад
Ah zanzibar hatuna Michele mizuri
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Hata vip hakuna?
@latwifamaliki9341
@latwifamaliki9341 2 года назад
mashaAllah simple and clear
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asante
@timashee6330
@timashee6330 Год назад
Wow mashallah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Asante
@Mohsigna1
@Mohsigna1 2 года назад
Mashallah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asante Aziza
@karakairasa2161
@karakairasa2161 2 года назад
Maa shaa Allah.
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asante
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 года назад
Zur mashaallah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran
@mwanamisiyussuff6247
@mwanamisiyussuff6247 Год назад
Mashallah nitajaribu kupika nami
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Asante
@fatumahatibu2825
@fatumahatibu2825 2 года назад
Mapishi mazuri mama
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asanteee
@raiyaomary1988
@raiyaomary1988 2 года назад
Asante tena kiasiri.zaidi wengine hatuna maoveni
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asante sana, karibu tena
@zainabmwaibu7437
@zainabmwaibu7437 2 года назад
I like
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Thanks
@GiftIddy-k2f
@GiftIddy-k2f 2 дня назад
Mkate mdhuli sanaaa
@Daniella249
@Daniella249 5 месяцев назад
Nimekuelewa vizuri nitajaribu naamini nitaweza
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 5 месяцев назад
Utaweza tu hbbty❤️
@haifzasumra7665
@haifzasumra7665 2 года назад
Masha Allah very nice rice cake when I came to Kenya I like to meet u can u tell your name my is Hafiza I will keep in touch with u 😉
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
i'm Amira ...Thankyou😊😊😊
@umsalem1081
@umsalem1081 Год назад
♥️💚
@PhilimoniDaudi-ir9lv
@PhilimoniDaudi-ir9lv 3 месяца назад
😮
@mamanino7607
@mamanino7607 3 года назад
Maashaallah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Asante
@asyasuleiman7687
@asyasuleiman7687 2 года назад
Ma Shaa Àllah lkn mkate wako una tundu sana nimependa tundu za nyuiki je Michele wako una usagaje laini sana au
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asante , unausaga kama kawaida lzma uwe laini, usipolainika mkate utakuwa na machenga sana alafu tundu huzipati
@nuruvinny5141
@nuruvinny5141 3 года назад
Laku mimina ilo mashallah tanga atukosei
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
😅😅Asanteee
@il-hamabass7231
@il-hamabass7231 3 года назад
😘
@shalinibabla9634
@shalinibabla9634 3 года назад
Very nice am from mumbai lakini nimezaliwa mtwara. Dada yangu is it possible to bake in oven or gas cooker n how can u explain.
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Thankyou... its possible both ways but nita demonstrate how to cook by using the oven in my coming videos. Ila ya Gas cooker i have no experience.
@doriskabogo3743
@doriskabogo3743 3 года назад
Asante
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran
@gabrielleonard6971
@gabrielleonard6971 2 года назад
Unajua kuelekeza
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asante
@fadumosamantar8951
@fadumosamantar8951 3 года назад
MashaAllah 🥰
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Asanteee🥰🥰
@khadegaseed1413
@khadegaseed1413 Год назад
Mashaallh but natak kujuwa saizi y kusaga mchele unawacha n machega au vip
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Huwachi machenga unasaga mpaka uwe laini kabisa
@PhilimoniDaudi-ir9lv
@PhilimoniDaudi-ir9lv 3 месяца назад
Na Mimi pia nitajaribu
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 месяца назад
Karibu❤️
@munasayed8657
@munasayed8657 3 года назад
Maa shaa allah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran🙏
@mariambintsaid3814
@mariambintsaid3814 3 года назад
Shuqran
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
You're welcome😍😍😘
@yasminramadhan5973
@yasminramadhan5973 2 года назад
Nnzur
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asante
@Mujanja1
@Mujanja1 Год назад
Hi naeza kutumia unga wa Michele kama Sina Blender
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Nafkiri inawezekana lkn mimi nimezoea hivyo nilivyotengeza
@mollymwenitumba6641
@mollymwenitumba6641 3 года назад
Naomba recipe ya vitumbua vya Tanga.
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
In shaa Allah.... tutajitahid kuitengeneza
@mustafaalloo81
@mustafaalloo81 3 года назад
Mashallah, unachukuwa order?
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Yess tunapokea order kwa Instagram @mapishi_tanga2
@mustafaalloo81
@mustafaalloo81 3 года назад
@@mapishitanga9861 naomba whatsapp yako, mimi nipo dar es salaam
@mustafaalloo81
@mustafaalloo81 3 года назад
@@mapishitanga9861 thanks
@mwajabusteven8461
@mwajabusteven8461 2 года назад
Kama huna blenda unaweza twanga kwenye kinu
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Inafaa pia
@yusrayushau641
@yusrayushau641 2 года назад
Waweza kutumia maj badala ya tui ya nazi???
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Shogaangu utakuwa sio mzuri hata ladha pia sio sawa na ukiweka nazi
@aishajuma6706
@aishajuma6706 19 дней назад
Robo.mchele je..vipimo vyake je alafu kama huna nazi waezatumia maji
@dengahmediatz1230
@dengahmediatz1230 Год назад
Mbn hujaweka sukari
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Nimeweka angalia vizuri
@user-fk2ls5nt5h
@user-fk2ls5nt5h 7 месяцев назад
nimependa ulivyo elekeza lakini pia huwezi kumtumia maji na maziwa pee
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 7 месяцев назад
Shukran❤.....Ila ukiweka maji unakuwa mgumu.... kwhyo nakushauri bora utumie nazi tuh
@mariamumohamedi4047
@mariamumohamedi4047 4 месяца назад
Inafaa mchele kusaga mashineni?
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 месяца назад
Ndio
@alicemtui91
@alicemtui91 2 года назад
Jamn mm nikipika unagandia kweny sufuria sijui nakosea wap Alf hauwi na nyamaa naomba unambie nakosea wap mamy
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
kutokuwa na nyama inakuwa umezidisha tui ..na kuganda kwenye sufuria inabid usitoe mkate kabla haujapowa..mfano ukiupika asubuh unautoa jioni.
@alicemtui91
@alicemtui91 2 года назад
Asante nitafanyia kaz ushaur wako
@sofaykenay8626
@sofaykenay8626 Год назад
Nauliza unaweza tumia maziwa badala ya Nazi?????
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Mkate hauwezi kuwa mzur
@rebecasipilina7793
@rebecasipilina7793 2 года назад
Niko na swali....lazima mtu atumie nazi akipika mkate wa sinia?
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Lazima, hiyo nazi ndio inayofanya mkate uwe na tundu tundu na ladha nzuri pia. Bila nazi hauwi mkate l
@rebecasipilina7793
@rebecasipilina7793 2 года назад
@@mapishitanga9861 ooh ni sawa asante
@rebecasipilina7793
@rebecasipilina7793 2 года назад
@@mapishitanga9861 niko sehemu ambayo hakuna nazi ...naeza tumia nazi hii ya mkebe kweli kupika mkate wa sinia?
@pamelaaminaamina8946
@pamelaaminaamina8946 5 месяцев назад
Nataka namba yako pls pls
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 5 месяцев назад
0657728204
@sumaiyaabdul1779
@sumaiyaabdul1779 2 года назад
Nilazima utumie Mchele wa v.i.p
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Sio lzma ila v.i.p unatoa mkate mzuri zaidi
@sanoucisse8389
@sanoucisse8389 3 года назад
Vous pouvez traduire en français k même ?
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
je ne connais pas très bien le français ... désolé
@sanoucisse8389
@sanoucisse8389 3 года назад
@@mapishitanga9861 merci bcp
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
@@sanoucisse8389 👍
@zubedalema3407
@zubedalema3407 3 года назад
Unaweka hamira
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Lazima uweke hamira
@maleshjoy19
@maleshjoy19 3 года назад
@@mapishitanga9861 baking powder ni sawa? Au lazima hamira
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
@@maleshjoy19 hatuweki baking powder ni hamira peke yake
@maleshjoy19
@maleshjoy19 3 года назад
@@mapishitanga9861Oh OK, Shukran sana
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
@@maleshjoy19 Asantee karibu sanaa
@BenLeeBl
@BenLeeBl 2 года назад
Ila watu watundu
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Asante
@maryumiiddiiddi6794
@maryumiiddiiddi6794 2 года назад
Mchele 1kg sufuria ya kilo ngp
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 2 года назад
Sufuria ya kilo moja na nusu ndio inafaa
@maryumiiddiiddi6794
@maryumiiddiiddi6794 2 года назад
Shukran
@zamzamdhool2268
@zamzamdhool2268 Год назад
A,a nimeupika tu sai jini imekua brown na juu pia nimeona brown kisha bado naona kama yangata ngata vile na imeshika kwa sufuria sijui ninekosea wapi nimewacha ipoe kwanza nione vile itakua
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
Labda umekosea mchele
@zamzamdhool2268
@zamzamdhool2268 Год назад
@@mapishitanga9861 eeh kweli manake nimepika na mchele uitwayo Fatma
@zamzamdhool2268
@zamzamdhool2268 Год назад
Lkni sifi moyo in sha Allah siku nyingine nitaupika vzuri bcz itz my first time
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 Год назад
InshaaAllah utaweza
@mustafaalloo81
@mustafaalloo81 3 года назад
Unachukuwa order ya mkate wa kumimina
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Yess by Instagram
@mustafaalloo81
@mustafaalloo81 3 года назад
@@mapishitanga9861 naomba WhatsApp yako
@babykiara6314
@babykiara6314 3 года назад
Jmn mbn mm nimetoa ugali😭
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Inategemea umetumia mchele gani
@babykiara6314
@babykiara6314 3 года назад
V.i.p huo huo
@estherletta8778
@estherletta8778 2 года назад
🤣🤣
@estherletta8778
@estherletta8778 2 года назад
Pole
@khawlathassan7545
@khawlathassan7545 3 года назад
Unaniuwa nautamani
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
😂...shukran😊
@mamunote3507
@mamunote3507 3 года назад
Mashallah
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
shukran
@ummyazizkimaro6378
@ummyazizkimaro6378 3 года назад
Asante
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 года назад
Shukran
Далее
Добрая весть 😂
00:21
Просмотров 542 тыс.
Mkate wa Sinia/Kumimina in Kiswahili
6:55
Просмотров 428 тыс.
MKATE WA KUMIMINA SPONGE /RICE CAKE.
4:01
Просмотров 40 тыс.
Добрая весть 😂
00:21
Просмотров 542 тыс.