Тёмный

JINSI YA KUPIKA PILAU KILO 50 YA KWENYE SHUGHULI TAMU SANAA  

Hadija Sheban
Подписаться 208 тыс.
Просмотров 30 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 114   
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Hi Lovies Video za biashara ru-vid.com/group/PL0lMsQJd3yDB5YqRtSZUla-Wb9N9XMqd5 Please Subscribe tuweze kusonga pamoja please share the video 🥰 #roadto50k ✔️Mahitaji ya hii pilau ya Kilo 50 hayo hapo chini ukipenda zidisha ila too much of something is poison Pilau mix ½Kg Onion 3Kg Garlic ½Kg Paste 1Kg Uto 10 Litre Hoho 2Kg Tomatoes 2Kg Ginger ¼Kg Dania 6Pcs Salt 1½kg Maji 4 geleni(zile kubwa)Silazima yatumike yote yategemea na mchele zaidi angalia video🥰🥰 Ukitaka ya 10kg punguza vipimo🥰🥰 yaani cheza na kugawanya tu!
@mohabatkhanmalak1161
@mohabatkhanmalak1161 Год назад
Mashallah chakula mzuri. Na kumbuka zamini sikale, 1968-72 Uganda ndio hivo tulikuwa twa pika pilao za harusi, hakika awo hafula.🌴
@FebineAwuor
@FebineAwuor 2 года назад
I love how everyone is helping around with cooking. The pilau turned out so well.
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Thanks mpenzi
@Georges.Kitchen
@Georges.Kitchen 2 года назад
Inaitaji nguvu sana na hongera ❤️ madam chef
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Asante sana chef wangu
@GlaDiary36
@GlaDiary36 2 года назад
Wow the pulao looks so inviting thanks for sharing with us
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Thanks dear
@shamzone388
@shamzone388 2 года назад
Mash allah napenda sana chakula cha kupikwa na kuni kinakuwa na tasty mash allah
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tasty mwanzo mpaka mwisho hakina mfano😋😋
@maryammohammed1991
@maryammohammed1991 2 года назад
mashaAllwa toeni muziki
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Okey sawa
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 года назад
Mashallah sister khadija shukran ❤🥰🥰🇴🇲
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tabarakallah darling ❤️
@swafaamohamed9603
@swafaamohamed9603 2 года назад
Aa nice vedeo mashAllah.kilo 20 biriani mchele watumia nyama kiasi gani?vitungu,viazi na tomato plz let me know
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Ws love kindly reduce the ingredients zenye nimetaja kwa 50🥰
@NasoroKassim-n7j
@NasoroKassim-n7j Год назад
Dada hadija hongera kwanza kwa kazi nzuri
@ibraabuemu9231
@ibraabuemu9231 2 года назад
Maa sha ALLAH ilikua poa
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Sanaa
@minah780
@minah780 2 года назад
Mashaallah nlitamani nipate hii pilau Kama sai yaani inavutia sanaa
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tamu sanaa na kajuive weuuuh
@learnwithflo4077
@learnwithflo4077 2 года назад
Wow it turned out so well thanks for sharing ❤️❤️
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Welcome dear
@Alithoya-qr7di
@Alithoya-qr7di 8 месяцев назад
Jee watu 500 wanaweza kuwapikia kilo ngap za mchele​@@HadijaSheban
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 Год назад
Hi dear thank you for this...ume tumia Rice Gani?
@HadijaSheban
@HadijaSheban Год назад
Hi zile tu za local
@mozaal-rashdi6166
@mozaal-rashdi6166 2 года назад
ما شاء الله
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tabarakallah
@aminakassim7741
@aminakassim7741 2 года назад
Hadija unanigeuza kuwa Mama Lishe rasmi wallah , Allah barik
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Yeees nataka sqna uwe mama lisheeeee😍😍nimefurahi na karibu
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Ameen
@aminakassim7741
@aminakassim7741 2 года назад
@@HadijaSheban Ahsante kipenzi ... Vipimo kwa description pls nijue naanzaje
@lutfiabakari1105
@lutfiabakari1105 2 года назад
Mashaallah, may allah bless you for being selfless 🙏🏼
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tabarakallah my love Allahuma Ameen
@shebanishebe7866
@shebanishebe7866 2 года назад
Maa sha ALLAH
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Thanks dad🥰
@agapejoel7822
@agapejoel7822 2 года назад
Weeee nimejifunza
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Asante love
@carolinemwakagali3909
@carolinemwakagali3909 6 месяцев назад
Samahani auntie nyama ilichukua dakika ngapi kuiva na je ilikuwa brownish?
@HadijaSheban
@HadijaSheban Месяц назад
sikuhesabu dakika ila iliiva kwa moto mdogomdogo
@lionness_simsima5941
@lionness_simsima5941 2 года назад
Hello there, how’s it going? Definitely mouthwatering
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Hello so cool on your side?
@kelvinmaluki2362
@kelvinmaluki2362 Год назад
Wafaaa. Kutumia Maji kias ganii 😮
@HadijaSheban
@HadijaSheban Год назад
Soma comment nimepin
@sakinaabdulrahman5395
@sakinaabdulrahman5395 2 года назад
Ma sha Allah yavutia
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Na tamu sana mpenzi
@MbarukuElisante-im3pv
@MbarukuElisante-im3pv 9 месяцев назад
Nice
@HadijaSheban
@HadijaSheban 9 месяцев назад
Thanks
@sadaakiba4291
@sadaakiba4291 2 года назад
Walaikum musalam kipenzi tumeenjoy wow yumyum 😋😋
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Asante sanaa kipenzi
@lakimohamed2199
@lakimohamed2199 2 года назад
Mashallah
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tabarakallah
@marysmartkenya
@marysmartkenya 2 года назад
Am still wondering how you guys managed to balance all the ingredients.
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
It was not easy but penye wapishi hapakoseki jambo
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@aishanjagi4351
@aishanjagi4351 2 года назад
Assalamu alaikum. Naomba ingredients zakupika pilau 50kgs please. Thanks
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Waaleykhm mussalam soma vizuri hapo juu niliamdika ukitaka unafanyaje🤗
@ogmkavu7979
@ogmkavu7979 2 года назад
Amazing 😍
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Thanks
@carolinew887
@carolinew887 2 года назад
Umetumia mchele aina gani?
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Mchele unaoitwa biriani
@MariamRiziki-l2b
@MariamRiziki-l2b Месяц назад
Margedi moja ni watu wagapi plz
@muawiyaomar92
@muawiyaomar92 2 года назад
Faaris
@lucykaluwa9283
@lucykaluwa9283 2 года назад
NAPENDA SANA
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Asante kipenzi
@dorcaswamalwa8677
@dorcaswamalwa8677 2 года назад
Please do pili pili yambirimbi it made pilau my favorite school lunch
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
I will dearest
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 2 года назад
Kwani hukuosha Michele?
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Ndio
@badawyhaji9288
@badawyhaji9288 2 года назад
😋😋😋😋😋😋😋😋
@zanfastfood7300
@zanfastfood7300 2 года назад
Mzr san ...pia tunaomb uwek discription..ya v2 ulivotmia ..chin ya box
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Sawa kipenzi nasghulikia baby nitaweka kila kitu
@HasnatIssa
@HasnatIssa 7 месяцев назад
Keki plz
@rizikirajab7082
@rizikirajab7082 2 года назад
Masha'Allah... tupe recipe ya mbirimbi dada
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Inakuja soon mpenzi
@rizikirajab7082
@rizikirajab7082 2 года назад
@@HadijaSheban in shaa Allah
@zulfahafidh7796
@zulfahafidh7796 2 года назад
Naulza mwenye anajua bei ya hizi sufuria hupika kilo 50 aniambie
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Kwakweli sijui pia mm nataka nunua nkijua nitakwambia
@SharonandFamily
@SharonandFamily 2 года назад
Hii mob yenye imepikwa kwa mawe ndio the best and tastes amazing😋👌. Sasa wacha nilete plates zetu msitumalizie nyama😆😆
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
🤣🤣🤣musikuje wemgi pls.sis...yeees hi nitamu kushinda za 2kg
@fatmabadi6423
@fatmabadi6423 2 года назад
Mbona hakuna viazi?
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Hatukueka tulihofia kuharibika tukieka
@mariamali7438
@mariamali7438 2 года назад
Mashallah mashallah keep it up gal
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Thanks Love❤️❤️
@HAMZA-K1R
@HAMZA-K1R 2 года назад
Mbona haina viazi?
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Ingebaki ingeoza
@umlee9895
@umlee9895 2 года назад
MashaAllah 😋👌
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tabarakallah ❤️
@samiranjambi3621
@samiranjambi3621 Год назад
Salt kiasi ngani
@HadijaSheban
@HadijaSheban Год назад
Soma chini
@atu5303
@atu5303 2 года назад
Hadija unavofunikia mfuko then ukaeka moto juu si mfko unaungua ndni ya ubwabwa??au unaprotect vip usiungue...
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Hio ni karatasi kama gazeti vile nibora iungue karatasi kuliko wali wenyewe
@atu5303
@atu5303 2 года назад
Ok shkran..unjbu on time mashaAllah..
@christinejilani2645
@christinejilani2645 2 года назад
Hadija tafadhali ipike hio pilipili ya mbirimbi niione ...🤗
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Nishapikq love search pilipili ya mbirmbi hadija utaipata
@husnakafuta5270
@husnakafuta5270 2 года назад
Silazima uweke carrots
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Ukipenda waeka
@BellaNapoli-np5kl
@BellaNapoli-np5kl Год назад
Nyamba hakuna😆
@HadijaSheban
@HadijaSheban Год назад
🤣
@alaidertolatine4750
@alaidertolatine4750 Год назад
Mafuta umeeka lita ngap
@HadijaSheban
@HadijaSheban Год назад
Nimepin hio . comment
@lucymutheushanga8841
@lucymutheushanga8841 2 года назад
Dawa za pilau zilikua kiasi gani
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Am sorry nawaandikia pls
@aishambellah
@aishambellah 6 месяцев назад
Chakula kitamu vp naweza pata wap sufuria mzito Kam hyo
@HadijaSheban
@HadijaSheban Месяц назад
hizi mpishi alikuja nazo
@muawiyaomar92
@muawiyaomar92 2 года назад
Faars
@irenecandyk
@irenecandyk 2 года назад
Nangojea hii pilau ya 50kgs nione yapikwa vipi.
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Asante sana
@cookwithhusna9657
@cookwithhusna9657 2 года назад
Mchele ulikua kilo ngapi
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
60kg but sufuria kubwa was 50kg
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
Maa shaa Allah
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tabarakallah 🥰
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 года назад
Mashaallah
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 года назад
Tabarakallah
Далее
Jinsi Ya Kupika Pilau Kilo 25,Rahisi na Fasta Fasta
7:18
PILAU LA USWAHILINI, tamu balaa🤤🙆🏽
10:03
Просмотров 105 тыс.
JINSI YA KUPIKA PILAU LA NAZI LENYE NJEGERE NA NYAMA
11:33
JINSI YA KUPIKA PILAU YA FASTER FASTER TAMU SANA.
5:42