HI LOVE MKO POA NITARUDIA MAFUNZO YA KUWEKA DAWA YA KALI NA NITAJIBU COMMENT ZETU COZ MASWALI YAMEKUWA NI MENGI SO JIANDAE KWA AJILI YA TUTORIAL KUANZIA STEP 1 hadi STEP 3
JAMANI KWA WALE AMBAO HUWA MNA COMMENT SANA NA KU SHARE VIDEO ZETU plz naomba kutambua uwepo wako nikuunge kwa group letu la whatssp... Hakikisha umeshare video zetu
Naomba kujua kitu,kwa upande wa dawa inatumika hyo uliyotifundishia tu au kunq zingine?na je zinauzwa in set au unanunua tofaut tofauti?pls yeyote anaejua naomba anieleweshe
Ko naosha zikiwa bado naroras ?mihapo ndosijaerewa na jee nilisha muosha anakaukia hewa au mana sijaona ukimuweka ktk draya , Asante kwamafundisho dada
Farida mm kwa nilivyosoma comment za watu mbalimbali za watu na za kwako jinsi ya kuweka curly Step1.naweka nywele dawa (cold wave) Step2.nafunga nywele rolas nikiishamfunga rolas anakausha nywele kwa dryer au jua ndani ya dakika 40 Step3. Naosha hizo nywele kwa maji ya kawaida zikiwa kwenye roler Step4. Baada ya kuosha nampaka hizo nywele neutralize anakaa nayo kwa dakika 15 namuosha then after anausha nywele kwa jua au dryer zikiishakauka. Namtoa rolar anakua amedamshi tayari sijuii mpaka hapo nimekuelewa?