Тёмный

JIONEE ALIKIBA ALICHOKIFANYA CANADA, MAELFU WAJITOKEZA. 

Crown Media
Подписаться 95 тыс.
Просмотров 46 тыс.
50% 1

Alikiba

Опубликовано:

 

6 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 348   
@AlikibaaCom
@AlikibaaCom 13 дней назад
Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
@mogrosso3500
@mogrosso3500 13 дней назад
Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤
@SokoroboyNdend-iv1js
@SokoroboyNdend-iv1js 13 дней назад
San​@@mogrosso3500
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 11 дней назад
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@AlikibaaCom
@AlikibaaCom 9 дней назад
@@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa
@user-ry4cf8ln6l
@user-ry4cf8ln6l 8 дней назад
Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake ​@@joycekisamo4896
@JojyLuhasa
@JojyLuhasa 13 дней назад
Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like
@officialbwoywalandlord1896
@officialbwoywalandlord1896 13 дней назад
Nimeona
@alphalungele-479
@alphalungele-479 13 дней назад
Nimeona pia
@hassantupa
@hassantupa 13 дней назад
Ni kwamba hapo yupo m,congo na yeye anawakilisha kwao!😂😂😂
@OlivierJustin-wl6dd
@OlivierJustin-wl6dd 13 дней назад
Congo na motema Crown ni nyumbani
@mogrosso3500
@mogrosso3500 13 дней назад
Congo ❤❤❤love Tanzania 🇨🇩🇹🇿
@user-um4fk5ls3v
@user-um4fk5ls3v 13 дней назад
Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako
@touches4lifeonlinetv46
@touches4lifeonlinetv46 13 дней назад
Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿
@razakilipwelele5518
@razakilipwelele5518 13 дней назад
Likes from East Africa 😂😂😂
@MohdAli-fl2ef
@MohdAli-fl2ef 13 дней назад
Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before
@SuleimanAli-jv3lt
@SuleimanAli-jv3lt 13 дней назад
All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓
@talibthetruth8709
@talibthetruth8709 13 дней назад
Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 11 дней назад
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@rajimuashirafa8265
@rajimuashirafa8265 13 дней назад
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
@DambweRama
@DambweRama 13 дней назад
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
@HenryChristophvtl-md1cz
@HenryChristophvtl-md1cz 13 дней назад
Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥
@barakayusuph4617
@barakayusuph4617 13 дней назад
our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 11 дней назад
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@Lebabaz
@Lebabaz 13 дней назад
King ni mmoja tu
@AmosItawa
@AmosItawa 13 дней назад
Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi
@talibthetruth8709
@talibthetruth8709 13 дней назад
Haongelwi kwa chuki dat why
@jumakhamis226
@jumakhamis226 13 дней назад
Sns hawezi kuongolea hahaha
@saxprince10
@saxprince10 13 дней назад
Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba
@shabaningaoga164
@shabaningaoga164 13 дней назад
Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 11 дней назад
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@rajabumkoko3947
@rajabumkoko3947 11 дней назад
Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo​@@joycekisamo4896
@Anwar_khan-
@Anwar_khan- 12 дней назад
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
@Peresi-t1d
@Peresi-t1d 13 дней назад
King always is king thank you king kiba
@middoTv
@middoTv 13 дней назад
THE INTERNATIONAL DJ
@Saki930
@Saki930 13 дней назад
Dj D Ommy bonge la hipe
@kgchippy
@kgchippy 13 дней назад
Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤
@rukiasekulu502
@rukiasekulu502 11 дней назад
Only one king in Africa 🥰
@mohamedyally816
@mohamedyally816 9 дней назад
Akun kama yeye
@Peresi-t1d
@Peresi-t1d 13 дней назад
Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 13 дней назад
Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂
@belitomanuel6240
@belitomanuel6240 13 дней назад
Even my self I had this question ❓ which Canada are this??
@abdullahkazungu4025
@abdullahkazungu4025 13 дней назад
Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??
@alphamanoke6116
@alphamanoke6116 13 дней назад
King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king
@angelojuma7818
@angelojuma7818 13 дней назад
King ni mmoja
@omaryluambano3495
@omaryluambano3495 13 дней назад
Kingkiba salute
@user-rx7te2px5d
@user-rx7te2px5d 13 дней назад
Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.
@Murisal
@Murisal 13 дней назад
Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru 13 дней назад
Dj wa crownfm hyo
@abdullahabdulla9697
@abdullahabdulla9697 13 дней назад
​@@PendoUrassa-xm7rukwani hatujui au
@user-qp5vi9yt6m
@user-qp5vi9yt6m 12 дней назад
Ndo dj wake uyo
@BoniphaceDonald
@BoniphaceDonald 13 дней назад
Show amazing king
@ABUBAKARISAIDI-dh7fy
@ABUBAKARISAIDI-dh7fy 13 дней назад
Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli
@thomaskombe2430
@thomaskombe2430 13 дней назад
King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥
@NemesMasawe
@NemesMasawe 13 дней назад
Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz
@CantonaKunona
@CantonaKunona 13 дней назад
I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭
@collinswambani8972
@collinswambani8972 13 дней назад
Only one king❤❤👑
@edwardlesian9318
@edwardlesian9318 13 дней назад
King forever ❤
@Perfect-migomigo
@Perfect-migomigo 13 дней назад
Mfalme wa music 👑👑
@user-hy5le8uk5b
@user-hy5le8uk5b 13 дней назад
The king himself 🔥🙄🙌
@kelvinliheta9769
@kelvinliheta9769 13 дней назад
Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.
@DullaAbdala-fk9ie
@DullaAbdala-fk9ie 13 дней назад
King 👑👑👑 y
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 11 дней назад
Bila kumtaja simba bado ssa hapo mond kaja vp
@Bakarimhenga254sheikh
@Bakarimhenga254sheikh 9 дней назад
Lia basi😂😂​@@salimalaquimane3077
@deusdeditsanga9666
@deusdeditsanga9666 13 дней назад
King kiba🔥🔥🔥
@Oficialkb
@Oficialkb 13 дней назад
Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉
@AbdallaMpambika-bp6ub
@AbdallaMpambika-bp6ub 13 дней назад
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
@TiliaAmedeus
@TiliaAmedeus 13 дней назад
Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....
@yusrairakoze3966
@yusrairakoze3966 13 дней назад
King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 13 дней назад
Duuuh
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 13 дней назад
King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba
@SalinSultan
@SalinSultan 13 дней назад
King kiba Atari sana❤
@gibronrugemela853
@gibronrugemela853 13 дней назад
Great vibe🎉
@msagatijackson
@msagatijackson 13 дней назад
Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow
@Juliusantipas
@Juliusantipas 13 дней назад
Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍
@gadafimuemede2985
@gadafimuemede2985 13 дней назад
Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@ErickWambura-dv1if
@ErickWambura-dv1if 12 дней назад
Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa
@user-lk5dz3dx8z
@user-lk5dz3dx8z 13 дней назад
King to the world 🎉
@iddyfourteen9252
@iddyfourteen9252 13 дней назад
Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa
@Muidumbe450
@Muidumbe450 13 дней назад
Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍
@ALLY_K61
@ALLY_K61 13 дней назад
Kingkiba tunakukubalii sana
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv 13 дней назад
Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana
@IqramNoman-gu3xr
@IqramNoman-gu3xr 3 дня назад
É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá
@Kingjmtv1982
@Kingjmtv1982 11 дней назад
King kiba nakubali mtu wa watu ❤
@AmuriUlimwengu
@AmuriUlimwengu 13 дней назад
Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤
@idinshazimakashukwe
@idinshazimakashukwe 13 дней назад
Anaeijua anajua Tu big up bro🔥
@Ace01312
@Ace01312 12 дней назад
King for real
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 13 дней назад
Nakubali sana ❤
@uredipeter412
@uredipeter412 12 дней назад
King 👑 on top
@user-hu3sc4kg1f
@user-hu3sc4kg1f 12 дней назад
Mashaallah❤❤🎉🎉
@user-vm4fe3ql5c
@user-vm4fe3ql5c 13 дней назад
King🎉🎉
@SeifullahSady
@SeifullahSady 13 дней назад
Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 13 дней назад
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 13 дней назад
Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥
@user-pk1yl7zt8p
@user-pk1yl7zt8p 13 дней назад
Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 13 дней назад
Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu
@dinyoabeli9028
@dinyoabeli9028 13 дней назад
King king🔥🔥🔥🔥
@baruthmussamuslim3434
@baruthmussamuslim3434 12 дней назад
DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu
@alvannykiba281
@alvannykiba281 11 дней назад
King Kaká we ni kiboko
@isayamsisika6255
@isayamsisika6255 13 дней назад
Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown
@swala_master
@swala_master 13 дней назад
Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 11 дней назад
King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 13 дней назад
Mfalme wa africa
@JojyLuhasa
@JojyLuhasa 13 дней назад
Tu mérite être le roi
@AhjuceAqeeb
@AhjuceAqeeb 12 дней назад
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
@mohamedally4496
@mohamedally4496 11 дней назад
Dj d ommy hatariii mno
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 13 дней назад
Uyo ndio king
@bakarimajaliwa247
@bakarimajaliwa247 13 дней назад
Dj d ommy anamjulia king kiba
@JosephMichael-z5y
@JosephMichael-z5y 13 дней назад
Ninoma Sana 😂😂
@AlexGwambie-xr2hm
@AlexGwambie-xr2hm 13 дней назад
King ni mmoja2
@VitusEmmanuel-pe3yi
@VitusEmmanuel-pe3yi 13 дней назад
Nakubal
@HusseinChai-d1k
@HusseinChai-d1k 6 дней назад
Safii kiba kazi nzur
@Igauf3
@Igauf3 13 дней назад
Dj d-Ommy did an excellent job ! It was smart for AK to have him on the table.
@FaithaAli-cy5nr
@FaithaAli-cy5nr 13 дней назад
King ❤
@user-um4fk5ls3v
@user-um4fk5ls3v 13 дней назад
Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪
@AlmasMbunde-ev2yq
@AlmasMbunde-ev2yq 13 дней назад
DJ d ommy
@GDBOYOFFICIAL
@GDBOYOFFICIAL 13 дней назад
Hiii nizaidi 🔥 kiba babaaaa
@Saki930
@Saki930 13 дней назад
Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa
@egbertrwiza9226
@egbertrwiza9226 13 дней назад
Wakwanzaaa😂😂
@user-cs4nj4yn8d
@user-cs4nj4yn8d 11 дней назад
Congolese we’re there big up
@Jipendelee255
@Jipendelee255 12 дней назад
Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 13 дней назад
Alie sikia mbona umezima mzki gonga like hapa😅
@ZinganisaNova
@ZinganisaNova 13 дней назад
Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 13 дней назад
King Kiba king of east Africa ❤
@JosephMutambala
@JosephMutambala 13 дней назад
Tz oooooyeeeeee
@dottombilinyi5979
@dottombilinyi5979 13 дней назад
safi 🎉
@PozzTonny-in8vy
@PozzTonny-in8vy 13 дней назад
King
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 13 дней назад
Msaniiii ndio ina takiwa awe ivii sio uyo boya wenu daimondi ana tumianguvu nyingi kukata mauno setejini watu awa muelewiii msaaniii lazima aimbee na mashabikiii mondi Amna ki2 etiy msaaniii mkubwaa tz akanyeee mbeleee ukoo msaani lazima aimbe na mashabiki sio miunoo una katika kama mbwaa alaf watuu awa kuelewi ndio nn Sasa waunii awa jiweki kama zombiii lakini shw nomaa
@user-en1ci8jk7v
@user-en1ci8jk7v 12 дней назад
Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani
@kennedymatiko6830
@kennedymatiko6830 13 дней назад
#kingkiba
Далее
KING KIBA LIVE
15:14
Просмотров 582
Alikiba Live performance AFROFEST 2024 at Canada
35:37
ഷംസീർ ഇത് കേൾക്കണം
12:10