Тёмный

Joel Nanauka / Namna ya kutimiza malengo 3 / THE GATES TV 

The Gates Media
Подписаться 13 тыс.
Просмотров 121 тыс.
50% 1

#JoelNanauka #TimizaMalengoYako #TheGatesMedia #TheGatesTv
Joel Nanauka, Mwandishi wa kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO akielezewa namna ya kutimiza malengo yako. Usisahau ku subcribe, kushare, ku Like na ku comment ilikupata video mpya zaidi.
FOR VIDEO & PHOTO COVERAGE
Call/text/whatsapp: +255 787 411 564 or +255716 000 931
Visit our Website: thegatesmedia.co.tz
Follows us Instagram: / thegatesmedia
Follows us Twitter: / thegatesmediatz
For more videos subscribe to our channel: / @thegatesmedia

Опубликовано:

 

22 мар 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 117   
@johnmwazuna196
@johnmwazuna196 4 месяца назад
Napenda mafundisho yako
@latefaafreca5486
@latefaafreca5486 5 лет назад
Asante nyingi ziende kwa Mama mzazi wa kaka joel hakika mafundisho yako yamenibadilisha mno good bless you
@TheGatesMedia
@TheGatesMedia 5 лет назад
Amen
@boazongeri289
@boazongeri289 4 года назад
Sure 🙈
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 Год назад
Kabisa matumbo yaliyobarikiwa
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 года назад
Asante CEO and MD of Africa Successes Academy Mungu akubariki sana
@user-fw5jq6bp2t
@user-fw5jq6bp2t 10 месяцев назад
Mungu aendelee kukutunza masomo yako yananibariki mnoo
@rahemahrahemah2719
@rahemahrahemah2719 5 лет назад
MUNGU akuongoze ckuzote Kaka Joel , somo zr Allah bless you.
@goodluckkasaba7352
@goodluckkasaba7352 4 года назад
Thanks
@yusuphmohamedy1316
@yusuphmohamedy1316 6 лет назад
Ubalikiwe sana kaka unatusaidia sana una Fanya tujiamini kwamba tunaweza
@brightonshakila6406
@brightonshakila6406 5 лет назад
Asante kwa somo ...ili uwe coach wangu inakuaje Kaka Joel
@ramadhan122
@ramadhan122 6 лет назад
Hongera Sana Nanauka wewe ni msaada sana Mungu akubariki AHSANTE SANA
@neemalino5945
@neemalino5945 4 года назад
Hapa kweli kaka nimekuelewa
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 4 месяца назад
ubarikiwe baba na mungu aendelee kukuweka ili usaidie wengi.ubarikuwe mno
@rebeccazakaria1008
@rebeccazakaria1008 5 лет назад
Mungu akubariki .. nimebarikiw sana na somo hili nami nazidi kusonga mbele💪💪
@hiyou9413
@hiyou9413 3 года назад
Nahitaji kujifunza zaidi hapa
@revocatusclevery1540
@revocatusclevery1540 6 лет назад
ahsante sana brother Mungu akupe maisha marefu
@AllyAlly-o4o
@AllyAlly-o4o 3 часа назад
Kaka umenikomboa sana
@giselamassawe5989
@giselamassawe5989 5 лет назад
Hongera kwa kutoa Elimu nzur sana ya kutimiza malengo
@vailetsamwel523
@vailetsamwel523 6 лет назад
kaka Joel Nanauka nakushukuru sana kwa kunibadilisha kung'ang'ania kutimiza malengo
@ShaniMasaila
@ShaniMasaila 9 месяцев назад
Asante nipo na we popote kupitia speech zako
@gablesladyfashionanddesign1409
Napenda sana siku yangu nianze kwakusikiliza kitu kutoka kwako!hivyo usipotee tusipate tabu tunao Fanya speech zako kuwa sehemu ya maisha yetu
@chiomanonso274
@chiomanonso274 5 лет назад
Jamani kweli ili kufikia ndoto za biashara anguka,bomoa kuta vunja mipaka yaaani ukitoka umetoka sasa mtu anataka afungue biashara January alafu miez mitatu hajauza anaanza Ooo siuzi noo tengeneza jina mwaka au miaka
@loanpautanimwashilindi2573
@loanpautanimwashilindi2573 6 лет назад
Asante sana , nimesikiliza kwa umakini sana nikiwa na notebook yangu
@TheGatesMedia
@TheGatesMedia 5 лет назад
Vizuri sana
@johariphilemon8630
@johariphilemon8630 3 года назад
kaka nachukia umasikin
@chrissmalloy9
@chrissmalloy9 5 лет назад
Kabisa bro mungu akubariki
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 Год назад
Ahsantee sana Mungu akubariki 🙏🙏🙏
@user-em6bg9ue2d
@user-em6bg9ue2d 5 лет назад
nashukuru kwamafundisho yako
@gloriahakizimana9112
@gloriahakizimana9112 4 года назад
Nimejifunza mengi kutoka kwako mwarimu muzuri ubarikiwe
@ashuraseif3020
@ashuraseif3020 4 года назад
Hiyo tatizo ninalo lakuahirisha. Asante sana
@abelmwilapwa1111
@abelmwilapwa1111 4 года назад
Asante sana kwa ujumbe mkubwa ...naiona kesho yangu
@ezironvyats433
@ezironvyats433 3 года назад
Ahsante kwa malifaa
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 6 лет назад
mungu akubariki mnooo.umenifanya nizidi kusonga mbele kumbe Niko sahihi.
@redref6342
@redref6342 6 лет назад
Nimekubali sana nukuu zako
@assamwakasanga3570
@assamwakasanga3570 6 лет назад
Asante San Kaka Joel Arthur nanauka.... Mungu atubaliki
@alphonceshiliye655
@alphonceshiliye655 5 лет назад
Assa Mwakasangam.
@bahatifabian2804
@bahatifabian2804 6 лет назад
Nimekuelewa.sana.kaka.uko.juu
@fredymwakalukwa3763
@fredymwakalukwa3763 5 лет назад
Mimi nakihitaji kitabu cha timiza malengo yako na vingine nipo kigoma
@merichomgonafivi1733
@merichomgonafivi1733 2 года назад
Hello shikamoh kitabu Cha ishinde tabia ya kugairisha mambo shingap
@jorumzacharia352
@jorumzacharia352 5 лет назад
hongera kaka kwa mafunzo
@mwamvitakituka2994
@mwamvitakituka2994 5 лет назад
Ninakuelewa sanaJoel
@user-mn8nr2lp4y
@user-mn8nr2lp4y 7 месяцев назад
Mungu akubariki sana
@annastellaalmery8588
@annastellaalmery8588 6 лет назад
mung akubaliki
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 3 года назад
Bradhar umenitoa mbali sana Kaka
@laizerpello509
@laizerpello509 2 месяца назад
Perfect
@nyandahilali5713
@nyandahilali5713 5 лет назад
Nakuelewa sana Joel maana nilipotea sana kwa ck hiz mbil nimebadilika natumaini nitakuwa vzuri zaidi
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 3 года назад
Yani Kaka umegusa maisha yangu mungu akuongoze xana Kaka wewe umetoa mbali
@daudymbukwa5495
@daudymbukwa5495 3 месяца назад
Daa hata sijui nilikupataje mtandon .nazani ilikua nimpango wa MUNGU ili niniitimiz maono yangu MUNG akutie nguv
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 Год назад
Ahsante sana kakaangu
@thelimitlessclass7909
@thelimitlessclass7909 5 лет назад
guys like you ni resources za taifa kwaajil ya ku-awaken others kujtambua. salute to you!!! keep it really
@Coachsamwel
@Coachsamwel 5 лет назад
kwel aisee nakubal pia.
@shariasaidi9522
@shariasaidi9522 4 года назад
Mungu azid kubak kipaji chako
@maryammeme2615
@maryammeme2615 6 лет назад
Great words
@chrissmalloy9
@chrissmalloy9 5 лет назад
Nimesikiliza kwa makini sanaa
@TheGatesMedia
@TheGatesMedia 5 лет назад
Vizuri sana
@user-em6bg9ue2d
@user-em6bg9ue2d 5 лет назад
yananisaidia sana
@judithwambura9234
@judithwambura9234 5 лет назад
Thanks alots
@wazuuonlinetv9796
@wazuuonlinetv9796 5 лет назад
Ahsante kaka
@kuruthumuittungy8482
@kuruthumuittungy8482 5 лет назад
Asante sn
@emmanuelchiza7733
@emmanuelchiza7733 4 года назад
Shukurani Joel tunajifunza mengi toka kwako, moja ni hili la kufanya kufanya mambo bila kuahirisha
@peterkihongosi1966
@peterkihongosi1966 4 года назад
Mafundisho ya joeli.nimefunguwa duka.namwakahuu naongezalingine.utukufu kwa.jehova
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 5 лет назад
Asante kaka joel
@kennethkrm212
@kennethkrm212 Год назад
true brother
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 лет назад
ELIMU KUBWA SANA HII MWALIMU WANGU NANAUKA ..MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU SANA ILI TUENDELEE KUPATA ELIMU YAKO
@TheGatesMedia
@TheGatesMedia 5 лет назад
AMEN
@benardmwapinga7811
@benardmwapinga7811 5 лет назад
good speech.
@mwanakhatibu3722
@mwanakhatibu3722 6 лет назад
asante Sana
@jimmyprotazi2063
@jimmyprotazi2063 5 лет назад
Kaka joel ubarikiwe %100unanijenga sana
@SAIDMALAGALAGA
@SAIDMALAGALAGA 2 месяца назад
Habar kaka Joel naomba ushaur wako mi nikija wa miaka 25 nimegundua kuwa Nina kipaj cha kuzungumza hasa upande wa kuhutubia semina za kidini ndogo ndogo ;kilicho nifanya nijue nguvu yangu ya ushawish mara ya kwanza nilihutubu shere ya dini nilitunzwa pesa nikashangaa sana:sehemu ya pil kipind cha dini huwa nikisimama hakuna mtukutu Wala muhuni anae sumbua nikiwa nahutubia na pesa wakinipa wenyewe;sehemu ya mwisho madrasa inafika hatua watoto awapend aZungumze mwingine zaid ya mm ;Nafanya kaz ya ulinZ nakosa muda wakujua niendeleze vp kipaj changu ni shaur kaka Joel by Said malagalaga
@andrewraymond8657
@andrewraymond8657 Месяц назад
Kaka napataje vitabu vyako hasa kinachoweza kunihamasisha kufikia malengo na kujua bihashara zangu inakuwa
@paulinyoisrael6079
@paulinyoisrael6079 6 лет назад
Brother we ni mwisho.. Wa yote UBARIKIWE SANA SANA
@herlychavdy2932
@herlychavdy2932 6 лет назад
paulinyo israel nikweri anaweza jamaa
@anthonylaban713
@anthonylaban713 4 года назад
Truly blessed with you.... It's a genuine therapy, i see.
@maikobaudy5979
@maikobaudy5979 4 года назад
Heshima kwako blo
@emanuelpaul2202
@emanuelpaul2202 6 лет назад
nice
@twahilshaibu7036
@twahilshaibu7036 6 лет назад
Santee
@paschalcharles3991
@paschalcharles3991 Год назад
Nitazaa mtoto tamuita joel
@magdalenamtui6555
@magdalenamtui6555 6 лет назад
ubarikiwe kaka!
@SmilingBabyPenguin-sp9ro
@SmilingBabyPenguin-sp9ro 5 месяцев назад
Mimi ninaishi mozambike kaka Asante sana nimikwera sana Kwa ujumbe wako😊😊😊 mungu akubariki sana
@khadijakisingo7920
@khadijakisingo7920 2 года назад
Leo nimejifunza kitu kikubwa sana
@abuuharuna3949
@abuuharuna3949 4 года назад
Kweli kabisa
@muhimpundumelissa318
@muhimpundumelissa318 4 года назад
Good
@thepointofculture5392
@thepointofculture5392 5 лет назад
day 2mbona sioni kaka na kitabu nakipataje nmekusikia mwaka jana ila nmekuelewa sana
@gosaizaka1495
@gosaizaka1495 6 лет назад
exacty
@raymondlubaga6232
@raymondlubaga6232 5 лет назад
Nahitaji kitabu cha timiza malengo yako
@shahadCUTE
@shahadCUTE 6 лет назад
Like 😍😍😍
@pascalmasumbuko3787
@pascalmasumbuko3787 5 лет назад
Shahad Stars nimejifunza mengi kupitia kwako
@JackSanga
@JackSanga 5 месяцев назад
namba
@marthanakhungu8370
@marthanakhungu8370 2 года назад
Amen
@user-vd7kv6ys7g
@user-vd7kv6ys7g 4 месяца назад
Kiongozi unacho kifanya nikityu kizuri saaana an
@veronicacharles4527
@veronicacharles4527 6 лет назад
day 2 hakuna????
@annajustine5104
@annajustine5104 5 лет назад
Sauti Ngwajima
@filberthendry8519
@filberthendry8519 3 года назад
Cha muhimu Kaka hapo kwa mfano hyo wik end n kwel watu wanakuwa Free jarbu kuelekeza wawekeze ktka jambo gan ambalo litaleta tija kwao?
@chiomanonso274
@chiomanonso274 5 лет назад
Hiyo ya tano ni sana nahis ni mitaji inasumbua maana unachek hata kitu cha kuuza upate mtaj unakosa uombe kwa nani huoni
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 лет назад
Ajiriwa kwa muda ili upate mtaji wa kuanza
@adrianaciku1812
@adrianaciku1812 6 лет назад
Wakenya mpo???
@safaringayida6828
@safaringayida6828 4 года назад
naweza pata kitabu hiki wapi
@geniustv2681
@geniustv2681 6 лет назад
vizur
@majumaq59
@majumaq59 6 лет назад
genius Tv Asa
@dorothyannan4857
@dorothyannan4857 6 лет назад
This man is God sent
@chiomanonso274
@chiomanonso274 5 лет назад
Alafu kaka Joel unatufundisha mengi wengine kununua vitabu shida utuwekee na no ya sim tutume hata ya soda na tuweze kuwasiliana tuulize vya siriiiiiii 0765492492
@epypallangyo711
@epypallangyo711 5 лет назад
Let me subscribemeeeeeen i like det
@mussasaimon2012
@mussasaimon2012 5 лет назад
Asante kaka mbona zile namba ulizo tupa tukipiga hazipokelewi
@kulwamwenda9643
@kulwamwenda9643 4 года назад
Ni Mungu ametupatia wewe ili utumike kubadilisha kizazi. Umesomeka Kaka kwa Watu mashuhuri Kama Mimi tunakuelewa sana. Ila ninatafuta sana namba yako
@jenifaaloyce8873
@jenifaaloyce8873 5 лет назад
@joel_nanauka nahitaji msaada zaidi kwako unachokiongea kilinikuta ila sikujiona ndonimefeli nilinuka nanikapambana najua ikosiku nitakua napopahitaji mimi 0621072012
@johariphilemon8630
@johariphilemon8630 3 года назад
yangu maombi 2
@harunahussein537
@harunahussein537 6 лет назад
0718902632 nitafute
@zainabibrahim5879
@zainabibrahim5879 5 лет назад
kitabu chokonitapatawapi
@winniepoledearmichael9077
@winniepoledearmichael9077 5 лет назад
asante kaka nimejifunza mengi
@paulofabio2500
@paulofabio2500 5 лет назад
Brother vp fitabu vyako sinapatikana wapi?
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 5 лет назад
Asante kaka Joel kwa mafundisho mazuri
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 5 лет назад
Somo zuri sana Brooo mungu akubarik xan
@biregeyasabune8630
@biregeyasabune8630 3 года назад
Asante Sana Joel Tuko nawewe
@AllyAlly-o4o
@AllyAlly-o4o 3 часа назад
Kaka umenikomboa sana
@chiomanonso274
@chiomanonso274 5 лет назад
Jamani kweli ili kufikia ndoto za biashara anguka,bomoa kuta vunja mipaka yaaani ukitoka umetoka sasa mtu anataka afungue biashara January alafu miez mitatu hajauza anaanza Ooo siuzi noo tengeneza jina mwaka au miaka
@safaringayida6828
@safaringayida6828 4 года назад
naweza pata kitabu hiki wapi
Далее
THE GIANT KILLER - JOEL NANAUKA
25:33
Просмотров 26 тыс.
Кто быстрее? (GTARP)
19:19
Просмотров 453 тыс.
ISHINDE TABIA YA KUGHAIRISHA MAMBO SEHEMU YA PILI
35:42
Usiruhusu mtu mwingine akuumize
4:43
Просмотров 8 тыс.
UTT AMIS - JINSI YA KUWEKEZA NA MAAJABU YA FAIDA ZAKE
1:06:29
UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA
13:23
Просмотров 68 тыс.