Тёмный

JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI hujawahi kuona, MISAMIATI hii aliyoishusha imetuvunja mbavu hapa 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 61 тыс.
50% 1

Kutana na Joramu Nkumbi, Msomi wa Hesabu na Masuala ya Biashara ambaye amejikita katika uzungumzaji wa #Kiswahili fasaha. Utapenda anavyocheza na lugha

Развлечения

Опубликовано:

 

12 авг 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 315   
@kimranely1984
@kimranely1984 Год назад
This guy yuko vizuri pia kwenye math alinifundisha secondary he used to call himself "THE NEXT BILLIONAIRE"😊
@Mr_Yussuf_as_well
@Mr_Yussuf_as_well Год назад
Amesoma degree ya math na statististics
@ronaldissack4955
@ronaldissack4955 Год назад
Umefundishwa na mtu mbuji kabisa WA Kiswahili mwl Joram nkumbi
@josephkaale6472
@josephkaale6472 Год назад
@@ronaldissack4955 Mlumbi
@mrsmile5425
@mrsmile5425 Год назад
Ni raha sana vile anacheka kiswahili ni lugha ya amani
@babphonc5794
@babphonc5794 Год назад
Naona hadi mtangazaji kajisahau kumuuliza kuhusu vitabu,huyu mtu ni hazina kabisa yani ✊✊✊ kiukweli ni jambo jema sana kujifunza lugha hii kiufasaha
@roybazigu765
@roybazigu765 Год назад
Moja ya interview bora ✍️🙏
@newrace5544
@newrace5544 Год назад
Najikuta nacheka kwa sauti kila nikimuangalia mbuji wa kiswahili🤣🤣🤣 this is best interview ever
@robertempire9542
@robertempire9542 Год назад
Nilipoona clips zake Mara ya kwanza nilipenda jinsi anavyoongea na hata akipewa kipindi cha kufanya maojiano anafaa kabisa keep moving brother
@masellemaziku1096
@masellemaziku1096 Год назад
Aaah bwana. Kijana huyu ni mbobezi wa kiswahili haswa. Atafika mbali sana maana kawekeza muda wake katika jambo hili la lugha. Hongera sana kwako Jorum
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Год назад
Sauti na umri wake tofauti 😉 mpeni kipindi I admire him 🙌
@maryamtan682
@maryamtan682 Год назад
Kumbe na wewe mwenzangu umeona
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 Год назад
Kabisa umri wake haviendani na ufahamu wake kwenye kiswahili, kwangu mimi huyu ni Profesa wa kiswahili
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr Год назад
Maashallah maashallah maashallah, kwa kweli kiswahili ni kiyamu mnooooooo. Hongera Sana kijana mwenzetu🙏🙏🙏🙏
@abukarosman2565
@abukarosman2565 Год назад
Nimempenda bure huyu kaka🥰🥰🥰🥰
@crisndembwele4016
@crisndembwele4016 Год назад
Daah nataman kuwa Yeye uyu jamaa ni Genius 💪💪💪
@successconcious703
@successconcious703 Год назад
Be yourself boy
@chenganjerry5273
@chenganjerry5273 Год назад
Huyu jamaaa ni mathematian mkali Sana Joram nkumbi bravo bravo
@Bbwaoy
@Bbwaoy Год назад
Thands down. Kiswahili kili nipa tabu sana shule. Niki pata C nilikua na shangilia balaa sana. This guy deserves a credit.
@lizzy_ways
@lizzy_ways Год назад
My first time to comment Well i really enjoyed a lot
@carolinekalume934
@carolinekalume934 Год назад
Hongera Rafiki yangu Ubarikiwe sana
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 Год назад
Kijana nimekuhini sana.Wewe ni miongoni mwa hazina za vijana wa nchi yetu katika ukinga wa lugha yetu ya kiswahili.
@pauldeogratius4722
@pauldeogratius4722 7 месяцев назад
Pl ..l..... O Lllllllp
@deusntobi1450
@deusntobi1450 Год назад
Huyu mtu ni hodar wa kiswahili kwelikweli ni vizuri wasani wetu wakamtimia kwa tafisida ili kupunguza ukali wa maneno wanayoyatumia.
@fatmamsindi4612
@fatmamsindi4612 2 месяца назад
Yupo vizuri sana huyu kijana,nampenda sana
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Год назад
Nakubali mwamba lugha anaimudu kinoma 🙌
@jumapjuma3020
@jumapjuma3020 Год назад
🇰🇪🇰🇪 kiswahili kumbe kinapendeza😍
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 Год назад
Kidume cha shoka elimu kubwa hadi degree ya mathematics lakin bado hakuna ammmm ammm you no what!!!big up bro
@hatbtalveson6581
@hatbtalveson6581 Год назад
hujawahi kukosea bwana sky...🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita Год назад
Wow! Just wow! Anafurahisha na kufundisha kwa pamoja
@29WavesTV
@29WavesTV Год назад
Yuko Vizuri sana na mimi nimevutiwa sana usemi wake.Haborongi katika kusema
@gemgsp7104
@gemgsp7104 Год назад
Hongera kwake nimependa sana
@AbuBakar-fu9ov
@AbuBakar-fu9ov Год назад
Joram hatari sana hongera sana Mr Joram
@alisalum2023
@alisalum2023 Год назад
Kutepwereshwa nasio kutebwereshwa Mashallah au masharaf
@albiz3946
@albiz3946 Год назад
Hapo Tangasisi-Tanga Ndio Sehemu alipo Zaliwa Marehemu Shaban Robert Mtaalamu wa Kiswahili East Africa
@ronaldissack4955
@ronaldissack4955 Год назад
Interview nzuri Sana,nimerudia na kurudia utamu wake uko palepale
@gabrielgaby2265
@gabrielgaby2265 Год назад
Nimeipenda sana hii interview anatumia kipindi gani niwe mfatiliaji wake
@dullahmihuri
@dullahmihuri Год назад
Apa mwisho kasema jambo kubwa sana. Kuwafunza watoto kujieleza
@nuruhaule
@nuruhaule Месяц назад
Safi sana Jorum..
@InstructITWise
@InstructITWise Год назад
nafikiri huyu jamaa na awamajamaa waliotengeneza hii game ya swahiliwordcross(niliipatia playstore) ni kitu kimoja aki nimekua nikiicheza karibia wiki mbili ila kufikia level ya 50 tu imenichomoa. Watu makni wanaotuonesha njia, nimeipenda sana hii interview
@aahasaidi1977
@aahasaidi1977 Год назад
safi sana, nashauri uandae vipindi vya Kiswahili ukitumia ubao na kalamu ili kizazi hiki tupate faida zaidi ya kufahamu maneo ya Kiswahili kwa ufasaha.Ahsante
@minortone8571
@minortone8571 Год назад
Mama samia please help this kid for he can be a surpotive fellow in broadcasting our natural resources.
@josephkaale6472
@josephkaale6472 Год назад
Rudia tena kwa Kiswahili
@andrewnyasuru2917
@andrewnyasuru2917 Год назад
Mama samia naomba umsaidie huyu mtoto maana anaweza kuwa kutusaidia katika kutangaza maliasili zetu.
@minortone8571
@minortone8571 Год назад
@@andrewnyasuru2917 sawa
@stephenmalilo9833
@stephenmalilo9833 Год назад
Hii interview itanifaa sanaaaa......🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jamil1547
@jamil1547 Год назад
Sky huyu jamaa naomba apewe muda hapo kwenye TV yenu aweze kutufunza lugha ya kiswahili
@chicherickybenson1070
@chicherickybenson1070 Год назад
Naitwa Chiche Benson Rukumba. Natoka hapa Uganda. Ndugu Nkumbi nanipendeza sana. Lazima nijifunze lugha ya Kiswahili😀. Just trying! But the truth is I really love Kiswahili.
@mmungaramazani4016
@mmungaramazani4016 Год назад
Congo 🇨🇩 swahili and kenya 🇰🇪
@simbadume1694
@simbadume1694 Год назад
Jamaa Yuko vizuri kuna misemo mingi nimejifunza kwake..
@fathiyaalmazrui816
@fathiyaalmazrui816 Год назад
Maasha Allah ni vizuri kweli watu wajifunze kuzungumza kiswahili kwa sababu sasa lugha ni maneno ya ovyo hata sijui yanatokea wapi.
@jumahassan273
@jumahassan273 Год назад
Njoo tanga ujifunze Swahili kama joram
@earnestmwangombola672
@earnestmwangombola672 Год назад
Nimempenda Joram Mkumbi. Sikuwahi kumsikia kabla. Anafurahisha kwa kicheko chake na hazina ya kiswahili. Bahati mbaya ni mtaalamu wa hesabu na nadhani na masuala ya masoko yaani marketing. Sina uhakika kama ameokoka, angependeza zaidi.
@flomaje1J
@flomaje1J 11 месяцев назад
Ameokoka tena sana. Angalia interview yake alipokuwa Marekani
@beatricefrankngalubutu1448
@beatricefrankngalubutu1448 Год назад
Nilidhan najua kiswahili ila wew kaka hodari sana👌👌👌....."*ukonavi* ni malipo, zawadi au fidia awewayo mtu baada ya kazi fulani😍❤️❤️umenikosha sana kaka sky 👍
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 Год назад
Love u
@neemamsemwa3044
@neemamsemwa3044 Год назад
Hongera Sana kaka Nina mtoto wa darasa la nne anapenda sana Kiswahili naomba mawasiliano tafadhali
@benedictbuberwa3943
@benedictbuberwa3943 Год назад
Jamaa amenifurahisha sana ..
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 29 дней назад
Shukran mwalimu
@benmbwele
@benmbwele Год назад
Kusikiliza sio vizuri kama kusoma. Watu wengi hawajui nini hawajui. Yatupasa tuwe walumbi. Vinginevyo tutakuwa vipofu wakati tuna macho.
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Год назад
Hahaha safi sana kazi nzuri
@afyatips
@afyatips Год назад
Huyu jamaa amefanya nijue kumbe sijui kiswahili 🙌🏾🤦🏽‍♂️
@manwoka4078
@manwoka4078 Год назад
Unajua kiswahili ndugu, kiswahili cha huyu jamaa huwezi fanya mawasiliano na jamii nani anatumia hayo maneno na nahau zake. Lugha ni kwa mawasiliano kama hueleweki kwa lugha inayotumika na jamii inayokuzunguruka hapo Dhima ya lugha hua haipo
@deejeydaev
@deejeydaev Год назад
Veeerrryyyyyy confident
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 Год назад
Tuondokane na mtindo wa kiswahili kama ilivyo kwenye nyimbo za Diamondi.
@lissahkisamba8843
@lissahkisamba8843 Год назад
Hongereni sana
@ronaldissack4955
@ronaldissack4955 Год назад
Naona Fredrick bundala kafurahi Sana Kwa mahojiano na mbuji WA Kiswahili Joramu nkumbi
@salimbilali5174
@salimbilali5174 Год назад
The guy has made my day
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Год назад
Nitajamala kumjuwa ndugu Joran amenirovia rovurovu uyu ni mbuji wa kiswahili
@hashimumwinyi2239
@hashimumwinyi2239 Год назад
Namuon mwigulu huyu hapa halafu anakataa mh. Hajui kiswahili vzuri
@godfreykarata3710
@godfreykarata3710 10 месяцев назад
Yuko vichuri ❤❤
@andrewnyasuru2917
@andrewnyasuru2917 Год назад
hili ni somo kwa waandishi wa habari, wawe wanavunja vunja maneno sio kila muda kutumia kiingereza
@dullahmihuri
@dullahmihuri Год назад
Ana saut ya utangazaji mashaAllah
@khizralghawy9489
@khizralghawy9489 Год назад
Ni mc
@umfahad2609
@umfahad2609 Год назад
Kwa kweli lugha ya kiswahili ni lugha nzuri saana ukiongea vizuri. Mimi pia napenda mtu anae zungumza kiswahili vizuri. Cku hizi wengi kwenye L wanaweka R. Na kwenye R wanaweka L. Wanatuharibia lugha.
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Год назад
Lafidhi zao huko walikutoka Makabila yao nivigumu ra na la Hawajui zinawekwa wapi
@dottanzania771
@dottanzania771 Год назад
Kwa hakika ni tajamala kumhoji mbuji, jagina, akiwa bado kijulanga kabisa ni furaha kama ya bibi harusi anapopewa ukonavi.
@shylockjai.8615
@shylockjai.8615 Год назад
Umenipotrza
@minortone8571
@minortone8571 Год назад
Bulbul
@dullywa9973
@dullywa9973 Год назад
doh😁😁
@emmanuelmussa2643
@emmanuelmussa2643 Год назад
Kijulanga😂😂
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Год назад
Jamani mimi nahama nchi maana siambui chochote hapo
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 Год назад
Huyu kijana angefaa akasome degree ya kiswahili (kama utaratibu tu wa kielimu, maana kwangu mimi huyu bwana ni Prof tayari). Ni hazina ya taifa kwanye lughaa yetu
@AshouHumaid
@AshouHumaid 9 месяцев назад
Mimi ni mwenye asili ya kiarabu ila hakika nasikia furaha sana kwa lugha fasaha yenye kuupa burdani mtima wangu.Ama zama hizi kiswahili kimepotea,( KISWAHILI NI LUGHA YA TAIFA ,WATANZANIA SOTE TUNAJIVUNIA.. KWANZA WALIMU WANALOJUKUM KUBWA,KUTUFUNDISHA LUGHA YA TAIFA.
@nicokabonge197
@nicokabonge197 Год назад
Safi sana....kaka
@papadimayo1chanel.747
@papadimayo1chanel.747 Год назад
Nimependa.
@samakisamaki3226
@samakisamaki3226 Год назад
Aliyesikia athari za lugha ya asili ya joram agonge like hapa. Mzanaki huyu wa kinyariri 🤣🤣🤣
@ngarathecomedian5743
@ngarathecomedian5743 Год назад
Jama ni noma sana 🙄🤔🔥🔥
@silverman6930
@silverman6930 Год назад
Highly intellectual 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@mariayoeni6657
@mariayoeni6657 Год назад
Hi
@mwaminindayishimiye4434
@mwaminindayishimiye4434 Год назад
Vizuri sana ila kigumu 😍😃😃😃😃
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Год назад
Hii ni kichwa kabisa .. intellectual mind
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 Год назад
Yaani huku duniani kuna matobo mengi sana ya fursa za kutobolea...jamaa ni fundi kwelikweli
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 Год назад
Apatikane msanii mmoja atunge wimbo wenye uswahili mwingi kama huu
@juvenclemence1490
@juvenclemence1490 Год назад
Ukonavi ni mimba - ila Leo nmecheka sana leo tumefungwa na yanga ila hii clip imerejesha tabasam letu
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Год назад
Mim pia nipo huku kujifariji🤔🤔🤔
@silasjacob9132
@silasjacob9132 Год назад
Jamaa anacheka tu aiseee kiswahili 🚶‍♂️
@dinocastico8495
@dinocastico8495 Год назад
Hakika haya ni mahojiano yaliyo tukuka, na bora zaid . Bila shaka naweza sema mahijiano haya yatabaki kuwa ktk safu ya juu kabisa
@davidngomeni2608
@davidngomeni2608 Год назад
Mtu anajua kiasi hicho ila ataonekana hafai kwa kushindwa kufaulu shule😁😁😁,tubadilike.
@mwanajafari7794
@mwanajafari7794 Год назад
Hatari Sana!
@hatbtalveson6581
@hatbtalveson6581 Год назад
huyu jamaa anafikra mkururo na ALLAH kajaalia HIDAYA maashaalah...
@deejeydaev
@deejeydaev Год назад
Kiswahili ni kigumu asee
@orthospeedafrica5335
@orthospeedafrica5335 Год назад
Napenda unavocheka na unavoongea Mr Joram
@nicokabonge197
@nicokabonge197 Год назад
Dah!! Jamaa anatufungua sana....ila Vijana wa hovyooo tunafatilia mahusiano mapya ya wema sepetu na ........masanja🙄🙄🙄🙄
@moganfred6473
@moganfred6473 Год назад
Namkubali sana
@fatmamsindi4612
@fatmamsindi4612 2 месяца назад
Maashallah
@mosesmahinya9654
@mosesmahinya9654 Год назад
Nash Mc njoo uku umuome mswahili
@AfroMedic
@AfroMedic Год назад
Nakumbuka pale shuleni tukiandika insha- Sherehe ilikuwa imefana, na mahuluki lukuki.
@deejeydaev
@deejeydaev Год назад
khaaa Kiswahili ni kigumu asee
@barakamshiu7146
@barakamshiu7146 Год назад
nimemsikiliza uyo jamaa duh kiswahili kumbe cjui ase
@moseskwabhi4992
@moseskwabhi4992 Год назад
Awesome
@selemanishabani126
@selemanishabani126 Год назад
Jamaa anaongea vzr sana
@alhaithamiy_
@alhaithamiy_ Год назад
Ghulamu, Banati, Dhukuriya zote hizi asili yake yake Arabic wow
@sdeshnjwetr6707
@sdeshnjwetr6707 Год назад
WATU WA MUZIKI WATANGAZE LUGHA YA KISWAHILI KWA UFASAHA. MAANA WANASIKILIZWA NA WATU WENGI NNJE NA NDANI YA TANZANIA 🇹🇿
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Год назад
Kweli bro pamoja na Waandishi wa habari Wte lugha hawajui lafidhi zao mbaya Kutokana na makabila wanayotoka Ramadhani kwao lamazani
@jumahassan273
@jumahassan273 Год назад
Kwa sisi watu wa tanga ndio maneno yetu njoo uku ujifunze kama joram
@rosemery542
@rosemery542 Год назад
Ma Sha Allah maneno mengi ni Kiarabu na Kiarabu ni lugha inayopendeza.
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Год назад
Tupende vya kwetu sk Leo naona ume furahi Sana kwenye maada ya leo
@eliakusiluka2390
@eliakusiluka2390 Год назад
Hatari
@jumahassan273
@jumahassan273 Год назад
Wadigo oyeeeeee maana joram anajivunia kujifunza kufundishwa kiswahili na wadigo
@babanabil...1247
@babanabil...1247 Год назад
Sawa kabisa barobaro wafunzwa ni azee enhu
@user-xb2pi9gp9j
@user-xb2pi9gp9j Месяц назад
❤❤❤❤❤
@princemimi2090
@princemimi2090 2 месяца назад
interview moja misamiati buruji kutoka kwa mbujii
@jabilmusa7569
@jabilmusa7569 Год назад
Daah hakika kijana ni mzalendo qa aina yake
@hilaryfabian1484
@hilaryfabian1484 Год назад
geneous
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 Год назад
Jamani kumbe nimefaidika ila nimempenda uyu kaka akicheka na mimi najikuta Nacheka tu 😀😀😀
@onlineshow123
@onlineshow123 9 месяцев назад
Kazi kuntu zaidi naomba mnisaidie niweze kutagusana Na ndugu Nkumbi tafadhali ,,mimi pia ni mwandishi ila Sina mwelekezi
@MkbinladenNikunetotoz
@MkbinladenNikunetotoz Год назад
Tanga kiswahili kilipo zaliwa duniani.
@elijahmgalula7465
@elijahmgalula7465 Год назад
Nimeongeza msamiati! Kazole
@espererancesudi7600
@espererancesudi7600 Год назад
To be continued
@sdeshnjwetr6707
@sdeshnjwetr6707 Год назад
BAKITA ITABIDI WAINGILE SWALA HILO LA LUGHA KWENYE VYOMBO VYA HABARI VINGI AVITUMII LUGHA IPASAVYO HATA MATANGAZO YAO YANATUHALIBIA KISWAHILI. KWA MFANO NENO LA KISWAHILI LINACHANGANYWA NA KINGEREZA . VYOMBO VYA HABARI MITANDAO WAWEKEWE SHERIA YA URAZIMA JUU YA KISWAHILI. MAONI YANGU.
@jacksonpeter734
@jacksonpeter734 Год назад
*Ulazima
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 Месяц назад
Mm nahisi selikali ingewekeza kwa huyu brother..ingefaa, pia km ingewezekana ingeandaliawa movi yenye maudhuiya kiswali km hiki
Далее
Hamster Kombat 20 July Mini Game
00:13
Просмотров 10 млн
Usomaji wa Vitabu
8:32
Просмотров 3,9 тыс.
JAMVI LA LUGHA :UFASAHA WA KISWAHILI
36:46
Просмотров 50 тыс.
Joramu Nkumbi - Kisa cha Mja na Wake Wanne
12:25
Просмотров 3,6 тыс.
THE JUNCTION S1:E19 | JORAM NKUMBI & LYDIA CHARLES
2:32:58
HOTUBA YA PROFESA PLO LUMUMBA ILIYOTIKISA DUNIA
26:06
🍁 Её дружище
0:20
Просмотров 1,3 млн
Кот Оказался В ЗАПАДНЕ🙀☠️
0:38