Joyce Kiria Asimulia Alivyochezea Kichapo Mwanaharakati Joyce Kiria amepigwa vibaya na mumewe, Kilewo ambaye ni mwanaharakati wa Chadema. Chanzo ni baada ya Joyce kudaiwa kukutwa baa na mwanaume mwingine.
pole sana kwaiyo harakati zote izo bado unapanga duh kweli akili ni mali mie nauza mandazi na ninamjengo wangu mbande uko sisumbuliwi na wenye nyumba mimi ndo mwenye nyumba alhamdulilah
🤣🤣🤣Una hashuo weye Kila mtu na malengo yake usijeona mtu anafanya kazi ya maana na bdo kapanga hujui majukumu yake kama anasomesha watoto mashule ya gharama jee