Joy! Ulikuwa house girl,ukaamua kusoma,Leo hii unapigwa? Uckubali mumeo akupige tena.Lazima utakuwa unajua sana kupika.Mungu akubariki,ctaki mumeo akupige tena,Akome.
Safi kabisa apigwe tu. Tena apigwe mikanda kabisa. Wanawake wenye heshima waliisha mwaka 1973. Kama umepata mke baada ya mwaka 1973 huyo siyo. Ni suala la muda tu. Tuendele kuwapiga makofi na Mikanda maana hawabadiliki..
Hapa hamna mke hapa, na wanawake wengi hawasemagi mabaya yao, wanajipaliliaga mazuri wao hawasemagi makosa yao. Kukubali kuolewa kisa kodi shikamoo dada aisee Hatari sana
dada dina nilimsikiliza vizuri Joyce kwa radio Juzi na nilitamani nimwambie kwamba mm ni videographer natamani kujitolea kumshutia na kuedit kipindi vyake ili lipo moyoni nikidhalaulika basi am clinton
swebe ww ni muigizaji, mtangazaji ulisomea wapi, huna staha, si utulie, jua hicho ni kipindi kinarushwa hewani, na watu wanasikiliza, si kusutana. unapoteza utamu wa kipindi, hapo watu wanaelimishwa, unampoteza joy point alizo zipangilia. jifunze
Da Dina nimesikiliza mazungumzo yenu na super woman ni mazuri. Ila kama ujuavyo kosa dogooo hupoteza uzuri au Utamu wa kitu. Ushauri kama mwanaharakati aangalie sana anachozungumza. Kauli ya anipige “ kwani mi MKURYA” ajitahidi asiwe “MNAFIKI” kwani hata mwanamke wa Kikurya sidhani kwamba wanaafiki kupigwa ni mazingira tu. Ni jukumu lake kama mwanaharakati kulikemea hili hasa kama kweli anakumbuka Biblia inasema kila mtu ni mfano wa MUNGU . She has to make sure no siding. That am Mchaga😳😳😳
@@fredrickipembe6277 mbona hapo sioni hata kitu kilichosababisha wewe kuuliza hivyo au ndio nyienyie na tabia zenu za kimario.pole ila ubadilike dunia ya leo hakuna kuoneana
Sisi Wanaume tumebadilika maana nyinyi Wanawake mmeshindikana sana. Maana mkiwa na vihela mnakuwa na dharau na mdomo sana. Hivyo na sisi lazima tukukimbie ubaki na vihela vyako. Wanawake mmekuwa mafala
toka huko nyuma tulisha sema kuwa uwazi wako kupita kiasi utakuja leta utata na sasa yametimia. hata ndoa zina siri. hivyo kule kuongea kwa uwazi kwako toka mwanzo ni vigumu wengi yetu wanaume kuweza kuvumilia
Siku hizi wanaume wengi ni kama wavulana siku hizi, hata Mimi yalinikuta. Niliolewa na Mariooo tena pamoja na mama yake. Nilikuwa nalipa kodi, chakula mpaka afya, helayake ni kwa Malaya na familia yake. Nilipo ondoka akarudi kwa wazazi wake mpaka Leo hii kama kubwa jinga linajizeekea halitaki kujishugulisha.
Wanawake wa siku hizi ni washenzi mno. Etii wanataka sisi Wanaume tufanye kazi yetu kama zamani. Kama nyie wanawake mngekubali kutosoma au kufanya kazi sisi Wanaume tungeendelea kuitunza Familia. Na nyie Wanawake mkipata hela mnakuwa na dharau mafala nyie. Wanaume tungetimiza haki zetu kwenye familia kama wake zetu wangekuwa hawajasoma...
Anasimulia sana ... kuna mambo hasa kwa mtu kama yeye anatakiwa ayaweke kwani anaweza kuja kuyasimulia kwa njia ya kuandika kitabu. Kusema kweli anajidhalilisha kipita kiasi. Ukimsikiliza kwa makini utagundua ana msonga mano wa mawazo na ana shida kwa upande wa kipato. Kutukana sana tena hasa wanaume haita msaidia. Maana sasa imekuwa kila mwanajume ni looser. Achukuwe tu mfano wa wafanya biashara wepi waliofanikiwa wanaume au wanawake? Wasanii mathalani bongo movie au bongo flava wepi wachapa kazi?