Kumbe ukweli mnajua hila kuungoea huo ukweli ndo kimbembe mbona sisi mashabiki wa simba tuko fear play tu!! Ndo maana manara aliwaambia wenye akili utopolo ni wawili tu😀😁😂
hii video ni ushahidi tosha watu wa Yanga wanachuki sana na Simba kuanzia viongozi wao had mashabiki Simba mzaramo alituita madunduka ila hakufanyiwa lolote walimuacha miraji kila siku anaisifia yanga ila huwezi ona wanasimba wanamchukia miraji mzee saidi anamsifia sana azizi ki huwezi kuona wanamchukia mimi simba namkubali aziz ki wa yanga nilimkubali mayele na feisal Yanga weng ni watu washamba sana na wanachuki za kijinga sana