@@LindaMbilinyi-n3n jamani kwani unahisi Tanzania unajuwa haki zetu kuzidai wala hatujui Sasa dosa amekosea wapi haya mambo ya kuendelea kuamin wazee ndio chanzo cha kuendelea kufeli kiukweli, mitaala kibao yakielimu imefelishwa na Hawa wazee
kaka hapana gb64 aliwekwa ndani kwa kuhofia uvunjifu wa amani, alisema kua tukifungwa katika hii game viongozi hawatotoka uwanjani na ndiomana alihifadhiwa police station na aliachiwa baada ya mechi@@pezzalthebaddest1526