Kwakweli juma Sharobalo nime pende zwa sana na elimu yako kwakweli mimi natamani kujifunza kichina kwayo nami nataka unifundishe kichina mimi naitwa NjileannualiDotto iborogelo
Mtangazaji usafi muhimu Huo mkono na pua lako viiipi uwe unatembea na kitambaa bwana ukitoka hapo hunawi unaendelea na mengine ndio maana magonjwa ya kuambukiza hayaishi ni sahihi Kabisa kumnyima mtu Salam ya mkono maana hujui alipotoka kafanyaje, Nimemuona Juma sharobaro Anaongea kiswahili vzr tu
Niko Marekani chuo kipindi tuko shule turiambiwa kila mtu ataje uzuri wa inchi yake wachima wakasema kwamba uzuri wa inchi yao ukipoteza pochi inapesa au haina au simu kitu chochote kina Address yako utakipata tu kwamba wezi ni wachache aise tumeshangaa sana😳mimi nikasema sifa ya inchi yetu ukipoteza kitu yani sahau kukipata na huo mtu umempunguzia dhambi maana hajaiba🤣🤣
mtangazaji umenyoa vizuri,unauriza maswari vizuri tatizo unajishika shika sana pua,nakuomba uwe unajiamini au kabla hujaenda interview muone doctor, pili mavazi hayavutii kama mtangazaji hivyo badirika,
Saumu Hassan bac dada uko vzr sana nimekubali ila ingekuwa vyema na ww ungekuwa na Tv online yako ingekuwa poa sana mana ushakuwa popural humu yutube so inafaa na ww ukiwa youtuber upige pesa..mana uwezi kukosa viawer 1000 ww sasa ukiwa unauwezo wa kuwa na viawer 1000 ukosi dollar 300 kwa mwezi hela nyingi sana hii you tune imeokoa watu wengi sana now day.