Namfahamu, anaitwa Jeremy anasoma chuo kikuu cha Indiana Marekani. Wenzetu wakitaka kusoma lugha wanajifunza kupitia 'native speakers' na kwenda kuishi nao kwa muda ili kuweza kujua lugha na utamaduni kwa sababu lugha na utamadun havitenganishwi. Tofauti na sisi tunavyofundishwa lugha fulani na watu ambao si wenye lugha yenyewe. Watoto wanasema 'a' for apple wakati hajawahi kuona hata tufaa lenyewe.
Huyu mzungu anachapia lugha yetu kwny baadhi yasentensi lkn wala huoni mtu mweusi kumkosoa ila ebu ngoja aongee mtu mweusi lugha yakingereza AF akosee kidogo2 ndoutaona usenge utakavyowatoka,,,ebu wabongo acheni ushamba bnh haswahaswa wakenya ndowenye utumwa huo
Hi, aise nimependa gisi unaongea kiswahili yn nimefrai ,karibu tena kwetu africa sisi niwararim na tuna jua samani ya utu ,hasa kwa mgeni ,karibu tena ,mm na ishi burundi karibu kwetu