Dagaro hanavyo uwa watu weusi kule Sudan hanauwa nawazungu hahu dagaro nimzngu kama somwarabu yani waharabu ugaidi na kuuwa wanzao wamezoea hangalien uyo hanacho wafanyia wa Islam wenzake pale sudan
vyombo vyao vya habari vya magharibi (west) vilituaminisha gaidi ni muislamu kwa lengo la kueneza chuki dhidi ya uislamu na waislamu ndio maana mshambuliaji akionekana ana jina la kiislamu litaitwa shambulizi la kigaidi shambulizi kama hilo likifanwya na mtu asiye muislamu litaitwa shanbulizi mshambuliaji
katika quran mungu anasitiza umoja katika uislam hata upo wapi likija suala la muislam mwenzio kupigawa unatkiwa kama una uwezo utumie nguvu zako zote ili uslam ushinde
Tatizo la waarabu wamekuwa mateka wa marekani na ulaya.Wamekuwa vibaraka wa US & Ulaya sana.Wajitambue sasa waache kuburuzwa na wamarekani na shoga zake
Uchambuzi wenu kama unaeneza itikadi mgejikita sana kuusu matatizo ya afrika amuongelei Kongo sudani naijeria afrika magalibi Kuna makundi megi ya kigaidi wafrika wakiuna uwezi sikia nchi yakialabu ata1 ikilaani acheni kieleele amjiulizi waalabu wengi kwanin uamia ulaya na malekani acheni kawaabudu waalabu tatizo mwislamu mweusi akimuona mulabu umtukuza sana
Hao wote hawana International legitimacy wanaongozwa na udini dunia haina dini watu wake wana dini utawala wa namna hii hautoboi nenda ulaya kuna dini gani inaendesha nchi nenda urus kuna diningani inaendesha nchi ndio mana hata iran inataabika sana ndani na nje kiutawala bisha lakini hii ni hoja usilete itikadi kwenye ukwel huu
tatizo nchi za kislam wengi wao hawana ushirikiano na unafki wa kushirikiana na wazungu kama kweli waislam wangeungana na kutumia nguvu zao hamas na Hezbollah israil ingekua ishapigika vibya ila wazungu wanaakili sana wanawagawa ili kusiwepo ushirikiano
kwani alipo jaribu kushambulia irani israli nani walimpa data marekani na israli si hao warabu akina saudia rabia na akina misri jordan kama kweli waislamu wamue kupigana na israli hachukui duru ashapiga unafki unatutesa uislam
Hesebolla ataiponza Lebanon, muda utaongea Israel inashambuliwa na hesebolla kutoka Lebanon na watu weusi wanaipongeza lqkin badae mtaanza kuionea huruma
@@Awatee hezbrollah wametangaza kuwa vita ikianza hawatojari , Sheria za kivita🤔 watapiga popote😏 nafikiri kufanya hivyo nikama kumtupa🦴. Samaki baharini😡 huko hafundishwi kuogerea🤐 Sasa hao raia sindo wanao wahifadhi nandio wanawapa nguvu fumua hiyo mizizi ya fitina wata surrender wenyewe😡😡😡
Ali masubi aliwah kusema kuwa israili wali ipiga hamas had wakaisha hamna nchi yeyote ya kiarabu itskayo ingilia wala kusapoti chochote na waki subutu tuu wata juta kwa kichapo na nina amoni kuwa ni ukweeli kabisaa kwa nionavyo hali inavyo enda kwa sasa kuhusu waarabu
Mzayuni hawezi ata kumudu kikundi kidogo Cha wanaume labda wanawake na watoto bila kusaidiwa baba zake nchi za mashoga au hujuwi TELAVIV Israel kuwa ndio kitovu Cha sherehe za ushoga Duniani afu mnafumbwa macho mnaambiwa Taifa la Mungu sijuwi Mungu Gani mnaemkusudia anaeunga mkono dhuluma na ufiristi au Lusifa maana nae wenzetu wanamwita Mungu