Katika category ya silaha ndiyo zipo groups tofauti kama hivi Hmg - heavy machine gun Lmg - light weight machine gun Mmg - medium machine gun Gpmg - general purpose machine gun SMG - Sub machine gun, ambazo ndani ya smg tunapata izo kwa mfano AK 47 and UZI
Huyu kijana mwenye t-shirts ya njano bado anatakiwa kua msikilizaji (2) ufafanuzi wa huyu jamaa aliye kati uko super sana mmi nimekua mfuatiliaji wa migogoro ya middle East na nimegundua kua graph ya kuizuia Israel ki jeshi imezidi kua juu
@@kitengedimaria3667 Itakuwa mkuu Jamaa labda ana kigugumizi hasa akiwa anaongea muda mrefu.Ila Mimi napenda anavyo-balance story haegemei upande wowote ule, japo mada nyingi ni za upande 1 ila Jamaa Yuko balance sana
Ally masub yupo vizur na mwanzo nilikuwa namuelewa lakin kadir nnavyozid kufatilia nimegundua hayupo deep anaongea vitu kama mwanafunz aliekaririshwa haongei vitu katika uhalisia wake,kuna vitu bado anahitaji kujifunza
Masubi umeshaambiwa ni mwanafunzi wa chuo kikuu elewa hivo bado ni chalii dj sima ni mtu mzima katambo mim kiukweli masubi according na age yake .yuko vizur
People I deeply appreciate your work since you started having my attention. I have a little suggestion to Mr. Masood, you are very good but you have to let your intelligence exceed your intellect, you can learn that from your brothers DJ SMA and that Lawyer brother, they do it well. Salute to the our excellent host Sky Walker. Thanks
Hapo kipara aliposema defense system ya Israel ni dhaifu, kwa kulinganisha na mashambulizi ya Hamas, sio kweli kwa sababu Israel ameshambuliwa na Iran ambaye ni mwezeshaji wa both Hamas na Hezbollah lakini hakushake... Kwanza mmekaa tu hapo hamjui hata SMG mnabishana bure kwanini msiiende huko mkajionee mkae angalau wiki hivi mtuletee taarifa ya kina ya kinachoendelea
SMA Yuko vizuri sana kwenye uchambuzi geo politics na MASUBI yupo vizuri sana kwenye technical stuffs ila wote wako smart sana linapokuja swala la history na predictions za Nini kinafuata. I think SKY ungefanya session Moja ya gps in form of good arguments kama mdahalo btn sma na MASUBI kipindi kitakuwa very interesting kila mtu atatoa madini ya maana kabisa but in the end we are all SNS FAMILY .
ALI ANACHAMBUA ILAA HAWEKI WAZI SIJUI KASHATISHWA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 SASAA ANAOGOPA KUFA😂😂😂😂😂 DJ SMAAAA HILI NI NYUKILIA HAOGOPI KITU BUT KAZI NZURI WOOTE MM NAWAAFATILIAA SAANA❤❤ NIKIWAA DUBAI MUNGU IBARIKI AFRICA 🌍 MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿 ❤❤
@@AliJuma-go4rc sio huyu bado, wewe ndio bado. Uwezi kujua uzuri au ubaya wa kitu kama wewe mwenyewe hukijua hicho kitu. Wewe unataka kusikia unachotaka kusikia.
Dj smaa nimegundua sii mbishi na hapendi kubisha ila huu jama mwemye t shirt ya njano mbiishi sana oya mwanetu dj sma anaongea vitu na ushaidi siku nyingn jitaid umskilize kwanza mimi apa shabiki yenu kutoka Burundi 🇧🇮
Masubi fanya utafiti israil ni mtoto pekee wa marekan na uingereza, hajawahi kupigana vita vyovyote peke yke, vita vyote anekua na support moja kwa moja
Gen zs tupo nawewe masubi unachofanya Sio kdogo kaka waonyeshe kuwa Gen zs tunauwelewa sana pia Kaka sma asante kwa kutufungulia njia kaka sky asante sana kwa platform yako gps ndo kpnd bora kwangu hadi natamani ni SUBSCRIBE kila siku ikifka sku ya gps
Wote wanajua ila kuna vitu wanatofautina. Dj Smaa amesema miaka ya 70 Marekani ilikuwa bado haijawa superpower na wakati ukweli sio huo. Marekani imekuwa superpower tangu 1945 baada ya vita kuu ya pili ya dunia.
Naikubali sns, mimi kwa ukweli na uwazi imenibidi nikiri tu. Hakuna, hayupo na bado sanaaa taifa lolote mashariki ya kati litakalofaulu kupiga Israel. Tuweke ushabiki mbali kabisa.
@sns sky uko vizur kwa vijana wako nawa amini sana sina Haja yaku fuatilia main stream media nikiwa na sns yangu nawa fuatilia kutokea Arizona USA ila Henry yuko wapi sky kila videos ya geopolitics ya sna and Niko nayo kweny mind yangu love you Guys wote wako vizur sana Dj Sma my favorite, afu wangine
Yaani Hadi raha 😅❤ mimi niko Netherland lakini hii sns inanifanya nijihisi kama niko home Africa... najua hivi vipindi haviwaingizii pesa za kutosha,,,ila wapiganieni waafrika nyinyi ndio incredible people for African's future
Cruise missiles have an 8.5-foot (2.61-meter) wingspan, are powered by turbofan engines and can fly 500 to 1,000 miles (805 to 1,610 km) depending on the configuration.
Sema Ally Masubi Yuko balanced sana kiuchambuzi, Kwahilo Nampa hongera sana na huo ndo maana halisi ya uchambuzi.DJ-SMA anajua sana ila tatizo ana upendo kupitiliza sehemu moja au ana-base upande mmoja zaidi. Ila yote kwa yote hongereni sana kiuchambuzi.
Waziri wa ulinzi anakiri kuwa wanajeshi elfu 70 wa Israel wamepata ulemavu huko Gaza, hiyo ina maana kuwa wamekufa au hawafai kuchukuliwa hatua.. basi fikiria Hezbollah
Hakuna bunduki inayoitwa S.A.R bali kuna SKS SAR ni uwezo wa silaha kwamba haiwezi kupiga mfululizo yenye inapiga single na kuji koki yenyewe ndio maana wengi upenda kuita semi automatic rifle likini jina la brand ya silaha yenyewe ni SKS
SMG ni mfumo. yaani silaha yoyote yenye chaguzi ya mapigo na Ak47 ni aina ya silaha yenye chaguzi za mapigo ilikuwa tolewa na Mrusi mwaka 47 aliyeitwa A kalashkov lakini zipo sub mashine gun zilizotolewa na matiafa mbali mbali kama mchina mwaka 56
There isn't a specific engine type called a "cruise engine." The term "cruise" in cruise missile refers to its flight characteristics rather than the type of engine it uses. Cruise missiles typically use jet engines, such as turbojets or turbofans, which are common in various types of aircraft. These engines allow the missile to maintain a constant speed and altitude, enabling it to "cruise" efficiently towards its target.
Tatizo moja la kaka angu na dj smaa. Dj smaa anajua vzur kuwa magharibi wanatumia media kutupumbaza kusifia vitu vya kwao ila ukwel sio kivileee ila kaka etu hapo anatumia sana nguvu kuelezea kitu ila kwenye mapambano hatuone zile sifa tunazopewa na media
Cruise missiles are guided, jet or propeller-driven projectiles that can fly at low altitudes, follow a flexible path, and are capable of precision strikes. Ballistic missiles, on the other hand, are unguided, rocket-powered weapons that follow a high, arching trajectory before descending toward their target.
Hemed mwipopo IRINGA.Ninavyo ona Vita vya hisbullah na Israel kwa awamu hii vitakuwa vibaya sana kuliko vita zilizo pita vya mwaka 2006 kwa pande zote mbili lakini hali ya vita kwa kipindi hiki itakuwa mbaya zaidi kwa Israel kwakuwa siku zote hisbullah ilikuwa inalenga zaidi miundo mbinu ya kijeshi lakini kwa vita hii inayo tegemewa kupiganwa itakuwa tofauti kabisa kwa kauli ya hisbullah kwamba haitafuata Sheria za vita hapo inamaanisha kwamba atakuwa tayari kulenga hata makazi ya raia na Maeneo mhimu ya kiraia, pili vita itakuwa mbaya kwasababu hisbullah anaweza kuwa na siraha mbaya zenye madhara makubwa kwa Israel ambazo sisi hatuzijui pia hisbullah atakuwa na washirika ambao wataisaidia kushambulia kutoka pande mbalimbali nje ya Lebanon ambazo ni Syriya na Iraq na Kila mmoja atakuwa nashabaha tofauti za mashambulizi ambayo yatasababisha Israel Kusalenda vita. Huu ndiyo mtazamo wangu.