Alhamdullah . Kila jambo linalo mfika kiumbemwenyez Mungu ameandika ,pole sana Jussa nawa walewe wote walipoteza maisha mwenyez Mungu awajalie kaul thabit amsamehe makosa wagonjwa wapone . Amiin 😭😭😭😭😭
@@munasuleyman3159 Kila wakati dua. Hasa nyakati za sala. Allah anapokea dua hivyo tuviombee dua Visiwa vyetu mema. Mwenyezi Mungu! Tulishie maskini wenzetu, waponyeshe wagonjwa wetu,wastiri mayatima wetu,wakinge wanaonyanyaswa kijinsia. Amiin.
Wallah machozi yananitoka. Allah atawalipia. Alhamdulillah uko hai . Allah atakujaalia speed recovery, ALLAH awaafu wote na awarahamu maiti wetu wote in sha Allah
Muungu awaponye walewote walio pata majiraha na matatizo katika kipindi kile kigumu cha mpito na wale walio kwisha tangulia muungu awasamehe makosa yao Amiin
Allah atamfanyia wepesi kipezi chetu Allah atakufanyia shifaa kipezi chetu na Hao waloyafanya haya Mungu atawahukumu kila La heri jussa wetu tunakupenda na tutazidi kukupenda kamwe hatutokusaliti tunakupenda sanaaaaaa..... Zaidi ya sanaaaaaaaaa...
Wapi! Wasnzibari wachafu sana! Unapikwenda uchafu watu wanatupa taka bila kujali iwe beach, barabarani kwmeye makaazi...machupa, foils, kokwa za ubuyu, Pampers etc....eti udi! Hahaha
@@linmixtv waaaallah katika mtu ulio ongea ukweli ww mmoja wake yani hawa wanakuwa watu wazuri ila majini karibu na uchaguzi wanakuwa wafanyama kasoro mkia asa
Dah Allah akujaalie uzima urudi ktk majukumu yko na hao walowatuma na walfanya Allah awahukumu hapahapa duniani sote tuwaone na Akhera awafyeke Jahannam wakae milele. Aamin
Shukuran njema zmfkiye Allaha Kwa kuturejesheya jusa wetu akiwa hai na salama ishalla kwauwezo wake Allah atakurejesheya afwa njema nakila alokuzulumu ishalla Mungu amuangamize
Yaani siku nimeskia huyu mtu ameumizwa nilihuzunika sana,lakini ninachomkubali ni mtu mwenye moyo wa kishujaa,na ameonesha uzalendo,tuko pamoja mh jussa na Allah yupo nasi
Jazaa ya Muovu ni hapa hapa duniani kwanza Allah atamlipia jussa kwa unyama aliofanyiwa na Allah atamlipa kwa subra yake na atawashinda Madhalim inshaallah
Allah amjalie apone na wale wote walioumia wapone pamoja na majeruhi wote na waliotangulia mbele ya haki Allah awajalie jannat firdausi na sisi tulio kuwa hai Allah tujalie mwisho mwema Isha Allah
'Bismil'Lahimaashallah Mola akuzidishieni imani na ehsani ya upendo wahesiya za nyoyo thabit juu ya ubinadam wenu..na mshikamano wa kuaniyana..amin, na hilo c jmbogeni kwetu.. kwani ndivo khasa ilivo khulka ya Zenjybabar tangu..azal tukiyaona juu ya wazee wetu washao tangulia mbele ya haki.. M/Mungu awarehm amin. Ishaallah tunamuombea Mola amzidishie afyayake Mh Jussa na amzidishie imani ya subira ktk yalio mfika na yaliotokea tukijuwa kuwa yote hayo ni maandiko ya Muumba, lililobakia na la mhimu zaidi ni mshikamano wa kulijenga Taifa jipya palipo na matumaini ya kusonga mbele na kusahau na kuyazika kbs!! Yote yaliopita na kwa uwezo wke..Allah atajalia yale yote yanayo tgmewa na kwa manufaa ya wote..Yaa Rabby tufungulie kheri ktk Kisiwa chetu, na wape nguvu na busara za uwongozi wao uwe ktk mikono yako..juu ya sheriya na uadilifu..amin'
Kwanza tukubali kwamba tuliposusia uchaguzi wa Marudio 2016 ndipo zilipoanza hujuma za kututeswa, kudhulumiwa na kuuliwa. Tazameni kumbukumbu za Wazanzibari walioteswa, waliodhulumiwa, na waliouliwa tokea 2016-2019, na mwaka huu ndio yalizidi kasi kwa hali ya juu. Sasa je tungelikuwa hatujasusia Uchaguzi wa marudio 2016 yangelitupata hayo!? Je, 2016-2020 tungelikuwa ndani ya SUK yangelitufika hayo!?
Allah akuhifadhi kaka jussa nimeifungua hii link wallahi mwili Wangu wote umesisimka ni faraja kubwa sana japo umekumbwa na mtihani Allah akudumishe ktk ibada inshallah kiukweli mapokezi kama hayo uwapata wafanya ibada wachache mno angalia waumwa lakini utafikiri umetoka kufunga ndoa "Mashallah" Nawatakia kila lakheri wote walioguswa na tatizo lako