Huyu jamaa atakuwa ametenga billion elfu moja za kitanzania kwa ajili tu ya harusi ya mtoto wake!! Ingekuwa bongo hapa watu wangeanza kumpangia matumizi ya pesa yake.. Utasikia oooh si bora angesaidia masikini!!
@@yusternyirenda7231 sure aisee... Hiyo misemo huwa inakwaza Sana pindi mtu anapotumia jacho lake kunifurahisha mwenyewe.... Msanii wa bongo akimwagia watu hela kwa club.. Dah hayo majungu yake si mchezo
Kwa nn reference iwe diamond??? Mbona bongo hapa kuna watu wana pesa mbaya kabisa huwa wako kimya tu.. Mwacheni msanii wetu tajiri afanye Maisha kwa uwezo wake...
Sns je rayvanny alilipwa kiasi gani cha fedhaaaaaa nae mlisema alipafomuuuu huko huko na rihaana asije akawa amelipwa mabilioniiiii akaja akatununuaaaaaa watanzaniaaaaa wote akasema tuondoke
Hiyo milioni 10 US dollar aliyolipwa Justin Bieber kwa marekani ndogo sana atanunua nyumba ya kawaida na magari nyumba ya p.didy tu anauza US dollar 70 milioni
Ila ni istirafu ..SEMA pesa ni sabuni ya roho na pesa inakufanya mtu ukufuru wakati mwingine...alikuwa Hana sababu yakufanya istirafu yote hiyo hali ya kuwa Kuna watu wanauhitaji wakimaisha ...watu hawana hata mitaji lakin pesa zinatumika ovyo..Kwa riha Yan sifa..kulikuwa hakuna haja ya kutumia mipesa yote hiyo ..wakati wengine wanauhitaji Zaid.kwamaon yang lakin...kwamana alishafanya shughuli ilikuwa Haina haja tena yakutumia mapesa kibaaaaao wakati alishafanya shughuli
Akili finyu Hiyo n biashara na biashara ni maelewano haihusiani na maswala ya weusi au weupe Na kama ulikuwa hujui rihanna anapesa zaidi ya mara nne ya justin
@@faucynkrctian6607huyo kweli anaakili finyu Mayweather ni mweusi na alikuwa analipwa pesa ndefu kuliko mwanamichezo yoyote yule duniani, Tiger woods pia ni mweusi na aliongoza list, jay z kaongoza rapper anaelipwa duniani, Beyonce aliongoza kwenye wasanii wa kike kulipwa pesa ndefu kuliko kina Celine Dion, Madonna
@@tomsijohni sija kitukana nimekufungua akili kwamba weusi na weupe sio sababu ya mmoja kulipwa pesa nyingi na mwingine kulipwa pesa ndogo kwani hiyo ni biashara na biashara kama hakuna makubaliano then you are free to walk away
@@tomsijohni hii ni karne ya 21 mjomba hata watu weusi wanaweza shika pesa na kuwa katika ngazi kubwa za uongozi(obama) maswala ya weusi na weupe ni kwa watu wenye akili ndogo na mindset za kimasikini