Тёмный
No video :(

Steve Nyerere awavunja mbavu watu mtandaoni kwa namna alivyokua akimsikiliza Wema akiongea kingereza 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 12 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 27   
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Месяц назад
Korea Kuna fursa nyingi sana ,hasa Kwa wafanyabiashara na wakulima ,siku nyingine nakuombea sana mam S.S.H. uwafungulie na wao fursa ili tuzidi KUNUFAIKA zaidi na zaidi inshallah❤❤❤
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Месяц назад
Kabisaaa
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Месяц назад
Ila Tivuu akeeeee😂🤣🤣haelewi hata anachoongea Wema ila yuko busy kutikisa tu kichwa.
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Месяц назад
Wema alitakiwa awe muhudumu kwenye ndege
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 Месяц назад
Steve Nyerere nikama Yuko kwenye chumba cha mtihani ,alivokakamaa😁😁😁😁
@magrethmalobola5470
@magrethmalobola5470 Месяц назад
😂😂😂😂
@baysuraoman7910
@baysuraoman7910 Месяц назад
Yani hakili ya sitivu kma yangu😂😂😂😂
@frankmushi509
@frankmushi509 Месяц назад
Bongo sihami😂😂😂
@josephkiwale374
@josephkiwale374 Месяц назад
Steve mbna kimombo anaongea fresh2😂😆😃
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews Месяц назад
Tivu ake jamani😂😂😂
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 Месяц назад
😂😂😂 kazi iendelee
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Месяц назад
Shule ni muhimu sana
@gasperjohnson3388
@gasperjohnson3388 Месяц назад
Haelewi hata moja amekalia kuitikia tu kichwa kama vile anaelewa😂
@DavisEnglishTv
@DavisEnglishTv Месяц назад
Hapo Steve anawaza hiv kwanini namm sikwenda shule?
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 Месяц назад
Hapo hamna shule hiyo no rugha tu unajifunza popote pale mi ninaongea hiyo rugha bila dalasa hata moja
@joshuanjau3429
@joshuanjau3429 Месяц назад
🎉
@Gody360
@Gody360 Месяц назад
Pamoja sana 🫡
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk Месяц назад
Whozuuuu hayuko salamaaaa tundaaaa lake litamegwa korea au lishamegwaaaaaaaa😢
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 Месяц назад
Haina shida maana ni wachaga wote au wote from kaskazin kama nimekosea mmh nisameheni tu.
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 Месяц назад
Msuli huo sio sket
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Месяц назад
😂😂😂jmn
@sadikishomvi4450
@sadikishomvi4450 Месяц назад
Tuko pamoja
@jeremiahevodius925
@jeremiahevodius925 Месяц назад
Ids iyo aliyo vaa si siketi au ndo mitindo adu konde akivaa maneno kibao
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Месяц назад
Ukitoka kutahiriwa huwezi kuvaa suruali
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Месяц назад
​@@alzawahirabdallah2299😂😂😂😂
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 Месяц назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@LyonWalker_
@LyonWalker_ Месяц назад
sasa mbona kingereza chenyewe ni chepesi hata kwa mtu ambaye hajui kingereza vizuri anauwezo wa kupata idea (hata kam hatoelewa kila kitu )
Далее
Insane Coffee trick EXPOSED 😱☕️ #shorts
00:20