Km n kweli wk penzin bac jux ajiandae kuumizwa tena ,cjajua kwann jux anapenda watu maarufu amawatu w sampul y mionekano hio ,hayuko sirisi kbs cjui ht km anajua anachokitak ,bro mungu kamwandikia mke tofaut w sampuli tofaut n yy anaowatak
Huyu sasa ndio perfect match ya jux Jux ni vigro nimeenda kumserch huyo dada gugo kazaliwa march 13 2001 means yy ni pisces Mmoja ni earth sign mwingine ni water sign ni best combo Moja matata Sanaa wanaweza kukaa mda mrefu na kuoana kabisa
Na uyu jamaa tangu Vanessa amuteme badooo ana hangaika hapaa na pale na uyu utakuta one month eti tumeachna,,,😅yule mu Thailand alikua anatambaa nayee ako wapii saa iyi ametoka kenya ako Nigeria tenaaa 😅Vanessa ako zake USA 🇺🇸 ametulia na mwanaume mu mojaaa tuuu😅
Kamshindwa caren huyu ndio ataweza.?😂😂wata achana tu 😂jux hawezag long distance relationship yalimshinda kwa yule m Thailand 😅huyu mpopo wapenda bata hatoweza kumlipia business class 😂
Amtazame mwenzake vanessa kwan rotimi n mzuri sn hpn n wakawaida tu n wako pamoj wanazid kutengenez familia lkn yy kutwa kuchwa watu maarufu watu w sampuli ileile ndoman anaumizwa kila wkt
Mmmm jamani kwa sura hapana wanaigeria tangu lini wakawa na sura nzuri kama mademu wa kibongo .. kama mimi naongopa ingia kwenye account yake anajiita itspriscy...😂