Тёмный
No video :(

KABLA HAJAFARIKI, MANENO YA MWISHO YA MKAPA MBELE YA RAIS MAGUFULI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 116 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 129   
@mashimbadeograthiasmathias8583
@mashimbadeograthiasmathias8583 4 года назад
Pumzika kwa amani baba Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani.....amen×3
@mawananasoro4405
@mawananasoro4405 4 года назад
Buriani baba nimeumia sana mzee wetu sina la kuongea nakuombea kwa mungu akupokee watanzania tutakukumbuka daima
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 4 года назад
This guy was a real G. we have lost a champ.. You will always be remembered
@eliasakhamisi9619
@eliasakhamisi9619 4 года назад
He was a legend a good president we should continue his legacy forever R.I.P our president
@devothamwamwezi2036
@devothamwamwezi2036 4 года назад
Shujaa ameenda jamani Rest in Peace milele tutakukumbuka
@neemamturi3273
@neemamturi3273 4 года назад
Pumzika kwa amani mzee wetu ulitupenda nasi tunakupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.
@joycemwambe3494
@joycemwambe3494 4 года назад
RIP baba ,babu,mjomba tutakukumbuka daima
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 4 года назад
R.i.p Benjamin Willium Mkapa.we will remember you our former president.
@kishimbamusic5116
@kishimbamusic5116 4 года назад
Mzee mkapa katika uongozi wake hakupendelea. Watumishi na wasiowatumishi wote walipata stahiki zao
@elardmadeez3382
@elardmadeez3382 4 года назад
R.I.P BENJAMIN WILLIUM MKAPA WE WILL MISS YOU OUR SRTONG FORMER PRESIDENT
@davidsekile8633
@davidsekile8633 4 года назад
Ukamilifu wa kiumbe chochote kilicho hai One Giant has Fallen Rest in Peace Former President
@leodegarfoyanshaw7111
@leodegarfoyanshaw7111 Год назад
Speech yako Mh. Mkapa yanathibitisha wewe ni genius. R.I.P baba.
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 4 года назад
Umepigana kwa ajili ya nchi yangu Tanzania na mwendo umeumaliza baba kwa kheri tutakutana mbinguni.
@mwambamkombozi4672
@mwambamkombozi4672 4 года назад
Muuaji mkubwa dhalim number one we will never forget. Allah ndie hakimu.
@mariamramadhani6185
@mariamramadhani6185 4 года назад
Duh
@jackmichael1953
@jackmichael1953 4 года назад
@@mariamramadhani6185 nashangaa kama nini sijui binadamu tupoje jamani mtu akijalalia huku unatoa maneno mazito ambayo hata hakusikii, simngesema wakati alipo kuwa hai ili ajue amekosea na awaombe msamaha? Huyo allah unaemsema huenda mwenzio alishatubu na pepo anaiona wewe huku unabaki kuidhurumu nafsi kwa maneno mazito.
@alinadee8207
@alinadee8207 4 года назад
Tena km muuwaji asisemwe
@mwambamkombozi4672
@mwambamkombozi4672 4 года назад
@@jackmichael1953 hujui ukisemacho alijidai kuwa atawalipa fidia alipwaua na wengine kuwatia vilema na kuwasababishia watu kuwa vizuka na wengine kuwaacha kuwa mayatima
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 4 года назад
Nyinyi mnao sema R.I.P. (Rest In Peace)/Pumzika kwa Amani. Hivi mnadhani kaburi ama akhera ninyumba yenu ata mumwambie mtu pumzika kwaamani? Wewe kama mwanaadamu nahususan kama wewe ni muislamu basi haikupasi kusema maneno hayo kwayeyote yule. Mamlaka yakusema maneno hayo niwewe kumkaribisha mtu nyumbani kwako ama kazini kwako au ofisini kwako tuu kwasababu hizo nisehemu unazo zimiliki wewe kwahio unayo haki yakumwambia mtu pumzika kwa amani nautulivu pia Ila maisha yakaburini ile sio nyumba yako huna mamlaka Bali wewe inakufalia kusema Allaah akurehemu/akusamehe/akupe kauli Tahiti. Apo utakua umemuombea dua kwa kumuacha Allaah afanye kinacho stahiki. Ama kusema pumzika kwa amani hilo neno halifai kwamuislamu kulitamka
@michaelhyungim8174
@michaelhyungim8174 4 года назад
That's the problem with Islamic, too much religious. Ya nini kujifanya mtu wa dini dear ?? Huh , kwani unazani hawo waislamu wanao comment R.I.P hawajui maandiko ya Quran. Kumbuka hapa kuna watu wenye dini za kila aina na kila mtu ana commenting anacho taka . So shut up
@piusacademic3256
@piusacademic3256 4 года назад
Jarjaani Gezina ww ni mjinga sana pia yafaa kukuripoti tcra. Kuna laana inakutafuna si bure. Comment zako zote ni za kipumbavu. Kama unajua kuwa hukumu ni ya Mungu pekee sasa mbona ww umeingilia kazi za Mungu kwa kuhukumu wenzio akiwemo Rais wetu mpendwa marehemu BwM? Jirekebishe.
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 4 года назад
Wewe katoe tuu ripoti hivi unadhania mm naogopa hebu nenda haraka naona wachelewa
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 4 года назад
@@piusacademic3256 Sikulaumu ndugu hio niimani yako wacha mm niwe mjinga tuu kisha kua wewe mwerevu haijalishi Ila pia sms zangu ziko wazi nilikua nimewakusudia zaidi Waislamu
@hazaaahmadhazaa2770
@hazaaahmadhazaa2770 4 года назад
Nafikiri hamkumuelewa alichokisema, Anasema kusema " KAPUMZIKE KWA AMANI" ni kama tunatoa amri kwamba " AKAPUMZIKE " ndio maana mbele akasema inatakiwa mtu akifa tumuombee asemehewe makosa na apokelewe vizuri huko aendako, sioni kama kuna tatizo kwenye dhamira ya alichokisema. Sasa mtu ukipewa machaguo mawili umfanyie mpendwa wako aliyefariki kati ya 1.kusema "PUMZIKA KWA AMANI" AU 2.KUMUOMBEA MSAMAHA MUNGU AMPOKEE VIZURI sijui utachagua kipi kati ya hayo!??
@emilymideva8783
@emilymideva8783 4 года назад
Rip poleni sana familiar #254🇰🇪🇰🇪
@hnry33henry49
@hnry33henry49 4 года назад
Mungu akuweke mahali pema
@cruzzyborn1435
@cruzzyborn1435 4 года назад
Naitwa William kwa7bu yako RIP wajina Mungu kakupenda zaidi upumzike mahala pema peponi Amen
@rashidalihamad7228
@rashidalihamad7228 4 года назад
Upumzike salama BWM na Mungu atakulipa kwa uliyoyatangaliza, zaidi kwa ulichotufanyia Zanzibar
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 4 года назад
Yeah, malipo yapo na mlipaji hasahau ala hafi
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 года назад
R.I.P Mkapa
@lengoonelaandare9660
@lengoonelaandare9660 4 года назад
Hakika utakumbukwa kwa mengi uliyo yatenda R.I.P
@petromkoyi6102
@petromkoyi6102 4 года назад
Rest in peace our former president
@estermeshack610
@estermeshack610 4 года назад
Mungu akulaze mahali pema pepon Rais wetu awam3,tulikupenda sana ila Mungu kakpenda zaid
@ebenezerysimon4587
@ebenezerysimon4587 4 года назад
Inauma sana Mungu mpokee kwako mbinguni😭😭😭😭😭
@happykimaya2762
@happykimaya2762 4 года назад
Hakika kila nafsi itaonja umauti. Pumzika kwa amani mzee wetu!
@davidosotsi7046
@davidosotsi7046 4 года назад
Rambi rambi kwa kupoteza Rais Mkapa Poleni Mungu awarehemu
@shammusfredy4158
@shammusfredy4158 4 года назад
Hayo maneno ataenda kuyamalizia mbele ya Allah , na akajibu mashtaka ya mauwaji ya wazanzibari
@jackmichael1953
@jackmichael1953 4 года назад
Mkapa aliwaua au ilikuwaje?
@josephignas3436
@josephignas3436 4 года назад
Una uhakika? Wewe ndo uangalie usije ukaenda motoni kwa kusema maneno usiyo na uhakika nayo
@shijabrayan4764
@shijabrayan4764 4 года назад
@@josephignas3436 aa kumbe iv aliwauaje ebu2pe uo ubuyu lafiki e2
@amosmoses7800
@amosmoses7800 4 года назад
Mimi ni MLUTHERI na wala sitetereki wala kuhofia kitu. Lakini tunavyoendeshwa na hii serikali chafu ya kiBaguzi ya ccm ni UONEVU mkubwa wa haki za raia. Serikali ya ccm ya KIKATOLIKI ndio iliochukua Utawala baada tu ya uhuru ( uhuru wa bendera ) hadi ivi sasa ccm ya KIKATOLIKI wanaendelea kutawala inchi. Hakukuwepo wala musitegemee kuwepo na Raisi kutoka dhehebu jengine inchini Tanzania. Ata hao waislamu ni mizuzu tu isiojitambua hadi Leo hii. Wengi ndio waliopigania uhuru. Wengi ndio waliouwawa kwenye mapambano. Lakini wengi wao ivi sasa wanatumika kwa ajili ya KURA. idadi yao ni kubwa kwenye visanduku. Kwavile wanajulikana ni Maboya tu. Akili hakuna na Elimu hakuna. Tunaelewa agenda ya serikali ya ccm tokea ianzishwe ni KUWAWEKA WAKATOLIKI INCHINI NAFASI ZA JUU KATIKA KILA MAENEO. JESHINI. POLISH. MAGEREZA. WIZARANI.IDARANI. VYUONI. MAENEO NYETI YA IKULU . MAENEO NYETI YA UCHUMI. MAENEO NYETI YA MIHELA . Uyo aliefariki tunamjua ni mtu aliekuwa akiendeleza na kusimamia AGENDA na MAAZIMIO ya Mzee kambarage. Hatushangazwi kuona mazishi yake yakigarimu maBilioni ya hela za inchi katika kipindi ichi kigumu cha UCHUMI . Embu tusubiri mazishi ya Mzee ruhsa watamfanyia nini ^^^ ccm ni chama cha WAKATOLIKI ..kimeasisiwa kwa malengo malumu. Wapumbavu na Wajinga wataendelea tu kukipigia kura ili wapate kofia na sh 20, 000 .huku wakiendelea kula dagaa wakavu na sembe. Nguo zao viraka vitupu. Elimu kwao inaishia darasa la saba. Ili awe tu mjinga Asione mbele. Hakuna MLUTHERI aliepo ccm ila atakuwa zezeta hilo. Bv
@neziafranc3422
@neziafranc3422 4 года назад
Umeumaliza mwendo imani umeirinda pumzika kwa amani
@lamecklutahiwa8503
@lamecklutahiwa8503 4 года назад
R.i.p mzee MKAPA Mungu akulaze mahali pema peponi amin
@frankopindo765
@frankopindo765 4 года назад
Nashukuru rais Benjamin Mkapa kwa kuinusuru Kenya kutokana vurugu ya uchaguzi wa mwaka 2007...Rest in peace....
@rhodatoroka2627
@rhodatoroka2627 4 года назад
Umemaliza mwendo umevipiga vita vilivyo vizuri imani umeilinda pumzika kwa amani our former president Benjamin William Mkapa!
@IDSM_ConsultancyTraining
@IDSM_ConsultancyTraining 4 года назад
Rest in Eternal Peace
@danieljulius1163
@danieljulius1163 4 года назад
Tutakukumbuka daima kiongozi mwadilifu hakika Tz tunajivunia marais wote tulio wapata tangu enzi ya Baba wa taifa
@paschalcharles7986
@paschalcharles7986 4 года назад
Rest in peace our president mkapa
@safiaothman1098
@safiaothman1098 4 года назад
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'uun.
@kimwerionlinetv5574
@kimwerionlinetv5574 4 года назад
Hiyo ilikuwa ni Saut iliyojaa mamlaka
@hinedmaganga6351
@hinedmaganga6351 4 года назад
May God pay u for the good things and changes that u made during your life time
@mpendwamillanzi7166
@mpendwamillanzi7166 4 года назад
So pity you have gone too soon. Tuta imiss sana hii sauti yenye mamlaka ndani yake.
@hermanmasengo6188
@hermanmasengo6188 4 года назад
Hakika atakumbukwa milele
@andreamaiko3560
@andreamaiko3560 4 года назад
R.I.P rais wangu
@meddyzambetakis
@meddyzambetakis 4 года назад
Alichosema Mkapa: RUSHWA IDUMU 🤣🤣🤣🇹🇿
@happydionice355
@happydionice355 4 года назад
Rest in piece my president
@zeituniismail2946
@zeituniismail2946 4 года назад
Pumzika kwa amani hakika tutakukumbuka sana mzee wetu
@abuutasniym2675
@abuutasniym2675 4 года назад
Hana amani atakayo ipata muuwaji mkubwa uyo amesha anza kukiona kile alicho kipanda Mm siwezi kusahau mauwaji aliyo yafanya Januari 21 mwaka 2001 kule Zanzibar hususan Pemba Watu kunajisiwa nakulawitiwa mke kwamume nawengine hadi leo vilema. Sasa nashangaa kuona mtu mwenye majina yaliyo tajwa ndani ya Qur'an kusema maneno kama hayo Apo hakuna amani kabisa wote walio kufa nakudhulimiwa nakuteseka kwasababu yake wanamsubiri
@zeituniismail2946
@zeituniismail2946 4 года назад
Hiyo kazi ni ya Mwenyez Mungu yeye ndiye ayajuaye madhambi yetu huwez kuhukumu wewe
@is-hakayussuf9981
@is-hakayussuf9981 4 года назад
@@zeituniismail2946 tena una majina mazur Maa Sha Allah
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 4 года назад
@@zeituniismail2946, Hata km lkn pia sote tunajua kua hakua muisilam. Kwa hio mwenye hio kazi ya kuhukumu Allah ameeka wazi ktk Qur-an kwa kusema:- Qur-an 9:113. "Haipaswi Nabii na wale walioamini kuwatakia msamaha washirikina, ijapokua ni jamaa zao, baada ya kwisha bainika kua hao ni watu wa motoni".
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 4 года назад
@@zeituniismail2946, Sasa apumzike wapi pa amani na ikiwa Allah ameshakataza kwenye Qur-an? Zeitun ndugu yangu kinachoelezwa/kukatazwa kwenye Qur-an kina uzito na kizingatie zaidi mana ni maneno yanatoka straight kwa Allah na sio hadithi km tutasema alisikiwa na nani huenda ikawa sawa au sio.
@boniventurenyeura3967
@boniventurenyeura3967 4 года назад
Pumzika kwa amani mzee wetu
@sponsor7882
@sponsor7882 4 года назад
Rais aliyetuanganisha na majirani zetu na wawekezaji.
@J4UPro
@J4UPro 4 года назад
Hahahaha hapa kuna kitu
@ramadhanathuman940
@ramadhanathuman940 4 года назад
Kapumzike mzee baba msalimie nkurunzinza"
@paulgideon3188
@paulgideon3188 4 года назад
Pumzika kwa aman mzee wetu mkapa
@patrickKitambo
@patrickKitambo 4 года назад
Rip Big Ben😭😭😭
@franklugalamila3577
@franklugalamila3577 4 года назад
duuuh mungu akupumuzishe kwa amani
@diamondgeyser7987
@diamondgeyser7987 4 года назад
Wosia wa Busara na hekima kutoka kwa kiongozi wetu mpendwa( R.I.P BENJAMIN MKAPA)., "MAGUFULI ENEDELEA HIVYO HIVYO MBELE KWA MBELE"
@erodeshayo8672
@erodeshayo8672 4 года назад
R I p Mungu akutangulie
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 4 года назад
Tutakukumbuka daima baba uliinua mishahara ya watumishi walidharauliwa hapo zamani na kila mtu ila ukumbukwe kwa kuibadilisha mishahara ya watumishi.Tukutane asubuhi njema.
@wilsonmwenda1509
@wilsonmwenda1509 4 года назад
R.i.p father
@zeituniismail2946
@zeituniismail2946 4 года назад
Pumzika kwa amani hakika tutakukumbuka sana mzee wetu
@amanimanase5794
@amanimanase5794 4 года назад
Sauti ya mamlaka iyo RIP MR PRESIDENT
@mirromedia5
@mirromedia5 4 года назад
RIP MZEE
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 4 года назад
Pole sana Mama Anna Mkapa. Rest In Peace Kamanda
@immanuelrobert569
@immanuelrobert569 4 года назад
Inauma sana, , ,
@josephkimani4985
@josephkimani4985 4 года назад
R.I.P rais
@imanibensoni8274
@imanibensoni8274 4 года назад
RIP BWM
@azizimakwesa240
@azizimakwesa240 4 года назад
Mbele yako nyuma yetu mzee NENDA kapumzike salama 😭☹️
@aminamakacha6258
@aminamakacha6258 4 года назад
Rest in peace my father😄😭😭
@mirrortvonline8530
@mirrortvonline8530 4 года назад
Tazama kauli ya Magufuli kuhusu eneo atakalozikwa Mkapa :- ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-B0JP1z4yEkY.html
@rachellaizer941
@rachellaizer941 4 года назад
Baba zetu wanatuacha jamani rip our president
@SML2019
@SML2019 4 года назад
Salute. Rest in peace
@peterkipenye2983
@peterkipenye2983 4 года назад
R I P mheshimiwa rais wang
@mustafayasini1559
@mustafayasini1559 4 года назад
Mustapha yasin mungu ailaze roho take mahali pema
@mpendwamillanzi7166
@mpendwamillanzi7166 4 года назад
Mimi pia ni rais wangu
@fatumamcharo3929
@fatumamcharo3929 4 года назад
Nenda baba!!! Nasi tuko nyuma yako!!😢😢
@rechrontv2453
@rechrontv2453 4 года назад
HISTORIA YA MH. RAIS BENJAMIN MKAPA (gusa link👇👇👇Kutazama) ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-_bVo1ZcdyMQ.html
@eshynassor5666
@eshynassor5666 4 года назад
Rest in peace Mr President
@jacksonmashaka9322
@jacksonmashaka9322 4 года назад
Mmmmh mkapa
@doreenkahunde3186
@doreenkahunde3186 4 года назад
Oh dear rest well
@josephmasebu7848
@josephmasebu7848 4 года назад
Hi
@dianakipuyo1910
@dianakipuyo1910 4 года назад
RIP beloved former President
@hamadkhamis8963
@hamadkhamis8963 4 года назад
ان لله و ان اليه راجعون
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 года назад
Rip
@alikhalfan9551
@alikhalfan9551 4 года назад
Mauti jifunzeni viongozi musijisahau tendeni haki dhulma hazifai
@jackmichael1953
@jackmichael1953 4 года назад
ndugu yangu kwani mauti haimkuti anaetenda wema? mwacheni apumzike
@alikhalfan9551
@alikhalfan9551 4 года назад
@@jackmichael1953 kila kilicho umbwa kitakufa kila nafsi itaonja mauti lkn binadamu uloumbwa umepewa nafasi ya kutenda mema sio maovu sisi wazanzibari bado hatutosahau alichotufanyia 2001 nyie msifuni kwa mema lkn kila mtenda maovu mwisho wake mbaya binadamu hamuna kitu lkn tunajisahau Sana tunapopata dhamana za uongozi
@J4UPro
@J4UPro 4 года назад
Pumnzika kwa amani mzee
@deominja7908
@deominja7908 4 года назад
Pumzika kwa amani Mzee wetu
@kombowazuhura1617
@kombowazuhura1617 4 года назад
RIP Anko Ben
@marrysaimon4330
@marrysaimon4330 4 года назад
R.I.P in Peace
@omarymussa3535
@omarymussa3535 4 года назад
R.i.p
@salehejongo2799
@salehejongo2799 4 года назад
R.I.P.
@janatamoe3466
@janatamoe3466 4 года назад
Rest in peace
@andrewemmanuel9585
@andrewemmanuel9585 4 года назад
R.I .P
@psalmjr4145
@psalmjr4145 4 года назад
Pumzika kwa amani
@zozohmeed5546
@zozohmeed5546 4 года назад
R I P baba etu
@solomonkikeke2795
@solomonkikeke2795 4 года назад
R.I.P MZEE WETU MKAPA WATANZANIA TUJIFARIJI NA WIMBO HUU KIPINDI HIKI KIGUMU ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-gemIdf5TsCk.html
@gracesamson8768
@gracesamson8768 4 года назад
RIP
@elinamimsuya7234
@elinamimsuya7234 4 года назад
Sauti yako itakumbukwa milele baba yatu.
@anwaritekajole4376
@anwaritekajole4376 4 года назад
Rest in peace dady
@hallin9561
@hallin9561 4 года назад
January 2001 Zanzibar
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 4 года назад
Tunaikumbuka vyema
@andreamajjar8256
@andreamajjar8256 4 года назад
Kulikuwa na nn 2001,Zanzibar ongea tujue
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 4 года назад
Andrea Majjar mkapa alipeleka jeshi Pemba wakauwa raia na kuwanajis
@piusacademic3256
@piusacademic3256 4 года назад
Aisha Muhammad je midhambi yote unayoifanya ikiwemo ya kulala guest house tena na waume za watu unaikumbuka? Mbona husemi ya kwako unasema ya wenzio? Utakufa vbaya mrudie Mungu wa mbinguni akusamehe dhambi zako wewe. Ujinga umejaa rohoni mwako.
@jackmichael1953
@jackmichael1953 4 года назад
@@aishamuhammad7785 Tuwe na hofu ya Mungu jamani, hivi kweli Mkapa anaweza kuwapelekea wanajeshi kufanya mambo hayo, hivi hatujiulizi kuwa ndani ya vurugu kama hizi na watu wengine huwa wana-take advantage wakati wa mambo kama hayo? Mungu huyu sio wa mtu mmoja kiasi cha kutoa hukumu naye akakusikiliza huenda mwenzenu alishatubu na Mungu amemsamehe na amepokelewa huku nyie mnakumbuka na kuumia. Sisi wenyewe tuwadhambi hatujawa watakatifu/wakamilifu na hatupaswi kunyoosha kidole kwa mwingine.
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 4 года назад
Tuta
@nyangigelucas3050
@nyangigelucas3050 4 года назад
Rip
@shukafuraha8272
@shukafuraha8272 4 года назад
Rip
Далее
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Просмотров 1,1 млн
Social Good Summit : Day 3 : President Jakaya Kikwete
14:25