Тёмный

RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 2 млн
50% 1

March 10 2016 Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli alikwenda kwenye benki kuu ya Tanzania kwa kushtukiza, baada ya kufika ikabidi akae kuongea na wahusika kuhusu ishu mbalimbali.

Опубликовано:

 

9 мар 2016

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 852   
@wilikinsmauti5573
@wilikinsmauti5573 3 года назад
Wale mko hapa, Baadaya ya kifo chake nipee nilekes za JPM. He was the best president in the whole african continent. HAUKUWA RAISI WANGU, ILA SIKU ZOTE NTAKUKUMBUKA JPM. To our sister and brothers in Tanzania tutasimama nanyi siku zote! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sponsor7882
@sponsor7882 3 года назад
Vp mandela
@kennirochok5067
@kennirochok5067 3 года назад
Hivi wazazi wako walikosa jina ingine?. Rip magufuli
@diboykaman2169
@diboykaman2169 3 года назад
xmsm
@namahegatabu8819
@namahegatabu8819 3 года назад
Pýou0mp
@florancemarealle3746
@florancemarealle3746 3 года назад
Tanzanian will d Some of them will discover letter the reality
@charxsymon1954
@charxsymon1954 5 лет назад
Rais bora kabisa afrika kama unakubali piga like
@awadhally1052
@awadhally1052 3 года назад
Yesiii
@ramadhantahila9131
@ramadhantahila9131 3 года назад
Nani apinge kwa mfanoo
@onelife7850
@onelife7850 3 года назад
Pole sana hayupo tena Raisi wetu
@samuelmore2926
@samuelmore2926 3 года назад
The best president of our time,
@sponsor7882
@sponsor7882 3 года назад
Nonsense
@agustomeshack4043
@agustomeshack4043 3 года назад
Tulikuhitaji sana baba yetu sema Mungu ndo ana madaraka juu ya uhai wetu pumzika kwa aman.
@karago88
@karago88 8 лет назад
The new King of Africa is there Mr Magufuli.... God bless this president of Tanzania with more protection.
@evansnjoki6723
@evansnjoki6723 3 года назад
Such a true leader ,pan African and a son of the soil We appreciate all you did for Tanzanians and Africa ,rest well sir. Our hearts are heavy
@KIM-xl6zs
@KIM-xl6zs 2 года назад
He was not a Pan-African
@dominicmutuawamulenyu8878
@dominicmutuawamulenyu8878 2 года назад
This was a true leader my people!! continue resting in piece Mr President 🤦👏👏👏👏🙏🙏
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 года назад
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
@carlosmzena548
@carlosmzena548 2 года назад
Legend never die They lives in people's heart
@ahmedshahar728
@ahmedshahar728 3 года назад
Kuondoka kwake...ni pengo kubwa sana kwa Tanzania na Watanzania 😢💔. RIP mzee wetu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 года назад
Hakuna pengo lolote aliloacha hapa nchi iko imara kuliko alivyokuwa yy nchi ilikuwa inaingia shimoni ..!
@priscamrekoni3451
@priscamrekoni3451 11 месяцев назад
​@@hassanmfaume4522unahuwaki au unaropoka tu😬😬😬
@user-fx5gu6xs5o
@user-fx5gu6xs5o 10 месяцев назад
​@@hassanmfaume4522nyie ndo vyeti feki watumishi hewa navibalaka wa mabebelu always hamuwezi kumpenda huyu mzee
@davinchmonzano8299
@davinchmonzano8299 7 лет назад
Tuliyekua tunamtafuta tumempata ....God Bless Him
@ahmedmahamudu4140
@ahmedmahamudu4140 3 года назад
Na sasa katutoka sasa
@harrymorgan4387
@harrymorgan4387 6 месяцев назад
😢😢😢😢
@issakibegi9356
@issakibegi9356 3 года назад
watanzania 2muombee du@ rais we2 magufur mungu amuweke mahali pema pepon kwa sote 2seme amin
@hosearioner3637
@hosearioner3637 3 года назад
I will forever live to remember your Good deeds to your people..Kenya will miss you too as well as mama Africa.😢😢
@AddisNeger22
@AddisNeger22 8 лет назад
TanzanianS we Ethiopians are jealous of ur president, I don't even speak the language but I just love ur president from what I hear
@begumisaegbert3588
@begumisaegbert3588 7 лет назад
Our president is a good man who loves his country and all the people in it. And that is what makes the difference.
@user-hd1rd2dp5o
@user-hd1rd2dp5o 6 лет назад
Am Ethiopian but I was born in Tanzanian
@AbdulAziz-rf2ro
@AbdulAziz-rf2ro 6 лет назад
I
@efpexcellentfilmingproduct7095
Hongera Raisi wangu👍
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 5 лет назад
Be blessed ,us also we are so proud of him.
@jacklinemuhanika1238
@jacklinemuhanika1238 8 лет назад
Nakupenda bure my president. Mungu akulinde na kukubariki!!!
@leamgonja680
@leamgonja680 5 лет назад
Jaman tumkumbushe raisi wetu magufuli atembelee navijijini maana kumejaa wazembe mpk mafisadi
@gervaskadala7221
@gervaskadala7221 4 года назад
Jackline Muhanika hy.mh
@neymarmbilinyi9735
@neymarmbilinyi9735 4 года назад
Jackline MUHANIKA nakupenda SANA naomba NAMBA yako
@steveswakei9600
@steveswakei9600 4 года назад
Eti wampenda raisi bure?? Wacha wongo wewe
@neymarmbilinyi9735
@neymarmbilinyi9735 4 года назад
MUKULU akipitiah koment yako ATAKUPA mkoa fulan UUSIMAMIE kwa SABAB Kuwa Mkuu Wa MKOA lazima Uwe ni MZALENDO Fulani iv kama Jackline Muhanika Ahahaa
@badmanno.1650
@badmanno.1650 3 года назад
Hatatokea rais kama huyu Tanzania... Rest in peace
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 3 года назад
Mungu ni mwema atatuvusha hapa alipoishia Jemedari wetu, Mungu ampe pumziko la Amani
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 3 года назад
Haitotokea Tena kwa Tanzania kupata Chuma au Mfalme Kama JPM
@theopistamwayeya1764
@theopistamwayeya1764 2 года назад
Amen
@geophreyadrian1374
@geophreyadrian1374 3 года назад
Jembe letu limeenda.....mwanga wa milele umuangazie eenh baba apumzike kwa amani #unforgetablepresident
@mannievann4715
@mannievann4715 8 лет назад
Magufuli may God bless you tremendously. We wish our Kenyan president was atleast half ur style
@tomleeabdulkadir5835
@tomleeabdulkadir5835 8 лет назад
natoka kenya watanzania muombeeni mungu sana john magufuli is the right man I like him much and I will always proud of him hio bahati uchukueni ifadhini ili iwafae kesho na kizazi chenu
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Tomlee Abdulkadir ameen ameen thumma ameen
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 5 лет назад
Good, speech
@lilcastol7699
@lilcastol7699 3 года назад
Tunashukuru sana ndugu na sasa hatunae tena
@mwemaesube8872
@mwemaesube8872 3 года назад
Mimi ni from DRC watanzania poleni kwa kupoteza jembe kama nailo
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 года назад
Asante
@mummyange
@mummyange 7 лет назад
Tough! man this deserves a Nobel prize! perhaps even the BEST PRESIDENT IN THE WORLD! he is certainly the price of Africa. he is not perfect, but he is sacrificing a lot to promote his noble agenda which is to serve the people who elected him... he has stayed in touch! which few leaders can manage.
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 8 лет назад
R Mungu akupe afya njema Raisi wetu JP MAGUFULI. Wewe ndiye yule wanyonge wote Tanzania walikuwa wanakusubiria.Endelea kufunga mianya yote ya Mafisadi. Milard Ayo thanx for habari hii nzito. Keep it up Men👍☝👍👍👍👍.
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Rosena Milia ameen
@bensonirungu4547
@bensonirungu4547 4 года назад
U r Joshua to take Tanzanian to the land of promise b blessed JP
@basiliusgiligwa7177
@basiliusgiligwa7177 8 лет назад
Huyu jamaa alikua wapi siku zote hizi? Duh, inabidi Watanzania tumuombee sana huyu jamaa. Hadi nahisi kuiona Tanzania ya miaka kumi ijayo...
@jameschacha2242
@jameschacha2242 7 лет назад
zari
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Basilius Giligwa ameen
@kenethmkumbo1859
@kenethmkumbo1859 7 лет назад
mwanzo mwisho babaaa
@alisaleh8501
@alisaleh8501 7 лет назад
q
@piusgidion7279
@piusgidion7279 6 лет назад
hapa kazi 2 wabishi kufa
@jacobaliet3351
@jacobaliet3351 4 года назад
This guy is the best. Kenya needs this kind of leadership.
@meshackotieno222
@meshackotieno222 3 года назад
This is why I keep shedding tears for this man
@aishajami6826
@aishajami6826 3 года назад
If they follow his way of leadership, they will succeed but if they don't, they will go with him!
@monicaashery1
@monicaashery1 8 лет назад
May the blood of our Lord Jesus Christ protect you from left and right, front and back, above and below! You are a walking angel.
@davidkokomushagalusa6566
@davidkokomushagalusa6566 3 года назад
My role model. Rest in power ✊🏾
@shijaomarymbaruku4871
@shijaomarymbaruku4871 8 лет назад
My president you have all qualities of a leader so very exllent
@mosewekesa5763
@mosewekesa5763 8 лет назад
Am a Kenyan..i wish Magufuli was a Kenyan leader...our country is full of ghost workers and corruption,,,,,may God bless Tanzania
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 5 лет назад
God bless you my friend your my near l love you so much am from+255
@yaedlifemedia3203
@yaedlifemedia3203 5 лет назад
Ameen
@samwelwamalwa7822
@samwelwamalwa7822 5 лет назад
Mdaki mosses ✊✊
@mainahwahumainah89
@mainahwahumainah89 5 лет назад
Absolutely ... we would be far interms of development
@edwinwanjala7812
@edwinwanjala7812 5 лет назад
haaaaa
@mentuhotepii2641
@mentuhotepii2641 7 лет назад
May Allah The beneficent the merciful protect and guide Rais Magufuli. This president loves his people!
@gorillaezra7448
@gorillaezra7448 8 лет назад
Magufuli is real OG ,, statistically he's the best E.African President viva magufuli !!!!!!!!
@soccerilrul
@soccerilrul 5 лет назад
Gorilla Ezra Amen trying to end corruption
@abdullahinuh3470
@abdullahinuh3470 5 лет назад
Manshallah makufuli uko sawa sana
@fatmajarwan6545
@fatmajarwan6545 5 лет назад
👍
@mejagenerally3748
@mejagenerally3748 2 года назад
The real definition of a leader. I really believed in this man🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@USDisdoomed
@USDisdoomed 3 года назад
Kila mmoja pale ndani alikua anaskia kiti kiko moto roho mkononi kweli mulipata kiongozi ndugu watanzani nikitokea kenya.... RIP#JPM kazI uliitenda kwa haki Mungu akubariki zaidi kwa moyo wako uliokua nao kwa watanzania wote🤲
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 3 года назад
Hapo wafanyakaz mav yaligonga chupiiii
@alawiali3475
@alawiali3475 3 года назад
Uhuru na yeye si anapiga kazi vizuri
@zawadimakala933
@zawadimakala933 3 года назад
Thanks
@davidkokomushagalusa6566
@davidkokomushagalusa6566 8 лет назад
if congo had such a president it'll be one of the powerful country in the world
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 4 года назад
Exactly
@nampijjanazifah6358
@nampijjanazifah6358 3 года назад
I think Congo is the richest country in Africa and the world at large.
@daudmwaipasi5672
@daudmwaipasi5672 3 года назад
True
@davidkokomushagalusa6566
@davidkokomushagalusa6566 3 года назад
@@nampijjanazifah6358 it’s but poor leadership has destroyed it. Congo needs its true son a patriotic leader not a puppet
@nampijjanazifah6358
@nampijjanazifah6358 3 года назад
@@davidkokomushagalusa6566 true most African countries luck patriotic leaders
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 8 лет назад
safi sana mtu wangu millad kwa kutusogezea mastory. mungu akupe afya nyema na ueledi zaid
@norahmgoodluck3554
@norahmgoodluck3554 8 лет назад
Watu wamenuuuuuna,utafkiri izo sura zao zilizokunjika zinamzuia Dr kuongea ukwel. Mungu mpe uhai mrefu raisi wetu.
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Norah Goodluck M ameen
@mwendapoleee
@mwendapoleee 6 лет назад
Norah Goodluck M wamenyamaza cheeee!
@minyugeminyuge6753
@minyugeminyuge6753 5 лет назад
Wezi wote hao, ona sura zao!!?? wapo kwa taharuki, na nyodo zilizokua mjini’ kumbe wezi watupu. Magu dua kwa sana kwake wallah’
@lulendakamata9184
@lulendakamata9184 5 лет назад
Hahahaa acha mzee wetu achape kaz
@marsum4363
@marsum4363 5 лет назад
@@azizayassin3623 mali instead of biwa
@chrismutisya
@chrismutisya 8 лет назад
Japo kuna tetesi za udikteta, nampenda huyu raisi. Mimi ni Mkenya lakini tunahitaji viongozi kama hawa Africa.
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 5 лет назад
Wanaomuita dicteta ni wale waliokuwa wakila bata wakiwa serikalini matumisi ya hovyo ya pesa za walipakodi yaani wananchi wanyonge, na sasa magufuri kazipiga marufuku.what do you expect? Let them speak bad upon him, but magufuri is 1st best presedent we ever had b4 or experienced!
@cherehanitanzania8503
@cherehanitanzania8503 5 лет назад
Safi
@zefamange7281
@zefamange7281 5 лет назад
Wanao sema dicter ni mafisad
@lazizerujanabose8802
@lazizerujanabose8802 4 года назад
Christopher Mutisya sio udectater ndio ginsi ilivyo uli uongoze wezi na wadhulumati pia wala rushwa na poraji sababu akiwabembeleza hawatomuishimu nivizuri kuwa force ili kila kitu kiwe saw na ndio kazi alio ahidi waraia kipindi chakuchaguliwa kama hatimizi basi yey katili
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 4 года назад
History inaonyesha mtu yeyote aliyewahi kufanya mageuzi ya kiuchumi taifa lolote hakuwahi kuwa na historia nzuri kuhusu kile kinachoitwa haki za binadamu. Fanya utafiti
@johnsonmwise7672
@johnsonmwise7672 3 года назад
R.i.p. pumuzika kwa Amani raisi wetu
@sangkibet8275
@sangkibet8275 3 года назад
Magufuli was atrue reflection of areal leader you will forever be remembered legend RIP.
@livingstonebatawe7434
@livingstonebatawe7434 8 лет назад
Tisha sana #MyPresident nimeipenda Pia Big Up Kwa #AyoTV na crew nzima kwa Ujumla kwa Taarifa. God Bless Tanzania God Bless Africa.
@maretekings
@maretekings 7 лет назад
Ongeera Raisi Maufuli, how can other African Presidents and leaders learn. I envy Dr. Magufuli God bless this Man. Marete JK
@kalungawanje7526
@kalungawanje7526 7 лет назад
This is a tough president. its what we need in Kenya.
@jessewakaba9270
@jessewakaba9270 3 года назад
nyinyi watu wa reggae na bbi
@crausmasala8572
@crausmasala8572 3 года назад
Ni huzuni kubwa sana kumpoteza rais wetu magufuli
@abbouramsey154
@abbouramsey154 8 лет назад
wakipimwa presha apo ni hataree kuna ambao roho zinawadunda kama mpira wa fainali za UEFA....mtanyooka mwaka huu....MAGU sio mzee wa Msolwa
@alimakame8134
@alimakame8134 5 лет назад
Duuuuuu
@sharifuhsharifuhh8471
@sharifuhsharifuhh8471 5 лет назад
hahahaaa
@ramadhanshaban3238
@ramadhanshaban3238 4 года назад
Taarabu jiwa
@andrewmgaya310
@andrewmgaya310 4 года назад
😅😅😅😅😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@Almisbahy9551
@Almisbahy9551 4 года назад
Hahahhaha
@harounbuzohera4797
@harounbuzohera4797 2 года назад
Tumempoteza mtetezi wa wanyonge. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi. AMINA.
@noelsanga6853
@noelsanga6853 8 лет назад
Kwa namna hii uchaguzi wa 2020 usifanyike utakuwa upotezaji wa pesa bure
@jumajuma5306
@jumajuma5306 6 лет назад
Noel Sanga mwbana arisamata matokeo ya jana ngenki
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 лет назад
Magufuri na mitandao nayo vipi ya tanzania inauza vocha rakini cha ajabu uduma zao mbaya wachunguzwe wanaofanya kazi je wameitimu shure hau kutugeuza watanzania kuwa washamba wa mawasiliano
@raziambwana2145
@raziambwana2145 5 лет назад
Noel Sanga kweli kabsa
@mengihamisi3567
@mengihamisi3567 5 лет назад
Daaaa hiii safi
@mengihamisi3567
@mengihamisi3567 5 лет назад
@@awadhirajabu7754 mada gani
@alloycedisheni232
@alloycedisheni232 8 лет назад
Vizuri sana Mhe. Rais wangu kazi yako ni nzuri sana ndiyo maana tulikuchagua wewe, kiongozi wa nchi ni sawa na baba mwenyumba mwenye kutaka kujua kiasi cha akiba ya chakula na matumizi yake nyumbani ili kuwa na heshima ya kukitumia vizuri. Big up wewe ni baba wa nyumba yetu Tanzania.
@immaxkiyenze6261
@immaxkiyenze6261 3 года назад
#Like Kama umerudia hii video baada ya kuzikwa shujaa shujaa wetu
@fidelisvenance6431
@fidelisvenance6431 3 года назад
HIKI KILIKUA NI KICHWA 💪💪💪
@connan9923
@connan9923 8 лет назад
Kwa mwendo huu aongoze tu nchi to a batter day "WE DON'T NEED ELECTIONS ANY MORE WE FOUND OUR SAVIOR "
@cheupegmailcomHhcheupe
@cheupegmailcomHhcheupe 8 лет назад
true
@ericmdemu2876
@ericmdemu2876 8 лет назад
Hakika Mama Tanzania sasa amepata Baba...si bora Baba, ila ni Baba Bora ajiaye wajibu wake na katu asomkosa juu ya miktadha kwa yale yalo kuntu! Baba alikufa pia akafariki..upweke ulidara na kuzizima, ila Ahsante kwa Yeye alojuu zaidi kwani amemrejesha tena Baba si kwa Sura ila kwa Utashi, utu wema na ukweli sanjari upendo vyote vi ndanie...Ee Mwenyeenzi na Utukufu..ninakuomba Mlinde na sitara iwe juuye yote madhila yafanye yawe Baraka kwake!.
@tongolbanguot1964
@tongolbanguot1964 5 лет назад
How I wish all the African Presidents were like Dr. John Pombe Magufuli #admiration
@suleimanjenipandu2582
@suleimanjenipandu2582 8 лет назад
Hongera Mh. Rais kwa juhudi zako! sisi wengine tulipokuwa katika mchakato wa kura za maoni kuomba ridhaa ya kuwatumikia wananchi tulikuwa na nia kama hii lakini bahati mbaya watu hawajui kilichomo ndani ya nyoyo za watu! Mungu akupe maisha marefu mzee wetu!!!!!!!!!
@2coolking370
@2coolking370 5 лет назад
My most favorite President in Africa, love him so much.he's so real and ready to make Africa great again
@albertkyejo2626
@albertkyejo2626 8 лет назад
Asante sana Raisi Magufuli. Tumengojea muda mrefu sana kupata kiongozi kama wewe. Ni mzalendo kama Mwalimu Nyerere. Wachunguzwe zaidi. Wapelekwe mahakamani kufuatana na ushahidi uliopatikana. Wahukumiwe, wafungwe, mali yako kutokana na wizi irudishwe kwa wananchi. Pongezi pia kwa Waziri Mkuu Majaliwa. Mungu awalinde. Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
@barakagodfrey6013
@barakagodfrey6013 5 лет назад
in
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 7 лет назад
Amakweri inchi imepata mmiliki najivunia kua mtanzania nikiwa chini ya Raisi Magufuri nakuombea kwa M/ Mungu uishi miaka mingi yenye mafanikio na uendelee kutetea wanyonge. Ahsante
@dominicsomola402
@dominicsomola402 6 лет назад
Sakayonsa Kihunga hahahahahaaaaa
@elishajegeje6482
@elishajegeje6482 3 года назад
Duuuh kwael jamani Baba yetu
@cosmascosmas7390
@cosmascosmas7390 8 лет назад
Haya yote mkapa, kikwete, mwinyi hawajawahi kufatilia hii nchi imeibiwa sana, naona saivi ndio tumekua na Raisi.. Mungu akujalie maisha marefu tupo nyuma yako.
@yasinisaidy7601
@yasinisaidy7601 3 года назад
Naumia mimi jamani, hatutapata Raisi kama huyu Tanzania, pumzika kwa amani baba
@wanjirunyambura2708
@wanjirunyambura2708 3 года назад
It's really a huge loss to Africa as a whole. Very smart and deligent! Shine on your way our leader
@ShSh-my8cw
@ShSh-my8cw 3 года назад
Pole dr kz ya Mungu haina makosa
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 лет назад
Magufuri I love youuuuuu......uwiiiiii yemweeeeee! walahi nilikungoja mimi.
@hassanturky7511
@hassanturky7511 5 лет назад
Sawa sawa mheshimiwa, na pia naomba ufute zero Moja TU ktk peze zetu za kitzn. Tutajataririka. Allah akupe imani,akuendeleze Kati nchi mpaka mwisho wapumzi zako amin
@kennedymangongo8903
@kennedymangongo8903 7 лет назад
please send us this magufuli for just one year to clean Kenya thase people might soon sell our country!!!
@jessewakaba9270
@jessewakaba9270 3 года назад
pambaneni na bbi na reggae
@davidrenaldsiriwa5580
@davidrenaldsiriwa5580 3 года назад
😭😭😭😭
@sunyareh
@sunyareh 8 лет назад
mungu akulinde..akujaalie afya na umri mrefu ili Tanzania ijue thamani yake na inufaike. na kotekomeza unynyasaji wa wanyonge..ASANTE SANA ndugu yetu mzee wetu. na kiongozi wetu..
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 года назад
Pumzika kwa AMANI shujaa Wetu wa Africa 😭😭😭😭
@ShSh-my8cw
@ShSh-my8cw 3 года назад
Mungu ailaze roho yke mahal pema peponi
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 года назад
@@ShSh-my8cw Ameeen yarrab 🙏
@ramadhanmgonja1698
@ramadhanmgonja1698 8 лет назад
You are the best president Mr Magufuli, keep it up
@kalokoamiry9422
@kalokoamiry9422 6 лет назад
Ramadhan Mgonja mm mm mahujajl
@EdwinWachoriTV
@EdwinWachoriTV 8 лет назад
Proud of You Mr President, restoring sanity galore..
@videoyamapenzkss7299
@videoyamapenzkss7299 6 лет назад
Mh raisi hogera kwa kazi nzuri unayoifanya inapendeza kweli kwann ulichelewa kua raisi ingekua raisi awamu zilizopita tungekua mbali kimaendeleo hongera Mh Raisi wetu Mungu akuweke uzidi kututetea Ss watanzania ccm oyeeee karibu Pemba tena tunahamu uje Na Ss tunakero zetu Mh Raisi
@hadijaangura6572
@hadijaangura6572 3 года назад
Jembe limenda jamani poleni Tz 😭😭😭
@bahelanya
@bahelanya 4 года назад
With him Pdt Magufuli, Africa must follow his style of ruling for a better and developed Africa. Viva Tanzania....
@someless
@someless 7 месяцев назад
Magufuli forever 😢 . We will always keep your soul in our hearts♥️♥️♥️♥️
@Chapesatv
@Chapesatv 3 года назад
Nafurahi kupata kuona a mfano mzuri wa uwongozi pumzika pema chema huku hali sio shwari tozo kibaoo hadi utahisi kufa.
@thedeo472
@thedeo472 8 лет назад
Mr. President, so far so good. Keep it up.👍👍
@bonfaceandala5850
@bonfaceandala5850 Год назад
This man never die.He still lives on.
@casineobote9989
@casineobote9989 8 лет назад
good leadership.salute mheshimiwa rais.
@magrethbenjamin4969
@magrethbenjamin4969 3 года назад
Mwenyez Mungu awe pamoja na Muheshimwa Rais mama Samia Suruh awe na upeo zaid wa huu Marehem 😭other wise tutaibiwa san
@hamisizetz8942
@hamisizetz8942 3 года назад
Amna kitu. Tumepigwa
@ayoubbenta4499
@ayoubbenta4499 8 лет назад
mungu akubariki rais wetu mpendwa kwa kupenda wanyonge fanya kazi tupo nyuma yako inshaalah.
@salimyahaya7380
@salimyahaya7380 3 года назад
R.I.P mzee ulileta heshima kazini wizi ulipungua lala salama mzee wetu
@bonifacemuraya9227
@bonifacemuraya9227 7 лет назад
John Pombe Magufuli anafanya ziara ya kushtukiza kuhakikisha kazi imefanywa vilivyo.
@yudaaraphati9673
@yudaaraphati9673 2 года назад
Tunanaekumbuka baba Tujuane
@khalidali1130
@khalidali1130 5 лет назад
Mzee wamezoea kula nguvu zetu hao wanajiona kama pesa zao na kutuona sisi tulowapa wadhifa mabwege hawajazoea kutuwa mikono hao wamezoea kujiongezea mazero ila mwisho wao upo allah anawona na mungu akubariki sana Rais wetu atakulipa kwa huruma yko juu ya watanzania
@kpetres2872
@kpetres2872 3 года назад
Wangapi tupo apa baada ya kifo chake😥😥
@aggyjames4937
@aggyjames4937 3 года назад
We acha tu nalia me jaman at siamin hiki nahisi Kama ndoto
@abdulrahmansheikhadan7225
@abdulrahmansheikhadan7225 8 лет назад
100% KUDOS MR . PRESIDENT GHOST WORKERS MUST BE PAID GHOST SALARIES. N REAL WORKERS MUST BE PAID REAL SALARIES. This what we call EXEMPLARY LEADERSHIP 👍👍👍👍👍👍👌👌👌
@Nyamolo_V
@Nyamolo_V 4 года назад
I like that
@praygodmakundi5182
@praygodmakundi5182 3 года назад
Like baba wa taifa akili mingi sana 🔥🔥🔥
@jamesmasila6873
@jamesmasila6873 3 года назад
Wha,samahani ametuacha
@masabodjuma2263
@masabodjuma2263 3 года назад
Sko 🇹🇿 ila nazan mtachukuwa mda kumpata kama uyoo 🙏🇧🇮
@naimumtinda2494
@naimumtinda2494 3 года назад
Sidhani kama atapatikana tunamuomba walau aje wakufanana nae
@afropanorama4730
@afropanorama4730 8 лет назад
kanyaga apoapo mh.usiinue mguu watanyooka tuu
@seifrengwe2542
@seifrengwe2542 5 лет назад
asante sana Raisi, tunaomba pia kwenye bunge pia turushiwe live coverage ya mambo ya bnajeti za mwaka ili wananchi kuona na kuelewa yazungumzwayo. tunataka siasa za ukweli na siyo fekifeki.Hongera raisi kwa kupigana na mambo ya rushwa yaliyojaa hapo Tanzania ambayo yanasababishwa na viongozi wezi na FekiCheki kwenye mabenki.
@lotharymuhuwa6993
@lotharymuhuwa6993 8 лет назад
be blessed our dear President
@oduorosiagoh2825
@oduorosiagoh2825 7 лет назад
Magufuli, Pombe Magufuli juu tena juu sana
@gedionhermanmaingi9610
@gedionhermanmaingi9610 8 лет назад
Tanzanias you voted for a president
@harbinger5675
@harbinger5675 6 лет назад
What is needed are strong institutions, credible systems and not a strong president. Kibaki proved that too well. His track record beats Magufuli hands down
@jamesotuoma9128
@jamesotuoma9128 6 лет назад
HEHEHE Sonko style in Nairobi.
@koimanlugata731
@koimanlugata731 5 лет назад
@@harbinger5675 Rees a\\as
@michaelhosea236
@michaelhosea236 5 лет назад
Hongera mheshimiwa Magufuli kwa kazi nzuri Tusaidie na sisi Warundi kuleta Amani Burundi ndani ya viongozi
@allyfaraji907
@allyfaraji907 7 лет назад
Ukiona mtu anamchukia rais ujue ametumbuliwa. kama si yeye bas ndugu yake mimi najisikia raha sana uyu kiongozi aogopi wale waliokua wana tusumbua na pesa za wizi. mtalima mwaka huu kudadadeeeeekiiiiiii.
@muhidinabdallah3175
@muhidinabdallah3175 5 лет назад
unanichekesha et watalima
@zawadimakala933
@zawadimakala933 3 года назад
U're collectlyyyyyyy
@leilabuisha1952
@leilabuisha1952 5 лет назад
Natamani President wa Kenya awe kama Mh Magufuli' Maana kule kenya Corruption ni nyingi mno na hakuna wa kuwatetea wanyonge kule' kule hakuna haki kabsaaa na ndomana uizi umezidi sana' ma police wanapenda hongo kwa wanyonge' President Magufuli nakuombea Umri mrefu Baba na niko very proud na wewe yaani nakupenda sana.. Naona ata nitabadilisha Uraiya wa Kenya niombe kuwa raia wa Tz.😍😚
@paulochieng4258
@paulochieng4258 3 года назад
Niko hapa kwa akili ya nchi yangu kenya....uhuru kindly watch this clip for more lessons about intergrity,leadership and governance...rest in peace Mr. President
@braysonmfyate4189
@braysonmfyate4189 5 лет назад
Thanks God for giving us a powerful president, Dr Magufuli. Now we see the new hope on the returning of real wealthy of our country,
@mariethagideon6005
@mariethagideon6005 2 года назад
RIP my best president ever, we miss you papaa.
@munashabanimunashabani9976
@munashabanimunashabani9976 7 лет назад
uyu ndie raisi wetu baba mungu akuweke
@winiendaru1291
@winiendaru1291 7 лет назад
احمدmiziwa tuu basi مختار musiyoyajua nikama usiku waigiza shanilieni gizani mutapigana makofi wenyewe baadaye
@stanslausmateru5416
@stanslausmateru5416 8 лет назад
Nakukubali Raisi wetu
@cheruiyotweldon9632
@cheruiyotweldon9632 2 года назад
R.I.P The Greatest African Leader of our times. History will put you JPM in good books: A great Economic takeoff for Tanzania.
@josephmatonyi1802
@josephmatonyi1802 3 года назад
😭😭👏👏mungu akusaidie kwenye kaz yako mze Joseph pombe magufuli 🙏
@sadiyakb8498
@sadiyakb8498 3 года назад
Rip
@shamyally9874
@shamyally9874 2 года назад
Mungu akupumzishe kwa aman baba etu mkombozi wa watanzania uliyejitoa ajili ya nchi yako na watu wako rehma zake Allah ziwe na wewe huko ulipo na tunakuombea pepo njema kwa uwezo wa Allah.
@mathewdamy289
@mathewdamy289 6 лет назад
Happy to have a good and perfect President. Love you Tanzania
@jennipherray7001
@jennipherray7001 3 года назад
Kama kweli kifo cha Magufuli kilisababishwa na mtu Aiseeeee machozi ya watanzania hayatamuacha salama pumzika kwa amani My Hero 💔😭
@nyakujerwabiseko6974
@nyakujerwabiseko6974 Год назад
In my memory forever,rest in paradise siku zote my (second) president.
@shorimnissaha5740
@shorimnissaha5740 8 лет назад
rais yupo makini. akiendelea hivi tutapiga hatua
Далее
Rais Magufuli ametaja mshahara wake leo
12:08
Просмотров 439 тыс.
Склеил девушку-курьера ❤️
01:00
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
5:57
Склеил девушку-курьера ❤️
01:00