March 10 2016 Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli alikwenda kwenye benki kuu ya Tanzania kwa kushtukiza, baada ya kufika ikabidi akae kuongea na wahusika kuhusu ishu mbalimbali.
Wale mko hapa, Baadaya ya kifo chake nipee nilekes za JPM. He was the best president in the whole african continent. HAUKUWA RAISI WANGU, ILA SIKU ZOTE NTAKUKUMBUKA JPM. To our sister and brothers in Tanzania tutasimama nanyi siku zote! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
natoka kenya watanzania muombeeni mungu sana john magufuli is the right man I like him much and I will always proud of him hio bahati uchukueni ifadhini ili iwafae kesho na kizazi chenu
Tough! man this deserves a Nobel prize! perhaps even the BEST PRESIDENT IN THE WORLD! he is certainly the price of Africa. he is not perfect, but he is sacrificing a lot to promote his noble agenda which is to serve the people who elected him... he has stayed in touch! which few leaders can manage.
R Mungu akupe afya njema Raisi wetu JP MAGUFULI. Wewe ndiye yule wanyonge wote Tanzania walikuwa wanakusubiria.Endelea kufunga mianya yote ya Mafisadi. Milard Ayo thanx for habari hii nzito. Keep it up Men👍☝👍👍👍👍.
Kila mmoja pale ndani alikua anaskia kiti kiko moto roho mkononi kweli mulipata kiongozi ndugu watanzani nikitokea kenya.... RIP#JPM kazI uliitenda kwa haki Mungu akubariki zaidi kwa moyo wako uliokua nao kwa watanzania wote🤲
Wanaomuita dicteta ni wale waliokuwa wakila bata wakiwa serikalini matumisi ya hovyo ya pesa za walipakodi yaani wananchi wanyonge, na sasa magufuri kazipiga marufuku.what do you expect? Let them speak bad upon him, but magufuri is 1st best presedent we ever had b4 or experienced!
Christopher Mutisya sio udectater ndio ginsi ilivyo uli uongoze wezi na wadhulumati pia wala rushwa na poraji sababu akiwabembeleza hawatomuishimu nivizuri kuwa force ili kila kitu kiwe saw na ndio kazi alio ahidi waraia kipindi chakuchaguliwa kama hatimizi basi yey katili
History inaonyesha mtu yeyote aliyewahi kufanya mageuzi ya kiuchumi taifa lolote hakuwahi kuwa na historia nzuri kuhusu kile kinachoitwa haki za binadamu. Fanya utafiti
Magufuri na mitandao nayo vipi ya tanzania inauza vocha rakini cha ajabu uduma zao mbaya wachunguzwe wanaofanya kazi je wameitimu shure hau kutugeuza watanzania kuwa washamba wa mawasiliano
Vizuri sana Mhe. Rais wangu kazi yako ni nzuri sana ndiyo maana tulikuchagua wewe, kiongozi wa nchi ni sawa na baba mwenyumba mwenye kutaka kujua kiasi cha akiba ya chakula na matumizi yake nyumbani ili kuwa na heshima ya kukitumia vizuri. Big up wewe ni baba wa nyumba yetu Tanzania.
Hakika Mama Tanzania sasa amepata Baba...si bora Baba, ila ni Baba Bora ajiaye wajibu wake na katu asomkosa juu ya miktadha kwa yale yalo kuntu! Baba alikufa pia akafariki..upweke ulidara na kuzizima, ila Ahsante kwa Yeye alojuu zaidi kwani amemrejesha tena Baba si kwa Sura ila kwa Utashi, utu wema na ukweli sanjari upendo vyote vi ndanie...Ee Mwenyeenzi na Utukufu..ninakuomba Mlinde na sitara iwe juuye yote madhila yafanye yawe Baraka kwake!.
Hongera Mh. Rais kwa juhudi zako! sisi wengine tulipokuwa katika mchakato wa kura za maoni kuomba ridhaa ya kuwatumikia wananchi tulikuwa na nia kama hii lakini bahati mbaya watu hawajui kilichomo ndani ya nyoyo za watu! Mungu akupe maisha marefu mzee wetu!!!!!!!!!
Asante sana Raisi Magufuli. Tumengojea muda mrefu sana kupata kiongozi kama wewe. Ni mzalendo kama Mwalimu Nyerere. Wachunguzwe zaidi. Wapelekwe mahakamani kufuatana na ushahidi uliopatikana. Wahukumiwe, wafungwe, mali yako kutokana na wizi irudishwe kwa wananchi. Pongezi pia kwa Waziri Mkuu Majaliwa. Mungu awalinde. Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Amakweri inchi imepata mmiliki najivunia kua mtanzania nikiwa chini ya Raisi Magufuri nakuombea kwa M/ Mungu uishi miaka mingi yenye mafanikio na uendelee kutetea wanyonge. Ahsante
Haya yote mkapa, kikwete, mwinyi hawajawahi kufatilia hii nchi imeibiwa sana, naona saivi ndio tumekua na Raisi.. Mungu akujalie maisha marefu tupo nyuma yako.
Sawa sawa mheshimiwa, na pia naomba ufute zero Moja TU ktk peze zetu za kitzn. Tutajataririka. Allah akupe imani,akuendeleze Kati nchi mpaka mwisho wapumzi zako amin
mungu akulinde..akujaalie afya na umri mrefu ili Tanzania ijue thamani yake na inufaike. na kotekomeza unynyasaji wa wanyonge..ASANTE SANA ndugu yetu mzee wetu. na kiongozi wetu..
Mh raisi hogera kwa kazi nzuri unayoifanya inapendeza kweli kwann ulichelewa kua raisi ingekua raisi awamu zilizopita tungekua mbali kimaendeleo hongera Mh Raisi wetu Mungu akuweke uzidi kututetea Ss watanzania ccm oyeeee karibu Pemba tena tunahamu uje Na Ss tunakero zetu Mh Raisi
Mzee wamezoea kula nguvu zetu hao wanajiona kama pesa zao na kutuona sisi tulowapa wadhifa mabwege hawajazoea kutuwa mikono hao wamezoea kujiongezea mazero ila mwisho wao upo allah anawona na mungu akubariki sana Rais wetu atakulipa kwa huruma yko juu ya watanzania
100% KUDOS MR . PRESIDENT GHOST WORKERS MUST BE PAID GHOST SALARIES. N REAL WORKERS MUST BE PAID REAL SALARIES. This what we call EXEMPLARY LEADERSHIP 👍👍👍👍👍👍👌👌👌
asante sana Raisi, tunaomba pia kwenye bunge pia turushiwe live coverage ya mambo ya bnajeti za mwaka ili wananchi kuona na kuelewa yazungumzwayo. tunataka siasa za ukweli na siyo fekifeki.Hongera raisi kwa kupigana na mambo ya rushwa yaliyojaa hapo Tanzania ambayo yanasababishwa na viongozi wezi na FekiCheki kwenye mabenki.
What is needed are strong institutions, credible systems and not a strong president. Kibaki proved that too well. His track record beats Magufuli hands down
Ukiona mtu anamchukia rais ujue ametumbuliwa. kama si yeye bas ndugu yake mimi najisikia raha sana uyu kiongozi aogopi wale waliokua wana tusumbua na pesa za wizi. mtalima mwaka huu kudadadeeeeekiiiiiii.
Natamani President wa Kenya awe kama Mh Magufuli' Maana kule kenya Corruption ni nyingi mno na hakuna wa kuwatetea wanyonge kule' kule hakuna haki kabsaaa na ndomana uizi umezidi sana' ma police wanapenda hongo kwa wanyonge' President Magufuli nakuombea Umri mrefu Baba na niko very proud na wewe yaani nakupenda sana.. Naona ata nitabadilisha Uraiya wa Kenya niombe kuwa raia wa Tz.😍😚
Niko hapa kwa akili ya nchi yangu kenya....uhuru kindly watch this clip for more lessons about intergrity,leadership and governance...rest in peace Mr. President
Mungu akupumzishe kwa aman baba etu mkombozi wa watanzania uliyejitoa ajili ya nchi yako na watu wako rehma zake Allah ziwe na wewe huko ulipo na tunakuombea pepo njema kwa uwezo wa Allah.