Huyu Ally kamwe nafikiri hajawai kuona ni kwa namna gani hata posa inavyorudishwa ilikotoka baada ya mposwa kuikataa posa iliyotolewa na ndio maana hata binti huulizwa kama posa inaweza kupokelewa au la.Allykamwe anatakiwa afanye kazi yake kuihamasisha yanga kwa mechi zake aachane na habari kagoma anapoteza muda na kilichobaki ni kuwadanganya wanayanga kwa kitu ambacho hakina maslahi yoyote maana utotoalionao utamshushia hadhi yake kwa wana yanga.
Kaka Saronge Huyu Ally Kamwe anatumwa na wakubwa kuendeleza kiberiti muache atakula matapishi yake na mabwana zake wanaomtuma. Unajua Hwa wasemaji hawasemi ila wametumwa akisema asichoambiwa utaona kabisa kwamba hapa karopoka hata club yake utaona inapingana na alichoseama. Muache yeye na wanaomtuma yatawatokea puani.