Тёмный
No video :(

KAMA NINGEKUWA NA ASMAAH NISINGEHANGAIKA| JUKUMU LA KULEA MTOTO SIYO LA BABA PEKE YAKE 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 58 тыс.
50% 1

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

15 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 115   
@richarddominick3172
@richarddominick3172 6 месяцев назад
Sema mwana ukimskiza Yuko sawa sana
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 6 месяцев назад
Sana
@thescop1003
@thescop1003 6 месяцев назад
Safi babalevo , yani ukiwa na dem mmoja asee uko hatarini
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 6 месяцев назад
Huyo mama Ruby hakufai, mwanamke ukiachana naye hakuna haja ya kurudiana naye maana hamuendani tayari!
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 6 месяцев назад
Upo sahihi baba Revo kisheria
@wandemanonimanoni-jg5vi
@wandemanonimanoni-jg5vi 6 месяцев назад
Mie namsapoti baba Levo jmn..mama Ruby hajatulia
@rosejeremy9484
@rosejeremy9484 6 месяцев назад
Wewe ni mwanaume Wa mfano big up brother wanaume mjifunze hapa
@mrbabadtz9074
@mrbabadtz9074 6 месяцев назад
Yes, mwambie na mumeo
@aftapat5365
@aftapat5365 6 месяцев назад
@@mrbabadtz9074ndio muache umalaya haujui maumivu ya mwanamke kukukimbia nakwenda kwa mwanaume mwingine huwa sisi wanaume haitoki moyoni
@BabaFarzan-ml4er
@BabaFarzan-ml4er 6 месяцев назад
Ukizaa na Matahira/Majini utakaa na team moja na B Baba Fundi majumba
@EsterMkini-es7zh
@EsterMkini-es7zh 6 месяцев назад
Mwanaume ukimpeleka polisi mh usimuamini tena hawapendi hzo pigo
@zainabumsafir1182
@zainabumsafir1182 6 месяцев назад
Ila kumbuka unawatt bb Leo na ni wakike watakuwa watakuta hii
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 6 месяцев назад
Baba levo ww ni my role model Nakukubari sana mwamba.🎉🎉🎉
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 6 месяцев назад
😏
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 6 месяцев назад
🤣🤣🤣Baba levo🙌 fanya kitu kinakupa amani ya nafsi yako mapenz hayashauriw jmn
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 6 месяцев назад
uko sahihi
@alhabsi6430
@alhabsi6430 6 месяцев назад
Huyo mama watoto hakutulia kataka mwenyewe,kawatupa watoto
@Iampanther_
@Iampanther_ 6 месяцев назад
Babalevo kampenda mamarubi ndo kinachomtafuna😂😂pole bhana, hisia hazina ushauri
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 6 месяцев назад
Mapua tulia acha sifa
@elibarikilukasimakala5534
@elibarikilukasimakala5534 6 месяцев назад
Real Gentleman 😁
@isaya43.12
@isaya43.12 6 месяцев назад
Ila matatizo ya familia mnaleta mtandaoni😢
@jacklineisack133
@jacklineisack133 6 месяцев назад
Watu wajifunze😅
@mckobatz5861
@mckobatz5861 6 месяцев назад
Baba levo is so smart 😊
@sanndyberg645
@sanndyberg645 6 месяцев назад
Kweli muhahoo
@salama1113
@salama1113 6 месяцев назад
Hilijamaa chawa ila linaongeaga ukweli
@lydi791
@lydi791 6 месяцев назад
baba Levo yeye ataki kuwa kabati😂😂 Yani anazungumuza naisiya kali 😂😂
@mwananganzi
@mwananganzi 6 месяцев назад
Bado hujaijua dunia ya wanawake
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 6 месяцев назад
BIG UP BRO.....#SAFIIIII
@kondoatown8765
@kondoatown8765 6 месяцев назад
Aisee hadi baba levo na pua lake lile anagombaniwa asa mimi nikija Dar si ntagombaniwa sana aisee
@dclassTurpin-jx3wh
@dclassTurpin-jx3wh 6 месяцев назад
kaka njoo hela yako tu😂😂
@Aishahamisi-ho5ix
@Aishahamisi-ho5ix 6 месяцев назад
😂😅😂😅😂😅😂😅😂😂😅
@juliusmkopekwa336
@juliusmkopekwa336 6 месяцев назад
Uko-sawa-tu-baba-levo
@RandB_Channel
@RandB_Channel 6 месяцев назад
Baba Levo tulikwambiaka ona sasa mengine yana anza
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 6 месяцев назад
Huyo mama Ruby ulifanya kosa kumrudisha sio mwanamke poa kabisa
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 6 месяцев назад
Nakumbuka baba levo alikuwa anaongea Hadi kwenye vyombo vya habar kuwa mke wangu Rudi tulee watoto huyo Dem akagoma baba levo piga chin kudadek
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 6 месяцев назад
Mama ruby tulia kwa ndoa yako mimi sina kingine cha kukushauri dada
@jurmainezaidi739
@jurmainezaidi739 6 месяцев назад
Uyo demu anazingua, ungemuacha tuu ubaki na Asma.
@gracewairimu800
@gracewairimu800 6 месяцев назад
Ila ukimsikiliza Baba levo Ana Point zake kwanini akaamua kua na huyo mchepuko
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 6 месяцев назад
Wanaume mbwa tu hawajawaigi kurizik shetan hawa,,,,,,hta ujimanue mbk kiwake unajichosha tu
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 6 месяцев назад
We paka tu 😂 hamjawai kuwa na akili kilichofanya uyo mzazi mwinzie arudi ni pesa tu lkn alimkimbia na kujiona yeye mzuri na kumwachia watoto jamaa anaongea kwa uchungu coz anajua aliyoyapitia kabla ya kupata pesa Mana alikuwa anadharaulika kwaiyo nanyinyi acheni tamaa wakati wa Mungu ndio wakati sahihi angesubiri leo yasingemkuta , kapelekewa moto mwisho kaona mmh mbona jamaa Kawa mtamu ndio anarudi kiunafki😂 wanawake wote paka tu
@Whoisthismantalking
@Whoisthismantalking 6 месяцев назад
Huyo mwanamke ni mpumbavu sana. Kuna kipindi babalevo alihangaika sana kumrudisha mke wake ili wawalee hao watoto akajifanya kiburi. Hakuna haja ya kuangaika na mwanamke mpumbavu kama huyo. Kama mwanamke anaweza kuondoka na kuacha watoto wadogo pekeyao na baba yao huyo ni zaidi ya mshenzi. Huyo ni mnyama wa kupitiliza achana nae
@tagx_boe
@tagx_boe 6 месяцев назад
Hapo hakuna imani.ila ni kiburi cha ibirisi kimewatala wawili hawa.hakuna kinachoshindkana.
@user-zv6tn7qf9b
@user-zv6tn7qf9b 6 месяцев назад
😂😂😂 oscaosca analeta utani wakat watu wako na mood😂😂
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 6 месяцев назад
Acha umalaya mapua
@chany9950
@chany9950 6 месяцев назад
🥺🥺🥺
@khadija5761
@khadija5761 6 месяцев назад
Hiyo ni kikiiiiii
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u 6 месяцев назад
Wanaume kama hawa unawaacha wafanye yao yakishawakuta watarud wenyew na kipind wanarud wanakuwa washachelewa
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 6 месяцев назад
Utakuwa hujui story yao wew mwanamke kaenda katombwa huko kachoka karudi kuomba msamaha
@allahisone6386
@allahisone6386 6 месяцев назад
​@MrTop-wj7no DAH 🤦 UNAMAJIBU KONKI
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 6 месяцев назад
Hommie boi uko sahh kabsa achana nae by the way ndg yako n watoto wako na xo mwanamke uliezaa nae watt achana nae aende zake hana maana uyo na mwanaume co rahs kumuoa mwanamke ambae tayar amekwisha kuwa na faml kwn nae atajiuliza kwnn aliachana na mwanaume aliewah kuwa naw na kupata nae mtt br lea wanao achanae uyo mama ruby
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 6 месяцев назад
Jamaa yupo sawa..sema tu hiki kizaz cha haki sawa ndio shida
@khamysamursally5932
@khamysamursally5932 6 месяцев назад
Nimekupenda kwa kauli yako upo sahihi akina mawazo ya kesho kabisaa
@user-tk5yy6vj3b
@user-tk5yy6vj3b 6 месяцев назад
Chefuuu unajickia unavyo ongea me ushauri wng mama Rubi tafuta pesa achana na mapenzi
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 6 месяцев назад
USIPOELEWA HAPA HUTOELEWA TENA CHOCHOTE..MPAKA KIFO CHAKO..
@abbasnassib9532
@abbasnassib9532 6 месяцев назад
Huyo Oscar anavuta bangi nini?
@allahisone6386
@allahisone6386 6 месяцев назад
😳🤦
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 6 месяцев назад
kaka umetupa mbinu
@ibrahimmbilizi1726
@ibrahimmbilizi1726 6 месяцев назад
Ulevi kitu kibaya sana Oscar auna ushairi baba pili uyo demu wamondi babalevo
@lisamandela9987
@lisamandela9987 6 месяцев назад
Kwel hatuna thaman Sasa huyo asmah alikuwa house girl huruma 😢
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 6 месяцев назад
NA HIKI KIREDIO HAKIFAI KUWA KWENYE MITANDAO KINA MAADILI MABOVU SANA HAPO MNAFUNDISHA NN?
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 6 месяцев назад
Amekosea sana mjinga uyu
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 6 месяцев назад
Hashtag Mapambano 😆🤣🤣🤣
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 6 месяцев назад
Fanya kama Sheikh Abdulrazack , Bi fatma na diva 😂😂😂
@lydi791
@lydi791 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@martinjosephat4694
@martinjosephat4694 6 месяцев назад
Hahaha pengn hatujaelewana vema alikua. Analeta. Mt. Anapma. Kama. Anaeza. Kulea. Ana pima pimajee
@abdulazackabdul1894
@abdulazackabdul1894 6 месяцев назад
🤒
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 6 месяцев назад
Kiki kubwa 😂😂😂🎉
@kelvinnyunza-us9jj
@kelvinnyunza-us9jj 6 месяцев назад
😂😂😂
@WitnessShamba-wm4tq
@WitnessShamba-wm4tq 6 месяцев назад
Baba level nichukue na Mimi tuwe watatu babu👌
@allahisone6386
@allahisone6386 6 месяцев назад
DAH 🤦😳
@lydi791
@lydi791 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 6 месяцев назад
Pambania kombe mwaya.🤣🤣🤣
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 6 месяцев назад
Eeeh una taka msereleko
@Shadia544
@Shadia544 6 месяцев назад
Wanaumee woote mbwa tuu hamlidhiki mbwa nyieeee😂😂😂😂
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 6 месяцев назад
Fala wew ko hapo unasikia kosa lake nani??
@abbasnassib9532
@abbasnassib9532 6 месяцев назад
Wewe unayeridhika,una maEx wanganui!?
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 6 месяцев назад
Aaaaaa AA sio mbwaaa ndioo baba zetu ila nyiee baba zetu muwe mnaridhika
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 6 месяцев назад
Sasa kama wanaume wote mbwa basi Mama ako alibanduliwa na mbwa na ukazaliwa wewe!sasa hapo jichachagulie mwenyewe kuwa wewe upo kwenye kundi gani kama Baba ako jibwa basi Mama ako atakuwa hana akili nzur anawezaje kuzaa na dog🤔🤔
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 6 месяцев назад
Mume wangu sio mbwa😂😂
@MasoudSultan-ks6kc
@MasoudSultan-ks6kc 6 месяцев назад
MUJOMBA TULIKUSHAURI UTAPO CHOKOZA WA MUJINI WATAKUSHUGULISHA WAMEKUTEKENYA SASA UMERUKA JIPAMBANIE ILA UMEANZA SAFARI NDEFU NA NDALA JEE ULIJIPANGA?
@sisifaty9183
@sisifaty9183 6 месяцев назад
Kumbe uli nubwenge
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 6 месяцев назад
Ila baba levoo ww akili zako unazijua mwenyewe ila mama rubi tuliaaa kipenzi Hawa baba zetu hatuwawezi Lea watt wako huyo asma achana nae atakupotezeaa mudaa
@aby.beka1630
@aby.beka1630 6 месяцев назад
ulifikilia kabla ya kuongea iv~
@julianapeason6254
@julianapeason6254 6 месяцев назад
Ni kweli arulie alee watoto maana mwanaume mwenye pesa na asiekuwana hofu ya Mungu ni mateso plus ila ningekuwa mimi ningemsahau huyu baba ndani ya sekunde 0 maana haya ni mateso
@NasraNasibu
@NasraNasibu 6 месяцев назад
​@@julianapeason6254kikubwa dua
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 6 месяцев назад
@@aby.beka1630 nimefikiriaa sana maana hakuna mwanamme anaeroshekaa na mwanamkee mmojaa hata baba ako ujuwee kuwa unamamdogo wako chobingoo
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 6 месяцев назад
Ila bro ww ni malaya😂😂 Unaleta wake tano wote kuwaangalia
@hanifamziray277
@hanifamziray277 6 месяцев назад
Ndio muoe mke wa2 ugomvi uishe
@allahisone6386
@allahisone6386 6 месяцев назад
YEAH 🎉
@mandelamushi2527
@mandelamushi2527 6 месяцев назад
Wanawake tunawawepanda acheni jaaam
@mandelamushi2527
@mandelamushi2527 6 месяцев назад
Upendo ni kama umeme ukikata umeme ni sawa na kukakata Umeme
@mandelamushi2527
@mandelamushi2527 6 месяцев назад
Baba leo yuko sawa kwanza mwanamke ni mwanamke je!!!nikishambulia siku zote 30th itakuwaje
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 6 месяцев назад
Hata ujitetee vipi? hata uwalee watoto peke yako vipi mwisho wa siku malezi ya mama yao ndio furaha yao acha upumbavu
@rahmaidd8818
@rahmaidd8818 6 месяцев назад
We NDO mpumbavu
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 6 месяцев назад
@@rahmaidd8818 Mpumbavu ni mama yako mzazi fala wewe, nimemwambia baba levo sio wewe kilandage
@RamadhaniMaarifa
@RamadhaniMaarifa 6 месяцев назад
Huyo asma ni yule wa Cheka tu au mwingine!!?
@malianonicass7029
@malianonicass7029 6 месяцев назад
Ndio ni yeye
@mellahcoffee
@mellahcoffee 6 месяцев назад
😂
@andrewmagwila1602
@andrewmagwila1602 6 месяцев назад
Baba levo upo sahihi na pmj na yote hongera kwa kutunza watoto wako ushauri kwa wanawake wakishaolewa wawe wavumilivu na utulivu
@tradamus4158
@tradamus4158 6 месяцев назад
Kosa ulilofnya nikurudiana na huyo mwanamke ambae alishakupeleka mpaka police na huyo mwanamke alivyo ona unamzungu tu basi akajirudisha saabu ulikua na piss kali kushinda yeye ikamuuma na wew babu levo bichwa yako ilivyokua ya kuku ukarudiananae hukujua kua unaleta tatizo ndani ukisha move on bro sahau kuhusu ya nyuma ishi maisha yako
@patriciousnjau7792
@patriciousnjau7792 6 месяцев назад
Navaa viatu vya mke wa baba Revo vinanipwaya.Nimewah kupitia hii hali.Baba Revo kama huwezi kuwaupande wa mkeo hujampenda bado.Mkeo kama amekosea kaa nae chin muongee.Hunifahamu sikufahamu.naomba kaa na mkeo muongee yaìshe.Mlee familiya yenu. kwa upendo.Ni shabiki wako tu lakin nayajuwa madhara yake.Please i beg you on behalf of your children.
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 6 месяцев назад
Kwahio ulishawahi kumuacha mmeo ukaenda kudanga mwaka mzima au sio😂
@happynkya9770
@happynkya9770 6 месяцев назад
hao ndo wanaume bhna,,, hapo inabidi tu wanawake tuwe kama kuku mtetea hawana wivu jogoo anapanda mtetea mbele ya mtetea mwingine ambaye amempanda mda siyo mrefu na wala huyomtetea mwingine hajaliwala nn
@florenceelikana3040
@florenceelikana3040 6 месяцев назад
Hahahaha umewazaa
@buberwazimbeiya7406
@buberwazimbeiya7406 6 месяцев назад
Umenichekesha sana😂😂😂😂
Далее
MZUNGU ALIVYOMUACHA BABALEVO/ CHANZO PITER MSECHU
3:21
NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI.
2:58