Тёмный

NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI. 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 53 тыс.
50% 1

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amekutana na kumuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia kuhusika kwake katika mazungumzo yasiyofaa dhidi ya Mhe. Rais Magufuli.

Развлечения

Опубликовано:

 

9 сен 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 44   
@florakankutebe3987
@florakankutebe3987 4 года назад
Safi sana, endelea kusamehe tu. Mungu akuzidishie moyo wa iman!
@simonmtuka8473
@simonmtuka8473 4 года назад
Mungu ni mwema tunashukuru kuona viongozi wetu wakisameheana kwa ajili ya taifa letu
@borahmlamba5030
@borahmlamba5030 4 года назад
Dah Kweli we ni Rais wa mfano, mungu akubariki na mungu akulinde, nawewe Nape uache kufuata mkumbo fanya kazi acha kufuata mkumbo.
@robertmwamboneke8295
@robertmwamboneke8295 4 года назад
Asante sana baba wa taifa letu unanipa jeuri sana mimi, yakuona fahari kuwa mtanzani na kuongozwa na rais mzalendo kama wewe big up my president 👏👏🙏
@joycejoseph8632
@joycejoseph8632 4 года назад
Amejua 2020 mambo yanawez kuwa tofauti akose ubunge
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 года назад
Kenyatta wa Kenya pia ana moyo mzuri mno..Mungu Alimjalia sana roho ya msamaha na upendo
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 месяца назад
Mzee magu mcha Mungu kweli Kuna kitu kitakuja tokea Tz hii
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 года назад
Baada ya kumtukana MHE magufuli na sauti zao zilisikilizwa sasa amekwenda kumuomba msamaha mhuu ndiyo hivyo mtoto akinyea mkono huukati ahsante sana MHE Rais magufuli
@ebennbenn8638
@ebennbenn8638 4 года назад
Safi sana Nape na Rais kwa msamaha ulioutoa.
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 4 года назад
Rais wangu mpendwa, hata waseme nini mimi nakuomba uzidi kusamehe. Nakumbuka ukiwa na wahandisi ulisema "tunanwomba MUNGU atusamehe kama sisi nasi tunavyosamehe wengine". Naamini tusiposamehe nasi hatutasamehewa baba!! Mungu akubariki.
@erickmush7157
@erickmush7157 4 года назад
dah kwakwel rais wetu ni mtu wa watu hongera baba
@husseinkakanga4082
@husseinkakanga4082 3 года назад
Hivi kweli Nape haoni upendo huu wa muheshimiwa magufuli? Halafu bado unakuta anamzungumzia vibaya mzee wa watu lakini kikubwa ninacho kiona ni ubinafsi wakiuondoa umimi Mambo yatakuwa mazuri Ila watu wajifunze
@sululungasa3849
@sululungasa3849 2 года назад
safiiii tujinze kusamehe R.I.P .JPM
@yusufrajabu8425
@yusufrajabu8425 4 года назад
Uwo ndio uwanaume mbaba, nimekukubali nauye.
@petersynto8634
@petersynto8634 4 года назад
Ama kweli unahofu ya Mungu binafsi nisingeweza ila nakutahadhalisha rais kuwa makini na watu kama hao adui ukiishamfahamu hupati shida na wataendelea kuumbuka wanaokuwazia mabaya
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy 4 дня назад
JPM apumzike kwa Armani
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 Год назад
Huyu mnafiki hakuomba msamaha kutoka moyoni sasa hivi ameshakengeuka anakutukana sababu anajua huwezi kumfanya kitu tena. Ila wewe kama ulimsamehe kwa dhati kutoka moyoni basi hata Mungu ameshakusamehe ana amekupokea kwake upumzike kwa amani.
@gmchats5335
@gmchats5335 4 года назад
Very very smartly dressed president ! Well done
@jacobmsule5191
@jacobmsule5191 4 года назад
Ameen
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 4 года назад
Angekua Mzee wa kasi MPYA muulize B seya
@diamondplatnumz139
@diamondplatnumz139 4 года назад
sawaa bhANAAAAAA
@LukeUrioNEWS
@LukeUrioNEWS 4 года назад
Be blessed my President.
@tuwenasitv9695
@tuwenasitv9695 4 года назад
RAIS WANGU MWENYEZMUNGU AKUZIDISHIE BUSARA NA UPENDO AMIYN
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 2 года назад
Magu ww nimtu ambae nakukubali xna.
@jumamwengwa4682
@jumamwengwa4682 2 года назад
#Kauli zako zilikuwaga tata sanaa#😭😭
@zenj1986
@zenj1986 2 года назад
Baba bora ulivyochukuliwa na Mungu maana ungeona walivyokukengeuka ungeumia sannna.
@fetymau5386
@fetymau5386 2 года назад
Mungu akupe kauli thabiti
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629 4 года назад
Safi sana Rafiki
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 4 года назад
Wewe mjukuu wangu Nape, muungeni mkono na kumsaidia Rais. Msiwafuate hao wenye uchu wa madaraka watawapoteza. Ninyi ni vijana tunawategemea. Acheni ujinga. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa.😱😢 Wasalaam, wako -babu yako wa lramba.
@Freedom_fighters898
@Freedom_fighters898 11 месяцев назад
Mzee tunaangalia video zako za zamani pumnzika kwa amani ila umetuamchia shida kubwa hukuwashungulikia vizuri hawa wahaini wanaiuza nchi kabisa 😢
@raphaelmoses252
@raphaelmoses252 Год назад
Umesamehewa lakini pia ukamzunguruka
@peterjohnson167
@peterjohnson167 2 года назад
NAPE Nenyau ni mnafki tena muuaji.
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 года назад
KUJIKWEZA NI KUBAYA MNO , KWANI WEWE UMEMDHALILISHA NAPE , AU WEWE UNAYOYAFANYA YOTE UKO SAWA? KWA MUNGU KUNA KAZI KUBWA MNO...
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 года назад
Baba pumzika kwa amani kwa kumsamehe
@nijosenso2691
@nijosenso2691 4 года назад
game starting man😂😂😂
@hamzachipisya5235
@hamzachipisya5235 2 года назад
Alijiona km #MUNGU MTU
@abeidramadhani6523
@abeidramadhani6523 Год назад
Hakika maguguli alikua na maadui wengi mno
@ambelemwakalobo3327
@ambelemwakalobo3327 2 года назад
Kwani alikosa Nini mbona mmasehe
@maqilqureshi4312
@maqilqureshi4312 4 года назад
Poka
@pendohumphrey7588
@pendohumphrey7588 4 года назад
Wamesoma nyakati wameona wameona wanaweza kukosa ubunge, wakaona njia sahihi ni kujipendekeza ili wasipitwe na uchaguzi, lazima serikali iwe makini na hawa watu
@albertsengo8334
@albertsengo8334 4 года назад
siasa ni mchezo mchafu
@barnababoy1868
@barnababoy1868 4 года назад
Ila hata kama wamesamehewa yale maneno walisema yalitoka moyoni kabisaa 😂😂.. kuomba msamaa ni nidham ya uwonga tu
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 4 года назад
Uchaguzi umekalibia
Далее
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Просмотров 237 тыс.
МЫ ПОХОДУ ЧТО-ТО НАПУТАЛИ
0:20
Просмотров 4,4 млн
Отнимают ребенка ч.4
0:55
Просмотров 4,2 млн