Nimekufata vizuri ka mugisha hapo ulipo fika kwenye uchawi inaonesha kweli kuna mambo ya kichawi mkojani anawafanyia usiku mukiwa huko bagamoyo 😭😭 ila umeficha sisi wenye akili timamo tayari tumekuelewa, Tutegemeye ipo siku mmoja wenu atatowa kama kafara😢 Watanzani bana nishida😂😂
Kiukweli nikichunguza maneno ya kamugisha naona kunamambo mengi anaficha haya maneno anayosemewa mkojani uwenda niyakweli ukizingatiya wasani waliondoka mkojani gang ni wengi sana Ila mkojani unawapa umaharufu sana
Unaongea ukweli kabisa kaka,shida ni njaa na tamaa ndo maana vijana wanaamuwa kumwongelea vibaya mkojani,ila mie nawaombea sana mzidi kutowa movie za kufundisha,hakika sintochoka kuzifuatilia maana zinanifundisha mengi..!