Bosi TRA Mimi nimekuerewa mungu akujarie usimamie aki katika kazi Yako mkuu TRA Kuna kitu kina niuzi uku uswairini unafanyiwa makadirio Bira afisa tra kuja kwenye biashara Yako utakura sangine unafanyiwa makadirio makubwa kuriko biashara Yako utakura sangine unaripa kidogo biashara kubwa wangekuwa wanajkuja dukani kadiria mkuu iyo nayo angaria Mimi naamini wewe unaofu mungu utasimamia aki
wewe ndie utaki kufata taratibu vizuri za kuweka hesabu zako ,ndio maana yanaitwa makadilio unaruhusiwa kisheria kwenda kupeleka hesabu na Tra wakazipitia ukalipa kutokana na kinachotakiwa