Timu ikiwa mbovu lakini inashinda mataji nani bingwa katika taifa lake wala hakuna shida yanga mbele nyuma mwiko gsm mbele heris saidi mbele tumi mbovu imezifunga timu zote Tanzania kuanzia simba mpaka walioshuka daraja😂😂😂
All kuchezea zanzibar nikuhatarishamchezo ukizingatia nimchezowamaamzi bola tungechezea kwamkapa ambapo vijanwamepazoea pia mchezo utakosa mashabiki nimawazoyangutu
Yaan Kamwe bwana mambo ya All hilal uliyaongea wewe leo et unasema kuna watu walibeza Al hilal si wewe? Yan huyu jamaa kasoma lakini ziro. Alfu angalia matusi yako et panya road kwa hiyo mzoefu wa panya road si wewe? Mbona mwenzio huwa anakushusha kwa maneno mazito sio kama hayo? Unadiwa na Manara kwa kweli
Hukumbukagi maneno yako,wewe ndo uliwahi kusema Al ahyl najui,ni kibonde na hana mpira na hivyo simba hukutana na kibonde,leo kwasbb umenyongonyeshwa ndo mpira wa kibingwa aise!!!,,,yetu macho!!