Тёмный

Kasida mpya inayotia huzuni ''kujigamba'' Official video -ust.Faki mbarouk ft Juma Faki ft Yahya 

Juma Faki
Подписаться 54 тыс.
Просмотров 209 тыс.
50% 1

Usisahau kusubscribe kulike na kushare

Опубликовано:

 

23 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 161   
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 4 года назад
walodislike km unakubaliana nami ni wachawi wa maendeleo ya watu likes 100 ili wawe na aibu
@saidiallii3449
@saidiallii3449 3 года назад
Assalamu aleikum warahmatullahi wabarakatuh Mashaallah Shukrani shehe juma faki kwa qaswida nzuri yenye ujumbe mzuri kuhusu kushikamana na ndugu zetu kwamba tukajiona bora kuliko ndugu zetu Namuomba allah atujaalie tuzidi kushikamana na ndugu zetu tusiwadharau walioko chini Aamiin SHUKRAN sana shekhe juma faki جزاك الله خيرا
@aboukibesh8356
@aboukibesh8356 4 года назад
Kama unaona hawa wanao DISLIKE hawajui kazi nzuri naomba LIKE zenu japo 30 tu niwaumize MIOYO YAO.
@mbaroukali3795
@mbaroukali3795 4 года назад
👍,👎 wengi hawajui maana ya hizi alama
@rukiakitwana9352
@rukiakitwana9352 4 года назад
Abou kibesh amin
@jriyadahmad5617
@jriyadahmad5617 4 года назад
Ttzo chuko
@jriyadahmad5617
@jriyadahmad5617 4 года назад
Ttzo chuki
@naymashasareva7863
@naymashasareva7863 3 года назад
😂😂😂shida uelewa Ila wapo vzr
@suleymtumwa6374
@suleymtumwa6374 4 года назад
Ukajifanya jabariiii majigambo vazi lako Ukasahau kaburiii kuwa ndipo ulalapo Dah maneno mazito
@aboukibesh8356
@aboukibesh8356 4 года назад
Hivi Huyu YAHYA anakipaji gani kiasi kwamba kaonekana katika MIAMBA hii miwili? Kama umemkubali YAHYA hajaharibu katika QASWIDA hii naomba LIKE ili tumpongeze kwa pamoja.
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Mashallah anastahiki pongezi Yahya
@jumaayyoub2519
@jumaayyoub2519 4 года назад
ما شاء الله. Allah awazidishie kila yaliyo kuwa na kher na nyinyi.
@hassniseif406
@hassniseif406 3 года назад
Allhuakibaru nyy kwakweli mnajitahidi na mola wetu atawalipa
@jumafaki1697
@jumafaki1697 3 года назад
Aaamin
@fatumashaban7931
@fatumashaban7931 4 года назад
Hiv nyie watu anaewapinga ni nani tumsute?Allah azidi kuwaongoza mashallah qaswida zenu nzuri sana wallah
@hamzaomar9731
@hamzaomar9731 4 года назад
UJUMBE MGENI , nimependa na mwaka huu mshatukomoa AQAZ tunaomba posmo maan sion mbaya wala mbovu MAASHLLH
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Asante sana kiongozi hahaah
@bintykigan7309
@bintykigan7309 Год назад
Daah nimejipata moyo wangu waumia sana kwa huu ujumbe Allah awajaze kheri qadiria upendo daima kutoka kenya❤
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 4 года назад
Mashallahu kwaujumbe mzur mungu awalipe yaher nawapenda sana fak & juma mukikaa pamoja nbala kasorobo tunajivuniya nyny znz 💓
@alyjumafaki2997
@alyjumafaki2997 4 года назад
MASHA ALLAH QASWDA MZR SANA NA INA UJUMBE MZR SANA HONGEREN SANA KAZ MZR
@samiramahmud406
@samiramahmud406 4 года назад
MashaAllah Amazing Beautiful Nasheed Meaning full words Thank You Brothers Jazaaka Allahu khyran 🤲 Ramadhani Kareem
@swabiryussuf7107
@swabiryussuf7107 2 года назад
Mashaallah nzuri japo yaliza 🥺🥺👌🏻👌🏻🇰🇪🇰🇪🌹
@zuwenakidulazi1785
@zuwenakidulazi1785 3 года назад
Mashaallah.allah akupe uzima ili uweze kufikisha ujumbe kwa waumin
@ambarmbarak3044
@ambarmbarak3044 4 года назад
Kaswaida huichoki kuiangalia wala kuisikiliza Perfect one
@mahfoudhjuma4833
@mahfoudhjuma4833 4 года назад
nimewapenda hao video vicen khamiss kombo unachezea bausa hilo good aidea
@khadijaju7262
@khadijaju7262 4 года назад
Hongera kaka faki na juma
@aboukibesh8356
@aboukibesh8356 4 года назад
Na uyo Yahya jeee? Au yeyehajaitendea haki Qaswida?
@hajisalum6351
@hajisalum6351 4 года назад
Unumbe mzuri sana
@MussaMc-g6j
@MussaMc-g6j 11 месяцев назад
Jamn mm hii beat na vinanda .da jamaa anajua
@nurudinsembe2897
@nurudinsembe2897 4 года назад
Kaka mungu akujalie undelee kutuelimisahaaa
@khamismohd4040
@khamismohd4040 4 года назад
Qaswida zenu nazikubal%100000000 zaidi mukiwemo nyinyi 2 F&J kiukwl zina burdish nimetaman hata kutungiw 1 spesial for me .
@shaqiiqal-jameel1029
@shaqiiqal-jameel1029 4 года назад
Masha Allah Kazi Imesimama Imara Mno Ujumbe Umefika Kwa Jamii
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Asante shaqeeq Al_jameel
@faridasaid4000
@faridasaid4000 4 года назад
Mashaa Allah saut nzr n qasda yeny mafunzo ndan yk mungu awaeke miaka mingi yeny her ndan yk ili muzd ku2elimisha
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Aaamn
@timemohammed9463
@timemohammed9463 2 года назад
Mashllah mchpa kzi
@kautharkhatib9075
@kautharkhatib9075 4 года назад
Sijawahi kuona Juma Faki na Faki Mbarouk wakiharibu kwa Zanzibar hii wapo juu hawana mpinzani. Nice qaswidah
@lusadlusad48
@lusadlusad48 2 года назад
Naipenda sana hiii
@aliarkam9548
@aliarkam9548 4 года назад
Mashaa allah . Kwel ujumbe mzur sana unahitaji mazingatio . Hongereren sana
@swabiryussuf7107
@swabiryussuf7107 2 года назад
Dah yaliza haki yakumbusha mbali hii 🥺🥺🥺🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@yuualab5777
@yuualab5777 4 года назад
Wanaotak kushindana na nyiny Juma wambie wasome kasda km dunia na swalaaaa ila dah msamaha na ubaguz dimaria moto WA mbali pia
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
😂😂😂 asante
@abdulbasamyussuf6357
@abdulbasamyussuf6357 4 года назад
Mashallah ustadh juma hakika uwwezo wko upo juu sana heshima kwako Allah akuzidishie na akulipe kwa khery yke
@Abuukhudhaifa
@Abuukhudhaifa 8 месяцев назад
Mubaarak❤
@shehabakarmbarouk5493
@shehabakarmbarouk5493 4 года назад
Aqaz kwangu big up siku zote
@manjutinoh5572
@manjutinoh5572 4 года назад
MashaAllah MashaAllah Qaswida Nzur sana ❤❤Jamii inahitaji vitu kama hivi atleast they can learn Something from it . Allah awajalie Afya njema na Umri zaid muendelee kuelimisha Jamii.#congrats both of you💯👏.
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Aaamin shukran salam zao mombasa
@manjutinoh5572
@manjutinoh5572 4 года назад
@@jumafaki1697 Salam zishawafikia Sheikh 💕
@rahmahakim6285
@rahmahakim6285 4 года назад
Mashallah watu km haw wapo mitaani wanakibri kisa neema alizowap Allah wanasahau km yote hay Allah ndomsababishaj subhanallah 😔
@musampilipili4683
@musampilipili4683 4 года назад
Mmefanya kazi nzuri sana Mungu awazidishie fikra
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Aamin
@saidomar6806
@saidomar6806 4 года назад
Hongereni sn Mafaghari watatu ujumbe mashaallaah, mja usijipe kiburi hizo pumzi si zako Wenu Qari Sai Omar from Dsm to Zbar⭐🌙🕌🕋
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Mashallah
@abdulkarimhassan6522
@abdulkarimhassan6522 4 года назад
Mja usiwe kibur izo pumzi si zako one among of the best qaswda in this year shukran kw ujumbe wen
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Kabisa kabisa
@ibrahimkassim4505
@ibrahimkassim4505 Год назад
Its so amazing
@jriyadahmad5617
@jriyadahmad5617 4 года назад
Nipo dar nawapata vzr ntman nije Zanzibar Nile skukuu ila corona 😥😥😥
@abduljumaa1238
@abduljumaa1238 4 года назад
Binafsi nimewaithika kabisa MASHAALLAH🙏🙏🙏
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 года назад
Mashaallah Allah atuhifadhi na atuepushie kibri Amina yarabi shukran big job raiiyah
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Shukran pia
@sawdasaid3220
@sawdasaid3220 4 года назад
Maasha Allah qasweda nzuri sana inafundisha asanteni maalim Juma from AQAz
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Asante
@iddirisaalichizuyomuachena6480
@iddirisaalichizuyomuachena6480 4 года назад
Honge juma fakky
@shughaibabdi5408
@shughaibabdi5408 4 года назад
Hongera na kwa Ust Faki na Sh Yahya kazi mzuri sana hii
@shughaibabdi5408
@shughaibabdi5408 4 года назад
Mashaaalllah habib Juma Faki. Yammy yami ipo nawewe katikajihada zako
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Shukran Alhabib Yamiyami ni fakhari yetu sote
@alimwarabu1151
@alimwarabu1151 4 года назад
Thank you maticha zangu kwaujumbe mzuri kwajamii mashaallah Allah awajaze gherii
@allykombo1847
@allykombo1847 3 года назад
Nakukubal kk
@naymashasareva7863
@naymashasareva7863 3 года назад
mashaallah 👌 Kaz nzur ujumbe umetufikia
@rahmakhamis3300
@rahmakhamis3300 4 года назад
Hongera Kwa Qaswidah
@hamisiabdallah7160
@hamisiabdallah7160 4 года назад
Qaswida ni mzik mzur wa kusikiliza popote pale
@fatimaabdulla1320
@fatimaabdulla1320 4 года назад
Yani MM mwezenu nomekutamani kwetu tu yani nimekumiss hadi na ingia homa
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Karibu uje kwenu znz
@fatimaabdulla1320
@fatimaabdulla1320 4 года назад
Asante nitakuja bii idhin llah ila ndio covd imetufanya tuwepo kwenye vizingiti hatuendi popote hadi Airport zimefungwa uwiii allah atusaidie
@alyjumafaki2997
@alyjumafaki2997 4 года назад
MAALIM JUMAA MASHA ALLAH UMEPANDA HUMOO CYO MCHEZO VITTAHHH
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Vita kaka
@gsamugoodderectorghalidi6755
@gsamugoodderectorghalidi6755 3 года назад
Kama unamkubali juma fak like
@fatomhalogandy4045
@fatomhalogandy4045 2 года назад
MashaAllah tabarakallah.
@othmanshaib9089
@othmanshaib9089 4 года назад
Mashaallah najinady kupitia nyinyi viongozi wangu
@sniperboy7098
@sniperboy7098 4 года назад
Hongera kaka juma na kaka faki
@masoudmayeka9748
@masoudmayeka9748 2 года назад
Shukrn kk ujmb ush fk masody hap jumb mwalm
@mohdhashim1686
@mohdhashim1686 4 года назад
mashaallah kazi imeeleweka na ujumbe umewafika
@jumamngwali2836
@jumamngwali2836 4 года назад
Kazi nzuri mashallah hongereni.
@mrpeace3664
@mrpeace3664 4 года назад
Kaz mzur sana funzo
@zahraabdalla2871
@zahraabdalla2871 2 года назад
Mashallah 😍
@maherzain5099
@maherzain5099 3 года назад
Mashaallah Habib pacha
@salmaissa6217
@salmaissa6217 4 года назад
Masha Allah kazi nzur
@zaharawawa7243
@zaharawawa7243 4 года назад
Maasha allah hakika ujumbe mzuri
@mussaismail8428
@mussaismail8428 4 года назад
Mashallah, C'est bon travailler C'est un bon quaswida
@sharifuhakim1582
@sharifuhakim1582 4 года назад
Big up mafundi ramadhn karim
@yussufmakame6396
@yussufmakame6396 4 года назад
Qaswida nzuri sana Masha Allah aqaz
@yassirabdallah5806
@yassirabdallah5806 4 года назад
Masha allah Qaswid mzr cn Allah awabrk wot Shkrn Aliy Ahmad
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Asante sn
@yassirabdallah5806
@yassirabdallah5806 4 года назад
Insha allah kw sot malim juma
@kassimomar7589
@kassimomar7589 4 года назад
Hahahaha nangalia huku na soma comment from Pemba
@mariathmbashiru5327
@mariathmbashiru5327 3 года назад
Haha
@mbaroukhamza5002
@mbaroukhamza5002 4 года назад
From UK, good
@katibamaulid286
@katibamaulid286 4 года назад
Wakongwe mnafanya vyema Safi Sana.
@surejzubala1478
@surejzubala1478 4 года назад
Qaswida nzur masha allah
@lukmenlukmen459
@lukmenlukmen459 4 года назад
Mumetulia
@khadijamatenga1177
@khadijamatenga1177 4 года назад
Masha Allah kwa ukumbosho
@hamadsuleimaan802
@hamadsuleimaan802 4 года назад
Kitu kitam ichoo mashallaah
@nassorpengo3719
@nassorpengo3719 4 года назад
Maashaallah hii kali sanaaaaa
@allysaharifsaidi7563
@allysaharifsaidi7563 4 года назад
Naona namuona sheikh hossen akifanya ubabe wake
@abdulbasamyussuf6357
@abdulbasamyussuf6357 4 года назад
Makin sana
@issasalimbukhatir9835
@issasalimbukhatir9835 4 года назад
Ksd mashallah iko poa
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Asante kiongozi
@eddybrizzy76
@eddybrizzy76 3 года назад
Mashaallah.....
@saidiallii3449
@saidiallii3449 3 года назад
Pia naomba utakapotoa video
@kassimomar8176
@kassimomar8176 4 года назад
Maa shaa Allah
@naimasaid8393
@naimasaid8393 4 года назад
Ujumbe mwanana mashallah
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Kweli kabisa
@naimasaid8393
@naimasaid8393 4 года назад
@@jumafaki1697 Allah aibarik kaz yenu ya kutuelimishaaa. Na kutuasaa
@abuubakarjuma3230
@abuubakarjuma3230 4 года назад
Hamuna wapinzani muko vyema sana
@kassimabdallah-1820
@kassimabdallah-1820 Год назад
👏👏👏👏👏
@abdullyrahmanthabitkombo9009
@abdullyrahmanthabitkombo9009 4 года назад
Raufu rahim
@hamidyakoub6865
@hamidyakoub6865 4 года назад
Mashaallah allah awabarik 🙏
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Aamin nawewe pia kahamid
@maryammkanga9626
@maryammkanga9626 4 года назад
Mashaallah
@amourflamin2092
@amourflamin2092 4 года назад
Nimependa ujumbe
@alfarahfoundation
@alfarahfoundation 4 года назад
Nkuheshimu daima mwalim
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
asante mkuu
@shirahighqualityvideo8440
@shirahighqualityvideo8440 4 года назад
Kali sanna
@khasamkonde
@khasamkonde 4 года назад
Mashallah Allah kareem
@ambarmbarak3044
@ambarmbarak3044 4 года назад
Kazi nzur
@CRMEDIA-yd7dp
@CRMEDIA-yd7dp Год назад
mashallah
@comexmediatz
@comexmediatz 4 года назад
kaliiiiiiiiiiiiii🤝🤝
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Asante mtaalam
@muhidinihamad9292
@muhidinihamad9292 4 года назад
Nakukubali fund mkubwa
@jumafaki1697
@jumafaki1697 4 года назад
Asante sna
@binali6273
@binali6273 4 года назад
MAASHAAALLAH kz kz
@inochesam8803
@inochesam8803 4 года назад
masha Allah aqaz
@zaharahaji1642
@zaharahaji1642 4 года назад
MashaAllah
@zaisalumu701
@zaisalumu701 4 года назад
Maishallah
@fatmaaly3056
@fatmaaly3056 4 года назад
Mimi napenda kuwaona munashirikiana km hivi gebu toeni kaswida yapamoja tena na shekhe hafidhi itakua kali maana kila ukikua munazidi hadhii
@hassanseleman7145
@hassanseleman7145 4 года назад
Masha allah mafunzo mazuli sana
@mussaamini4760
@mussaamini4760 4 года назад
qaliii
Далее
MSAMAHA_ Ust Juma & Ust Fakky (Official Video)
6:40
Просмотров 162 тыс.
People Cling To Trees As Typhoon Slams Into Shanghai
00:34
НОВЫЙ РОЛИК УЖЕ НА КАНАЛЕ!
00:14
Просмотров 288 тыс.
Qaswida.mahari
9:33
Просмотров 3,7 млн
AQAZ Juma faki ft Hashir muhdy-Mauti official video
8:03
Nasaha Crew (Anayo Alama) Sharif Koba.
5:50
Просмотров 299 тыс.
Qswida,by fakky mbarouk/kisa cha ibrahim
17:59
Просмотров 29 тыс.
People Cling To Trees As Typhoon Slams Into Shanghai
00:34