Kusema kweli qaswisa hii pamoja na zile andamizi katika albam hii hazitoacha kuwa qaswisa bora za Ramadhan na hadi hivi kila mara nazisikiliza na kama ni mwezi huu ndio kwanza nazisikiliza kutwa nzima ilikia nimekaa na kutembea pale nivutap pumzi baada ya qiraa yangu ya gur an
Naam mashaallaah Masheikh wetu AQaz, Tunachotakiwa sote Tuyaandae mema anayoyaridhi Mola jaalia.. Juma Fakky huu ujumbe milele hatakuwa wazaman mbele ya Allah sw🕌🕋wenu Asmu Sai