DODOMA: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewakumbusha wananchi mambo mbalimbali ya kufanya kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utaofanyika mwakani ikiwa ni pamoja na kwenda kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ili watimize haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka.
Imeandaliwa na Fadhili Akida
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...
15 сен 2024