Тёмный
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA
Подписаться
WASILIANA NASI:-
Whatsapp: bit.ly/3HJseKD
Facebook: bit.ly/48YgxvP
Instagram: bit.ly/490U7Kd
Contact: +255 758 708 804

UNAWEZA KUTOA SADAKA YAKO KWA NJIA ZIFUATAZO:-
AIRTEL MONEY +255 684 988 722 INNOCENT MASHAURI
M-PESA +255 758 708 804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI


TAMANI KUONGEZEKA // Mithali 23:7
7:56
9 часов назад
NJIA ILETAYO MAJUTO KWAKO // CHUNGUZA
17:05
12 часов назад
UNAWINDWA SANA NA ADUI // USIJISAHAU
6:53
Месяц назад
MAOMBI YA KUJICHOSHA
8:42
Месяц назад
USIJARIBU KUMSUSIA MUNGU // UTAUMIA WEWE
10:19
2 месяца назад
Комментарии
@user-li2ux2zn3g
@user-li2ux2zn3g 21 минуту назад
Amen.leo hii Niko kw maombi ya kufunga bwana amenipa nguvu na nimeona mabadiliko mkono Wg wa kushoto ilikuwa haiyezi shika kitu ilikuwa kujikaza Tu kw sababu na Fanya Kazi ya nyumba.sahizi nimeona Mukono Wa Mungu sahizi Niko sw kabisa mahumivu imepotea.Asante Mungu
@AnneMwinamo
@AnneMwinamo 36 минут назад
Mungu wangu nitie nguvu niweze kushinda vita
@JaneNkata-tq5oi
@JaneNkata-tq5oi 48 минут назад
Maombi yangu yakufikie kitini pako Bwana.
@JaneNkata-tq5oi
@JaneNkata-tq5oi 49 минут назад
Usiniache Mungu wangu niponye katika maisha yangu ninyanyue Bwana. Ameen
@user-el8mg4pq2d
@user-el8mg4pq2d 51 минуту назад
Nimefika mahali hata kuomba siwezi,nahitaji msaaada wa Mungu.
@user-el8mg4pq2d
@user-el8mg4pq2d 52 минуты назад
Nimekutana na neno hili leo nasikia kuinuliwa leo tena, asante sana mtumishi Mungu aendelee kukutunza, naomba maombi yako juu ya familia yangu hasa mama yangu na ndugu zangu hatuelewani kabisa mpaka mambo ya uchawi yanaingizwa. Rehema ya Mungu ionekane juu yetu,
@hildamwasimba9100
@hildamwasimba9100 55 минут назад
Ee Mungu nikimbuke niguse nisikwame Kila eneo kiroho na kimwili Zaidi niongozwe na roho mtakatifu Kila eneo
@SaraMpozi-nf1yk
@SaraMpozi-nf1yk Час назад
Mtumishi hili neno limeniguss mimi mungu anisaidi mimi na wanangu pamoja na familia yangu
@lostanguvila7761
@lostanguvila7761 Час назад
Eee naomba nikujue wewe uzao wangu ukujue wewe
@lostanguvila7761
@lostanguvila7761 Час назад
Eee MUNGU naomba unirehemu mrehemu mume wangu warehemu watoto wangu. warehemu wazazi wangu.warehemu ndugu zangu
@lostanguvila7761
@lostanguvila7761 Час назад
Ameen naomba MUNGU naomba niongoze nisome neno lako lisiondoke kinywani mwangu usiku na mchana watoto wangu wakujue wewe
@ShilwaMwampina
@ShilwaMwampina 2 часа назад
Bwana yesu asifiwe asanteeeee Sana kwa ujumbe naomba iniombee Mingu aniondolee roho ya makufuru
@user-hp7my3jt4t
@user-hp7my3jt4t 3 часа назад
Mungu tasama makonjwa Niliyo nayo baba niponye HIV
@BouprainPhilippe
@BouprainPhilippe 3 часа назад
Amena papa
@user-hp7my3jt4t
@user-hp7my3jt4t 3 часа назад
Niombee niondoke kwa vifungo ya ulevi kwa ukoo wangu
@user-hp7my3jt4t
@user-hp7my3jt4t 3 часа назад
Ones uzao kufunguliwa kutokana na minyororo ya shetani
@ChristopherAndrea-rh6yw
@ChristopherAndrea-rh6yw 4 часа назад
Roho mtakatifu uniongoze siku zote za uhai wangu
@Fatmasafe-jz8ij
@Fatmasafe-jz8ij 4 часа назад
Ee mungu ninaomba kwa mwaka huu nipokee ndoa ilio sahihi
@Fatmasafe-jz8ij
@Fatmasafe-jz8ij 4 часа назад
Asante yesu ninaimani ninatendewa reo maombi yangu yote na Kila Alie shika nyota yangu aichie kwa jina la yesu
@JosepherHerman
@JosepherHerman 4 часа назад
Mungu wangu naomba uniamshe ili niwe macho adui asiniweze
@ElizabethSimon-uu7wh
@ElizabethSimon-uu7wh 4 часа назад
Mungu akubariki kwa mafundisho mazur naomba mtumish niunge ktk group la maombi😅
@EddaAivan
@EddaAivan 4 часа назад
Ameen
@joycesariki519
@joycesariki519 4 часа назад
Asante ee mungu hili neno la leo lilikuwa ni langu ee mungu nisaidie
@BouprainPhilippe
@BouprainPhilippe 4 часа назад
Amena
@JenifaPeter-nc8bs
@JenifaPeter-nc8bs 5 часов назад
😢eh MUNGU nisaidie, nitoe katk kila madhabahu iliyoniteka, kwa kujua au kutokujua🙏
@victoriaaman6628
@victoriaaman6628 5 часов назад
Asante sana Mtumishi nashukuru kwa Neno
@victoriaaman6628
@victoriaaman6628 5 часов назад
Amen Mtumishi 🙏
@SimbaMatamba
@SimbaMatamba 5 часов назад
Niko marekaxi 🇺🇲🇨🇩🙏🙏🙏🙏💯🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
@roseboamo5777
@roseboamo5777 5 часов назад
Naweka ombi langu mikononi mwako bwana nikisema, bwana yesu naomba ni pate mtu sahihi wa kazi wa dukani bwana usichukue cku 2 niwe nimepata msichana bwana. Ninaomba cku hii ya Leo Kenny anitumie hela zangu zote bwana.ninahitaji msaada wako bwana yesu ninasema asante kwa kibali chako bwana. Niko mbele zako nakamura siku hii ya Leo sante bwana namshukuru mfalme wa amani nisipumgukiwe na kitu chochote nkombele yako cku hii bwana. Cku hii yaleo iwe ni cku ya heri. Adui asipate nafasi. Fanya jambo jipya mfalme wa aman. Bwana na ukatende jambo.ninajikabidhi mbele zako bwana. Tuma malaika wako bwana, nope bwana kibali yake ktk jina la yesu kritu amen.
@joanesFelixFelix-cb1vb
@joanesFelixFelix-cb1vb 6 часов назад
Mungu akubalik mtumishi wa mungu.
@EdithaNovarth
@EdithaNovarth 6 часов назад
asante bwana kwa nguvu zako
@joanesFelixFelix-cb1vb
@joanesFelixFelix-cb1vb 6 часов назад
Amém Amém 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@MutambalaSelemani
@MutambalaSelemani 6 часов назад
jalipiya watoto wangu
@MutambalaSelemani
@MutambalaSelemani 6 часов назад
nisaidye Mungu nichukuwe nisiwe mu hali zakulala kinyama nanisipatiye adui nafasi pale nitakapo lala uki roho kwangu nakwa muke wangu
@user-vy6st5ki2v
@user-vy6st5ki2v 6 часов назад
Asante mungu kwakunipa nguvu yakusikiliza. Neno
@roseboamo5777
@roseboamo5777 6 часов назад
Baba ktk jina la yesu kritu ninasema sante kwa kuniamsha asubuhi hii nema ninasema bwana asante kwauzima ba uhai ulionipa cku hii ya Leo. Asante kwakuiona cku mpya. Sante kwa pumzi bwana. Tazama nintafanya jambo jipya, najikabidhi mikononi mwako mm na familia yangu. Nawakabidhi watt wangu mikononi mwangu parro eli, na Rogathe na familia zao. Mungu ww ndyo unayojua maisha yangu. Naomba rehema zako bwana. Naomba nisamehe dhambi zangu bwana. Nipe kibali cha uzima ili niweze kusogea mbele zako bwana. Sante kwa watt, sante kwa biashara. Yote bwana ni kwa nema yako bwana yesu. Amen.
@MutambalaSelemani
@MutambalaSelemani 6 часов назад
Mungu nina kuitaji kuwa karibu yangu ili nipate kubadirika kwa hali ninazopitiya kimaisha, nikweli jina lako nikweli lina nguvu
@dorahalfayo355
@dorahalfayo355 6 часов назад
Asnte pastor Kwa mafunzo haya, yote Iko kwangu,simama NAMI Kwa maombi.
@AntonyManeno
@AntonyManeno 6 часов назад
Amen❤
@dorahalfayo355
@dorahalfayo355 6 часов назад
Amen ,Mungu nisaidie nishinde adui yangu. Kwa kuomba na kukemea,,nipe nguvu Mungu.
@DorothyChilembo
@DorothyChilembo 7 часов назад
Mungu naomba unisaidie 😭😭
@DorothyChilembo
@DorothyChilembo 7 часов назад
Amen 🙏🙏
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 7 часов назад
Amen
@martinehussein7261
@martinehussein7261 8 часов назад
Ameeeeen
@florencenduwimana9148
@florencenduwimana9148 8 часов назад
Mungu tusaidie
@emmanuelmatogolo5869
@emmanuelmatogolo5869 8 часов назад
Ameen 🙏 Mungu simama nami siku zote za maisha yangu
@user-zv6up6ep7q
@user-zv6up6ep7q 9 часов назад
Fahamu za wtt wangu Eugen na Ethan Luyanji..
@user-zv6up6ep7q
@user-zv6up6ep7q 9 часов назад
Madeni Mungu.,Ndoa yangu.
@user-cs6mk3ry5h
@user-cs6mk3ry5h 9 часов назад
Amina MUNGU kupitia ibadan hii unipe mume wa kusudi lako ,na unifanikishe katka kilimo changu na uchumvi kivujumla ❤❤❤
@user-pr6nl7bo4w
@user-pr6nl7bo4w 9 часов назад
Usiniache,bwananishikemkonoleyangusiwezi