Habari. Mlinituma niwaletee Elly. Nilipata nafasi ya kufanya mazungumzo naye. Bonyeza link hii hapa kuangalia 👇🏿 NILIKOSA VISA YA MAREKANI MARA 8 | NILIUZA MKOJO WANGU MAREKANI KWA MWAKA MZIMA ru-vid.comqTIa7FZt3Ic?feature=share
Kama Mimi siku nasafiri kwa Mara ya Kwanza nilikuwa na nguo zangu Passport Gate Pass niliotumiwa baada ya kukatiwa tiketi na Mhusika alienialika, nimefika Airport naonyesha Documents naambiwa eti sielewi hii documents ya Safari. Nikafungua simu yangu nikamwambia soma hapa, Kama huelewi nimpigie simu alienitumia hii tiketi . Akasema sawa Nenda hakuna shida, so wengine wanakuwaga Ni Kero fulani Fulani
Turkish nilinyanyaswa airport 2019, sitarudia hiyo ndege. Wana silent airport, wanashift gate Kimya kimya kwa makusudi ili uachwe ununue ticket upya, na utalala aiport, utakaguliwa kila baada ya dk 20 pale airport. Ukiwa kwenye que unatolewa pembeni kwa kuwa wewe ni mwafrica wanaanza kukukagua, foleni inaenda wewe umewekwa pembeni. Passport na permit wanaikagua kwa lens, hawaamini mwafrica. Turkish puu
Watu wa west Africa hasa wanigeria ndio wamesababisha haya sote black tuonekane ni vibaka tu wabeba unga au tunapeleka uhalifu nchini mwao au tumefoji documents
Kwann wazungu hawasumbuliwa sana tofauti na race zingine, wazungu wapo smart sana wanaogopa kuvunja sheria ugenini kwa sababu wanaziogopa jela za Africa,pia awajalelewa malezi ya rushwa,wao uuliza taarifa zote kwa maajenti wa safari ukiona mzungu kafanya kosa kawamisleaded na mswahili.
Watching from kenya 🇰🇪 ni ukweli ndugu yangu most of them have not traveled at all aki inauma maana sisi wote ni wa moja mbona wivu na tamaa yaani kupanga safari si mchezo alafu mtu acheze na visa yako😭😭😭😭😭😭
@@Witnessvlog mimi niko kenya and am telling you it's just the same ..alot of people complaining about the treatments in the airport yani watu wenye rangi nyeusi tunachukiana kabisa
@@Witnessvlog wanaikagua hio resident permit afu wanaulizia unafikia wapi😂 na ukifka hio nchi unaenda nchi nyingine sasa ninakibali ata nikienda nchi nyingine wewe inakuhusu nini si ntaomba visa kupitia nchi ninayoishi ilibidi tu nimjibu ntakupigia simu nikitaka kwenda nchi nyingine.
Na mimi imenitokea mara nyingi mno hizo kero bila rushwa unaweza kulia wanakukaanga na maswali pamoja na vitisho na si tu Airport nna experience ya kunyanyaswa hadi boder ukifika upande wa nchi yako unapata bp kwingine wala. Hivi vitu vinatia hasira sana kwakweli.
Ni kweli kabisa, umeongea pwenti muhimu sana, hata mimi niliwai kusumbuliwa na wake wasenge nilikua naenda zangu Japan. Wale ni matapeli na inatakiwa uongozi wa airport uuangalie hilo swala, kweli wanakera sana wale washenzi.
Wanyoosheni kwenye sheria kama kilakitu chako kiko sawa hunahaja ya kulaumu chukua ushahidi kisha panda mahakamani mkifanya hivyo watanyooka.bila yahivyo kazi bure
Ila kweli wanalera utakuta mtu una passport yako viza ipo vizuri una residence namkataba unao lakini wanakuuliza unakwenda wapi ? Mimi walinikera sana eti wakaambiana hakuna kusafiri mpigie boss wako tuongee nae atuhakikishie nilipogiga boss hakua hewani begi limesha pelekwa cargo likashushwa nikarudishwa eti wakasema muache arudi boss wake ana hela atamkatia tiketi nyingine😢 iliniuma sana sana tena mwingine anasema mwache aende si mtu mzima kweni mtoto huyu istoshe amefanya kazi huko muda mrefu anapajua anapokwenda sio chizi niliskia hasira nikarudi home kesho yake waliomba rushwa kwa boss then nikasafiri niliumia sana boss alikasirika alisema tz nchi ya ajabu sana sijui njaa inawasumbua ni aibu
Nondo gani yaani kukuhoji ni lazima sababu ukipita halafu ukafika nchi nyingine kukawa Kuna shida labda Kuna vitu havjakamilika unarudishwa Sasa shirika si litapata hasara we ulieruhusu apite ufukuzwe kazi au ukatwe mshahara wako hebu Niambie milioni 2 Kwa uzembe tu hapana
Hivi umeshawahi kusafiri pale Amsterdam Schiphol Airport ukiwa una connect namna unavyohojiwa mara uwekwe pembeni kidogo. Yaani kero na foleni ndefu ya kugongewa mhuri.
Conflict of interest wakat wa utoaji huduma,uhamiaji wapo kwa ajili ya usalama wa nchi na Sio kwa ajili ya biashara kama mashirika ya ndege. Ishu za usalama zinahitaji mda zaidi wa kujiridhisha ndipo utoe huduma sahihi kwa mtu sahihi ishu za biashara zinataka mtu asikae kwenye foleni ahudumiwe haraka zaidi ndani ya mda mfupi. Kukaa mda mrefu kwenye que ni ishu za usalama zaidi.
Ni kweli mimi baba yangu alikuwa anakuja kwénye matibabu Uturuki akaulizwa maswali mpaka eti annaenda kukojoa Kila baada ya muda gani nililia kwani sijajisikia vizuri kwa kweli.
Jamani hii kero ebu wasaidia sasa mnawajima mstanzania kwenda kutafuta mbona kuingiza wageni warudiwa kuondoka shida nini hii Rsis ingilia kati hakuna viza miichango turshe ndege hsta bure siosndi better nipande baskeli
Hawana lolote Ni wivu tu unawasumbua watu Wengine. Anawauliza na Wageni wamefwata Nini? Tanzania wakati Kila siki Tanzania inajitangaza kupata watalii ili nchi ipate hela za Kigeni. Mijitu mingene inawekana tu kwenye sehemu za Kazi. Na hawana hata ujuzi wa hizo Kazi. Elimu hamna. Alimladi tu wanawekana na vyweti Mbandia
Wasipokurudisha lazima utarudishwa tu nchi husika kwa gharama za ndege husika ndo maana kama haujakamilika hawawezi kukuchukua ili shirika la ndege lisipate hasara ukikataliwa na nchi uendapo. Shirika la ndge halipo tayar kupata hasara kwa uzembe wa mfanyakazi ni lazima mfanyakazi akatwe mshahara kwa uzembe wake sasa nauli ya milion 2 atakatwa mda gani.
😂😂 DAAH WANAULIZA MASWAL AMBAYO YANAJIJIBU KWA DoCS, lakini nadhani watakuwa wanabanwa sana na wenyew, c mnaonaga ile camera karbu na mashine ya fnger 😂, mm niliulizwa et shule ya msngi umesomea wapi, nkajiuliza safar yangu na shule ya msngi wapi na wapi jmn😂😂😂 kama hujiamni unaeeza jisaidia hapohpo😭😭
Alitaka kujua ulivyopata passport au usahihi wa u Tanzania wako. Swali lolote we ulionalo la kipumbavu kwa elimu ya maswali Huwa Lina kusudi flani unaweza ukajichanganya akapata jibu
Maswali kuulizwa mengi ni ya mitego ili muuliza swali apate taarifa Fulani ajiridhishe nazo. Kumbuka akihudumia abiria feki au asiyesahihi jela yake au kufukuzwa kazi.
Zipo njia nyingi za kuhakiki viza ngoja tukahakiki pana mitambo ndani,pana mawasiliano na ofisi za balozi zote,pana mawasiliano na nje uendapo wanatumiwa documents wanaangalia kwenye mitandao yao kama ni zao au ni feki,pana mfumo wa kimataifa wa kuhangalia documents zote
Kweli ubaguz kweny ndege upo, mm juzi tu kadada kalikuw kanaptisha glass za maji bahat mbaya maj yakamwagika kwangu na kwa mzungu, akasema dorry kwa mzngu,akamfuta mzngu na mikon yke then haraka akamtelea tissue mm walaaa hakunipa jicho🥴🥴 nkasemaa haashh lidada lizuri la sura libaya la tabiaa😂😂
Airport naichukia ni ya dar es salaam😂kama unataka usipate usumbufu uwe unacheka cheka tu kama chizi wakianza kukukagua na uwahi tu kufika airport maana unaweza ukaachwa kisa wanakukagua😂😂😂nilitoka ujeruman na visa ya Thailand nikaenda Tanzania holiday wiki tatu then niende Thailand kisha ujeruman nusu niachwe ndege uzuri nilikata qatar nikaenda kwa desk kuwaambia wakapiga simu ubalozi nikaachiwa nimeenda nakimbia kwenye ndege niko wa mwisho😢
@@Witnessvlog wana wivu and not professional hasa wanawake 🙄nazan kuhus Turkish airways kama unajua una connect ndege zaidi ya masaa matano hakikisha tanzania unapata karatas ya offer ya hotel so hili linaweza kuwa sio kosa la ndege bali kosa lilifanyika tanzania
@@Witnessvlog maybe lakini my favorite emirate Turkish na qatar I always have good experience for 7 years now Ethiopian airline ndo ndege yakuacha kupanda 😁😂 I did two time I will never ever again
Kwann utoe rushwa ukiwa umekamilika wengi hawan elimu ya safari ingekuwa hivyo basi watz wengi wasingesafiri kwann utoe rushwa,kwann usiripoti mamlaka za juu
Mwaka 2021 during corona time walinizungusha sana, hadi ndege ika board , af mind you mimi nina indefinite leave to remain (uk) baada ya ndege kusepa ndo wakarudi wakasema sorry , niliwareport na nn but ilikuwa kero sana
Camera kila kona hio rushwa ataichukulia wapi wakat anapohudumia juu kuna camera ujatendewa haki kwann usiende lalamika sehemu husika achukuliwe hatua,tuache tabia ya kulalamika hovyo wabongo tufuate taratibu za safari uliza taarifa za kutosha. Nenda airport kahakiki taarifa zako ndipo ukate tiketi mtaani.
Kuulizwa maswali ni lazima hata ya kipumbavu zile ni technic za kutafuta taarifa fulani ili mtoa huduma ajiridhishe akihudumia abiria asiye sahihi jela inamuhusu, kufukuzwa kazi au vinginevyo, wanafanya kazi kwa miongozo na sio kwa uamuzi wao binafsi wanafata sheria za nchi na za kimataifa.
Ndugu umefanya vizuli sana kutoa hividio ilitatizo lipoapo nyumbani tanzania wamekua wasumbufu sana haswa apo mwalim nyerere eapot mimi mwenyewe niliondokea nailobi
Wanafanya kazi Kwa miongozo yaani wewe unataka wapite to kisa wana visa hapana wewe ndio hujui ndio maana unaongea hivo kisa wazungu kwani wazungu ndio majambazi wakubwa broo mm naishi dar lakini ticket yangu ilonesha nipite Zanzibar na niliulizwa hivo.hivo kwanini unapita huku nikamwambia jinsi ilivyokuwa akaelewa nikapita lakini wengine walirudishwa hivo yaani wakuruhusu upite tu thubutu
Shida ni elimu ya kutosha kuhusu safari ukiwa umekamilika unazuiliwa vipi kama ujatendewa haki si unaripoti mamlaka za juu afisa yeyeto yeye sio mamlaka ya mwisho
Ndo maana mnaambiwa wahi masaa 3 kabla ya safari ili kama kuna tatizo la kutatua kabla ya safari litatuliwe,sasa we unakuja nusu saa kabla ya ndege kufunga mlango so unataka ndege ikusubirie wakat ndege uenda kwa ratiba
Watu waliopo ktk ofisi za Umma wengi wao ni wabinafsi na wanafanya hivyo ili kutengeneza mazingira ya rushwa!, Hawa watu ukiwakuta ktk hizi ofisi ni mingus watu!, ALIWAWEZA MAGUFULI TU!, WAKATI WAKE WATU WALIBADILIKA NA KUFANYA KAZI
Mr una negative kuhusu aspect kuhusu airport,hizo ndege kusema hazina wateja umecheck idadi ya abiria wanazopata. Kama hazina wateja si zingeshafilisika. Hizo ndege zipo hata kabla ujazaliwa na zina operate
Conflict of interest wakat wa utoaji huduma,uhamiaji wapo kwa ajili ya usalama wa nchi na Sio kwa ajili ya biashara kama mashirika ya ndege. Ishu za usalama zinahitaji mda zaidi wa kujiridhisha ndipo utoe huduma sahihi kwa mtu sahihi ishu za biashara zinataka mtu asikae kwenye foleni ahudumiwe haraka zaidi ndani ya mda mfupi. Kukaa mda mrefu kwenye que ni ishu za usalama zaidi.