Тёмный

#ZIFAHAMU 

Uhamiaji Tv
Подписаться 8 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

#OnTrending #UhamiajiUpDates
#Credit @Icon Tv Tz

Опубликовано:

 

24 авг 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 102   
@KADALAtv255
@KADALAtv255 2 дня назад
Hongera Serikali ya Tanzania Hongera Mama Samia Rais wetu Hongera Uhamiaji kazi yenu njema. Mimi nakuja ofisini wiki ijayo kuilipia nami niipate.🔥🔥🔥🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪
@Toptenherbs
@Toptenherbs 17 дней назад
Kwa kweli kabisa huduma zenu ni nzuri sana!! Na hakuna urasimu hata kidogo... Nilifika kurasini saa 4 Hadi saa 7 nilikuwa nimehudumia Kila kitu!!! Ukiwa na documents zako zote muhimu Wala hawana shida Hawa jamaa!!! Hongereni Sana kwa kazi nzuri
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Год назад
Shukrani kwa taarifa kutoka wizara, nilifika Wizara ya uhamiaji watumishi ni wa karim sana, mungu awabariki
@SHADOTUBETZ
@SHADOTUBETZ Год назад
Mnapiga kazi vzr, safi sana. Sijawahi pata huduma nzuri lama uhamiaji
@user-qq5yp1zm4f
@user-qq5yp1zm4f 3 месяца назад
Nashukulu mungu awabaliki mulinptia bila shida
@AstridaNdovanga-tz6vj
@AstridaNdovanga-tz6vj 3 месяца назад
Nashukuru sana kiongoz Mimi binafsi nilipata mapema shida watu tumezoe Shortcut
@fatmaathmani9406
@fatmaathmani9406 3 месяца назад
Mmmh yan baraa uko uhamiaji kama mie hadi leo sijapata passpoti yangu 🙏🙏
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 Год назад
Ahsante Tanzania
@yolonimojohn7792
@yolonimojohn7792 Год назад
Asante sana mkuu kwamaelezo mazuri
@priverpriva4144
@priverpriva4144 Год назад
Thanks 😊
@bensilem121
@bensilem121 Год назад
Asante sana mkuu🙏🙏
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 Год назад
Changamoto nyingi zipo Kila sekta tuache mfumo wa rushwa turidhike tunachokipata mama samia katuchagua tumsaidie atafanya mangapi mungu ibariki tanzania ameen
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 Год назад
UHAMIAJI UKIFUATA UTARATIBU MASWALI MENGI FORM HUPATI NA ZOEZI LAKO HALITA KAMILIKA NA SWALA LA PASSPORT SIO MBAKA USAFIRI HII NIHAKI KWA KILA MWANANCH DUNIANI KOTE ILA TZ YETU MBAKA USAFIRI
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 Год назад
*Unaongea tu mkuu lakini vishoka ndowanarahisha sana kuliko Hao watu ZAKO bila vishoka IMMAGRATION kwa asilimia 80 Mambo hayaendi*
@johnbidya119
@johnbidya119 Год назад
Kichwa chako ni kigumu
@MichaelSimba-nk7mu
@MichaelSimba-nk7mu Год назад
Kwa kweli Uhamiaji Dar es Salaam wako active.
@moseskimaromoseskimaro5934
@moseskimaromoseskimaro5934 Год назад
Pia ni Pesa ngapi Arusha, maana tunaweza ambiwa hapa ni sh 150000,kufika kule ni Zaidi ya hiyo pesa, nifanyeje nipate maana nataka Sana.
@idrisafadhili9029
@idrisafadhili9029 3 месяца назад
ukienda ofsini utaambiw system haipoo
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 3 месяца назад
Bado achngamoto zipi juz tu kudhinda jana mdigo wangu laki nne kisa baba kafariki mama hana bath certificate na bado kaambiwa atoe laki huko dar fike lake likawekwe mbele , kaenda pale na nida bath certificate,batua ya mwekiti wa mitaa SubhanaAllah kaambiwa lete barua ya anaekuita unakataka kwenda badala kumuelekeza wanataka kukutoa hela mtu mwenyewe màskin mitihan nchi hii ruswa zipi sana migration 😊
@yasssiniswaffy-oc4hc
@yasssiniswaffy-oc4hc Год назад
Nimeipenda iyo
@obedingilisho
@obedingilisho Год назад
Vishoka wanarahisisha mambo.. Urasimu ni mwingi sana katoka ofis za serikali ya jamhuri. 😢
@user-gu8wv4bn4o
@user-gu8wv4bn4o 9 дней назад
Pasport mnatuambia laki na amsini mimi nimepata pas kwa lakisita ila list inasoma laki na thelathini pamoja nafom alfu ishilini jumla laki na amsini jee nyingine ziko wapi
@user-mr6xl4gs8d
@user-mr6xl4gs8d 8 месяцев назад
Hapo kwenye cheti cha kuzaliwa cha mzazi ndio mtihani ,
@salminmbembela9701
@salminmbembela9701 Год назад
Na vipi mzazi kama hana cheti cha kuzaliwa..wengne wazaz wapo ndan sana huko.anaejuabadala anambie tafadhali
@priverpriva4144
@priverpriva4144 Год назад
Nakujibu
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 Год назад
@@priverpriva4144 naomba unisaidie, baba kafariki , mama ni WA kijijini Hana cheti Cha kuzaliwa, nasaidikaje
@boas_bj
@boas_bj 11 месяцев назад
Nenda nae mahakaman akale kiapo kama ni raia wa tz watakupa form ya kiapo (affidavit) ndio utaenda nayo uhamiaji
@RirikGharib-rg9df
@RirikGharib-rg9df 5 месяцев назад
Upo sahihi afande
@immanueljoseph7190
@immanueljoseph7190 10 месяцев назад
Namba ya nda tu mtihan je iyo passport inakuaje hii nchi bora Rais angekuwa joti
@WilsonSanare-nq6li
@WilsonSanare-nq6li Месяц назад
Huku.arusha.hatupati.na.tukihitaji.lakinne.eti.mpaka.iletwe.daressalam.tumechoka.sikuhizi.tunaenda.nrb.kenya.kwa.honqo.ya.sh.1300.kurudi .sh.1500
@wariobamussa2462
@wariobamussa2462 Год назад
Asante Kiongozi kwa Taarifa hii muhimu
@IsabellaTarsis
@IsabellaTarsis Месяц назад
Ni uongo maana muda mwengine wanakuuliza we kwenye akaunt una sh ngap alafu kama wanakukebei vyote unaweza kuwa umekamilisha ila utazungushwa mpk basi
@mohamedsuleiman2785
@mohamedsuleiman2785 Год назад
Yanii mangu kwenye passport alitumiza sana kutoka elfu 50 mpka laki na 50 angalau engelifanya laki moja
@user-rl5qu4zj9b
@user-rl5qu4zj9b Месяц назад
Kwani kuwa napasspot lazima uwe unassafili nilijua nihaki ya mwananchi kuwa napassppt maana nchi zingine mtoto akizaliwa tu anakuwa nahati yakusafilia
@JamalSeif-yn5ro
@JamalSeif-yn5ro Месяц назад
Mama samia ubaguzi wa rangi ndio unaongoza magreshen wanatutesa nina miezi 8 nimewapa kila kitu nawalaumu wazazii wangu kwanini waliza na mwarabu rangi yangu inaniponza
@user-mw8ow3jt2u
@user-mw8ow3jt2u 7 месяцев назад
Mungu atusaidie kwa hili ni mtihani mkubwa asikwambie mtu ukihitaji unasumbuliwa mpaka unataka kukata tamaa ila nihaki yake kila rajya wa Tanzania
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 3 месяца назад
Hapa mnasema vizuri lkn mtu akija mnawapa watu rushwa mnawapa haraka lkn wale wanaotumia njia ya halali mnawazungusha
@Footballlove10000
@Footballlove10000 9 дней назад
Kama Sina nida naweza pata?
@JamalSeif-yn5ro
@JamalSeif-yn5ro Месяц назад
Passport ni Ruswa kwenda mbele has ukiwa unarangi ranging wape klila kitu wanataka ruswa ni wabaguzi wa rangi wamewazidi hata wazungu mimi nina miezi 8 na failili ninalo ruswaruswa
@JamalSeif-yn5ro
@JamalSeif-yn5ro Месяц назад
Kama nitaenda takuru nitawapeleka wengi lakini ni watoto wa wakubwa wako huko takuru hawana meno ndio wanafanya watakalo nchi hihi ikisha ruswa labda kiyama
@WilsonSanare-nq6li
@WilsonSanare-nq6li Месяц назад
Kila.mwanainchi.lazima.uwe.na.nauli.na.pesa.ya.njiani.kila.wakati.kweli.tumeliwa.vyakutosha.pesa.nyinqi.inapotea.kwa.raia.wa.tz
@robertdominic7298
@robertdominic7298 Год назад
Hapa kwenye vyeti vya mmoja wa wazazi ndio vishoka mnapowakaribisha, mzazi wng ikiwa amefariki au wamefariki nafanyaje?
@Witnessvlog
@Witnessvlog Год назад
Onyesha document
@HusenShukran
@HusenShukran Месяц назад
Naitaji nida
@jacksonjacob3986
@jacksonjacob3986 Год назад
Ndugu za jumapili mm Jackson j nnko nahitaji kusafiri nje ya nchi nitakuja ofisini dar
@JamalSeif-yn5ro
@JamalSeif-yn5ro Месяц назад
Sio nida ambayo hutakiwi hata uulizwe swali hata uwe na namba ya rais wanataka ruswa daa tunaishi nchi ya zulma na rushwa hakuna magreshen atakeenda peponi
@user-pv2ez1nd3h
@user-pv2ez1nd3h 3 месяца назад
Makufuli alitufanyia jambo sio rafiki kutupandishia passport beii ya juuu mama tushushiee passport angalau laki moja
@JamalSeif-yn5ro
@JamalSeif-yn5ro Месяц назад
Shida wakukatalie toka a mwazo kwamba hujakamilisha wanachukuwa pesa wanaanza kukubababaisha
@saidjuma7796
@saidjuma7796 Год назад
kwani paspoti si ndio haki ya mwananchi tokea anapo zaliwa anapaswa kuwa nayo yani hio ipo dunia nzima hapa kwetu tu
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 2 месяца назад
Maneno mazuri ila amna kitu
@josephisingo8198
@josephisingo8198 11 месяцев назад
Huyu jamaa nilimkuta,nikamwambia nilishakamilisha kila kitu online mpk stamp lkn,anataka rushwa,eti nionyeshe account statement,sio watu wazuri ntastaafu tuu,kila kitu kina nwisho
@ImanijosephMhozya
@ImanijosephMhozya 6 месяцев назад
naomba jibu nishahangaika
@bernardndemba2253
@bernardndemba2253 11 месяцев назад
Na wasomali mnawajaza mnaiaribu nchi hii
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 Год назад
Siku moja mmmmh tunajua palivyo hapo
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 Год назад
SAMAHANI MUHESHIMIWA VIGEZO ULIVYO ELEZA HAKUNA KINGINE CHA KUWASILISHA UHAMIAJI NJE NA VIGEZO ULIVYO SEMA ILI KUPATA PASSPORT? ASANTE
@mheshimiwampagasi-te5zr
@mheshimiwampagasi-te5zr Год назад
Kama serikali, Hao vishoka mmewachukulia hatua gani,maana wanatuibia sana.
@AyoubPapiy
@AyoubPapiy 2 месяца назад
Kwanini nchinyengine hawana vyeti vya kuzaliwa na wanapata paspot mojakwamoja"? Mtu alizaliwa tu, anakua na paspot
@jade75798
@jade75798 3 месяца назад
Sisi ambao baba zetu ni wazungu na mama zetu ni watanzania tunapata tabu sana .kila nikienda naambiwa ni coparate bila hivyo sipewi .sasa mimi huwa nimezoea tu kucoparate sina jinsi .tena bado ntasumbuliwa kupelekwa kwenye mahojiano kila gorofa mbali na kutoa kitu
@aishaz1
@aishaz1 Год назад
Kama niko kenya nafanyaje plz sina kitu chochote kuhusu wzazi sina hata cha mzazi
@soundmale
@soundmale Год назад
Oya vip huko Kenya mambo yanaendaje hawana ubaguzi boy.
@itisallaboutfootballandent8250
Kwa mtoto chini ya umri wa miaka 18 anatakiwa ajaze vipi kwenye sehemu ya kujaza nida?
@godfreybahitwa4798
@godfreybahitwa4798 7 месяцев назад
Inajazwa taarifa ya mzazi
@ShabanMkumbange
@ShabanMkumbange 10 месяцев назад
Nimeona kazi mbali mbali na mishahara yake ila kazi ya fundi umeme iklje kaka
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 Год назад
MKUU hii ni ya muda gani
@hatibbaraka3956
@hatibbaraka3956 9 месяцев назад
Kiukweli ni process ndefu yaani imekua kama hii ni haki ya kundi maalum tu.
@Marthamkala-st2ck
@Marthamkala-st2ck 3 месяца назад
Na kama sina nida ina kuajeee
@nahiriali1405
@nahiriali1405 8 месяцев назад
Bora kutumia vishoka kuliko nyie mkitaka vishoka wasitumike badilisheni yani mtu unahitaji pasipoti lakini unasumbiliwa kweli hata kila kitu unacho, nawashauri watu watumie njia wanazojua, ukimsikiliza huyu kirahisi kwa maneno yake lakini vitendo zero uhakika pasipoti ataisikia tuu
@allymahiyo2464
@allymahiyo2464 Год назад
Unaongea tu mkubwa lakini longolongo nyingi sana kwa watendaji wadogo.
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
hao wanaoitwa vishoka, kwann msiwaziboit?
@erickdaniel610
@erickdaniel610 Год назад
msiwaziboit ndio nini
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
@@erickdaniel610 msiwazibiti
@blockchain1203
@blockchain1203 Год назад
Passport ni Haki ya Kila mtu Sema TZ ujinga Mwingi na Ukweli Nilitumia Vishoka Napata Haraka Kuliko Mtu akija mwenyewe Ofisi na Doc Zake zikiwa Hali..Sasa mnataka uthibitisho wa nje Sina uhakika Hata wa VISA Uhamijia mizinguo tu..Yaani Kuongea ni Rahisi Sana na Nzuri ila Kiuhalisia Uhamiaji Nyieee Mnazingua...Ujinga ni Pale unaenda Ku Renew Passport alfu unaambiwa leta Doc Sasa Najiuliza Mlinisajili na Nini..?Bongo Mizinguo Eti Siku 7-14 Aseee hayo ni Maneno tu Vitendo 0
@josephkatonga5224
@josephkatonga5224 8 месяцев назад
ndugu yangu kazi mojawapo ya uhamiaji ni kutambua pia wahamiaji haramu....hivyo usikasirike unapoambiwa leta doc kila inapobidi....sababu watu wanafoji document na wanakuja kutambuliwa baada ya miaka hata 10... ko wanafanya hivyo pia ili kubaini vitu kama hivyo..
@elikamtumishi
@elikamtumishi 8 месяцев назад
Oy vp mzeee
@moseskimaromoseskimaro5934
@moseskimaromoseskimaro5934 Год назад
Arusha ninaweza pata, na je itachukua muda gani mbaka wanipe.
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Год назад
Nenda Uhamiaji pale utapewa fomu za kujaza kadri utakavyoijaza mapema na kurejesha ndiyo utakavyoipata Passport yako Kwa haraka
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 9 месяцев назад
Wasumbufu
@ImanijosephMhozya
@ImanijosephMhozya 6 месяцев назад
je kwenye mzunguko ote kunasehemu ya mwanasheria kuweka mhuli
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 5 месяцев назад
Sidhani zaidi ya hizo document
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Год назад
Yote.hayo.tunafanya.bado.tunawapa.laki.5.acha ujanja.wee.mqenyewe unao.vishoka.wako
@lgdnce8309
@lgdnce8309 2 месяца назад
Sasa mm ni murundi hila nimezaa na m tz ni mijifungua hospital ya mwa nyanamala 2010 na yveti Vipo vyote vya mtoto hila baba yake tumeachana mwaka 2015 ikabidi mtoto nije naye kwetu Burundi mutoto amekuwa je akija tz ataweza pewa passport cz familia ya baba yake ipo tz kimara hila kishwaili cha tz hajuwi.
@lgdnce8309
@lgdnce8309 2 месяца назад
Baba yake amefariki 2017
@samakihiyochanel7443
@samakihiyochanel7443 8 месяцев назад
Pumbavu we jamaa muongo sana unajua yanayo tendeka hakuna watu wasumbufu kama nyie uhamiaji
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 9 месяцев назад
Panausumbufu huko
@YusuphJafari-mw7ep
@YusuphJafari-mw7ep 4 месяца назад
Mimi sina namba ya nida na naitaji pasipoti
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 3 месяца назад
Huwezi pata
@elizabethjakobo279
@elizabethjakobo279 10 месяцев назад
Mi nataka passport please nisaidie....
@godfreybahitwa4798
@godfreybahitwa4798 7 месяцев назад
Ingia kwa website yao www.immigration.go.tz
@amilipitson-si6xn
@amilipitson-si6xn Год назад
Mom natak passport yakwenda Zambia
@amilipitson-si6xn
@amilipitson-si6xn Год назад
Mom sina namba
@user-dn3fw7fg8b
@user-dn3fw7fg8b 8 месяцев назад
Je mfano ukawa unatumia majina mawili tofaut yaan jina la kusomea likawa tofaut na jina la ndoa likawa tofaut apo tunafanyaje mkuu
@godfreybahitwa4798
@godfreybahitwa4798 7 месяцев назад
Majina yafanane na kwenye vyeti
@jacksonjacob3986
@jacksonjacob3986 Год назад
Nimepata jibu ktk mtandao
@andrewmziray1535
@andrewmziray1535 Год назад
Punguzeni gharama za hati za kusafiria vijana wengi hawana hiyo laki na nusu ni changamoto kubwa
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Год назад
Weew.passport.tunatoa Laki.5 alafu.unasema.laki.na.nusu wapunguze.ha hanha
@Awatee
@Awatee Год назад
​@@rahimaaaaa8699 ndio nataka niseme kwani siku hizi bei gani
@LASTBORN__
@LASTBORN__ 10 месяцев назад
Hana laki moja na nusu nauli ya kwenda nje ya nchi atapata kweli😮
Далее
Отец Проводит Тест с Сыном 😂
00:48
skibidi toilet 76 (full episode)
08:11
Просмотров 8 млн
Кто быстрее? (GTARP)
19:19
Просмотров 250 тыс.
Fahamu mengi kuhusu Uhamiaji Mtandao
11:24
Просмотров 16 тыс.
GHARAMA ZA KWENDA DUBAI
7:19
Просмотров 6 тыс.
Отец Проводит Тест с Сыном 😂
00:48