Hongera Serikali ya Tanzania Hongera Mama Samia Rais wetu Hongera Uhamiaji kazi yenu njema. Mimi nakuja ofisini wiki ijayo kuilipia nami niipate.🔥🔥🔥🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪
Kwa kweli kabisa huduma zenu ni nzuri sana!! Na hakuna urasimu hata kidogo... Nilifika kurasini saa 4 Hadi saa 7 nilikuwa nimehudumia Kila kitu!!! Ukiwa na documents zako zote muhimu Wala hawana shida Hawa jamaa!!! Hongereni Sana kwa kazi nzuri
Changamoto nyingi zipo Kila sekta tuache mfumo wa rushwa turidhike tunachokipata mama samia katuchagua tumsaidie atafanya mangapi mungu ibariki tanzania ameen
UHAMIAJI UKIFUATA UTARATIBU MASWALI MENGI FORM HUPATI NA ZOEZI LAKO HALITA KAMILIKA NA SWALA LA PASSPORT SIO MBAKA USAFIRI HII NIHAKI KWA KILA MWANANCH DUNIANI KOTE ILA TZ YETU MBAKA USAFIRI
Bado achngamoto zipi juz tu kudhinda jana mdigo wangu laki nne kisa baba kafariki mama hana bath certificate na bado kaambiwa atoe laki huko dar fike lake likawekwe mbele , kaenda pale na nida bath certificate,batua ya mwekiti wa mitaa SubhanaAllah kaambiwa lete barua ya anaekuita unakataka kwenda badala kumuelekeza wanataka kukutoa hela mtu mwenyewe màskin mitihan nchi hii ruswa zipi sana migration 😊
Pasport mnatuambia laki na amsini mimi nimepata pas kwa lakisita ila list inasoma laki na thelathini pamoja nafom alfu ishilini jumla laki na amsini jee nyingine ziko wapi
Mama samia ubaguzi wa rangi ndio unaongoza magreshen wanatutesa nina miezi 8 nimewapa kila kitu nawalaumu wazazii wangu kwanini waliza na mwarabu rangi yangu inaniponza
Passport ni Ruswa kwenda mbele has ukiwa unarangi ranging wape klila kitu wanataka ruswa ni wabaguzi wa rangi wamewazidi hata wazungu mimi nina miezi 8 na failili ninalo ruswaruswa
Kama nitaenda takuru nitawapeleka wengi lakini ni watoto wa wakubwa wako huko takuru hawana meno ndio wanafanya watakalo nchi hihi ikisha ruswa labda kiyama
Sio nida ambayo hutakiwi hata uulizwe swali hata uwe na namba ya rais wanataka ruswa daa tunaishi nchi ya zulma na rushwa hakuna magreshen atakeenda peponi
Huyu jamaa nilimkuta,nikamwambia nilishakamilisha kila kitu online mpk stamp lkn,anataka rushwa,eti nionyeshe account statement,sio watu wazuri ntastaafu tuu,kila kitu kina nwisho
Sisi ambao baba zetu ni wazungu na mama zetu ni watanzania tunapata tabu sana .kila nikienda naambiwa ni coparate bila hivyo sipewi .sasa mimi huwa nimezoea tu kucoparate sina jinsi .tena bado ntasumbuliwa kupelekwa kwenye mahojiano kila gorofa mbali na kutoa kitu
Bora kutumia vishoka kuliko nyie mkitaka vishoka wasitumike badilisheni yani mtu unahitaji pasipoti lakini unasumbiliwa kweli hata kila kitu unacho, nawashauri watu watumie njia wanazojua, ukimsikiliza huyu kirahisi kwa maneno yake lakini vitendo zero uhakika pasipoti ataisikia tuu
Passport ni Haki ya Kila mtu Sema TZ ujinga Mwingi na Ukweli Nilitumia Vishoka Napata Haraka Kuliko Mtu akija mwenyewe Ofisi na Doc Zake zikiwa Hali..Sasa mnataka uthibitisho wa nje Sina uhakika Hata wa VISA Uhamijia mizinguo tu..Yaani Kuongea ni Rahisi Sana na Nzuri ila Kiuhalisia Uhamiaji Nyieee Mnazingua...Ujinga ni Pale unaenda Ku Renew Passport alfu unaambiwa leta Doc Sasa Najiuliza Mlinisajili na Nini..?Bongo Mizinguo Eti Siku 7-14 Aseee hayo ni Maneno tu Vitendo 0
ndugu yangu kazi mojawapo ya uhamiaji ni kutambua pia wahamiaji haramu....hivyo usikasirike unapoambiwa leta doc kila inapobidi....sababu watu wanafoji document na wanakuja kutambuliwa baada ya miaka hata 10... ko wanafanya hivyo pia ili kubaini vitu kama hivyo..
Sasa mm ni murundi hila nimezaa na m tz ni mijifungua hospital ya mwa nyanamala 2010 na yveti Vipo vyote vya mtoto hila baba yake tumeachana mwaka 2015 ikabidi mtoto nije naye kwetu Burundi mutoto amekuwa je akija tz ataweza pewa passport cz familia ya baba yake ipo tz kimara hila kishwaili cha tz hajuwi.