Mdada mzuri hvy unadate VP na mwanaume WA ivyo Kwanza uvaaji Ty auelewek kama binti uko seriously na life uwez ingia umoo yaan anaonekana anahudumiwa na awo wanawake amna kitu apo kama unakubali nachosema gonga like😂
Nimependa sana kevoo alovomchagua mwanamke wake mana huyo mwengine ni mkorofi sana tafuta chako dada usione kinag'aa ukakitolea macho haya siulisema uwezi kuwachwa Hilo limeumbuka😂😂😂😂😂
Hawa wanaigiza tuuu washenz wakubwa wamekosa kazi ya kufanya wakaona ss ni mabwege tusikilize utopolo wao....wamekosa vya maana vya kutuletea vya kuelimisha ata jamii vyenye maana😤😤
Uyo kevoo mbona kama yule wa fumanizi la kimara, alaf ya leo mbona kama drama iv mmeskia ao wadada wanavyoongea et uscheke jaman mr. Uky unatukatisha utam
Unapoingilia mapenzi ya watu,,,unajishusha thamani,,,huyo mwanaume amekudrau ,,anakukataa mbele ya shoga yako,,,,,Sasa mwenzio kawekwa ndani maanayake kapendwa,,,,,,,unamtaka kinguvu du,,,dharau nyingi bi dada
Uyo neyla dish limeyumba ndo maan alikuw anatumika na kevoo Sia ni mstaarab San nmemlend kevoo kaon kifaa icho ndo maan kaondok nae Ushauri kwa wanaume tumia demu mjuaji ila usimpe mimba Ila nashauri wadada mwanaume anamjua mwanamke wa kumuoa
Mm nimempenda kevoo kwa kumchagua asia maana uyo mwingine nyodo nyiny kujitia anapendwa wakati anadanganywa tu mwanaume ata kama anacheat akikuchagua kwenye kadamu nasi basi iyo heshima inatosha huwezi kumzui kucheat ni yy atamua kustop au kuendelea
Mr. UKY sijapenda utaratibu wa kuficha sura za wanaume pale unapowahoji wakati huo huo sura za wanawake hamzifichi. Kama mnaona wanawake wanafaa kudhalilishwa lakini wanaume hawafai kudhalilishwa sio poa wala nini. Sura zote ziwekeni wazi