Basi mpenz zamu yako iko kikubw umeingiy kweny ule mtego wa ndoa 😂😂😂 bora ungebak mchepuk 😀 na ww unajisif eti hauogop wakati akitok anakuw sio mme wak ila akirud ndio mme wako,malipo ni hapa hapa duniani ndugu yang, zamu yako iko tuuuuu 🤣😀usifurahiy yalio mkuta mwenzak
Huyo dada alochukua mume wa mtu nimependa kwakweli wallah ni mstalabu sana huyo wa mume anahasila wakati yeye ndo kaitamkutano😅😅😅😅😅😅 sasa vinamtoa jasho
Hahahahahaahha jamani mke mbona ni jambazi sasa mbele za watu ndo kama ivyo tumejionea veep asitaft demmu mwenye bsara jmn atali sanaa kwa Hali hi nabado tunasalitiwa tu kwa jruri zetu
Mke ni mbabe sn, na haipendezi mwanamke kuwa mbabe mbabe, na hapo ndipo tunapoharibu sisi wanawake, Tazama alivyomkalisha kwenye kiti ni ubabe ambao hauna maana yoyote, kufanya hivyo ni kumdhalilisha mume ya kuwa unamuwezaaa sn, hata uwe mzuri wa kiasi Gani tabia mbaya zitakushusha na kuonenaka wa hivyo kbsaaa, arudi kwako miezi 3 km si 6 akajifunze namna na kuishi na mume
Nilichogundua kwann mme amechepuka ni pale alivyoambiwa atambae na wakati ana mkimbiza ndipo nilipomuoana vzr kwa makini mchepuko ana sababu zilizopelekea jamaa kuchepuka😂😂😂
Hahahhaha mm siwez ningekurukia hapohapo na kwenda police sitakagi dharau mm hasira ingeniponza walah.lakin pia mchepuko duuuu unajiamin sana na nimekupenda bute