@@salmaalimusa6809 hahahaha nimecheka jamani et veli soli hahaha Achana na hio kuna ile anasema mr uk awaplank wadada instead of pranks 😂 afanye improvements za headlines anazoweka ata kama yey ana shida ya L na R
Guys niwaambie kitu unaweza ukawa unamuamini sana rafiki yako ukamwambia hadi hali ya mahisiano yako lakini kumbe huyo ndo mbaya wako tuweni makini wanawake jamani kitu hicho kinaumiza sana jamani yaan,,,, halafu pia wanaume jamani msitufanyie hivyo kuwa tu muwazi mtu umeshamuahidi ndoa halafu unamzunguka tena unafikiri laana zinatokana na nn ni kutotimiza makubaliano na ahadi mlizoahidiana unakuta mwenzako hakuigizii upendo ila wewe sasa ka umerogwa vile kha!
Short n clear Wanawake muwe makini sana na ushauri mnaopeana na kuchukua kwa mashost ama watu wa karibu Kwa 40% labda Mamako mzazi kama sio mkazi wa Sinza Tabata Ilala Magomeni maana wa Mama wa huko hata huyo bwanaako kama ana maokoto wanabeba Ficheni Mahusiano kama bado hamjaolewa mtanikumbuka
Hii hapana sio kweli. Huyo dada Hana Namba ya rafikj yake Hadi aichukue kwa cm ya mpenzi wake, aingize kwenye cm yake na haisijuwe km Ni rafikj yake hadi aje kumshangaa hapo? Mnatupanga mazee
Me ndio maana nasemaga nyie wanawake endeleeni kutuita mbwa hvi hvi ila ipo siku 😄😄😄😄sasa demu unaenda haribu mipngo ya ndoa ya shoga yako ukiamini ww ndie utaolewa ama vip yaan
Hivi kwenye haya mahusiano niwanawaketu wanapigwa matukio?? Hakuna wanaume wanaochukuliwa wake/wachumba na marafiki zao??! Najaribu kuwaza kwa sauti........tuletee na wanaume bana au wanavumilia kiume.
Ulifanya makosa sana kumweleza rafiki yako mambo yako ya ndani kitu nilichokiona hapo ameendaa kumweleza huyo mwanaume kila kituu ndioo maana mwanaume kichwa kikaa jaa akaamua kubadilisha mawazo yakuoa