Тёмный
No video :(

KIBURI CHA UZIMA MWITA ISACK KWAYA YA KRISTO MFALME PAROKIA TEULE YA MSONGOLA DAR ES SALAAM 

The Galaxy Pro
Подписаться 45 тыс.
Просмотров 220 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 150   
@alexanderchacha8585
@alexanderchacha8585 6 месяцев назад
Kijana Isack Mwita umekuwa Sasa baba hongera Pokea Maua yako kaka❤❤❤❤ hongera waimbaji mmefanya vyema maneno na ujumbe umesikika vyema sauti nyororo Kama za Malaika keep going on ❤❤
@geofreynyangoro5008
@geofreynyangoro5008 4 месяца назад
Hongera sana sana kwa kazi ya kitume
@januarius-js2xl
@januarius-js2xl Год назад
Naomba namba za simu ya mtunzi isack mwita 🔥🔥🔥🔥🔥... waimbaji wako 🔥🔥🔥🔥🔥
@Justin-c5k
@Justin-c5k 19 дней назад
Wimbo mzur Sanaa...hongeren waimbaj ...Mungu awatie nguv
@lilianalara8007
@lilianalara8007 10 месяцев назад
Sauti nzuri God bless you for Good job🎉
@user-oq9vc3zl5z
@user-oq9vc3zl5z 7 месяцев назад
❤❤❤ isac wewe ni kiboko hongera sana despiner na washiliki wote
@stellahmnema9279
@stellahmnema9279 4 месяца назад
Amen... Amen.... Amen 🙏🙏🙏wimbo mzur san huu jmn. Mbarkiwe san
@norbertsungu3922
@norbertsungu3922 9 месяцев назад
Hongera dada despina na wanakwaya wote Hongera kwa mwalimu organist
@NiccaSaua
@NiccaSaua 3 месяца назад
Najivunia ukatoliki wangu mpaka kufa❤
@nyimbotamu
@nyimbotamu Год назад
Yaani kama tungekua tunatafakari maneno haya mazito katika mioyo yetu Mungu ataturehemu, barikiwa sana Mwita Isaac, Mungu akukirimie neema sana, huwa unanibariki sana @franklinOrganist
@seltusmwanampemba9403
@seltusmwanampemba9403 10 месяцев назад
M
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 6 месяцев назад
Kuyatafakari na kuyatenda maelezo ya wimbo huu.
@MaryNgosse
@MaryNgosse 4 месяца назад
Hakika huu wimbo ni mzuri sana unanibariki mno hongera sana mtunzi umefanya kazi kubwa Mungu akubariki
@user-io5cs1mb4d
@user-io5cs1mb4d Год назад
Hongereni Sana Kwa uinjilishaji Mungu aendelee kuwabariki❤
@rosewanjiku267
@rosewanjiku267 Год назад
❤kazi nzuri sana God bless you all
@BethinaLeonardy
@BethinaLeonardy 3 месяца назад
Nabalikiwa na huu wimbo barikiwa sanaaa
@baremaleonard9980
@baremaleonard9980 6 месяцев назад
Huu wimbo mzuri Sana,maneno, melody yake vimetufikishia ujumbe huu mzuri.Kinanda saaaafiiiiíi,free organ ingekua fupi kidogo
@kelvinmulingei1600
@kelvinmulingei1600 6 месяцев назад
Good message. Hongereni😊 Ubarikiwe sana Mwita
@christinaraymond1928
@christinaraymond1928 10 месяцев назад
Yaaani kila nyimbo yako Mwl ni nzurii hutamani kukosa barikiwa Mtumishi Mungu akutunze
@KWAYAYAMTCESILIAMANGOLACHINI
@KWAYAYAMTCESILIAMANGOLACHINI Месяц назад
Hongerenisana kwawimbo mzuri mmno Hongera kwa mtunzi pia
@mussaananiasmyonga727
@mussaananiasmyonga727 3 месяца назад
Hongera Sana kwa utume wa uinjilishaji. Dada Despina na wanakwaya kwa ubora wenu, na mtunzi pia ni hatari!!
@jonaskweyamba9747
@jonaskweyamba9747 Год назад
Nawapenda kwa utume huo mwema na mzuri Sister Daspina hakika napenda uimbaji wako nyote kwa ujumla
@johndgurty9011
@johndgurty9011 10 месяцев назад
Ah ah!!! Hongera sana wakubwa afu the Galaxy mbon mmekuwa hivyo?? Mungu azidi kuwakirimia mara mia
@paulinaluambano9150
@paulinaluambano9150 Год назад
Najivunia kuwa mkatoliki,Asante ndugu zangu wa Msongola kwa wimbo mzuri,tujiepushe na kiburi Cha uzima
@adelinusacleus4237
@adelinusacleus4237 Год назад
Barikiwa sana mtunzi/mtani Mwita na waimbaji Kwa ujumla mmenitafakarisha kukumbuka na kutenda yaliyo mema hongera sana
@kasalakasala7417
@kasalakasala7417 6 месяцев назад
Hakika nimebarikiwa kupitia wimbo huu mzuri. Hongera sana mtunzi
@runyankolecatholictv8227
@runyankolecatholictv8227 10 месяцев назад
nice...my favourite Despina love you
@juliusdanson225
@juliusdanson225 11 месяцев назад
Jamani nafarijika sana kwa wimbo huu unanikumbusha kumrudia mungu nakujitahidi kutenda mwema, hongereni mungu awabariki❤❤
@juliusdanson225
@juliusdanson225 11 месяцев назад
Bravo,bravo,bravo❤❤❤
@JustinMalipanga-wg6we
@JustinMalipanga-wg6we 8 месяцев назад
KAZI nzuri kila kitu ni bora hongereni sana
@user-lg8lq1jv7w
@user-lg8lq1jv7w 7 месяцев назад
Hakika wimbo mzuri sana na unaotafakisha, mbarikiwe wote
@MaryNgosse
@MaryNgosse 3 месяца назад
Jamani cjui nisemeje huu wimbo unatukumbusha maisha tunayoishi kwa sasa hebu tubadilike Mungu peke yake anatosha katika maisha yetu asante mtunzi kwa kutukumbusha
@martinmhando8351
@martinmhando8351 2 месяца назад
Hongereni sana kwa uimbaji mzuri. Despina na Mwl Mwita pamoja na organist Baraka haunaga kazi mbovu
@marypirian4236
@marypirian4236 Месяц назад
Daaaah...! Baba yetu aliye Mtakatifu sana aturehemu 🙏🙏🙏
@cathywalwit5437
@cathywalwit5437 Год назад
Mungu azidi kuwategemeza hakika mmeutendea haki wimbo huu sauti zenye utulivu hakika tumrudie Mungu tuachane na kiburi cha uzima mbarikiwe
@shayobeatuscasmiri2981
@shayobeatuscasmiri2981 11 месяцев назад
Good message. Mbarikiwe
@AloyceMdollo
@AloyceMdollo Год назад
Mungu awabariki sana
@theodorycharles
@theodorycharles 11 месяцев назад
Jaman mbona nyimbo tamu Sana huyumtunzi sijui Alifikilia nini maana Mimi naisikia inaoigia ndani ya moyo Wangu Hakika Mwenyezi Mungu Nimwema Sana
@theodorycharles
@theodorycharles 11 месяцев назад
@mwitaisack9582
@mwitaisack9582 11 месяцев назад
Amina dadangu Mungu ni mwema
@georgemhindi9961
@georgemhindi9961 Год назад
Hongereni kwa wimbo mzuri na sauti tamu,pia organist punguza muda wa free organ,unakuwa mrefu
@user-ex1nd6so6d
@user-ex1nd6so6d Год назад
Hongereni sana wanakwaya wetu
@irenekibaho4549
@irenekibaho4549 Год назад
Dada mungu awabarikiri
@ExaveryNgonji-hl6ym
@ExaveryNgonji-hl6ym Год назад
Hii ni hatali ngoma kali sana mmbalikiwe sana
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 Год назад
Tafakari nzui sana hongren waimbaji na mtunzi pia
@menancemhombwe2267
@menancemhombwe2267 11 месяцев назад
Naweza changiaje kazi nzuri kama hii. Dah Despina kama kawaida yako
@immaoyugi1286
@immaoyugi1286 9 месяцев назад
Wimbo mzuri wa kutafakari🙏
@revaniakataga8070
@revaniakataga8070 Год назад
Hongereni sana wanakwaya kwa kazi nzuri sana Mungu awabariki sana
@januarius-js2xl
@januarius-js2xl Год назад
Hongera sana...Kama kawaida Dada despina Huwa haniangushi... nawapenda sana..sauti 🔥🔥🔥🔥🔥
@cosmasbarnabas4927
@cosmasbarnabas4927 11 месяцев назад
Wimbo flani hivi wenye mguso wa tofauti.Hongera kwa mtunzi, mpiga kinanda, Waimbaji na timu nzima ya production kwa ujumla
@ericluminator
@ericluminator 5 месяцев назад
Nice message
@JOHNMAGEZI-er6pl
@JOHNMAGEZI-er6pl 5 месяцев назад
Nimeipenda
@ManyandaMalashi-uw3me
@ManyandaMalashi-uw3me Год назад
congratulations imekaa vema naomba number za mtunzi mwita isack
@cosmasbarnabas4927
@cosmasbarnabas4927 11 месяцев назад
Naamini Mungu anamimina baraka tele kwako Mwita Isack kwa tungo hizi.Tangu ule wimbo wa ''Una thamani...'' hakika umeonesha kuwa una utulivu wa nafsi kila unapotunga wimbo
@mwitaisack9582
@mwitaisack9582 11 месяцев назад
Amina kaka Mungu ni mwema.
@pirminmbawala8454
@pirminmbawala8454 5 месяцев назад
Hakika huu wimbo umetungwa na kutungika. Hongera walimu na waimbaji wa wimbo huu. Umeimba kwa hisia kubwa Kama malaika. Hakika Mungu awainue. Pia tumejifunza kuuimba huu wimbo ni wiki Sasa. Yani huu wimbo unaleta muamsho mkubwa Sana wa kuishi Mbinguni.
@pirminmbawala8454
@pirminmbawala8454 5 месяцев назад
Mtunzi wewe kiwango chako sitaki hata kukizungumzia, maana sijui umeutoa wapi huu utamu hebu ona "namaagiiiizo yako hataki" sauti ya 4 umetupa Raha Sana. Naomba namba yako. Sio kwa kuupiga mwingi huko
@user-ii5qn4cp1u
@user-ii5qn4cp1u Год назад
Hongeleni Sana wanakwaya wetu
@user-bv9or2lo2w
@user-bv9or2lo2w 6 месяцев назад
Nice piece with good message and creativity ❤❤
@plannerkasina488
@plannerkasina488 Год назад
Wimbo una ujumbe mzito kweli. Asanteni sana
@magrethmdemu3985
@magrethmdemu3985 Год назад
Umenigusa sana .Mungu Akubariki Mtunzi 🎉
@mwitaisack9582
@mwitaisack9582 Год назад
Amina 🙏
@erickmomanyi9644
@erickmomanyi9644 Год назад
Napenda, good job.
@rahmapanga8845
@rahmapanga8845 Год назад
Mungu tuondolee kiburi Cha uzima, tujalie kukutambua na kukupenda na tuufuate yenye kukupendezeza, hongera sana Regina na wote mloshiriki, God bless you all
@deokessy6596
@deokessy6596 6 месяцев назад
Evangelical voice
@tempochoir
@tempochoir 7 месяцев назад
Awesome ❤
@alfredandunguru4505
@alfredandunguru4505 11 месяцев назад
So proud to be Catholic,
@user-fi5ml8th6w
@user-fi5ml8th6w 10 месяцев назад
Wimbi mzur sna unatugusa san
@simonthongori8586
@simonthongori8586 Год назад
Kiburi kwa kweli ni adui kwa roho zetu Mungu tipe ujasiri wa kutenda mema. Barikiweni sana , Wimbo unao nena na nyoyo zetu kweli .
@edwinotieno9189
@edwinotieno9189 Год назад
Mwenye alifanya utafsiri alikosea pakubwa. Wimbo tamu sana
@Valerie365
@Valerie365 Год назад
Achana kabisa na kiburi cha uzima. 🔥🔥🔥
@mercywakola
@mercywakola Год назад
Barikiweni sana,kazi nzuri
@despinae.mdende
@despinae.mdende Год назад
Hongeren sana Wana kwaya,hongera Sana Mwalimu Mwita Kwa wimbo huu Mzuri .Hongera The Galaxy pro Kwa kazi Bora zaid.
@FelisterKazimili-lk3qo
@FelisterKazimili-lk3qo 11 месяцев назад
Kwakweli tukiacha kiburi Cha uzima tutaishi maisha Yale yampendezayo mungu na mwanadam
@olivernyakiage954
@olivernyakiage954 Год назад
Hongera wanakwaya, Mwita hukosei hata big up bro.
@josminimsigwa5146
@josminimsigwa5146 Год назад
Kazi na ibarikiwe 🙏🙏
@josephmunene4010
@josephmunene4010 Год назад
Nyimbo zenu hubariki. Asanteni.
@user-yj8xx4we1s
@user-yj8xx4we1s 5 месяцев назад
Kweli ni meukubali
@TanasBall
@TanasBall 3 месяца назад
Kazi nzuriii mbarikiwe sanaaa❤❤❤❤
@andrewngatunga7837
@andrewngatunga7837 Год назад
Ukatoliki imara mbarikiwa sana🎉🎉🎉🎉
@amambiastephen178
@amambiastephen178 Год назад
Kila kitu kizuri! Baraka tele!
@HeriusMatiku-kp9iy
@HeriusMatiku-kp9iy Год назад
Ujumbe mzur Mungu awbariki sana ndg zangu 🙏
@herrykifikilo7821
@herrykifikilo7821 Год назад
hakikaa ujumbee mzitoo
@richardtiganya9559
@richardtiganya9559 11 месяцев назад
Wapendwa Wanakwaya kwa wimbo huu mnaingia vizuri katika maisha yetu ambayo wakati fulani yanagubikwa na kiburi kitokacho katika tukiwazacho au tulichonacho na hivi kumweka kando Muumbaji. Heko shime songa mbele ktk kutangaza Injili. Wimbo tafakarisha Sana!
@JacksonKanzira-wp3wt
@JacksonKanzira-wp3wt Год назад
Hongereni sana wote mlioshiriki kuikamilisha kazi nzuri hii (Mtunzi, waimbaji, Studio audio-video, organist...). Mungu awabariki !
@user-xz4sm7qn5l
@user-xz4sm7qn5l 11 месяцев назад
I love this song it the best
@HOLYTRINITYSTUDIOS
@HOLYTRINITYSTUDIOS Год назад
Hongera Galaxy Pro
@christinekimani7738
@christinekimani7738 Год назад
Bravo 🎉,🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Beautiful song
@benyjoseph949
@benyjoseph949 Год назад
Wooooow wooo huu wimbo ndo nilikuwa nausubiri kwa Hama ❤❤❤
@blandinabugomba9226
@blandinabugomba9226 11 месяцев назад
Hongera sana ❤❤❤
@wise_d_tz
@wise_d_tz Год назад
inagusa sana what a song #nzuri mnoo #we are blessed
@odettevianney3026
@odettevianney3026 Год назад
Wimbo mzuri kuanzia maudhui hadi sauti na mpangilio mzima. Hongereni sana😊
@heavenlymusicproduction4360
Safi sana kazi nzuri sana hio❤❤
@user-ov5fj9vl7i
@user-ov5fj9vl7i Год назад
Mungu azidi kuinua kipaji chako,, nyimbo nzuri sana,,,#unadhaman na huu wimbo huu nk. Nsiku nikija Dr nitakutafuta. Mungu akubariki sana
@mwitaisack9582
@mwitaisack9582 Год назад
Amina sana
@TM.254
@TM.254 Год назад
Kazi zuri mno ya kupendeza. That's why i love @Galaxy pro🔥. Clear production. Instrumentals are best
@SirJames065
@SirJames065 Год назад
Wimbo mzuri..
@veronicangota3532
@veronicangota3532 9 месяцев назад
Kazi njema ✔️
@MasindePeter-tm1qk
@MasindePeter-tm1qk Год назад
Mungu away awabariki Sana wapendwa kwa kazi nzuri na tafakari ya kina.
@inosensiamarcel8066
@inosensiamarcel8066 9 месяцев назад
Nice song...
@fumeme0991
@fumeme0991 Год назад
What a sweet music 🎶, am blessed a lot. Asante sana Galaxy pro, waimbaji, mtunzi.Naomb kwa mwenye huu utukufu (music notes) wakuu anisaidie ..🙏🙏
@TheopisterAlfledy
@TheopisterAlfledy 2 месяца назад
❤ Safi san
@yorandayorandan4018
@yorandayorandan4018 Год назад
Mmejua kunibariki sana mm mtoto wa kichaka nibarikiwa mno sio siri
@sheilajepkorir2386
@sheilajepkorir2386 9 месяцев назад
Finally despina ♥️
@MasindePeter-tm1qk
@MasindePeter-tm1qk Год назад
Tumwombe Mungu aendelee kuwatia nguvu na kutuepusha na kiburi cha uzima
@mercymburu8227
@mercymburu8227 11 месяцев назад
Wimbo una maneno ya ushauri🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dokctv_dokccatholic
@dokctv_dokccatholic Год назад
🙏
@patrickorganist8554
@patrickorganist8554 Год назад
Eeh.. maneno yaliyo na mashiko sana na tafakari...Mungu awabariki🥲😢😥❤❤
@loturoaugustine4790
@loturoaugustine4790 9 месяцев назад
Holiness, Glory to God the owner of the planets
@pascalinekanini1365
@pascalinekanini1365 Год назад
❤❤❤True ... amazing voices ❤️💯💯💯
@francismarykimaili4706
@francismarykimaili4706 11 месяцев назад
Bellisima! Buona musica
Далее
UNATHAMANI Mwita Isack. MWITA ISACK & FRIENDS
6:34
Просмотров 206 тыс.
Вся Правда Про Хазяевов !
41:02
Просмотров 1,7 млн
NAKUMBUKA -  MWITA ISACK II THE MAIN VOICE
7:04
Просмотров 48 тыс.
Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA
15:41
UMENIITA BWANA(Official video)-Peramiho Abbey -SONGEA
9:07
ASANTE MAMA WA YESU -  MTUNZI:  P. F MWARABU
6:01
Просмотров 72 тыс.
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
12:44